Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110130 articles
Browse latest View live

Dual citizenship is Good for Tanzania - IDDI SANDALY

$
0
0

Tanzania’s constitution is one of the surviving few that make a natural born citizen revoke his/her citizenship upon naturalization in another country.  Ironically, foreign nationals from other countries can naturalize as Tanzanians and maintain their origin country’s citizenship, but the same is not permitted for natural born Tanzanians. 


My fellow Tanzanians need to know this:


A person could be born in Tanzania, then leave Tanzaniato go to England, and then become a British citizen.  If something goes wrong, while in Britain, he/she could be stripped of the rights he/she is enjoying at the moment and be deported to his/her home country.  In this case, back to Tanzania. This tells you that the citizenship you obtained by naturalization is temporary.  And the only citizenship that matters is the one you get at birth.


It's very surprising to see such a paramount matter being politicized while disregarding the scientific proof of tremendous benefits brought about it. I can guess that some of our brothers and sisters in Tanzania are a bit afraid of the influx of foreigners seeking Tanzanian citizenship.  Actually the topmost benefits in favor of the country are from Tanzanians living abroad who would invest more “back home” if they remain citizens.  


In the last decade or so, Mexico, Ecuador, Colombia and the Dominican Republic,  suppliers of some of the fastest-growing immigrant groups in America, have allowed their nationals to become citizens elsewhere without losing their original nationality. New leaderships in South Korea and Indiahave expressed support for the same idea. Australians in the United Stateshave been pressuring their government to allow dual citizenship so they can become Americans without losing their native status. Economic advantage is the main motivation here: avoiding the stiff estate taxes that the U.S. government imposes on foreigners operating in the United States. There is a large degree of evidence of naturalized UK and US citizens operating in official capacities in their former country of origin.


As society becomes more global and integrated, the value of Dual Citizenship and a second passport is increasingly becoming a necessity. The comforts of being a Canadian or European Citizen, at the same time maintaining one's original nationality, provides an individual with an abundance of benefits and set of liberties. Economically, Tanzaniastands to benefit. Dual citizenship provides access to financial investment rights (property, securities, retirement, social security benefits, etc.). British citizenship for instance, provides access to adequate medical benefits, including potentially free healthcare, especially for those reaching the age of retirement. Access to educational benefits, including higher education, are all possibilities within the reach of Tanzanians who enjoy dual citizenship. 
The need for international assistance has never been so critical. The need to seek, identify and maintain individuals whose expertise and experiences transcend the day-to-day norms of the Tanzanian society is a responsibility which all Tanzanians cannot afford to ignore. And we must also maintain such talent within Tanzania.

 The development and sustenance of a strong middle class is essential to attaining stability and growth in Tanzania. Dual citizenship has the ability to bring this about. The future seems to provide a great promise. Dual citizenship will help to democratize the politics of Tanzania, without a citizen in fear of losing citizenship of the country of birth. 
Democracy indeed, is built on informed citizen participation, especially for those who have lived and continue to practice it in developed countries. The ideal of Democracy is meaningful participation of an engaged and informed citizenry. Dual Citizenship, for all including registered citizens, is without doubt, one of the ways to foster Tanzania's future economic development. 
The financial goals of the country can also be positively impacted by Dual Citizenship. Consumption brings about demand for more, and supply and demand is one of the most basic theories of economics and the core of any market economy. It is also not the role of the Diaspora to replace government in providing basic services to its people. Yet the Diaspora is helping the economy. 
Remittances have been criticized as having a negligible impact on national development with no noticeable impact except for consumption. Regarding the question of remittances providing delivery of basic services or building needed infrastructure, I assert that indirectly it does. Such critics are missing an essential element


- Household consumption grows economies

 - Shopping creates jobs in all sectors of the country

The World Bank estimated that in 2012, remittances totaled $250 million in Tanzania. Nearly 82 percent of those surveyed said they sent money to Tanzania, of which 84 percent was for family members, 3 percent for friends, and 13 percent for investments. This further strengthens the push for dual citizenship as Tanzanians in the Diaspora have a vested interest in the wellbeing and security of the country.  Where not only their relatives reside, but also where their money is sent and at times invested.


