Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110130 articles
Browse latest View live

Holy Month of Ramadan at IZAAS MEDICAL PROJECT, BUKOBA

$
0
0
With salams and duaa With the generosity of IZAAS supporters and donors the 1st of Ramazan was started with recitation of holy Quran and Duwas. 
MASHALLAH. 
 Kindly see below. 
 Mubaarak Abdullah


MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR

$
0
0
Mke wa rais, Salma Kikwete, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biasharaya Kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini jana, Julai 4, 2014.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu(Wapili kulia), akimuhudumia mstaafu, na mwanachama wa Mfuko huo, Jackson F. Salewa, wakati wa siku hya PSPF kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam Ijumaa Julai 4, 2014.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akisalimiana na baadhi ya wanachama wapya wa mfuko huo, waliojiunga wakatyi wa sherehe za siku ya PSPF iliyofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere kunakofanyuika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa.

MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AKAGUA MAENDELEO YA UKARABATI WA ZAHANATI YA MKONZE

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi mwishoni mwa wiki (Julai 3) alifanya ziara ya kutembelea zahanati ya kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma kukagua kazi ya ukarabati wa Jengo la Zahanati ya kijiji hiko lililokuwa limetokewa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha jengo hilo mali ya serikali lisitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama. 
 Kwa sasa jEngo hilo linaendelea kufanyiwa ukarabati ikiwa ni kulijengea nguzo za zege kwenye kuta ili kuliongezea uimara na kuziba nyufa kwenye baadhi ya kuta za jengo hilo. 
Dr. Nchimbi alisisitiza mafundi na wasimamizi wa ukarabati huo kuweka nguzo za kutosha ili jengo lizidi kuwa imara. Katika hatua hii, Dr. Nchimbi amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuhakikisha anafanya mradi huo wa zahanati kuwa kipaumbele cha Manispaa ya Dodoma na kuhakikisha ukarabati wa jengo hilo unakamilika mara moja ili lianze kutoa huduma kwa wananchi na tayari ameshamuagiza Mhandisi ujenzi wa Mkoa wa Dodoma kwenda kwenye mradi huo kufanya Tathimini ya Kitaalamu ili kuweza kushauri ipasavyo. 
 Mradi huo unaonesha kulikuwa na hali ya kulega kwenye utekelezaji na usimamizi wa ujenzi wa jengo hilo na kuwa pamoja na ardhi ya eneo hilo kuwa na asili ya kuchanika na kuchangia nyufa kutokea lakini Mkuu huyo wa Mkoa amesema wataalamu hawakufanya kazi yao kitaalamu ndio maana kumejitokeza athari kama hizo . 
 Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hiko wamelaumu kuwepo kwa tatizo la usimamizi hafifu wakati wa utekelezaji wa mradi huo na ndio maana changamoto hizo zimejitokeza. 
Akiwakilisha hoja za wananchi walio wengi mkazi wa kijiji hiko Ndg. Yusufu Yacob amemueleza Mkuu wa Mkoankuhakikisha ukarabati huo unasimamiwa kwa karibu ili kutibu dosari zilizopo kwenye jengo hilo ili lianze kutoa huduma na wananchi waanze kunufaika na mradi huo wa Afya kwani kwa sasa wanalazimika kuzifuata huduma hizo mjini Dodoma kwa umbali mrefu jambo ambalo ni adha kubwa kwao. 
 Ikumbukwe kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliwahi kutembelea Mradi huo mapema mwezi Machi na kujionea dosari hizo kwenye jengo hilo na kumuagiza Mkurugenzi wa Manispaa Dodoma na Timu yake ya Watendaji kulifanyia haraka ukarabati jengo hilo lianze kutoa huduma lakini aliporudi Mwezi Juni kuangalia utekelezaji wa maelekezo yake alikuta hali isiyoridhisha.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akikagua nguzo zilizojengwa kwa lengo la kuongeza uimara kwenye jengo la zahanati ya kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma lililokuwa limeathiriwa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha rasilimali hiyo ya serikali isitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama, Mkuu huyo wa Mkoa alifanya ziara hiyo
 Jengo la zahanati ya kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma likiwa limeanza kujengewa nguzo kwenye kuta kwa lengo la kuliongezea uimara, Jengo hilo lililokuwa limeathiriwa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha rasilimali hiyo ya serikali isitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (katikati) akizungumza na baadhi ya Viongozi wa kijiji cha Mkonze, wajumbe wa kamati ya Afya kijijini hapo na baadhi ya watumishi wa Manispaa ya Dodoma mapema jana Julai 3 wakati alipotembelea zahanati ya Kijij hiko kukagua ukarabati wa jengo la zahanati ya kijiji lililokuwa limeathiriwa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha rasilimali hiyo ya serikali isitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama.
Jengo la zahanati ya kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma ambalo lilikuwa limeathiriwa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha rasilimali hiyo ya serikali isitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama kwa sasa linafanyiwa ukarabati kwa kuanzia na kujengewa nguzo ili kulipa uimara na kuondoa mapungufu yaliyojitokeza ili jengo hilo lianze kutoa huduma.

