Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110025 articles
Browse latest View live

NBAA yawakutanisha wahasibu na wakaguzi wa hesabu

$
0
0

 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Charles Kichere akisoma hotuba ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka 2019 wa wahasibu na wakaguzi wa hesabu ulioandaliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) uliofanyika katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Charles Kichere alimwakilisha Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), CPA Profesa Isaya Jairo akizungumzia mafanikio waliyoyapata pamoja na namna walivyojipanga kusimamia utendaji wa wahasibu na wadhibiti wa hesabu wakati wa mkutano mkuu wa mwaka 2019 ulioandaliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) na kufanyika katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), CPA Pius A. Maneno akitolea ufafanuzi kuhusu Bodi hiyo inavyofanya kazi zake wakati wa nkutano mkuu wa wahasibu na wakaguzi wa Hesabu wa mwaka 2019 uliofanyika leo hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
 
 Baadhi ya  wa wahasibu na wakaguzi wa Hesabu wakifuatilia mada wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka 2019 wa wahasibu na wakaguzi wa hesabu uliofanyika katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Charles Kichere akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa mwaka 2019 wa wahasibu na wakaguzi wa hesabu ulioandaliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) uliofanyika katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.

INTRODUCING NEW HIT "DR. CHAURONGO" BY SWEDEN-BASED DEKULA BAND

EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY: NEW BILL TO PROMOTE ACCESS TO MEDICINES IN THE OFFING

$
0
0

East African Legislative Assembly, Arusha, December 5th 2019: A new Bill that will see access to essential medicines and promotion of the local pharmaceutical industry is set to be introduced. The Assembly has this afternoon granted EALA Member, Hon Francine Rutazana, leave to introduce the Bill entitled the East African Community Pharmaceuticals Bill, 2019.

The Bill shall among other things, aims to promote and boost medicines and pharmaceuticals produced in the EAC region, regulate good manufacturing practices and quality standards and ensure the mutual recognition of registration of medicines.

At the same time, the Bill seeks to promote preference for pharmaceuticals produced in the Community during the public procurement processes and for related matters. The Bill also seeks to designate the national pharmaceutical authority in Partner States that shall be responsible for the pharmaceutical matters provided for under the Act.

As the House rose today, the mover, Hon Francine Rutazana moved a motion under Article 49 (1) and 59(1) of the Treaty and Rule 26 of the Rules of Procedure.

The mover avers that reliable access to affordable and quality assured medicines in East Africa remains a huge challenge since most of the medicines in the Community are still paid for directly by citizens through out of pocket models.   It is anticipated that one of the ways by which the Community can both improve availability of essential medicines and their quality, is to promote and support local production of essential medicines required by the Community.

The motion notes that discrepancies in the registration procedures for essential medicines still exist and remain a great challenge as currently provided for by the national health policies and regulations in the Partner States.  

Despite the challenges, it is also stated that the Community has not established favourable policies for the local produces or in their adequate promotion to enable them to effectively compete with imported drugs.

Contributing to the motion, Hon Gai Deng said ensuring access to medication was a key objective for sustainable development. She remarked that despite huge advances in Universal Health Access, there was still major discrepancies with regards to regulation, and access. “The motion is timely, given the need to strengthen the implementation of the roadmap by the EAC Secretariat”, Hon Deng said.
Hon Francine Rutazana has been granted leave to introduce a Bill to promote Access to essential medicines and pharmaceuticals promoted within the Community

Hon Deng Gai, supported the motion to grant leave to Hon Francine Rutazana to introduce the Pharmaceuticals Bill

Hon Abdikadir Aden also supported the new envisaged Pharmaceuticals Bill



On her part, Hon Amb Fatuma Ndangiza, termed the Bill timely saying the promotion of access to medicines would enable the EAC populace to be healthy. She lauded the need for providing preferential treatment to local pharmaceuticals saying that currently, only 30% of the market demand was satisfied by the local production. 

“We are losing out on jobs and employment opportunities and industrialization can be boosted by enhancing local production”, Hon Ndangiza said.  The legislator also called for enhancing of the regulatory framework to ensure its realization.

