Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live

UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014.

$
0
0
  • AWAMU YA KWANZA; VIJANA 20,000 WATARIPOTI KWENYE MAKAMBI YA MAFUNZO YA JKT KUANZIA TAREHE 01 JUNI 2014 NA KUANZA RASMI MAFUNZO YAO TAREHE 08 JUNI 2014 NA KUMALIZA TAREHE 04 SEPTEMBA 2014. ORODHA YAO ITAANZA KUONEKANA KWENYE WEBSITE YA JKT TAREHE 11 MEI 2014 KUANZIA SAA NNE (4) ASUBUHI.

  • AWAMU YA PILI; VIJANA 14450 WATARIPOTI KWENYE MAKAMBI YA MAFUNZO YA JKT KUANZIA TAREHE 11 SEPTEMBA 2014 NA KUANZA RASMI MAFUNZO TAREHE 18 SEPTEMBA 2014 NA KUMALIZA TAREHE 17 DESEMBA 2014. ORODHA YAO ITAANZA KUONEKANA KWENYE WEBSITE YA JKT TAREHE 15 MEI 2014 KUANZIA SAA KUMI (10) JIONI.

  • KIJANA YEYOTE MWENYE ULEMAVU UNAOONEKANA ARIPOTI KATIKA KAMBI YA MAFUNZO YA RUVU JKT (832 KIKOSI CHA JESHI).
  • VIJANA WOTE WANATAKIWA KUWA NA VYETI VYA KUMALIZA KIDATO CHA SITA ( LEAVING CERTIFICATE).

  • INASISITIZWA VIJANA WARIPOTI KWENYE MAKAMBI WALIOPANGIWA NA SIO KUJA MAKAO MAKUU YA JKT.

CECAFA FIXTURES

WAFANYAKAZI UHAMIAJI KILIMANJARO WATAKIWA KUBAKI NJIA KUU

$
0
0
Mkuu wa idara ya uhamiaji mkoa wa Kilimanjaro Johannes Msumule akizungumza wakati wa semina kwa wafanyakazi wa idara hiyo juu ya maambukizi ya Ukimwi na Virusi vya Ukimwi,semina iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha uhamiaji mjini  Moshi.
Mgeni rasmi katika semina hiyo ambaye ni mwakilishi wa TACAIDS mkoa wa Kilimanjaro Razia Ngaina akizungumza na watumishi wa idara ya uhamiaji(hawako pichani) wakati wa semina juu ya maambuzi ya virusi vya Ukimwi na Ukimwi iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha uhamiaji mjini Moshi.
Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro Nakajumo James akizungumza jambo mara baada ya kutakiwa kutoa neno kwa niaba ya waandishi walioshiriki semina hiyo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa vyuo vikuu kujiajiri

$
0
0
Mbunifu wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006,Jokate Mwegelo akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kongamano la 2014 Market Forum lililofanyika kwenye ukumbi wa Nkrumah. Mrembo na mbunifu wa mitindo huyo aliwataka wanafunzi wajiajiri mara wamalizapo masomo yao kutokana na ugumu wa soko la ajira.
Mbunifu wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006,Jokate Mwegelo akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam iliyoandaa kongamano la 2014 Market Forum lililofanyika kwenye ukumbi wa Nkrumah. Mrembo na mbunifu wa mitindo huyo aliwataka wanafunzi wajiajiri mara wamalizapo masomo yao kutokana na ugumu wa soko la ajira.
Jokate Mwegelo akiwa na mshindi wa shindano la ubunifu, Jacqueline Rimoi ambaye alimzawadia sh, 300,000 kwa kutengeneza tangazo la kunadi bidhaa za kidoti kwenye ukumbi wa Nkrumah.

Mbunifu wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006 ametoa wito kwa wanafunzi wanao hitimu vyuo vikuu nchini kujihusisha na ujasiliamali na kutumia vilivyo vipaji vyao katika kupambana na soko la ajira.

Joketi alitoa wito huo juzi wakati akitoa mada ya jins ya kujiajiri mara baada ya kumaliza masomo ya elimu ya juu katika kongamano la wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) lijulikanao kwa jina la 2014 Market Forum.

Alisema kuwa pamoja na yeye kusomea mambo ya siasa na kuhitimu digrii yake chuoni hapo, mpaka sasa hajaweza kufanyia jambo lolote taaluma hiyo zaidi ya kujiajiri kupitia kampuni yake ya Kidoti Tanzania Limited ambayo inamuingizia fedha.