REGINALD MENGI FROM BAREFOOT TO $550 MILLION

$
0
0
Reginald Mengi,
Meet Reginald Mengi , a Tanzanian conglomerate that owns 11 national newspapers (including Tanzania’s Financial Times, ThisDay and The Guardian), three of East Africa’s most popular television stations (EATV, Capital and ITV), and about ten radio stations. He also owns gold mines and Coca-Cola bottling plants in the country. 
His companies employ over 5,000 people in Tanzania and rank among the largest corporate taxpayers in Tanzania.  Mengi grew up poor in northern Tanzania, studied accountancy and articles with Cooper Brothers in the United Kingdom, was accepted as a member of the Institute of Chartered Accountants of England and Wales. He returned to Tanzania in 1971 and was employed by the accounting firm of Coopers & Lybrand Tanzania (now PriceWaterHouseCoopers) until 1989, when he left to concentrate on his own businesses.
Mengi was honored with Lions Clubs International (LCI) for   his “selfless dedication to humanity and a determination to labour for the public welfare”.  Reginald Mengi in accepting the award urged Tanzania’s wealthy class to devote more resources towards uplifting the poor in the society.  “It’s wonderful for one to use part of one’s achievements to help God’s people. You will not be remembered by how much your bank account or business was a success but for your contributions and support to others in needy situation,” explained the IPP Executive Chairman.  Every year, the media and mining tycoon sponsors at least 100 Tanzanian children with severe heart conditions to get surgeries in foreign hospitals as there are very few specialized medical institutions to handle such cases in Tanzania. He also finances a scholarship programme that pays the fees of hundreds of destitute Tanzanian children through primary to tertiary education.
Keep up the great work Sir!

Mama Salma Kikwete atembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es salaam leo

$
0
0
 Mama  Salma Kikwete (katikati mwenye kitenge)akitembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya sabasaba jijini Dares Salaam.Kulia  ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke,  Sophia Mjema.
 Mama  Salma Kikwete (katikati mwenye kitenge)akipata  maelezo  leo   kuhusu bidhaa  mbalimbali  kutoka kwa Bi mkubwa  Juma kwenye banda la Zanzibar  katika maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya sabasaba jijini Dares Salaam.Kushoto  ni  Mkuu wa Wilaya ya Temeke,  Sophia Mjema.
 Mama  Salma Kikwete (katikati mwenye kitenge) akipokelewa  na Mke wa Rais wa Awamu ya Tatu , Mama Anna Mkapa  wakati alipotembelea leo  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya sabasaba jijini Dares Salaam.Kulia  ni  Mkuu wa Wilaya ya Temeke,  Sophia Mjema.
 Mama  Salma Kikwete  akisaini kitabu cha wageni  wakati alipotembelea leo  banda la  Mke wa Rais wa Awamu ya Tatu , Mama Anna Mkapa  kwenye  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya sabasaba jijini Dares Salaam. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa

$
0
0

 

 

Mats Hummels  ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye  leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio de Janeiro kabla ya mchezo wao na Ufaransa. Inaonesha "ndumba" hii imewasaidia leo.