Other Members who supported the formulation of the Bill were Hon Dr Woda Jeremiah Odok, Hon Abdikadir Aden, Hon Dr Gabriel Alaak

EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY EALA REPORT ON PARTNER STATES’ LEVEL OF PREPAREDNESS TO COMBAT EBOLA & DENGUE VIRUSES ADOPTED

$
0
0

 East African Legislative Assembly, Arusha, December 5th 2019: As the region puts out all its arsenal and explores modalities of containing the Ebola and Dengue viruses, the East African Legislative Assembly has stepped up to adopt the Report of the Committee on General Purpose on the oversight activity assessing levels of preparedness of Partner States in management of the epidemics.

The House in its debate has reiterated need for the Council of Ministers to develop an EAC Policy on the management of communicable diseases in the region and to strengthen collaborative engagement with key stakeholders. In effect, the Assembly wants further collaboration with stakeholders such as the World Health Organization (WHO) and the German Technical Co-operation (GiZ) to enhance oversight in the promotion of the health sector in the region.    

The assessment took place in the Republics of Rwanda and Uganda, between September 12-16th, 2019, while the United Republic of Tanzania, requested for a new date for the exercise, according to a letter tabled in the House and confirmed by Deputy Minister for Foreign Affairs and EAC Co-operation, Hon Dr Damas Ndumbaro.  Chair of the Committee on General Purpose Committee, Hon Abdikadir Aden, presented the report to the House yesterday, affirming three other Partner States, (Republics of Burundi, Kenya and South Sudan) are also targeted in the next oversight activity. The report was tabled on October 3rd, 2019, during the 1st Meeting of the third Session held in Arusha.

The principal objective of conducting the oversight activity, was to assess the level of preparedness of the EAC Partner States in managing/containing the Ebola and Dengue fever epidemics and to explore possible sustainable interventions to combat these epidemics. The Committee took the initiative to get briefs on the Ebola and Dengue epidemics/pandemics and the progress made in controlling/managing the same; assessing challenges and ascertaining existence of any specific bilateral or international engagements/interventions to combat the epidemics.  The oversight activity further sought to establish the impact and effects of the said epidemics on the economies and welfare of the citizens of EAC.


Under Article 117 of the Treaty for the establishment of the East African Community, Partner States make a commitment to co-operate in, among others, health activities within the Community. Precisely, under Article 118(a) of the Treaty, Partner States undertake to joint action towards the prevention and control of communicable and non-communicable diseases and to control pandemics and epidemics of communicable and vector – borne diseases that might endanger the health and welfare of the residents of the Partner States and to co-operate in facilitating mass immunization and other public health Community campaigns.

During debate, Hon Pamela Maasaay lauded the initiatives of the Partner States, saying caution had been taken at the district levels by establishing laboratories including permeating such measures within the Communities by having surveillance modes in place.    “It is important for Communities to embrace strategies that ensure peculiar signals are picked up”, Hon Maasaay said.  Hon Kasamba Mathias lauded the efforts undertaken by the Republics of Rwanda and Uganda and said continued surveillance in the control of communicable and non-communicable diseases was vital.

“What we need now is a regional disease surveillance mechanism to enable us to be able to respond as a region”, he reiterated. Hon Oda Gasinzigwa said the exercise gave Members an opportunity to build their capacities on Ebola and called for behavior change on the part of the clinical officers. Hon Dr Anne Itto, supported the report and called for an urgent oversight activity in Republic of South Sudan, citing the conflict prone areas and the minimal presence of authorities in the border points between South Sudan and the Democratic Republic of Congo had made health infrastructure challenging. Other Members who contributed to the debate were Hon Dr Pierre Celestin Rwigema, Hon Dr Woda Jeremiah Odok, Hon Mary Mugyenyi and Hon Francoise Umuwukiza.  Others were Hon Kennedy Mukulia Ayason, Hon Dr Francois Xavier Kalinda, Hon Jean Marie Muhirwa, Hon Paul Musamali and Hon Eng Mohammed Mnyaa 

The report further informs of various interventions undertaken by the Republic of Uganda and the Republic of Rwanda with regards to containing the disease. The House was informed of interventions made through a multi-sectoral approach and such include, development of a contingency plan for Ebola preparedness and response and a National Disaster Management Committee made up of Ministers in charge of emergency who advise and co-ordinate relief efforts in Rwanda.  In Uganda, the House heard of enhanced capacity building in surveillance and contact tracing and the effective use of community-based disease surveillance approach.  
Over 7 million have been screened at ground points of entry; with the Entebbe Airport recording screening of 225,804”, a section of the report states.

