Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110087 articles
Browse latest View live

CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli

$
0
0
Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Irkisongo wilayani Monduli Happness Nyange (kushoto) akipokea mchango wa shilingi millioni tatu kutoka kwa Meneja Mwandamizi wa masuala ya kibenki wa CRDB,Dkt. Bennett Bankobeza ikiwa ni kwaajili ya kusaidia shule hiyo hiyo ambayo mabweni yake yaliteketea kwa moto hivi karibuni. Wanaoshuhudia pembeni ni Meneja wa CDRB tawi la TFA Arusha,Bi. Amulikiwa Massawe (wa tatu kulia) na madiwani wa halmashauri ya Monduli.Mwisho kulia ni mkurugenzi wa halmashauri hiyo ya Monduli Twalib Mbasha.

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA JIJINI MBEYA

$
0
0
Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini Mbeya wakiwa katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini humo kwa lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
SHEIKH wa Wilaya ya Mbeya, Sheikh Bakari Mketo (Kulia) akimkabidhi zawadi ya katoni ya sukari mmoja wa wanafunzi wa Madrasa za jijini Mbeya (katikati) wakati wa hafla ya Futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini humo kwa lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
SHEIKH wa Wilaya ya Mbeya, Sheikh Bakari Mketo (Kulia) akimkabidhi zawadi wa katoni ya sukari mmoja wa wanafunzi wa Madrasa za jijini Mbeya (katikati) wakati wa hafla ya Futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini humo kwa lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramdhani.
KATIBU wa Jumuiya ya Maimamu mkoani Mbeya, Sheikh Abdalla Yondo (Kushoto) akipata huduma ya futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini Mbeya kwa lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
SHEIKH wa Wilaya ya Mbeya, Sheikh Bakari Mketo (Kushoto) akipata huduma ya futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini Mbeya kwa lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
BAADHI ya Wanafunzi wa Madrasa mbalimbali za jijini Mbeya waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa jijini wakifuturu kwenye hafla hiyo iliyokuwa na lengo la kuwaunga mkono katika kutekeleza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Crazy White Boy LIVE in Dar es salaam on August 7, 2014 @ Rhapsody's!

$
0
0
Labelled “The future of dance music in South Africa” - Crazy White Boy is the brainchild of South African producers Ryan Murgatroyd and Konstantinos Karatamoglou. Both experienced and successful DJs and producers in their own right - the pair met and collaborated. Together they have worked their way up from bedroom producers into a powerful, leading presence in the South African music market as well as the rest of the world. 

Compelled to try and add a fresh twist to this style of music, they set about writing with an African kwaito style which they call “Ghetto Tech”. Their aim - to deliver a sound that stands out and more importantly challenges the local and international ear. 

The results are multiple Gold and Platinum-selling albums featuring their tracks locally and internationally. International record labels include Kontor, Onelove, Ministry of Sound, Cr2, F! Records and local powerhouse Soul Candi to name but a few. 
Their “music first” policy has allowed them to showcase their sound to some of the most unlikely suspects including David Guetta and Steve Aoki to crowds of over 75 000 people. The Duo are currently touring the country road testing the new records on their forthcoming 2nd Studio Album - "Ghetto Tech" is out in late October. 

They will be performing in Dar es salaam 
on 7th August, 2014 at Rhapsodys ! 

Attached Flyer and More info at http://event.urbanvibes.co.tz

KIKWANGUA ANGA KIPYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM

$
0
0
Kikwangua anga kipya katika barabara ya Lumumba na pembeni mwa Busatani ya Mnazi Mmoja garden jijini Dar es salaam ambalo limelipiku jengo konge la Ushirika (juu kulia) ambalo miaka ya nyuma ndilo lilikuwa linaongoza kwa urefu jijini Dar es salaam.

KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI

$
0
0
Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na ushauri wa kikao cha kamati ya Mashauriano ya Bunge maalum la katiba kilichofanyika jana julai,24,2004 katika Ofisi ndogo za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.Mh. Yahya alisoma taarifa hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Samuel Sitta.
Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad,katika mkutano uliofanyika mapema leo katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.



First Nakumatt store in Dar opens this Sunday

$
0
0
Regional retailer, Nakumatt Holdings, will on Sunday morning officially open the doors to its 48th branch located at Mlimani City Mall, Kinondoni District in Dar es salaam.
The new branch, will also be aptly known as “Nakumatt Mlimani” and will provide a convenient shopping spot for shoppers in Dar es Salaam.

What:                         Nakumatt Mlimani branch opening
When:                        Sunday, July 27th, 2014
Where:                       Mlimani City Mall
Time:                          10:00am

Attendees:                 Hon. Janet Mbene,
Deputy Minister, Ministry of Industry, Trade and   Marketing
Mr. Atul Shah,
Managing Director Nakumatt Holdings
Mr. Thiagarajan Ramamurthy,
Regional Director, Operations and Strategy at Nakumatt Holdings

mbunge wa chalinze aweka jiwe la msingi la nyumba za walimu, akagua ujenzi wa zahanati Lugoba

$
0
0
 Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akielekea kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya walimu iliyojengwa kutokana na michango ya wadau mbalimbali ikiwamo ofisi ya Mbunge wa Chalinze
 Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo ndugu Samuel Saliyanga wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinzagu, kata ya Lugoba 
 Jengo jipya la Zahanati linaloendelea kujengwa katika kijiji cha Kinzagu, kata ya Lugoba Jimbo la Chalinze linaloongozwa na Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete.
 Mbunge wa Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akiweka jiwe la msingi katika nyumba ya walimu iliyojengwa kwa na michango ya wadau mbalimbali ikiwamo ofisi ya Mbunge wa Chalinze

MH. CHIKAWE AWAMWAGIA MISAADA MAMA LISHE MJINI NACHINGWEA

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akimpa msaada wa boksi lenye vyombo mbalimbali Mama Lishe wa Soko Kuu mjini Nachingwea mkoani Lindi leo. Mama Lishe hao zaidi ya 120, kila mmoja alipewa boksi ambalo ndani yake kuna Chupa ya Chai, Sahani, Vijiko, Birika, Umma pamoja na Vikombe vikubwa vya maji. Mama Lishe hao walishukuru misaada hiyo ambayo itawasaidia katika biashara yao.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akizungumza huku akishangiliwa na Mama Lishe wa Mjini Nachingwea baada ya kuwakabidhi msaada wa vyombo mbalimbali vya jikoni mjini humo. Mama Lishe hao zaidi ya 120, kila mmoja alipewa boksi ambalo ndani yake kuna Chupa ya Chai, Sahani, Vijiko, Birika, Umma pamoja na Vikombe vikubwa vya maji. Mama Lishe hao walishukuru misaada hiyo kwa kuwa itawasaidia katika biashara yao.
Fatuma Mohamed, kiongozi wa Mama Lishe mjini Nachingwea (katikati) akimshukuru Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (wapili kulia) kwa msaada wa vyombo mbalimbali vya jikoni walivyopewa na Mbunge wao. Mama Lishe hao zaidi ya 120, kila mmoja alipewa boksi ambalo ndani yake kuna Chupa ya Chai, Sahani, Vijiko, Birika, Umma pamoja na Vikombe vikubwa vya maji. Mama Lishe hao walishukuru misaada hiyo kwa kuwa itawasaidia katika biashara yao.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (aliyevaa mawani wapili kulia) akiwa amezungukwa na Mama Lishe wa mjini Nachingwea huku wakimshanglia kwa furaha baada ya kuwakabidhi misaada mbalimbali ya vyombo vya jikoni. Mama Lishe hao zaidi ya 120, kila mmoja alipewa boksi ambalo ndani yake kuna Chupa ya Chai, Sahani, Vijiko, Birika, Umma pamoja na vikombe vikubwa vya maji. Mama Lishe hao walishukuru misaada hiyo kwa kuwa itawasaidia katika biashara yao. Picha zote na Felix Mwagara.

