Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109921 articles
Browse latest View live

Institute of Management and Entrepreneurship Development

$
0
0
  

RETIREMENT PLANNING COURSE

A unique opportunity for employees to develop Entrepreneurship, Financial Literacy and Retirement Planning Skills. The longer prior to retirement you take this course, the more you will benefit.

Approach and Contents
The course is delivered by highly experienced facilitators using experiential methods. Participants are guided to recognize opportunities and challenges of retirement; their talents and other tangible and intangible assets and liabilities; alternative  post-retirement “careers”;  to choose when to retire; and to continuously build their asset base, streams of income and fulfilling lives after retirement. They are exposed to good practices in starting and running a business, personal finance and health management; expected pension benefits and investment schemes tailored to retirees. They leave with self awareness, a Retirement Vision and look forward to their exit from employment.

Dates, Fee and Registration
24th - 27th March, 2014, Morogoro. Tuition is Tshs 500,000/= per person. Apply: info@imedtz.org or 0718-942314 (Ulrich) and
0754-548248 (Hellen) or visit us at Mwalimu House, 7th Floor, Uhuru Road, Ilala, Dar es Salaam or www.imedtz.org to pick the Registration Form.

We also offer Certificate and Diploma courses in Entrepreneurship and Business Management registered by NACTE

UJUMBE WA EU EIB WATEMBELEA WIZARA YA MAJI LEO

$
0
0
Ujumbe kutoka Umoja wa Ulaya kupitia European Investment Bank (EIB) wiki hii umetembelea Wizara ya Maji na kukutana na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe ofisini kwake. 

Ujumbe huu uliongozwa na Makamu Rais wa EIB, Pim van Ballekom kutoka Luxembourg akifuatana na wawakilishi wengine Richard Willis, Catherine Colllin, Cristian Mejia-Garcia na Anne Claire Dauvier, Adam Grodzicki.

 EIB inatoa msaada kwa miradi ya Sekta ya Maji nchini katika kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo ambayo inaendelea hapa nchini ikiwemo katika miji ya Mwanza, Bukoba na Musoma.
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na Makamu Rais wa EIB, Pim van Ballekom.
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na wageni kutoka EU EIB
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akishuhudia Makamu Rais wa EIB, Pim van Ballekom akisaini katika kitabu cha wageni.
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akisalimiana na Balozi wa EU nchini Tanzania Filberto Sebregondi.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 07.03 .2014

Article 19

KIONGOZI UVCCM AFUNGA TAWI LA CHADEMA NA KUPANDISHA BENDERA YA CCM-LUSHOTO

$
0
0
Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko amefunga tawi la Chadema katika Kijiji Cha Lukozi na kupandisha Bendera ya Chama Cha Mapinduzi kutangaza Ufalme mpya wa Chama hicho cha siasa.

Tukio hilo limetokea jana tarehe 6th March 2014 katika kijiji cha Lukozi, wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga, ambapo sambamba na kuasisi tawi hilo la Chama Cha Mapinduzi pia kiongozi huyo wa UVCCM ameingiza wanachama wapya 206 ambapo wengi wao walikuwa ni wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Mjumbe huyo wa Baraza Kuu la Taifa la UVCCM, alifungua mashina sita yakiwemo ya Manyara, bodaboda, n.k pia alifanya vikao vinne vya ndani ambapo alizungumza na wanaCCM juu ya hali ya Uimara wa Chama na kuhoji kasi ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika Kijiji hicho ndani ya Wilaya ya Lushoto pamoja na kufanya mkutano wa hadhara ambao ulihudhuriwa na wananchi wengi wa Lukozi.

Pamoja na vikao hivyo lakini pia Husna alitembelea vikundi vya ujasiriamali vya  akinamama pamoja na kambi ya JUDO ya Vijana wilayani Lushoto na kujadili nao Changamoto wanazokutana nao na kushirikiana nao kuzipatia ufumbuzi.