Prior to undertaking the oversight activity, the Committee according to Hon Aden, received a brief from the EAC Secretariat’s Health Department indicating that disease outbreaks were a common occurrence in the region and posed myriad of challenges. 

“Each Partner State has had at least two notable disease outbreaks in every five-year period between 2000 and 2019”, Hon Aden said. Examples of outbreaks include Rift Valley Fever, Ebola, Marburg, Crimean Congo Hemorrhagic Fevers and Yellow Fever”, a section of the report said.

According to the Chairperson, it took Republic of Kenya and the United Republic of Tanzania, six months respectively to contain the 2006 Rift Valley Fever (RVF) outbreaks. The region and neighboring Democratic Republic of Congo have also experienced several outbreaks of the Ebola Virus Disease (EVD). “In January 2017, a Bird Flu outbreak was reported along the shores of Lutembe bay (Lake Victoria) in Uganda. In October 2017, a Marburg Fever outbreak was reported in Eastern Uganda, Kween district, close to the Kenyan border with one confirmed fatality”, the report added. 

In his response, the Chair of the Council of Ministers, Hon Amb Olivier Nduhungirehe, assured the House all recommendations made would be implemented and affirmed that Secretariat was developing a regional policy on communicable and non-communicable diseases. “The Council will in due course interest the East African Science and Research Commission to champion research to enable the Community to fully benefit”, the Minister remarked.

What is Ebola?

The Ebola Virus Disease (EVD) is a severe and often deadly disease caused by an Ebola virus. It falls under the category of viral hemorrhagic fevers.  A person can get the disease by direct contact with body fluids of an infected person.
Signs and Symptoms of Ebola
The following are the signs and symptoms of Ebola: High fever, severe headache, Fatigue, Muscle pain, Sore throat, Body weakness, Diarrhea, Vomiting, Stomach pain and Bleeding from body openings.

Preventive Measures
  1. Avoid direct contact with body fluids from an infected person;
  2. Wash hands with soap and water;
  3. Use protective materials when handling an infected person and contaminated clothes; and
  4. Allow safe burial of bodies by trained personnel.
Hon Paul Musamali gestures as he contributes to the debate on the floor of the House.  EALA adopted the report of the oversight activity on level of preparedness of Partner States in management of the epidemics
Hon Dr Anne Itto makes her submission on the Report of the Oversight activity on the Ebola and Dengue fevers
Hon Abdikadir Aden, Chairperson of the General Purpose Committee reads the report of the Committee before an attentive House


VOA SWAHILI: Duniani Leo Novemba 5, 2019

HABARI ZA UMOJA WA MATAIFA LEO DESEMBA 5, 2019

Introducing New Swahili hit "Dr. Chaurongo" by Sweden-based Dekula band Under Vumbi Dekula Kahanga

Wanarukwa wahamasishwa kulima kwa tija ili kujiongezea kipato

$
0
0

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (wa pili toka kulia) akiwa pamoja na wakulima katika kijiji cha Kalalasi kata ya Mkali wilayani Kalambo akiwa pamoja na wakulima wa kijiji hicho wakisaidiana kusukuma plau ikiwa moja ya njia ya kuhamasisha kilimo katika maeneo ya vijijini.

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Julieth Binyura akisaidiana na mmoja wa wakulima wa kijiji cha Kalalasi Kata ya Mkali Wilayani Kalambo ikiwa ni moja ya kuhamasisha kilimo katika msimu huu wa kilimo wa mwaka 2019/2010 katika mkoa wa Rukwa.



Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akielekeza namna ya kupanda mahindi kwa kufuta vipimo vinavyoelekezwa na wataalamu wa kilimo na hatumae kufanya kilimo cha Tija.