Introducing Ali Kiba's new hit "Mwana Daisalama"

2ND EAC-AfDB TECHNICAL PLANNING MEETING CONCLUDES ARUSHA

$
0
0
The 2nd EAC/AfDB Technical Planning meeting to review the status of implementation of the ongoing projects financed by the Bank concluded today at the EAC Headquarters, in Arusha, Tanzania.

The 24th-25th July 2014 meeting, which attended by officials from the African Development Bank, EAC Organs and Institutions including Lake Victoria Basin Commission (LVBC), Lake Victoria Fisheries Organization (LVFO), Inter-University Council for East Africa (IUCEA) and the Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency (CASSOA), also identified some new projects for consideration by the Bank.

Speaking during the official opening session, the EAC Deputy Secretary General in charge of Planning and Infrastructure, Dr. Enos S. Bukuku, commended the Bank for the excellent support the region continues to enjoy from it on projects and programmes pertaining to roads, railways, maritime transport, customs, energy, civil aviation, airports, OSBPs, ICT, education, gender and community development, environment and natural resources.

He underscored the fact that much more still needs to be done in the areas of infrastructure development, trade facilitation, policy harmonization as well as deepening regional and continental integration. Dr.Bukuku urged AfDB to continue supporting EAC towards achieving the regional development objectives and appealed for support for the 3rd EAC Heads of State Retreat on Infrastructure Development and Financing scheduled for November 2014.

Mr. Baboucarr Sarr, the African Development Bank Lead Policy Expert, commended EAC for moving towards deeper integration and making commendable strides in the quest to create a larger, more integrated and more diversified single economic market in East Africa where goods, services and people will move freely.

He informed the meeting that the Bank's current portfolio in EAC consists of 126 ongoing projects with a total commitment value of US$ 4.1bn. About 70% (US$ 2.9bn) of this amount has been allocated to infrastructure, of which 34% (US$ 1.0bn) in energy, 45% (US$ 1.3bn) in transport, and 15% (US$ 0.61bn) in water. The other 30% has been allocated to agriculture, social sector, finance and multi-sector.

The EAC team updated the Bank on the performance of the projects and programs under implementation, on cooperation Agreement between the Bank and EAC, as well as updates on the preparation for the 3rd EAC Heads of State Retreat on Infrastructure Development and Financing.

The current African Development Fund (ADF) cycle is for the period 2014-2016 and the ADF 14 cycle will cover 2017-2019. The meeting between EAC and the Bank came in good time to identify projects which could be submitted for possible funding under ADF 14.

The 2nd EAC/AfDB Technical Planning Meeting was held in accordance with the Cooperation Agreement between the Bank and EAC of 1998. The first Technical Committee meeting was held on 14th to 15th November 2011. During the first meeting several projects and programmes were identified for possible support by the Bank.
EAC Deputy Secretary General in charge of Planning and Infrastructure, Dr. Enos S. Bukuku speaking during the meeting. Sitting along side DSG is EAC Director of Infrastructure Philip Wambugu(R) and Mr. Baboucarr Sarr, the African Development Bank Lead Policy Expert.

New Song: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

$
0
0
IMG-20140725-WA0006 
 Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani,wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9. Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha magari ili kuwawezesha abiria kufika salama waendako.