While there is proven evidence that Dual Citizenship’ can develop a country; I should add, it is a proven fact that ideas and innovation are fuels that drive the economies of industrialized and developed countries worldwide. In Tanzania, our orientation, education and training are primarily political and need new ideas and innovation. If bringing people from overseas can transform the Tanzanian economy, then we already have what we desire. 


We believe this issue of dual citizenship should not come down to job availability because Tanzanians in the Diaspora who want to go back home are not going back home to take jobs. There are not enough jobs in Tanzania to absorb everyone. The majority of Tanzanians want to go back home to establish businesses. So, my message to my fellow Tanzanians is that this issue is not about jobs; it’s about the development of our country.


The arguments against dual citizenship continue on front pages of Tanzanian newspapers, where one of the writers cautioned Tanzanians that dual citizenship is too “important of a policy issue for Tanzaniato rush the process”. Others claim that “Tanzania does not have reliable statistics on its Diasporas, and its embassies abroad do not keep comprehensive databases. So that in the absence of verifiable numbers, the estimates range from under 1.5 million to over 2.5 million. Without an accurate sample size, it is difficult to capture how many Tanzanians actually naturalized in othercountries or have children who were born outside of Tanzania. Why is this important? The floodgates in Ghana, Kenya, Ugandaand other African countries have not been deluged by requests from Tanzanians.
None of them, including Ghana, Uganda and Kenya, have been flooded with requests. The only people who really desire Tanzanian citizenship are those with emotional ties to the country.  Is an exact number now necessary before we can begin to deliberate dual citizenship? Are we still going to wait until all things become equal and by some divine providence, statistics, and data alignment, we become a number in a larger data set to be able to claim dual citizenship?  And when will this occur, a year from now, ten years, a hundred? We are in the midst of drafting a new constitution!  One that hopefully will not take us back to what was before. We cannot wait for statistics and numbers that may or may not be possible.
The objections continue that it is “impossible to verify how many people would immediately be affected.”  But in Tanzania we do know how many foreign individuals become naturalized citizens and the ease with which they acquire Tanzanian citizenship. Why would other countries not know the exact amount of Tanzanians who have naturalized in theirs? We know that foreign nationals from other African countries can easily naturalize as Tanzanians and maintain their original country citizenship, but the same is not permitted for Tanzanians born in Tanzania.

So a Ghanaian can live for five years in Tanzania, and as the requirement states ‘be of good moral character” and then become a naturalized citizen. We also know that, unlike present day Tanzania, dual citizenship with Ghanastill affords Ghanaians equal rights no matter the circumstances of their birth and whether or not they reside in their place of origin. And they retain their citizenship even when they become naturalized Tanzanians.

Opponents of dual citizenship propose that there “exists the fear that dual citizenship will increase in Tanzaniaand that another special, privileged class of elites will be created by law.” This is an absurdity. So would those against dual citizenship welcome back diasporic Tanzanians if they returned educated? Are Tanzanians to live in other countries and not take advantage of the opportunities for advancement that exists? Given the slowly growing educational system in our country at present, are Tanzanians at home so afraid that they would rather have an uneducated citizenry than dual citizens who can help propel the country forward?Furthermore opponents cite, that complications may arise in prosecuting an official/professional who allegedly embezzles government money or commits crimes and flees to the sanctuary of the country where he/she has citizenship, as another solid reason why Tanzania should not recognize dual citizenship.I don’t agree.  Tanzania is a country with laws and a stable judicial system. Anyone who commits crimes will have to face the law to its fullest. I am sure those Ghanaians and Chinese who are naturalized Tanzanian citizens are also subjected to these laws, so will be the Tanzanians born with a dual citizenship. 
Tanzanialeaders and fellow Tanzanians, we all know that nationals who acquire another citizenship do so for economic reasons, and that does not make them less nationalistic. Nothing can change your birthright.