Husna anafanya ziara za kawaida katika Mkoa mzima wa Tanga katika kuhamasisha Vijana kujiunga na Chama Cha Mapinduzi pamoja na Jumuiya ya Umoja wa Vijana.
Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga,Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko akikabidhi kadi UVCCM kwa mmoja wa vijana wa kambi ya JUDO ya Vijana wilayani Lushoto.
jumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga,Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko akipandisha bendera ya CCM kwenye moja ya mashina ya chama hicho.


MEGATRADE YAVIPIGA JEKI VILABU VYA POLISI KILIMANJARO NA MACHAVA FC VYA MJINI MOSHI

$
0
0
Meneja masoko wa kampuni ya Megatrade (T) Ltd,Goodluck Kway akimkabidhi mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama Mpira ikiwa ni sehemu ya msaada kwa timu ya soka ya Machava fc inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro.shoto kwake ni Meneja mauzo wa Kampuni ya Megatrade(T)Ltd kanda ya kaskazini Edimund Lutaraka.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akimkabidhi jezi nahodha wa timu ya Machava ,Dickson Muganda.Jezi hizo zenye thamani ya kiasi cha sh Milioni 3 zimetolewa na kampuni ya Megatrade ikiwa ni sehemu ya msaada kwa timu hiyo inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro.
Meneja masoko wa kampuni ya Megatrade (T) Ltd,Goodluck Kway akikabidhi hundi ya sh Milioni 3 kwa kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Robert Boaz ikiwa ni sehemu ya msaada kwa timu ya soka ya Polisi Kilimanjaro inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro.shoto kwake ni Meneja mauzo wa Kampuni ya Megatrade(T)Ltd kanda ya kaskazini Edimund Lutaraka.

Diploma ya Uuguzi kwa Njia ya Masafa

American People Partner with Dar Teknohama Business Incubator to Pilot Program to Enhance Technological Skills for Tanzanian Youth

$
0
0
The United States Department of State in partnership with the Dar Teknohama Business Incubator (DTBi) and CoderDojo launched a two-month pilot program to teach 50 primary school-aged youth 21st century computer technology skills through a new initiative called afriCoderDojo. In the photo the DTBi Chief Executive Officer Eng. George Mulamula speaks to the audience on launching the programme held yesterday at the COSTECH Building in Dar es Salaam, Tanzania. The program is first of its kind in Tanzania and Africa, and currently 17 schools of Tanzania have been enrolled with the program. Also in the picture is a Shree Hindu Mandal students Abel Kamete (1st left) and Najma Aboubakar (2nd left) witnessing.

On March 5, the American People through a partnership between the U.S. Department of State, the Dar Teknohama Business Incubator (DTBi), and CoderDojo launched a two-month pilot program to teach 50 primary school-aged youth 21st “afriCoderDojo.” The launch took place at the DTBi offices located in COSTECH Building in Dar es Salaam.

The “afriCoderDojo” pilot is part of a pan-African initiative to teach young people computer coding by developing websites, mobile phone applications, computer programs, and electronic games.

The pioneering program was conceived in response to the fact that, despite the continent of Africa’s rapid growth of technology and innovation sectors characterized by increased usage of information communication technology, training on coding, the language of computer programming, and basic skills in technology development, were lacking across the continent of Africa.

According to DTBi Chief Executive Officer, Eng. George Mulamula the programs aims at building a community of Tanzanian youth who will develop creative applications and programs with entrepreneurship orientation hence become future job creators and solvers of community problems through ICT.

Based on the global open-source CoderDojo movement, “afriCoderDojo” relies on a network of experienced partners and volunteers such as DTBi to promote the basics of coding while having fun. This unique partnership reflects the U.S. Department of State’s commitment to promoting internet and communications technology educational opportunities.