………………………………………………

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wakulima wa Mkoa huo kuhakikisha wanafuata maelekezo ya maafisa kilimo waliopo kwenye ngazi za vijiji na kata ili kuweza kulima kwa tija na hatimae kuongeza upatikanaji wa chakula katika mkoa na pia kujiongezea kipato.

Amesema kuwa ni dhamira ya mkoa kuhamasisha kilimo kinachoongeza uzalishaji kwa ekari moja, hivyo ni lazima wakulima wapande kwa kutumia utaalamu huku wakizingatia ubora wa mbegu ambazo zimehakikiwa na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu nchini (TOSC) pamoja na kutumia mbolea zinazostahili kwa ekari kama ambavyo wataalamu wanashauri

“Sio mtu anachukua mfuko mmoja wa mbolea halafu anakwenda kuuweka katika ekari mbili matokeo yake uzalishaji unakuwa ni mdogo, lakini pia baada ya mahindi kuwa yameota na kuwekewa mbolea ni lazima pia kuangalia upande wa visumbufu, wadudu wale waharibifu wa mazao, lazima tuweke dawa mapema tutumie viuatilifu ambavyo vinashauriwa na wataalamu wa kilimo, baada ya hpo tuangalie mashamba yetu kwa kupalilia kwa kufanya hivi tunaweza kuzidfi hata gunia 20 kwa ekari,” Alisema.

Ameyasema hayo alipokuwa katika ziara yake maalum ya kuhamasisha kilimo chenye tija katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mkoani humo akiwa pamoja na wataalamu wa kilimo wa mkoa na halmashauri pamoja na mkuu wa Wilaya hiyo.

Kwa upande wao mmoja wa wamiliki wa shamba lililotembelewa na Mkuu wa Mkoa Bwana Rojas Lukas amesema kuwa changamoto ubwa inayowakuta wakulima na kushindwa kuendelea kulima kilimo chenye tija ni mitaji pamoja na mdudu mharibifu aina ya kiwavi jeshi.

“Kuna mdudu Fulani anaitwa Kiwavi jeshi Yule anatusumbua sananingeomba serikali ijaribu kututafutia dawa ambayo inaweza ikamuua Yule mdudu, kingine tunaomba serikali itusaidie kama inawezekana watukopeshe ili tukuze kilimo chetu kiende mbele,” Alisema.

Akimkaribisha Mkuu wa mkoa katika shamba la mmoja wa wakulima hao mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mh. Juliet Binyura alisema kuwa watalaamu wameendelea kutoa ushauri kwa wananchi mbalimbali na hivyo kuwaomba kuendelea kufanya hivyo ili kuwasaidia wakulima kuweza kufikia kilimo chenye tija.

“Tumekuja kuangalia utaalamu aliopewa kwa wataalamu ambao ni maafisa ugani katika kata yake na wanapanda kwa kutumia kamba na wanapima vipimo vinavyokubalika naamini ya kwamba mazao atavuna vizuri,” Alisema.

AGAPE, POLISI WAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

$
0
0
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga Sophia Jongo akizungumza leo Desemba 5,2019 kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia,ambapo kilele chake kitafanyika Desemba 10 mwaka huu. Picha zote na Marco Maduhu - Malunde 1 blog Mkurugenzi wa Shirika la Agape mkoani Shinyanga John Myola akizungumza kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Mkurugenzi wa Shirika la Equality For Growth (EFG) kutoka Jijini dar es salaam Jane Majigita, akizungumza kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Mkuu wa kituo cha Polisi wilaya ya Shinyanga Grace Salia akizungumza kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Afisa Maendeleo ya Jamii manispaa ya Shinyanga Anjel Mwaipopo akizungumza kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Wanafunzi pamoja na Askari Polisi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwenye viwanja vya Zimamoto Shinyanga Mjini. Wanafunzi pamoja na askari Polisi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwenye viwanja vya Zimamoto Shinyanga Mjini. Wanafunzi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Mwenge wakitoa burudani. Burudani ikiendelea kutolewa kwenye maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa kucheza na nyoka. Kiongozi wa kikundi cha ngoma, Mahona Mtoba, akitoa burudani Meza kuu. Awali wanafunzi wakiandamana kutoka Bwalo la Polisi hadi kwenye viwanja vya Zimamoto kwa ajili ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Maandamano yakiendelea.Wanafunzi wakionyesha mabango yenye ujumbe mbalimbali.Mgeni Rasmi akipokea maandamano pamoja na meza kuu.Mgeni rasmi kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Sophia Jongo akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi kutoka Shirika la Agape, pamoja na mkurugenzi wa Shirika la EFG, Jane Majigita (wa kwanza mkono wa kushoto aliyekaa kwenye kiti).***
 