Alifafanua kuwa hatua hiyo imekuja kutokana na ugumu wa soko la ajira na kutokana na kuamua kujiajiri kwa njia mbadala (vipaji) vyake.

“Wakati nasoma, lengo langu kubwa lilikuwa ni kuwa mwanasiasa, nilimaliza hapa hapa Chuo Kikuu na baadaye nilishauliwa nichukua ‘masters’, nilianza kusoma, hata hivyo nilihairisha masomo hayo baada ya kuamua kuanza kuwa mbunifu na mwaka 2013 nilizindua bidhaa yangu ya nywele na nguo zijulikanazo kwa jina la ‘kidoti brand’ na sasa nimeingiza sokoni kandambili aina ya kidoti,” alisema Jokate.

Alisema kuwa alifanya utafiti wa kina ili kuteka soko la bidhaa zake na mpaka sasa anazidi kubuni aina nyingine za mitindo ya nywele, nguo, kandambili na bidhaa nyingine.

“Tusitegemee ajira kutokana na kile tulichokisomea, tunatakiwa kuwa wabunifu na kutumia vipaji vyetu, ukiweka nia tafanikiwa pamoja na ugumu wa kupata mtaji na mambo mengine, kwa kufanya hivyo utaweza kumpa ajira mtu aliyesoma zaidi yako, ipo mifano mingi duniani na matajiri wengi hawana elimu ya kutosha, ila wamekuwa wabunifu na sasa wameajiri wataalam ambao ni wasomi, hata hivyo soko la ajira ni dogo na wachache ndiyo wanabahatika kupata kazi,” alisema.

Alisema kuwa kwa sasa lengo lake kubwa ni kutawala soko na kuwa milionea pamoja na kupata ushindani mkubwa katika soko kutokana na wingi wa bidhaa kama zake.

UNDP HEAD VISIT RUAHA NATIONAL PARK

$
0
0
 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP stressing a point to Mr. Allan Kijazi, Director General of TANAPA when she visited Ruaha National Park yesterday.
 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP admiring a rarely seen Pangolin at Ruaha National Park.
 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP poses in a picture with the plant operators of the grader, which was donated by UNDP to Ruaha National Park through a SPANEST Project.
 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP talking to a section of Park Rangers at Ruaha National Park.
 From right to left: Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP, Mr. Allan Kijazi DG of TANAPA, Mr.Godwell Meing’ataki, SPANEST Project Coordinator and Dr. Christopher Timbuka, Ruaha Chief Park Warden in front of the Anti-poaching patrol vehicle donated by UNDP through SPANEST.
 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP listening to a Walking Safari Tour Guide at Ruaha National Park shortly before starting a Walking Safari at Ruaha National Park.
 UNDP Administrator Ms. Helen Clark (second left) enjoying a Walking Safari at Ruaha National Park.
 The ongoing rain in the country has been a blessing to the Great Ruaha River.

TAARIFA YA UTEUZI WA BODI MPYA YA MAMLAKA YA USIMAMIZI NA UDHIBITI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII (SSRA)

KINAPA YATANGAZA OFA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO.

$
0
0

Mkuu wa idara ya utalii katika hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro Eva Mallya akitoa ufafanuzi juu ya utaratibu mpya wa kuhamasisha utalii wa ndani.kushoto kwake ni afisa Masoko wa hifadhi hiyo Antipas
Juu na chini ni baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa umakini mkuu wa idara ya utalii katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro Eva Mallya 
Na Dixon Busagaga wa Globu 
ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