Many Tanzanians of the Diaspora ask to be given the opportunity to reclaim or retain their status in the country of their birth as a means of fostering development at home.  What needs to be noted is that those with dual citizenship have the potential to transform the country but can not do so with the current limitations regarding their citizenship status.  “They are born Tanzanians [as are] their children. They sometimes encounter problems with Tanzanian immigration when they travel [because of] the passports they carry. They are just citizens by paper in whatever countries they reside, but they consider Tanzaniatheir own birth place.


I argue that Tanzanians should be receptive of their brothers and sisters who left the country to seek opportunities in other countries, and because of circumstances, took up citizenship in those areas but still want to maintain their original status as Tanzanians.


As we commemorate 50 years of union, let us all, Tanzanians at home and Tanzanians abroad, Tanzanians in high places and Tanzanians in low places, renew our love for and dedication to our country by executing individual covenants with Mama Tanzania, committing that our actions and inactions will always solidify, not weaken, the bulwark of peace and progress in our nation for many more decades.



Iddi Sandaly

isandaly@watanzaniadmv.org






PANONE FC WAFANYIWA SHEREHE BAADA YA KUTWAA UBINGWA WA MKOA WA KILIMANJARO

$
0
0
Wachezaji wa timu ya Panone fc wakisalimia mara baada ya kutambulishwa wakati wa hafla ya kuwapongeza baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa.
Katibu wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Mohamed Musa akizungumza jambo wakati wa hafla ya kuwapongeza wachezaji wa timu ya Panone fc mara baada ya kutwaa ubingwa wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mwamuzi Hafidh Mshery akisalimia  wakati wa hafla ya
kuwapongeza wachezaji wa Panone fc.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

KINANA AINGILIA KATI MGOGORO SUGU WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA MWEKEZAJI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ameingilia kati Mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa muda mrefu katika kijiji cha Mawenzusi,wilaya ya Sumbawanga mjini.Mgogoro huo uliohusu Wananchi na anayedaiwa kuwa Mwekezaji inaelezwa kuwa maamuzi yalikwishatolewa na Mh.Rais Jakaya Kikwete,kuwa Wananchi wapewe kipao mbele na Mwekezaji apewe kiasi,lakini mpaka sasa hakuna lililotekelezwa kufuatia Watendaji waliokuwa wamepewa dhamana ya kulisimamia jambo hilo kusua sua na hatimaye kutopatiwa ufumbuzi wa haraka.

Kinana yuko mkoani humo kwa ziara ya siku sita ya kuangalia uhai chama,miradi na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi

Viingilio Tamasha la Pasaka hadharani,kufanyika uwanja wa Taifa

$
0
0
 Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama akizungumza na baadhi ya Wanahabari kwenye moja ya mikutano yake kuhusiana na tamasha la pasaka.
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki ilitangaza viingilio vya tamasha hilo jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP  ni shilingi 10,000.
 Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha zoezi la mgeni rasmi katika tamasha hilo kwani hivi karibuni watakamilisha zoezi la upigaji kura kumchagua.
Msama alisema mchakato wa kuelekea katika tamasha hilo litakalofanyika jijini Dar es Salaam Aprili 20 na baadaye mikoa mingine saba hapa nchini.
 Aidha Msama alitoa wito kwa wakazi wa Dar es Salaam kujiandaa na tamasha hilo ipasavyo kwani lina mlengo wa kurudisha mapato yanayopatikana na kuyapeleka katika maeneo matatu ambayo yanawahusu, yatima, walemavu na wajane.

 Msama alisema mipangilio yake ya kuwawezesha wenye uhitaji maalum ni kuwajengea kituo kitakachokuwa katika eneo la Pugu nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ambacho kitajulikana kama Jakaya Mrisho Kikwete, rafiki wa wasiojiweza.
 

TPA yakabidhi msaada wa madawati 110 kwa Mkoa wa Lindi.