excel management and outsourcing company's new home

JK akutana na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan leo

$
0
0
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea  Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika  mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan  Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Ulinzi wa China  Ikulu jijini Dar es salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Jenerali (mstaafu) Mhe Abdulrahman Shimbo pia walikuwepo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ABDULRAHMAN KINANA NA RAIS MSTAAFU, ALI HASSAN MWINYI WATEMBELEA GYM YA MAZOEZI YA TIMU YA AZAM FC, CHAMAZI

$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakijaribu kufanya mazoezi katika mashine zilizo ndani ya Gym ya mazoezi ya timu ya Azam Fc, wakati walipotembelea Gym hiyo kujionea leo baada ya hafla ya uzinduzi wa Msikiti wa ‘Masjidil Huda’, kwenye Uwanja wa Chamazi, jijini Dar es Salaam, leo Julai 4, 2014.
 Mkurugenzi wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mwenyekiti wa Makampuni ya SSB, Said Salim Bakhresa, wakati walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya Azam Fc, leo Chamazi. Picha na OMR
 02:- Wakitembelea Uwanja wa Chamazi, kujionea maendeleo ya timu ya Azam Fc , leo.
 Mkurugenzi wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (kulia) akitoa maelezo kwa viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi,  wakati walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja Gym ya mazoezi ya timu ya Azam Fc iliyopo kwenye Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya hiyo, leo Chamazi. 
 Mkurugenzi wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi,  wakati walipokuwa wakitembelea kujionea Uwanja Gym ya mazoezi ya timu ya Azam Fc iliyopo kwenye Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya hiyo, leo Chamazi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akijaribu kufanya zoezi katika moja ya mashine zilizo ndani ya Gym ya mazoezi ya timu ya Aazam Fc, kwenye Uwanja wa Chamazi Complex, wakati walipotembelea Gym hiyo leo. Picha na OMR

Sarkozy in Police Castody

ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR

$
0
0
Mteja akipata maelezo ya Kina kutoka kwa wafanyakazi wa Access Bank katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni ya Channel 10, Meshack akifanya mahojiano na Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Muganyizi Bisheko na kueleza huduma wanazozitoa  katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Ambapo Bisheko alisema kuwa huduma zinazotolewa ndani ya banda lao ni ufunguaji wa akaunti kwa bei rahisi ya shilingi 1,000 huduma ya utoaji wa mikopo kwa wajasiliamali 
 Mtangazaji wa Azam Tv, Wasiwasi Mwabulambo akizungumza machache ndani ya banda la Access Bank mara baada ya kutembelea  katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Wa pili kutoka kulia ni Afisa Masoko Mwandamizi wa benki hiyo, Muganyizi Bisheko akiwa pamoja na wafayakazi wenzake.
Wafanyakazi wa Acces Benki wakipata pozi mbele ya kamera ya Kajunason 

faida ya swaum ki roho

SHAMBA LINAUZWA KIBAHA

I DESERVE BETTER THAN THIS, MUOGOPENI MUNGU KAMPENI ZA NAMNA HII HAZITUFAI - Idd Sandaly

$
0
0
Jamani Watanzania wenzangu nimesikitishwa timu ya Libe na kampeni zake za uchochezi,uongo na kashfa juu yangu mimi Idd Sandaly. Najua Watanzania wenzangu tupo pamoja tangia mliponichagua kuwa Rais wa Jumuiya ya DMV na nashukuru sana kwa ukaribu na ushirikiano mnaoendelea kunipa. 
Kashfa, uongo wa kutunga bila hata kumuogopa Mungu kutoka upande wa kambi ya Libe si kwamba zinanichafulia jina bali nimezileta hapa leo mjionee wenyewe kwani nyie ndio wapiga kura na nani mnayemtaka awe Rais wenu ni chaguo lenu. 
Mimi tayari mmeisha fahamu kazi yangu tangia nilipokuwa TAMCO na kwa jinsi ya ufanisi wangu TAMCO baadhi ya Watanzania na marafiki zangu walinishauri nigombee Urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