Shirika lisilo la kiserikali Agape Aids Cotrol Program la mkoani Shinyanga, limefanya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia  kwa kupinga vitendo vya ubakaji, ulawiti, mimba na ndoa za utotoni, pamoja na kutoa lugha chafu za matusi kwa wafanyabiashara wanawake sokoni.
Maadhimisho hayo ambayo kilele chake ni Desemba 10 mwaka huu, yamefanyika kwenye viwanja vya Zimamoto Shinyanga mjini leo Desemba 5,2019  ambapo mgeni rasmi alikuwa Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Sophia Jongo.

 Akizungumza kwenye maadhimisho hayo ,Kamanda Jongo, ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Shinyanga kuacha tabia ya kuwafanyia vitendo vya ukatili watoto wadogo, ikiwemo ubakaji, ulawiti, vipigo, kuwapa mimba pamoja na kuwaozesha ndoa za utotoni. 

 Amesema mkoa wa Shinyanga unashika nafasi ya tano kitaifa dhidi ya matukio ya ubakaji, ikiwamo wanafunzi kupewa ujauzito pamoja na kuozeshwa ndoa za utotoni, jambo ambalo linauchafua mkoa, na hivyo kuwataka wananchi waachane na matukio hayo ili watoto wapate kusoma kwa bidii na kuweza kutimiza ndoto zao.“Nayapongeza sana mashirika haya ambayo siyo ya kiserikali likiwamo la Eguality For Growth (EFG) pamoja na Shirika la Agape, kwa kazi nzuri sana ambayo wanayoifanya mkoani hapa kwa kupambana kutokomeza matukio ya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto,”amesema Jongo. 

 “Pia naomba waendelee na mapambano haya ya kutokomeza ukatili huu wa kijinsia, kwa kutoa elimu kwa wananchi pamoja na wanafunzi dhidi ya madhara haya ya kufanya ukatili, ambapo mkoa wetu unaongoza kwa matukio ya ubakaji watoto na tunashika nafasi ya tano kitaifa,”ameongeza.Naye mkurugenzi wa Shirika la Agape John Myola, amesema Shirika hilo limekuwa likijihusisha na miradi mbalimbali ya kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto, ikiwemo miradi ya kupinga mimba na ndoa za utotoni, pamoja na ukatili dhidi ya wanawake sokoni. 

 Pia amelipogeza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana vyema na Shirika hilo la Agape dhidi ya mapambano ya matukio ya ukatili, ambapo wao wanapokuwa wakitoa taarifa za matukio hayo, polisi hufika mara moja kwenye eneo la tukio na kumkamata mtuhumiwa.Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la Equality For Growth kutoka Jijini Dar es salaam Jane Majigita, ametoa wito kwa wananchi pamoja na watoto, wawe wanatoa taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia, ili yafanyiwe kazi na wahusika kuchukuliwa hatua kali za kisheria, hali ambayo itapunguza matukio hayo.Aidha kauli mbiu ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia mwaka huu inasema "Kizazi Chenye Usawa, Simama Dhidi ya Ubakaji".