$
0
0
 Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini. 
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) na Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakati wa kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa shule za mkoa wa Lindi hivi karibuni.
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakifurahia jambo wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
 Wasanii wa kikundi cha ngoma na maigizo cha kijiji cha Mahumbika, Lindi wakitoa burudani wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
 Msanii wa kikundi cha ngoma na maigizo cha kijiji cha Mahumbika, Lindi akitoa burudani wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
 Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela akisoma hotuba kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kabla ya kukabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila hivi karibuni. 

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imekabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa shule za Mkoa wa Lindi katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini. Msaada huo wa madawati umekabidhiwa kwa shule hizo hivi karibuni na mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Absolom Bohella mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila.

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.

$
0
0
Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas Shirima akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizika Machi 7, mwakani (2015). Mradi huo mpaka unakamilika utagharimu kiasi cha fedha shilingi Bilioni 30.Pamooja na kutembelea mradii wa maji safi,Kinana pia alitembelea mradi wa maji taka wilayani humo mapema leo.Ndugu Kinana anamaliza zaira yake leo ya siku sita mkoani Rukwa.
Sehemu ya eneo hilo ambapo litajengwa tanki la lita milioni moja za maji safi na kusambazwa Wilaya ya sumbawanga na vijiji mbalimbali mkoani Rukwa.
Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas Shirima akimuelekea jambo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuhusu ujenzi wa eneo la kisima cha kuchujia maji safi na hatimaye kuyapeleka kwenye matanki na baadaye kusambazwa sehemu mbalimbali  za wananchi mkoani Rukwa.

MAMIA WA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KATIKA USAILI WA SHINDANO LA KUONYESHA VIPAJI VYA KUIGIZA LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS MUDA HUU

$
0
0
Jukwaa la Majaji likiwa tayari Kwai shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambalo linaanza leo Mkoani Mwanza Katika Kanda ya Ziwa.
 Mafundi Mitambo wakiwa Tayari kwa Kazi 
 Kundi la Kwanza la Vijana waliojitokeza katika Usaili wa Shindano la Kusaka Vipaji Vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa kwenye foleni tayari kwa zoezi la kuonyesha vipaji kuanza.
Kundi la Kwanza la Vijana Waliojitokeza katika Shindano la Kuonyesha Vipaji vya Kuigiza Tanzania Lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa kwenye chumba cha kusubiria.Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

MICHANGO IMESHINDIKANA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO IMEBIDI ACHOMWE MOTO MADISON, WISCONSIN

$
0
0
Mike Lukindo enzi ya uhai wake.

Watanzania wa Wisconsin wanapenda kutoa shukurani kwa wote waliojaribu kuokoa kutokuchomwa moto kwa ndugu yetu, mpendwa wetu Mike Lukindo na pamoja na jitihada zote zilizofanyika tunasikitika kuwataarifu kwamba mpendwa wetu ilibidi achomwe moto na jana Ijumaa April 4, 2014 majivu yake walikabidhiwa familia yake kwa mtoto wa kwanza wa marehemu kwenda kuchukua majivu hayo. Mpaka mazishi yafanyike zilikua zinahitajika $6,000 pamoja na michango ya sisi tuliopo Madison, Wisconsin haikuweza kufikia idadi iliyokua inahitajika.

Watanzania wa Wisconsin wanawashukuru vyombo vya habari ndani na nje ya Marekani vilivyosaidia kusambaza habari ya ndugu yetu, mpendwa mwenzetu na Mtanzania mwenzte mpaka habari kuwafikia ndugu zake Tanzania.

Shukurani za pekee kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani hususani Mhe. Balozi Liberata Mulamula kwa mchango waliotoa na mara kwa mara Balozi kupiga simu kufuatilia maendelea ya msiba.

Sisi Watanzania wa Wisconsin kwa niaba ya familia tunasema asante na mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atawazidishia, Asanteni.

