Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109597 articles
Browse latest View live

Tanzanian Alum earns entrepreneurship award for startup

0
0
When Asan­terabi Malima was 15, his father suf­fered a fatal heart attack at 57. He had been an accom­plished scholar and min­ister in the Tan­zanian gov­ern­ment. “Everyone in my family is in pol­i­tics,” said Malima, PhD’13, a grad­uate of the Depart­ment of Elec­trical and Com­puter Engi­neering and now a post­doc­toral researcher in Northeastern’s Center for High Rate Nanoman­u­fac­turing. 
 They all expected he’d keep with the family busi­ness, but his father’s early passing set Malima on a dif­ferent course. “My pas­sion was always to develop some kind of tech­nology to diag­nose dis­eases ear­lier, to come up with some­thing that wouldn’t save my father, since he’d already passed away, but may save some­body else’s parent,” Malima said.
 In 2012, this vision became a reality when he founded Biolom with fellow North­eastern alumni Cihan Yilmaz, PhD’13, and Jaydev Upponi, PhD’12, grad­u­ates of the Depart­ment of Mechan­ical and Indus­trial Engi­neering and the Depart­ment of Phar­ma­ceu­tical Sci­ences, respec­tively. 
They started the biotech­nology firm to com­mer­cialize a device they had devel­oped at the center under the guid­ance of its director Ahmed Bus­naina, the William Lin­coln Smith Chair and pro­fessor in the Col­lege of Engi­neering. Their device is smaller than a pin­head and has the capacity to diag­nose a variety of dis­eases at their ear­liest stages. 

EID MUBARAK MDAU WA GLOBU YA JAMII POPOTE PALE ULIPO

happy Balice kuachia ngoma mpya agosti 11,2014

0
0
Msanii wa bongo flava Happy Balice anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la liar tarehe 11/08/2014.  ngoma hiyo iliyopikwa katika studio za Rocfame Music chini ya producer Hans Q.

Obama kukutana leo viongozi wadogo walioonyesha dira toka nchi zote za Afrika jijini Washington DC

0
0
 Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akiingia  kwenye ukumbi wa mkutano  wa Town Hall ambao baadaye yeye na viongozi vijana wenzie watakutana na Rais Barak Obama wa Marekani  atakapozungumza nao  jijini Washington DC.
Hii ni sehemu ya program ya mafunzo kwa viongozi wadogo walioonyesha dira toka nchi zote za Afrika (most promising young African leaders) . Program hii imeanzishwa na Rais Obama mwenyewe.
Miongoni mwa watanzania wachache waliopata fursa ya kuhudhuria ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Steven Masele na Mhe. Joshua Nassari. Watakutana pia na Waziri wa mambo ya nje wa marekani John Kerry na Mke wa Rais Obama Bi Michelle Obama Pamoja na maseneta, Magavana, wafanyabiashara wakubwa an watu wengine mashuhuri

Jaji adai fidia ya milioni 300/= kwa ajali ya uzembe wa dereva

0
0

Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.


Amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya dereva Kamota Hassan, Michael Mosha na kampuni ya bima ya Zanzibar. Kesi hiyo itatajwa Agosti 4 mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa.

Katika hati ya madai, Jaji Grace anaiomba mahakama iamuru walalamikiwa hao wamlipe fedha hizo kutokana na ajali anayodai ilitokana na uzembe wa dereva Hassan aliyekuwa anaendesha gari aina ya Mitsubishi Fuso lenye namba za usajili T 683 AKN, iliyokuwa imewekewa bima na kampuni ya Zanzibar.

Inadaiwa Septemba 17 mwaka 2011 katika kijiji cha Bubihi, Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga, Jaji Grace akiwa abiria kwenye gari aina ya Toyota Landcruiser lenye namba za usajili STJ 1870 likiendeshwa na Mosha, waligongwa na Fuso hilo.