The “afriCoderDojo” inaugural session included a short lesson on building a Scratch-based computer game and a live streamed learning session with a CoderDojo master mentor from Ireland. A second pilot of afriCoderDojo takes place concurrently in Lagos, Nigeria.

JhikoMan & Afrikabisa Band - Europe Tour 2014

$
0
0
Jhikoman, Tanzania´s great Reggae Ambassador to represent Africa…SUNDAY MAGAZINE - Nairobi, KENYA Having internationally toured, Jhikoman and the Afrikabisa band has performed in well-known international music festivals such Mela in Oslo, Norway, World Village festival / Maalma Kylassa in Helsinki, Finland; Exeter Respect Festival in Exeter City-Devon UK and locally at ZIFF- Zanzibar International Film Festival, and Sauti za Busara in Zanzibar as well as Bagamoyo International Art Festival.

This true son of Africa is honoured at home and abroad and has earned himself abundant recognition, “No more bloodshed for our liberation…to free our own minds is the last and permanent solution “ with this message to the world and having been granted audience to perform at recognized International festivals such as The International African Festival Tübingen and the 1st African Tourism Exhibition tradefair Germany, Afrikabisa Band under leadership of Ras JhikoMan- Tanzanian Singer/composer base in Bagamoyo,Tanzania wish to make use of this opportunity to thrill fans in Europe this Summer 2014.

To meet it´s target, the Band is therefore soliciting for sponsorship and support.

For more details Please contact: jhikoman@gmail.com or http://www.jhikoman.com 
Call: +255 787670714

UJUMBE WA LEO

WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA

$
0
0
Wahamiaji Haramu hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo lililokuwa limebeba matenga ya Nyanya.
 Kiongozi wa Wahamiaji Haramu,akiwagawia wenzake mikate  ilionunuliwa na wanahabari waliokuwepo kwenye tukio hilo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoani humo.
 Kiongozi wa Wahamiaji Haramu,akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na sakata lao la kukamatwa nchini Tanzania,anasema wamesafiri nchini kwao Ethiopia mpaka Tanzania kwa siku 21 
 Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa ACP Ramadhani Mungi akizungumza na Waaandishi wa habari mapema leo mchana,kwenye makao ya Polisi ya mkoani humo,akithibisha kukamatwa kwa wahamiaji haramu hao wakiwa katika roli lenye usajili wa namba T 342 AJU likiwa linaendeshwa na dereva Mbega Ally (37) mkazi Tanga wakitokea nchini Ethiopia kuelekea nchini Afrika Kusini.
 Roli lenye usajili wa namba T 342 AJU likiwa linaendeshwa na dereva Mbega Ally (37) mkazi Tanga ndilo lililotumika kuwabeba wahamiaji hao.
 Matenga ya Nyanya ambamo Wahamiaji hao walikuwa wamekaa.PICHA NA MICHUZIJR-MICHUZI MEDIA GROUP-IRINGA
=======  =======  ======

WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI

Na Denis Mlowe,Iringa

JESHI la Polisi mkoa wa Iringa limefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 46 kutoka Ethiopia waliokuwa wakielekea nchini Afrika ya Kusini.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa ACP Ramadhani Mungi amethibitisha kukamatwa wahamiaji hao wakiwa katika roli lenye usajili wa namba T 342 AJU likiwa linaendeshwa na dereva Mbega Ally (37) mkazi Tanga..

Mungi alisema wahamiaji hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo.

“Jeshi la polisi lilipata habari za kiintelejensia kuwa kuna roli limebeba wahamiaji haramu vijana wakajipanga na kufanikiwa kuwakamata wakiwa katikakati matenga ya nyanya yaliyopangwa kwa pembeni na na kufanikiwa kuwakamata vijana hao 46 akiwemo mtoto wa miaka 17” alisema Mungi.

Alisema kuwa dereva wa gari hilo anashikiriwa na jeshi la polisi kwa mahojiano zaidi na kusema baadhi ya Waethiopia hao 6 kati yao wana hati ya kusafiria (passport).