JAJI AUGUSTINEO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI

$
0
0
Makamu mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani akiongea jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee, Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The  Open Society Initiative  For  Eastern African Tanzania  (OSIEA). Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mjadala huo, Profesa Chris Maina, pamoja na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Ayoub Rioba.
Kamishana wa zamani wa Tume ya Uchaguzi  ya Zanzibar - ZEC, Dkt. Nassor Seif Amour akitoa ufafanuzi  jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee, Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The  Open Society Initiative  For  Eastern African Tanzania  (OSIEA).  Pembeni ni Makamu mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani na Mwenyekiti wa Mjadala huo, Profesa Chris Maina.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Ayoub Rioba akitoa maelezo jinsi vyombo vya habari vinavyoshiriki katika mchakato wa kupata katiba mpya, wakati wa mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee, Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The  Open Society Initiative  For  Eastern African Tanzania  (OSIEA).
Washiriki walioshiriki katika mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee, Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The  Open Society Initiative  For  Eastern African Tanzania  (OSIEA).

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO WA ANGLIKANI MJINI DODOMA

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiweka shada la maua katika kaburi la Askofu Godfrey Mhogolo wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika, yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu mjini Dodoma Aprili 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

$
0
0
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia) akisisitiza jambo wakati kisoma risala siku moja kabla ya siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Na wa kwanza kushoto ni Mjumbe wa Tume hiyo ambaye pia ni Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki John Joseph Mkwawa.
Baadhi ya waandishi wa habari na wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati akisoma risala siku moja kabla ya siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze ikiwa ni utaratibu uliwekwa na tume hiyo kabla ya uchaguzi. (Picha zote na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE

$
0
0
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Dkt. Ali Mohamed Shein akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa Mkutano wa kufunga Kampeni za CCM,zilizofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze,tayari kwa kufunga Kampeni za CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete na Mkewe Bi. Arafa Kikwete wakiwapungia mikono wananchi wa Jimbo la Chalinze waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze wakiwasili  kwa ajili ya  kufunga Kampeni za CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Dkt. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze,leo April 5,2014 tayari kwa kufunga kampeni za CCM.Kulia ni Mke wa Ridhiwani Kikwete,Bi. Arafa Kikwete.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Dkt. Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa kufunga Kampeni za CCM,zilizofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze.
Umati mkubwa wa wananchi wa Kijiji cha Kikaro,Kata ya Miono ndani ya Jimbo la Chalinze wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Kikaro,Miono ndani ya Jimbo la Chalinze,leo tayari kwa kufunga kampeni za CCM.Picha zote na Othman Michuzi.

ngoma azipendazo ankal

$
0
0

Ray C ft. AT anakupa "Mama Ntilie"

JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL

$
0
0
 Kikosi cha timu ya watoto wa mitaani kabla ya mchezo huko Rio de Janeiro, Brazil
 Kipa wa Tanzania akiokoa mkwaju
 Furaha baada ya ushindi.
Kupata chanzo na habari zaidi BOFYA HAPA

Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetinga fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuichapa Marekani mabao 6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali uliochezwa jana (Aprili 5 mwaka huu) jijini Rio de Janeiro, Brazil.

Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.

Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi. Mechi hiyo inachezwa leo (Aprili 6 mwaka huu) ambapo Burundi imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga Pakistan mabao 4-3 katika nusu fainali ya pili.

Mchezo huo wa fainali unachezwa uwanja mkongwe na maarufu wa klabu ya Fluminense katikati ya Jiji la Rio de Janeiro huku mgeni rasmi  akiwa Waziri wa Fedha wa Uingereza, George Osborne.

Katika mechi ya kwanza katika kundi B la michuano hiyo, Tanzania ilicheza na Burundi na kutoka sare ya mabao 2-2.

BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO

SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU

$
0
0
Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika)  akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo  ambayo itamuwezesha  mtanzania yeyote kuweza kupimamacho na kupewa miwani kwa gharama nafuu, (wapili kulia ) ni Rasi wa Chama cha wataalamu wa macho nchini (TOA) Frank Magupa  (wapili  kushoto) ni Ofisa Mkazi wa Shirika  la   Brien Holden  Vision Institute  hapa nchini Eden Mashayo, wakwanza kushoto ni mratibu wa mradi huo Rebecca Kasika.uzinduzi huo ulifanyika  katika viwanja vya Free Market jijini Dar es Salaam.