Anadai kutokana na ajali hiyo alipata maumivu na majeraha katika sehemu mbalimbali za mwili na kupelekwa katika hospitali ya mkoa ya Shinyanga ambapo alipata matibabu na kuhamishiwa Taasisi ya Mifupa, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MOI) ambapo aliendelea na matibabu ya nje kwa miezi sita.

kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kwa watoto yatima wa kituo cha CHAKUWAMA,Sinza

0
0
Wanawake wanaowakilisha na kuunda kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) Edith Masuki, Cheyzo Uliza na Scola wakiwasilisha zawadi za mkono wa Idd kwa watoto,wanaolelewa kwenye kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA kilichopo Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki .
Dada Cheyzo Uliza,Edith Masauki na Dada Fatma Mgembe wakionesha upendo kwa watoto wadogo waliopo kituoni hapo.
baadhi ya watoto wa kituo hicho wakiwa ni wenye furaha kwa kutembelewa na ugeni huo.

DFID Tanzania Vacancy: Climate Change Programme Adviser

0
0
The UK Department for International Development (DFID) is seeking to recruit a Climate Change Programme Adviser. This is a new advisory position within a dynamic team in DFID Tanzania.

This post is an exciting and challenging opportunity, to help take forward the work of DFID on climate change and work in collaboration with government and other development partners. We require a strong communicator who has the proven ability to network with key stakeholders, influence decisions and drive agendas forward. The Climate Change Programme Adviser will be someone who is knowledgeable about climate change policy and practice, particularly in areas such as adaptation, building resilience and low carbon development. 

S/he will enjoy taking the initiative, excel at managing programmes effectively to deliver results, and will be confident in dealing with senior officials and Ministers in Government, development partners, contractors and civil society partners.

The post holder will work closely with the DFID Tanzania Climate and Energy Adviser to develop the new ICF funded programmes on climate change, with a specific responsibility of the work on institutional strengthening. 

The post holder will work closely with Government of Tanzania (Vice Presidents Office/Ministry of Finance and /or Planning Commission) and Zanzibar to coordinate activities linked to implementation of the national climate change, support the establishment of a climate change financing mechanism and lead on behalf of development partners the dialogue on Climate Change.

For a full job description as well as details of the skills and qualifications required for this post, please visit our webpages:

How to apply:
If you believe you are the right candidate for this position, please submit your CV with a statement of no more than 1,000 words setting out how you would work with DFID and other partners to build resilience to climate change and promote low carbon development, to Tanzania-recruitment@dfid.gov.uk with the subject line “Vacancy: Climate Change Programme Adviser.”

The deadline for the submission of applications is 12 noon on Monday, 25th August 2014.

Please ensure that any e-mail attachments do not exceed 5MB. Only candidates shortlisted for interview will be contacted, and will be required to bring original certificates and diplomas for verification.

JESHI LA POLISI JIJINI DAR LAWATIA MBARONI WATU 10 WANAOTUHUMIWA KUWA NI MAJAMBAZI


Eid Mubarak from al muntanzil

wristbands for you

WASANII WA BONGO MOVIE WAJIUNGA NA MFUKO WA GEPF

0
0
Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa GEPF kwaajili ya kujiwekea akiba,Msanii mkongwe katika bongo movie mzee Chilo mara baada ya tafrija ya ftati iliyoandaliwa maalum kwa wasanii hao.
Msanii Jacky Pentezel akipokea kadi ya uanachama baada ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina.
Msaanii maarufu katika tasnia ya filamu,Blandina Chagula a.k.a Johari akionyesha kwa furaha kadi yake mpya ya uanachama baada ya kujiunga rasmi na Mfuko wa GEPF
Msanii wa Blongo Movie Bi Fatma Makongoro maarufu kama Bi Mwenda akipokea kadi ya uanachama kutoka kwa Meneja Masoko wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina.
Mweka hazina wa Bongo Movie Bw. Cloud akifurahia kujiunga rasmi na Mfuko wa GEPF

US Embassy Public Affairs Officer Visits Clouds Media

0
0
On July 28, 2014 U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer visited Clouds Media Offices and Studios in Dar es Salaam. She was welcomed by Clouds Media’s Director - Programs and Production Mr. Ruge Mutahaba and Head of TV – Production Mr. Ramadhani Bukini who briefed her about various programs and campaigns being undertaken by the Media group through its radio and television stations; Clouds FM (88.5FM), Choice FM (102.5) and Clouds TV.