brazil yaipiga columbia 2-1 kuingia nusu fainali, kupambana na Ujerumani Jumanne

$
0
0
Ngoma imeisha katika uwanja wa Fortazleza na wenyeji Brazil wamepita robo fainali tayari kupambana na Ujerumani siku ya Jumanne. Thiago Silva alifungua njia kwa bao la kwanza nadni ya dakika 10 za mwanzo kabla ya David Luiz kupiga mpira mkali wa adhabu kuiweka Brazil katika mkao wa kula. 
Mshambuliaji hatari wa Columbia James Rodriguez aliweka bao la kupunguza maumivu kwa njia ya penati baada ya kipa wa Brazil Julio Cezar kumfanyia madhambi Bacca wa Columbia ndani ya boxi.


Hivyo ngoma imeisha kwa Brazil kushinda bao 2-1 


TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA NA VIWANDA NDOLA ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 JULY HADI 8 JULY 2014

$
0
0
Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mh. Grace Mujuma akipatiwa maelezo na mmoja wa wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania ambao wanashiriki kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara na Viwanda yanayofanyika Mjini Ndola,Zambia. 
Sehemu ya wafanyabiashara wajasiliamali kutoka nchini Tanzania wakionyesha bidhaa zao kwenye Maonyesho hayo ya Kimataifa.

Mahojiano ya Kwanza Production na Diamond Platnumz baada ya tuzo za BET

$
0
0
Diamond Platnumz na DMK kwenye utoaji tuzo za BET Los Angeles
Photo Credits: DMK Global Promotions' facebook page

Karibu katika mahojiano ya Kwanza Production na Damond Platnumz. Msanii mwenye mafanikio makubwa kutoka nchini Tanzania
Amejiunga nasi kwa njia ya simu punde baada ya kuhudhuria utoaji tuzo za BET ambako yeye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakiwania tuzo hizo.
Kazungumza mengi kuhusu TUZO HIZO.
Alipopokea na alivyopokea uteuzi wake, aliloliona kwenye tuzo hizo, ulinganishaji wake katika utoaji tuzo hizi na za Tanzania / Afika, alichojifunza, faida ya kuja kushiriki hili na hata mikakati yake ijayo kuhakikisha kuwa muziki wa Tanzania unafika mbali zaidi.
SWALI jingine alilojibu ni kuwa....ni kweli kuwa ili muziki wa Tanzania ushinde tuzo ni lazima uwe na mahadhi ya Afrika Magharibi (kama muziki wake wa Number One) ama Afrika Kusini 
Amejiunga nasi kwa msaada wa promota Dickson Mkama almaarufu DMK ambaye pia ndiye meneja wa msanii huyo hapa nchini.
KARIBU


NYOTA WA BRAZIL NEYMAR AVUNJIKA UTI WA MGONGO

$
0
0
Mpira ukiwa mbali na Neymar Juan Zunga wa Colombia anampiga goti Neymar Mgongoni na kumvunja uti wakati wa mechi yao ambapo Brazil ilishinda 2-1 na kutinga nusu fainali ya kombe la Dunia jana
Neymar akigalagala baada ya kuvunjwa uti wa mgongo. Chini ni picha ya X-ray ya sehemu aliyovunjika

ON SABA SABA DAY MONDAY JULY 7, 2014 UNIGLOBE SKYLINK OFFICE WILL REMAIN CLOSED

$
0
0

ON ACCOUNT OF SABA SABA DAY, OUR OFFICE WILL REMAIN CLOSED ON 7TH JULY, 2014. 
FOR ALL YOUR URGENT BOOKINGS ETC, PLEASE CONTACT OUR BRANCH OFFICE AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, TERMINAL 2 ON TEL. NOS. 022-2842738 OR 0713-540881 FOR FURTHER ASSISTANCE. 
WE WOULD LIKE TO WISH YOU A HAPPY SABA SABA DAY!
 MANAGEMENT - UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED

Jero la sarafu laja karibuni

$
0
0
Sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jero' itaendelea kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko, kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoT, Bw Emmanuel Boaz, aliyeiambia Globu ya Jamii kwenye banda la Benki Kuu katika Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam.
Viewing all 110130 articles
Browse latest View live




Latest Images