HIFADHI ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro ,imetoa fursa kwa wananchi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa jumla kupanda mlima Kilimanjaro hadi kilele cha Shira (Shira Plateu) kwa nusu bei yaani shilingi 5,000 kwa watu wazima kuanzia miaka 16 na kuendelea na Shilingi 1,000 kwa watoto kuanzia miaka 5 hadi 15.
Gharama hii ni nusu ya bei halisi ambayo ni shilingi 10,000 kwa watu wazima na 2,000 kwa watoto.Ofa hii inaanza Mei 15 hadi Mei 18 mwaka huu,Safari hiyo itakuwa ya kutwa nzima kwenda na kurudi siku hiyo hiyo na usafiri utatolewa bure na hifadhi (KINAPA).
Vituo vya kujiandikishia ni mgahawa wa Fresh coach Moshi mjini ,Hosptal ya KCMC,Njia Panda ya Himo (Stand ya Same),Bomang’ombe (Kiwire Supermarket) na KINAPA Marangu(Mapokezi).Kazi ya uandikishaji imeanza tayari.Vituo vitakuwa wazi kuanzia saa 2 asubuhi.Wanaopenda kupanda wanashauriwa kufika katika maeneo hayo tajwa.
Vituo vya kuanzia safari ni viwili Mgahawa wa Fresh Coach Moshi mjini na Bomang’ombe (Kiwire Supermarket),Safari itaanza saa moja kamili asubuhi.


Barnaba Ney na Vanesa Wasisitiza mawifi wajipangeeeeeee


JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo

$
0
0
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF  Bwana Crescentius Magori akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  katika viwanja vya AICC mjini Arusha ambapo alifungua mkutano Mkuu wa wadau wa NSSF leo jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo muda mfupi baada ya kuwasili katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha AICC mjini Arusha leo ambapo alifungua mkutano wa nne wa wadau wa NSSF.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mages Mulongo, Naibu Waziri wa TAMISEMI Kassim Majaliwa, Waziri wa Kazi na Ajira Gaudencia Kabaka,Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Bwana Abubakar Rajabu na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa NSSF Bwana Crescentius Magori Picha na Freddy Maro.

DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

$
0
0
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi akisoma bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi kwa Mwaka 2014/2015 leo Bungeni mjini Dodoma.
 Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Paulina Mavunde akigawa kitabu cha Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujengaTaifa kwa Mwaka 2014/2015 leo
 Wabunge wakisoma Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa 2014/2015 leo.
 Mkuu wa Majeshi Jenerali  Davis Mwamunyange akiwa amesimama wakati akitambulishwa na Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda kabla ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi akisoma bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi kwa Mwaka 2014/2015 leo.Aliofuatana nao ni Maofisa wa juu wa Jeshi hilo wakifuatilia kikao cha bajeti ya wizara yao.
Baadhi ya maofisa waandamizi wa JWTZ wakifuatilia kikao cha bajeti ya wizara yao.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)   wakifuatilia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa 2014/2015 leo. Picha na Deusdedit Moshi. Mtendaji Mkuu wa Photo Solutions wawakilishi wa Michuzi Blog Kanda ya Kati Dodoma.

introducing Mojay & Kidube "Unaniumiza Roho"

MUALIKO WA SHEREHE ZA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIA NA UFUNGUZI WA UKUMBI WA KUDUMU WA SANAA.

$
0
0
Kila Tar 18 Mei Jamii husherekea siku ya Makumbusho Duniani, hapa Tanzania sherehe hizi Kitaifa zitafanyika Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar Es Salaam. Katika siku hii muhimu, Makumbusho ya Taifa inatarajia kuufungua rasmi Ukumbi wa Maonesho ya kudumu ya Sanaa.

Kutokana na umuhimu wa siku hii Makumbusho ya Taifa inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Makumbusho ya Taifa ili kujifunza mambo mbali mbali kupitia vitu na naarifa zinazothaminiwa na jamii zilizo hifadhiwa na Makumbusho.

Ufunguzi unatarajiwa kuanza saa 10 :00 jioni na  utapambwa na Kikundi cha Sanaa chaGODYKAOZYA& THE TONGWA ENSEMBLE kutoka Bagamoyo.

Kuanzia Tar 16 - 18  watu wote watapatiwa huduma za Kimakumbusho BURE.
Usikose fursa hii Muhimu kwa ongezeko la uelewa wako juu ya nchi yako.

Makumbusho ya Taifa  na Nyumba ya Utamaduni ipo Posta mtaa wa Shaaban Robert mkabala na chuo cha usimamizi wa Fedha(IFM)

Karibuni sana.
SIXMUND J. BEGASHE

MRATIBU WA MAANDALIZI

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 13.05.2014.

A gift for you--brand new content inside!

$
0
0
Brian Tracy's
Success Newsletter
For Personal Achievement and Time Management
A few days ago, I gave you the first chapter of my No Excuses! The Power of Self-Discipline book as a gift. Did you read it? If not, stop procrastinating and read it here!
Now I want to help you put the valuable lessons within the chapter to use, so I created a content-rich video to help explain those lessons in depth. 