kutoka maktaba: Siku michael Jackson alipotembelea Tanzania Februari 1992

$
0
0
Michael Jackson alipoitembelea Tanzania Februari 1992. Alitua uwanja wa ndege wa Dar kwa ndege yake mwenyewe  akiwa amevalia shati la kijani lenye mikono mirefu, suruali nyeusi na kofia nyeusi, akapandishwa kwenye Benzi s iliyompeleka hadi Kilimanjaro Hotel (wakati huo) ambayo baadaye ikawa Kilimanjaro Hotel Kempinsk, ambapo sasa ni  Hyatt Regency Kilimanjaro Dar es Salaam. 
Mwanamuziki huyo aliyekuwa maarufu zaidi duniani kama Mfalme wa Pop hadi anakufa mwaka 2009, alifika nchini akiwa balozi wa ziara ya Umoja wa Mataifa na akapokelewa kiserikali na Waziri wa Mambo ya Nje wakati huo, hayati Hassan Diria (juu kushoto). 
Katika ziara yake hiyo ya siku mbili nchini, alikutana na Rais Ali Hassan Mwinyi. Kesho yake alitembelea shule maalum ya watoto yatima na wenye mtindio wa ubongo iliyopo Sinza. 
Ndege yake iliyokuwa na watu takriban 60 ilishindwa kwenda mbugani Ngorongoro alikotaka kwenda. Na yeye alikuwa hawezimkupanda ndege ndogo, hivyo akaishia Dar es salaam. 
Sehemu  ingine aliyotembelea na kuacha gumzo ni jumba la sinema la Empire mtaa wa Azikiwe ambako aliingia katika duka la kukodi mikanda ya sinema. Naye alibeba mikanda kama 10 hivi ya vikatuni, ikiwemo ya Tom and Jerry.

Mh. Lowassa ahani Msiba wa Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa pamoja na Mkewe Mama Regina Lowassa wakitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliewahi kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,Marehemu Mathew Gadi Mwanga,Nyumbani kwake jijini Arusha.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa pamoja na Mkewe Mama Regina Lowassa wakitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Mathew Gadi Mwanga,aliewahi kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli wakati walipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa Marehemu,Jijini Arusha.

Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali

$
0
0
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam. 
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fredrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba. 
Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.

MH. MAKALLA AKUTANA NA BALOZI MULAMULA NCHINI MAREKANI

$
0
0
Naibu Waziri wa Maji,Mhe. Amos Makalla (kulia) akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani,Mh. Balozi Liberata Mulamula wakati alipomtembelea Ubalozini hapo.

Rais Dk. Shein afutarisha wananchi, Ikulu Zanzibar

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi katika futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi katika futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
Mke wa Rais wa zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akijumuika na weke wa Viongozi mbali mbali akiwemo Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mama Shadya Karume (wa pili kushoto) katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Sheinkwa wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
Akina mama wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika katika fuitari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

$
0
0
Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama 
Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.
Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.
Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu Uhifadhi/Ulinzi wa Maliasili na Changamoto zake(Ujangili) na Mfumo wa Jeshi Usu.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mjadala.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

special eid el fitr sale @ AMAYA. the first and only thrift shop in Tanzania

MHE LOWASSA AWAANDALIA FUTARI WAUMINI WA MONDULI

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowassa akizungunza na waumi wa dini ya kiislam (hawapo pichani), katika hafla aliyofuturisha katika Msikiti Mkuu wa Monduli mjini.
 Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi akizungumza na waumini wakati wa futari iliyoandaliwa na Mh. Lowassa.
 Baadhi ya waumini wakipata futari iliyoandaliwa na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa.
 Mke wa mbunge wa jimbo la monduli Mama Regina Lowassa akizungumza katika ghafla ya futari  iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo hilo Edward Lowassa iliyofanyika katika msikiti wa monduli.
 Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Shekh wa Wilaya ya Monduli Shekh Mwinshehe Mwinyi wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya waumini wa dini ya kiisalamu wilaya Monduli. Picha zaidi BOFYA HAPA

MH. MAKAMBA AONGOZA MKUTANO WA WANAMUZIKI WA MUZIKI WA INJILI NA WASAMBAZAJI ULIOFANYIKA LEO HOTELI YA WANYAMA SINZA JIJINI DAR

$
0
0
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET), John Kitime.

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mzee Makassy.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba (kulia), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo kabla ya kumakribisha mgeni rasmi wa mkutanmo huo, Mhe. January Makamba.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Viewing all 110087 articles
Browse latest View live




Latest Images