He noted that addition to informing and entertaining audiences (predominantly listeners under the age of 35) Clouds Media seeks to inspire and empower young Tanzanians to seek out opportunities to uplift themselves and contribute positively to the development of their communities and nation.

Through the hugely successful 'Fursa' (Opportunity) and ' Aminia' (Believe in...) campaigns, Clouds Media has been able to inspire many young people by instilling in them a sense of responsibility for their own development, and the development of their nation.

In addition, Mr. Mutahaba said that Clouds Media aims to continue working with the U.S. Embassy to promote youth issues, especially the Young African Leadership Initiative (YALI), stating: “We want young Tanzanians to know and make optimal use of these opportunities”.

In response, Ms. Maurer commented on the enthusiasm and dedication of the staff and leadership at the media house, as well as their desire to positively impact young people across the country. She added that the U.S. Embassy welcomes the opportunity to explore areas for possible future cooperation with Clouds Media with the aim of enhancing professionalism amongst its staff and empowering Tanzanian youth.

Clouds media is scheduled to broadcast a live stream of President Barack Obama’s Town Hall meeting with YALI Fellows in Washington DC on July 28, 2014 from 18:00 to 19:00 and will be hosting a panel discussion with several members of the community before and after the President’s live stream to hear their thoughts on President Obama’s remarks.
On July 28,2014 U.S Embassy Public Affairs Officer Marissa Maurer (right) during a discussion with Clouds Media Director Mr Ruge Mutahaba (Middle) at the Clouds Media offices in Dar es Salaam on July 28, 2014. Left is Mr. Rogers Cidosa from the U.S Embassy Press Section.
U.S. Embassy Public Affairs Officer Marissa Maurer (left) presents a book on copyright law for artists to Clouds Media Director Ruge Mutahaba during a visit to the media house in Dar es Salaam on July 28, 2014. During the visit she learned about various programs and campaigns of the Media group (including radio Stations Clouds FM (88.5FM) and Choice FM (102.5) as well as Clouds TV.)

UCHAGUZI DMV: MGOMBEA MAKAMU WA RAIS BI SALIMA MOSHI AJINADI

0
0
Wana DMV  mimi Salima Moshi ndiye kiongozi  wenu imara nisiyeyumba.  Nitakuwa pamoja nanyi wakati wote kwenye shida na raha na kwenye dhoruba na shwari na kwenye matatizo na mafanikio SITAJITOA na kuwaacha njia panda.

Kwa heshima na taadhima naomba kura zenu mimi SALIMA MOSHI mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais DMV. 

BALOZI KAMALA ASHIRIKI BARAZA LA IDD EL-FITR LA WAISLAMU WA AFRICA MASHARIKI NA KATI WANAOISHI UBELGIJI

0
0
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza katika Baraza la Idd El-Fitr la Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati Wanaoishi Ubelgiji. Baraza hilo limefanyika leo  Brussels -Ubelgiji 
Balozi wa  Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Waislamu wa Afrika Mashariki na Kati baada kumaliza sherehe za Baraza la Idd liloandaliwa na uongozi huo. Baraza hilo limefanyika Brussels leo. Kushoto kwa Balozi Kamala ni Mhe.Hassan Karera Mwenyekiti wa chama hicho.
.

SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'

0
0
Mkuu wa Shule ya Sekondari
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu  kama mafataki

“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto wanaosoma shuleni hapo, Joachim Mwaikambo.

Mwaikambo alisema katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kumekuwa na mabadiliko makubwa katika shule hiyo ambayo wanafunzi wake “tuliozoea kuwaona wakizurula mitaani wakati wa masomo.”

Naye Jacob Basil aliupongeza uongozi wa shule hiyo akisema; “unadhibiti nidhamu ya wanafunzi na watumishi wake jambo linalotupa faraja wazazi wenye watoto shuleni hapo.”

Akitetea uamuzi huo, Mkuu wa shule hiyo, Kevin Mlengule alisema pamoja na walimu hao shule iliwafukuza wanafunzi wa kike wawili waliobainika kukubuhu kwa ngono.

Alisema walimu na wanafunzi hao, walibainika kujihusisha na vitendo vinavyobomoa maadili ya watumishi na wanafunzi baada ya kura ya siri kupigwa dhidi yao.