 
This video is 8 full minutes of information that will help you AVOID failure, frustration, underachievement and unhappiness, so you can experience the pure joy of achieving any goal you set for yourself.

It breaks down the myths that you can't achieve great success from scratch – in fact, you'll learn otherwise: by implementing the tool of self-discipline and putting an end to its 2 biggest enemies (I reveal these in the video), you will be well on your way to the life you've always dreamed of.

I hope you've had a chance to look at the first chapter of my book No Excuses! The Power of Self-Discipline – and I hope you'll take this opportunity to view this powerful, complimentary video.


Every minute of every day, there's a battle going on inside of you between doing what is right, hard and of value, and doing what is easy, fun and of little or no value.

Which is winning now?

Take control and become a superior person whose life is full of success, achievement and victory, daily.
Here's to your success, starting now,




Brian Tracy

P.S. Be sure to get your gift – the first chapter of my No Excuses! The Power of Self-Discipline book Download it here.
P.P.S. This video is the tool you need 
to put your self-discipline into action now. 

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. MCH. PETER SIMON MSIGWA, (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015

$
0
0
MHE.  MCH.  PETER SIMON MSIGWA, (MB) 

MKUU WA MKOA WA TABORA,FATMA MWASA AZUNGUMZIA MAFANIKIO MAKUBWA YA WILAYA MPYA YA UYUI

bei ya madafu leo

President Kikwete Meets with UN-ICTR Registrar in Arusha

$
0
0
The Registrar of the United Nations International Criminal Tribunal for Rwanda Mr. Majola Bongani this week paid a courtesy call on the President of the United Republic of Tanzania H.E. Jakaya Mrisho Kikwete  at Mount Meru Hotel when the latter was in town to grace several meetings. 
During the meeting Mr. Majola, among others, thanked the Tanzania Government for its unwavering support to the work of the ICTR particularly at this time when it was coming to the close after 20 years of operation. The two also discussed several issues of mutual concern in relation to the Tribunal's Completion Strategy. 
In the picture President Kikwete is flanked to his right by Mr. Majola. Standing on the left is Mr. Danford Mpumilwa, Information Officer with the Tribunal. 

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI UYUI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA

$
0
0
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Ufuluma wilaya ya Uyui  ambapo aliwaambia wananchi hao Kilimo cha Tumbaku kiondoe umasikini na si kuongeza umasikini kwa mkulima.
======  ====== =====
Wakulima wa Tumbaku kata ya Ufuluma wamelalamikia kulazimishwa na viongozi wa vyama vya ushirika kuuza tumbaku yao katika vyama hivyo ,hata kama sio wanachama,na pia kutolipwa fedha zao kwa wakati.Kinana amewataka wakulima hao kutokukubali kusumbuliwa kuuza tumbaku yao katika vyama hivyo ambavyo baadhi yake vimejaa walaghai na wanyonyaji wa wakulima hao.

Amesema kuwa Wakulima wa zao hilo la tumbaku wamekuwa wakifanya kazi kubwa na ngumu,lakini hawafaidika na jasho la kazi yao,kutokana na kuanzishwa kwa vyama vingi vya ushirika ambavyo vipo kwa faida ya wajanja wachache,hivyo wakulima hao wasilazimishwe kuuza tumbaku yao kwa vyama vya ushirika.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Mh Fatma Mwasa aliongeza kuwa mnamo mwaka 2012 wakulima wa Tumbaku waliibiwa kiasi cha fedha shilingi Bilioni 16,kama vile haitoshi mnamo mwaka 2013 wakulima hao waliibiwa kiasi cha fedha shilingi bilioni 12 na umoja wa vyama vya ushirika,akabainisha kuwa kufuatia ubadhilifu huo mkubwa wa fedha kwa wakulima,mwaka huu tumbaku haitatolewa kienyeji kwa vyama hivyo mpaka wahakikishiwe fedha zao zitalipwaje.

Akabainisha kuwa imefika wakati wakulima wa Tumbaku wajitegemee,wawe huru na kuamua ni wapi wauze tumbaku yao na kwa bei waitakayo ni si kupangiwa na vyama vya ushirika,akaongeza kwa kusema kuwa Wakulima hao wasilazimishwe kuuza tumbaku yao kwa Vyama vya ushirika. 