Katika hali kuonyesha ukarimu kwa wageni hao haramu waandishi wa habari walioko katika kampeni za jimbo la Kalenga wa mkoa wa Iringa na nje ya mkoa waliwapatia msaada wa vyakula wahamiaji hao baada ya kuonyesha wanakabiliwa na njaa kali na kiu ya maji.

Waandishi hao wakiongozwa na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Iringa (IPC), Frank Leonard walichangishana na kupatikana kiasi cha shilingi elfu 50 na kufanikiwa kuwapatia vyakula hivyo.

Article 11

AFISA WA OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZIA UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA,MKOANI IRINGA.

Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.

$
0
0

















Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .

(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA).
 
Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.

Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.

Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu tunalotakiwa kufanya kwa sasa ni kuimarisha na kuboresha Muungano ili tuweze kupiga hatua za kimaendeleo.

“Hatuna budi kuendelea kuuimarisha muungano uliopo ikiwa ni kichocheo cha maendeleo, tumeona mifano kwenye nchi kadha wa kadha zilizo katika muungano mfano nchi Marekani imekuwa mfano bora duniani kimaendeleo hasa kutokana na Muungano uliopo” Alisema Ndugai.

Mh. Ndugai aliongeza kuwa hata Muasisi wa Taifa hili Hayati Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akitukumbusha mara kwa mara kuusimamia muungano wa Tanzania na kuudumisha.

“Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiasa Watanzania wote kuudumisha Muungano wa Tanzania na kuepuka viashiria vyote vinavyoonekana kuvunja muungano, hivyo tushikamane katika kuudumisha”. Alisema Ndugai.

Naye Mjumbe wa Bunge hilo ambaye mjumbe wa secretariati ya marekebisho kanuni za Bunge Maalum Mhesh. Evod Mmanda alisema kwamba miaka 50 ya muungano ni faraja na jambo la kujivunia.

“hatuna budi kwa pamoja kukaa na kuufikiria zaidi Muungano na kutatua changamoto zote zinazojitokeza ili kuudumisha muungano huu na Wasiopenda Muungano  hawana sababu za kutosha” Alisema Mh. Mmanda

TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI (TFF) LEO


Kenya, Rwanda and Uganda Joint Visa Launching at ITB

$
0
0
Kenya, Rwanda and Uganda made an announcement on the introduction of the East African single joint visa, which took effect on 1st January 2014. The Kenya, Rwanda and Uganda Ministers and High Commissioners and Tourism Board Heads officially graced the launch of the new cross-border visa today at Kenya, Rwanda and Uganda common pavilion at this year’s Internationale Tourismus-Börse  (ITB) held annually in Berlin.

The tourist cross-border visa between Kenya, Rwanda and Uganda costs USD $100. The single tourist visa resulted from a joint initiative and decision made  by the Heads of State of the respective countries. Before the establishment of the single entry visa for Kenya was USD $50 (approximately £30), for Uganda was USD $50 (approximately £30) and Rwanda was USD $30 (approximately £18).

Kenya’s Minister for East African Affairs, Commerce and Tourism Mrs Phyllis Kandie applauded the joint tourist move, ‘This will enrich the tourist product offering in Kenya, Rwanda and Uganda. The region will benefit from an increase of tourists and numbers of days spend in these countries that have a wide range of products. The region is bound to harvest a much larger share of the over 50 million tourists visiting Africa each year’.

The Chief Executive Officer of the Rwanda Development Board Amb. Valentine Rugwabiza said: “The launch of the cross- border visa is a huge milestone in our regional integration efforts that will continue to largely benefit tourists. We have already felt its positive impact, since January 1st, 2014, as we are noticing an increasing number of travellers to the East African region. With this partnership, our unique selling point as a region is highlighted as we have a wide range of experiences to offer.”