 Rais wa Chama cha Wataalamu wa Macho hapa nchini(TOA) Frank Magupa  (kushoto)akiongea wakati wa uzinduzi wa miwani ya Kibo  jijini Dar es Salaam, ambapo huduma za macho zitatolewa hospitali za manispaa  za Ilala ,Kinondoni na Temeke .Wananchi watapata fursa ya kupima macho na kupewa miwani kwa bei nafuu ambayo kila mtu ataimudu .Katikati  ni Ofisa Mkazi wa Shirika  la   Brien Holden  Vision Institute  hapa nchini Eden Mashayo
 Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa watoa huduma ya kupima macho wakati alipotembelea banda la Ilala Eye Centre
 Rais wa Chama cha Wataalamu wa Macho hapa nchini(TOA) Frank Magupa  (kushoto)akimwelezea  ubora wa miwani ya Kibo Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu  katika hafla ya uzinduzi wa miwani ya Kibo 
 Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa miwani aina ya Kibo yenye gaharama nafuu kwa wananchi,sense ya 2012  inaonyesha kuwa mkoa  wa Dar es Salaam,unawakazi zaidi ya Miliono Nne, na takwimu ya zilizotolewa na Mratibu wa Afya wa Dar es Salaam,kuanzia mwaka 2010 hadi 2013 zinaonyesha kuwa jumla ya wananchi 39,863. Wanaishi na ugonjwa wa Macho. Shirika la Holden Vision Institute na Taassisi ya wanaoptometria hivi karibuni walizindua miwani aina ya Kibo ambayo gaharama yake ni nafuu
 Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu akiongea na wananchi waliohufika katika uzinduzi wa miwani ya Kibo

Ofisa Mkazi wa Shirika  la   Brien Holden  Vision Institute  hapa nchini Eden Mashayo ,akiongea kuhusioana na utoaji wa huduma za kupima macho na kupewa miwani  ya Kibo


Wafanyakazi wa Shirika lisilo la kiserikali la Brien Holden  Vision Institute  wakiwa ,katika picha ya pamoja na mgeni rasmi, Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens .Baada ya kumalizika kwa uzinduzi wa miwani ya Kibo , uliofanyika katika viwanja vya Free Market jijini Dar es Salaam.




TBC YAKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI

kifusi chakwamisha biashara bagamoyo

$
0
0
Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwa kutojali uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli  hayo. Wametoa mfano wa Kifusi kilichomwagwa zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli. Picha na Chris Mfinanga

updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam

$
0
0
 Kituo cha Ubungo mwisho kinavyoonekana leo
 Ubungo mwisho
 Ubungo stendi
 Daraja la Manzese bado linadunda
Muonekano wa barabara hio kutokea Magomeni Mapipa kwa Macheni

JUST IN: HAYA NDIO MATOKEO YA AWALI YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO

$
0
0
Baadhi ya washiriki wakielekezwa cha kufanya mara baada ya kupita kwa majaji
 Majaji wa mashindano ya kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa makini kutazama kipaji kilichokuwa kikionyeshwa na mmoja wa washiriki (hayupo pichani) wakati alipofika kuonyesha kipaji chake, Kushoto ni Jaji Mkuu Roy Sarungi, akifuatiwa na Ivon Chery (Monalisa) na Single Mtambalike (Rich Rich)
 Mmoja wa washiriki waliofika kwaajili ya kuonyesha vipaji akiwa mbele ya meza ya majaji akionyesha uwezo wake wa Kuigiza wakati wa mashindano ya Kuonyesha Kipaji cha kuigiza
 Mmoja wa kijana mwenye umri mdogo kabisa akivalishwa namba kwaajili ya kushiriki kwenye shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambapo kwa siku ya leo limefunga sehemu ya usaili
 Baadhi ya vijana waliofika leo kwaajili ya kushiriki katika shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania
 Kipaji.
Viewing all 110130 articles
Browse latest View live




Latest Images