Kinana amemaliza ziara yake wilayani Uyui leo  na kesho ataunguruma wilayani Sikonge mkoani Tabora.
 Wakazi wa Ufuluma wakishangilia na wengine wakifuatilia jambo kwenye mkutano uliofanyika leo kwenye kata hiyo ya Ufuluma,wilayani Uyui mkoani Tabora. 
Mbunge wa Jimbo la Tabora Kaskazini Ndugu Shaffin Mamlo Sumar akihutubia wakazi wa kata ya Ufuluma kwenye mkutano wa CCM uliofanyika Ufuluma,wilayani Uyui mkoani Tabora.
 Katibu wa NEC Itikadi,Siasa na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Ufuluma mapema leo jioni katika wilaya ya Uyui mkoani Tabora.
 Mwenyekiti wa CCM,Wilaya ya Uyui,Mussa Ntimizi akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kwenye mkutano wa hadhara katika kata ya Ufuluma,Wilayani Uyui mkoani Tabora.
 Sehemu ya baadhi ya Walimu kutoka sehemu mbalimbali wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipozungumza nao jioni ya leo mkoani Tabora
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana  akizungumza na Sehemu ya baadhi ya Walimu kutoka sehemu mbalimbali mkoani Tabora jioni ya leo,ambapo Walimu waliwasilisha changamoto zao mbalimbali,na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana aliyajibu papo kwa papo na mengine aliahidi kuyafanyia kazi na mengine aliyapatia majibu mapema iwezekanavyo.

PICHA NA MICHUZIJR-UYUI TABORA

PREPS IN TOP GEAR FOR 3RD EAC SECRETARY GENERAL’S FORUM FOR PRIVATE SECTOR, CIVIL SOCIETY AND OTHER INTEREST GROUPS: About 200 delegates to attend it in Entebbe, Uganda

$
0
0
cid:image003.png@01CED4CF.016FDC70
East African Community

About 200 delegates will attend the third East African Community Secretary General’s Forum to be held 11-12 September 2014 in Entebbe, Uganda.

The delegates will be drawn from the Partner States’ Private Sector Organisations (PSOs), Civil Society Organisations (CSOs), professional bodies, academia/universities, media, EAC organs and institutions, development partners and other interest groups.


The forum aims to provide a platform for regular dialogue between the EAC Secretary General and the Private Sector, Civil Society and other interest groups on how to improve the EAC integration process.

The Forum’s Regional Dialogue Committee met in Bujumbura, Burundi over the week end to review the preparations and update Partner States on the forthcoming event. The meeting was second in series after Mwanza, Tanzania, in February 2014.


The EAC Deputy Secretary General in Charge of Productive and Social Sectors, Hon Jessica Eriyo, called for greater collaboration, teamwork and support from all stakeholders to ensure the successful planning and execution of the third Secretary General’s Forum.

‘’The first preparatory meeting addressed a lot of issues and strategies  which calls for team work  and collective responsibility,’’ Hon. Eriyo said in her opening remarks read out by the EAC Director for Social Sectors, Mary Makoffu.

The meeting was co-chaired by Mwangi Kahenu, Senior Assistant Director in the Ministry of EAC, Commerce and Tourism Republic of Kenya and Ms Lilian Awinja, Manager Membership Development of the East African Business Council (EABC).

Kenya is the current rotational chair of the EAC Summit whereas the EABC is tasked to lead organization of this year’s EAC Secretary General’s Forum. The meeting proposed, among others, formation of four sub-committees to ensure smooth organisation of the Forum.

These are: Protocol and Security; Publicity and Media; Logistics, Administration and Exhibitions and; Technical Committee. The theme for this year’s Forum is: EAC: My Home, My Business.

The first EAC-SG Forum was held in Dar es Salaam, Tanzania, in December 2012 and the second in Nairobi, Kenya in October, last year. The delegates later conducted a sensitization and community service at Buyenzi Market in the centre of Bujumbura City.


The two-hour sensitization covered opportunities offered for the people of East Africa under the regional integration process. The EAC delegates and Buyenzi local community later carried out cleaning exercise which was led by the Burundi EAC Ministry Permanent Secretary Ambassador Jean Rigi.

The local community called for more such sensitisations and community services which, in their view, demonstrated solidarity and a true commitment of the people of East Africa toward regional integration process.
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live




Latest Images