“The launch of the East Africa single tourism visa at the Rwanda, Uganda and Kenya tripartite meeting is a strong signal of the East African commitment to the integration process and marketing East Africa as a single destination. The visitors from our source markets will be able to benefit from the Multiple Entry Visa provision to tour the sister countries.” Hon. Dr. Maria Mutagamba, the Uganda Minister of Tourism, Wildlife and Antiques confirmed.

Uganda is delighted to join her neighbours in providing greater value for the tourists and facilitating the movement of people through the Great Rift Valley states that share much commonality but provide a diverse range of natural and cultural attractions. The minister further notes that this initiative will make the region more competitive and is bound to reduce the cost of doing business in the region.

The introduction of the Joint tourist visa has so far boosted regional travel, adding value to the tourism product offerings of these countries and highlighted the diversity of East Africa.

KIKAO CHA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA WAKUU WA MAGEREZA AFRIKA KITAKACHOFANYIKA MSUMBIJI JULAI 2014 CHAFANYIKA NCHINI AFRIKA KUSINI

$
0
0
Mwenyekiti wa Umoja wa Magereza Afrika, Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Afrika Kusini, Nontsikelelo Jolingana akitoa hoja ya kufungua rasmi Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014. Kikao hicho kimefanyika hivi karibuni Mwishoni mwa mwezi Februari, 2014 Nchini Afrika Kusini na kuhudhuliwa na Nchi Wanachama ikiwemo Tanzania.
Washiriki wa Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika wakiendelea na majadiliano ya Kikao hicho Jijini Johanesberg, Afrika Kusini hivi karibuni. Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014.
Baadhi ya Washiriki wa Kikao toka Nchi Wanachama Barani Afrika wakifuatilia kwa makini mjadala katika Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014.
Baadhi ya Wakuu wa Magereza Afrika wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga rasmi Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza wa Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014. Kikao hicho kimefanyika mwishoni mwa mwezi Februari 2014 Jijini Johanesberg Afrika Kusini(wa kwanza kushoto mstari wa mbele) ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Afrika Kusini, Nontsikelelo Jolingana(wa kwanza kushoto mstari wa nyuma) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Namibia, Raphael Hamunyela( wa pili kulia mstari wa mbele) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Msumbiji, Dkt. Eduardo Mussanhane (wa kwanza kulia mstari wa nyuma) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania, John Casmir Minja.
Sekretarieti Kuu ya Umoja wa Vyombo vya Urekebishaji/Magereza Afrika wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Urekebishaji/Magereza Afrika mara baada ya kufungwa rasmi kwa Kikao cha Maandalizi ya Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014(wa tatu toka kulia mstari wa nyuma) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania, John Casmir Minja.(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa azungumzia kukamatwa kwa wahamiaji haramu 46 wakitokea Ethiopia

ndege nyingine ya atc yatua dar es salaam, kuanza kazi kesho

$
0
0
 ndege nyingine ya air tanzania aina ya  CRJ-200 ER yenye  uwezo wa kubeba abiria 50 imeingia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa taarifa toka shirika hilo  ndege hiyo itaanza  kuruka kesho.

TASWIRA KUTOKA KATIKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

$
0
0
 Mwenyekiti wa Kamati ya  Kumshauri  Mwenyekiti kuhusu Kanuni za Bunge Maalum la Katiba, Mhe Profesa Costa Mahalu (kulia) akiteta na wajumbe wa kamati hiyo Bungeni Mjini Dodoma baada ya Semina  ya Wabunge wa Bunge Maalum la  Katiba kuahirishwa hadi kesho saa nne. 
Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akiteta na Mjumbe  wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe James Mbatia kwenye ukumbi wa bunge Mjini Dodoma baada ya Semina  ya Wabunge wa Bunge Maalum la  Katiba kuahirishwa hadi kesho saa nne. 
Viewing all 109921 articles
Browse latest View live




Latest Images