“Katika kuboresha nidhamu kwa watumishi na wanafunzi wawapo shuleni jambo moja lililokuwa linatusumbua na tukaamua kulitafutia dawa kali ni la mahusiano ya mapenzi kati ya walimu na wanafunzi, na wanafunzi na watu wa mitaani,” alisema.

Alisema miaka mitatu iliyopita lilikuwa ni jambo la kawaida kwa wanafunzi wa kike kujihusisha katika mapenzi na walimu wao pamoja na watu wengine kutoka mitaani.

Hali hiyo ilipelekea baadhi ya wanafunzi wenye tabia hiyo kufuatwa “na wanaoitwa mabwana zao” shuleni muda wowote na kutoroshwa.

Alisema hali hiyo ilichangia kuporomosha taaluma shuleni hapo na kufanya matokeo ya wanafunzi wanaomaliza shule hiyo kuwa mabaya kwa muda mrefu.

Mlengule alisema matokeo hayo yaliwafanya baadhi ya wazazi kuwahamisha watoto wao kutoka katika shule hiyo na kuwapeleka shule nyingine.

“Shule ilikuwa na wastani wa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita 2,500 kila mwaka, matatizo hayo na mengine yaliyokuwepo yaliifanya ibakiwe na wanafunzi wasiozidi 600.” Alisema.

Alisema katika kukabiliana na utovu wa nidhamu; “hatuna mzaha hata kidogo, mwalimu na mwanafunzi atakayebainika akijihusisha na ngono katika mazingira yoyote yale wote kwa pamoja tunawafukuza.”


Aliwataka wazazi waliohamisha wazazi wao shuleni hapo kutoihofia tena hali hiyo kwani imedhibitiwa vya kutosha.

EID CARD FROM IZAAS MEDICAL PROJECT IN BUKOBA

0
0
With salams and jambo
IZAAS MEDICAL PROJECT IN BUKOBA WISHING A HAPPY EID TO ALL OUR SPONSORS, FRIENDS AND OUR DONORS.
MAY ALLAH ACCEPT AND ANSWER OUR DUA
Mubaarak Abdullah. 

BONGO MOVIE STAR RIYAMA ALLY AKIONGEA NA SPORAH

MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.

0
0
Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip I. Mpango (wa pili kushoto) akifungua mkutano wa majadiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Japan kuhusu ufadhili wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2014/15.katika ukumbi  wa mikutano wa Wizara ya Fedha na yaliratibiwa na Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
Wajumbe kutoka Serikali ya Tanzania wakifuatilia michango mbalimbali kutoka kwa wajumbe wa mkutano huo. Miradi iliyowasilishwa ilihusisha Sekta za Kilimo, Viwanda, Usafirishaji, Nishati, Maji, na Afya.
 Wajumbe wa mkutano uliohusisha Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara, Wakurugenzi na Wataalam wa Sekta mbalimbali wakifuatilia kwa makini majadiliano yaliyokua yakiendelea.
 Wajumbe kutoka Serikali ya Tanzania wakifuatilia michango mbalimbali kutoka kwa wajumbe wa mkutano huo. Miradi iliyowasilishwa ilihusisha Sekta za Kilimo, Viwanda, Usafirishaji, Nishati, Maji, na Afya.
 Wajumbe kutoka Serikali ya Japan wakichukua mambo ya muhimu wakati Mkutano wa Majadiliano ulipokuwa ukiendelea. Ujumbe huo uliongozwa na Balozi wa Japan nchini Tanzania Bw. Masaki Okada.
Picha na: Thomas Nyindo, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.


salamu za iddi kutoka kwa wanalibeneke wa Bukoba wadau

0
0
#‎BUKOBAWADAU‬ BLOG inakutakia sikukuu njema ya Eid-el-Fitr popote pale ulipo, na inawapongeza waumini wote wa dini ya Kiislamu kwa kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

SALAAM ZA EID KUTOKA MASSACHUSETTS, MAREKANI

0
0
Familia ya Kibodya inawatakia Waislam wote Dunia Eid Mubarak njema yenye amani na upendo tuendeleze yote mema tullyofanya kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan
Viewing all 109597 articles
Browse latest View live




Latest Images