WATOTO 56 WAFANYIWA UPASUAJI MOYO KAMBI MAALUM JKCI

$
0
0



Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka  King Salman Humanitarian Aid and Relief Center wa nchini Saud Arabia wakimfanyia upasuaji wa bila kufungua kifua na kuziba tundu la moyo wa mtoto kwa kutumia mtambo wa Cathlab wakati wa kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi hiyo. Jumla ya watoto 33 wamefanyiwa upasuaji mdogo wa bila kufungua kifua ambapo hali zao zinaendelea vizuri na wengine wameruhusiwa kurudi nyumbani.
Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na  wenzao kutoka  King Salman Humanitarian Aid and Relief Center wa nchini Saud Arabia wakimfanyia  mtoto upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo na kurekebisha mishipa ya damu ya moyo  katika  kambi maalum ya matibabu inayoendelea katika Taasisi hiyo. Jumla ya watoto 23 wenye matatizo ya moyo wamefanyiwa upasuaji mkubwa na hali zao zinaendelea vizuri.
Picha na JKCI

MBUNGE MAVUNDE ATAMBUA VIPAJI VYA WANAFUNZI 20,AWAFADHILI MASOMO KUKUZA VIPAJI VYAO.

$
0
0
Shindano la kuibua vipaji kwa wanafunzi wa shule za msingi jijini Dodoma nchini Tanzania limehitimishwa jana Jumatano Desemba 4, 2019 kwa shule ya msingi Chadulu kuibuka mshindi wa Jumla na kunyakua kitita cha TSh500,000.

Shindalo hilo lililojulikana kama Mavunde Talent Search 2019 lilianza Novemba 25, 2019 kwa kushirikisha shule 25 zilizokuwa na washiriki 500 kwa ufadhili wa mbunge wa Dodoma Mjini (CCM),  Mh Anthony Mavunde.

Lengo la shindano hilo lilikuwa kuibua vipaji katika mpira wa pete, miguu, uimbaji, kompyuta na uchoraji ambapo wanafunzi walionyesha uwezo mkubwa hasa katika uimbaji.

Shule zilizoibuka na ushindi wa jumla ni Chadulu ikifuatiwa na DCT Bishop Stanley na ushindi wa tatu ulikwenda kwa shule ya msingi Mlimwa.

Akitoa zawadi kwa washindi bora 20, mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini, Mh Patrobasi Katambi amesema shindano hilo linatoa nafasi nzuri kwa washindi ambao sasa watakwenda kusomeshwa katika Shule ya Ellen White English Medium  ambayo inakuza vipaji.

"Mbunge wenu amewalipia ada katika shule hiyo na ametoa vifaa vyote muhimu ambavyo vinatakiwa kwa wanafunzi, mbali na zawadi za shule lakini watoto watasimamiwa kikamilifu kwenye taaluma," amesema Katambi.

Aidha,Wazazi wa wanafunzi hao 20 ambao watapata ufadhili wa masomo ya kawaida na mafunzo ya kuendeleza vipaji vyao katika *Shule ya Ellen White English Medium * wamemshukuru Mbunge Mavunde kwa jitihada kubwa anayoifanya kwenye kukuza elimu na vipaji katika Jimbo la Dodoma Mjini.
 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patribasi Katambi akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Ellen White English Medium wakati wa utoaji wa zawadi kwa shule zilizifanya vizuri katika Shindano lililoandaliwa na Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde.
 Mwanafunzi akionesha umahiri wa kutumia vifaa vya muziki.
 Mkuu wa Wilaya wa Dodoma Patribasi Katambi akizungumza na wazazi na Wanafunzi wa Shule ya Ellen White English Medium katika utoaji zawadi kwa wanafunzi wenye vipaji lililoandaliwa na Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde.

WAZIRI UMMY AZINDUA BODI YA TAASISI YA MAENDELEO YA JAMII TENGERU

$
0
0
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikata utepe kuashirika kuzindua Bodi ya Pili ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru leo mkoani Arusha kushoto ni Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jmaii Dkt. John Jingu na Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Rose Mwaipopo.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi vifaa vya kazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Rose Mwaipopo mara baada ya kuzindua Bodi ya Taasisi hiyo leo mkoani Arusha.


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi vifaa vya kazi kwa Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Bakari George mara baada ya kuzindua Bodi ya Taasisi hiyo leo mkoani Arusha.







Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na wajumbe wa Bodi ya Pili ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru leo mkoani Arusha mara baada ya kuizindua Bodi hiyo.



Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jmaii Dkt. John Jingu akieleza chimbuko la Bodi ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kabla ya kuzinduliwa kwa Bodi hiyo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu leo mkoani Arusha.



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akitazama kitabu katika Mkataba ya Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kabla ya kuzindua Bodi ya Pili ya Uendeshaji wa Taasisi hiyo leo mkoani Arusha.



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akitoa cheti na zawadi kwa mmoja wa wanafunzi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jmaii Tengeru aliyefanya vizuri katika masomo kabla ya kuzindua Bodi ya Pili ya Uendeshaji wa Taasisi hiyo leo mkoani Arusha.



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akipokea zawadi ya picha yake ya kuchorwa kutoka kwa wanafunzi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jmaii Tengeru kabla ya kuzindua Bodi ya Pili ya Uendeshaji wa Taasisi hiyo leo mkoani Arusha.


Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya pili ya uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati akizindua Bodi hiyo leo mkoani Arusha.


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru mara baada ya kuzindua Bodi ya Taasisi hiyo leo mkoani Arusha wa pili kulia waliokaa ni Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu na wa pili kushoto walioakaa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Rose Mwaipopo.



Picha Zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW

………………..

Na Mwandishi Wetu Arusha

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameizindua Bodi ya pili ya uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na kuitaka kuleta chachu ya mabadiliko katika Sekta ya Maendeleo ya Jamii nchini.

Waziri Ummy ameyasema hayo leo Mkoani Arusha wakati akizungumza na wajumbe wa Bodi hiyo ambayo ina jukumu ya kuratibu na kusimamaia shughuli zinazofanyawa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru.

Waziri Ummy amewataka wajumbe wa Bodi hiyo kuisaidia Serikali katika kuhakikisha Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru inaleta matokeo chanya kwa jamii hasa inayowazunguka na kuhakikisha itakuwa kituo cha mfano cha Taaluma ya Kada ya Maendeleo ya Jamii nchini.

Ameitaka Taasisi hiyo kuzingatia mafunzo kwa vitendo kwa kuongeza uhusiano mzuri kati ya nadharia na vitendo katika mitala iliyopo na kuweka mkazo katika kuhakikisha mafunzo wanayoyatoa yanawasaidia wahitimu kuwa na nandhari ya kujiajiri zaidi kuliko kuajiriwa.

Pia ameitaka Bodi hiyo kuweka mkazo katika kutatua changamoto za ajira kwa kuhakikisha inawapa wanafunzi stadi za kuwawezesha kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine kupitia fani walizosoma hasa fani ya Maendeelo ya Jamii.

“Niwatake mjenge ushirikiano kati ya Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Taasisi zingine ili wahitimu waweze kujitolea na wengine kuweza kupata ajira katika Taasisi hizo hasa Mashriika Yasiyo ya Kiserikali” alisema Waziri Ummy

Waziri Ummy ameongeza kuwa Taasisi hiyo ina umuhimu katika jamii hivyo kuitaka kutoa mchango katika jamii katika utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii inayoizunguka Taasisi hiyo ili kupata jawabu za changamoto hizo.

Aidha Waziri Ummy ameitaka Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kuhakikisha wanachangia katika mfuko wa Serikali kwa kutekeleza agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya kila Taasisi ya Serikali kuchangia katika mfuko wa Serikali ndani ya siku 60.

“Agizo hili msije mkasema sisi hatuzalishi faida mnatakiwa kutoa mchango wenu kama Taasisi ya Serikali katika mfuko wa Serikali ambao ni muhimu kwani ndio unasaidia kutoa huduma muhimu kwa wananchi” alisema Waziri Ummy

Kwa upande wake Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu amesema kuwa Bodi iliyopita iliweza kuandaa programu mbalimbali za mafunzo, walifanya maandalizi Sera 13 za usimamizi wa Taasisi mbalimbali waliwezesha kuongozeka kwa udahili wa wanafunzi 276 kwa mwaka wa masomo 2014/2015 mpaka 1204 kwa mwaka 2018/2019 na kufanikisha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kujifunzia.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Rose Mwaipopo amesema Bodi hiyo inafanya majukumu yake kwa mujibu wa Sheria na kuzingatia umuhimu wa kada ya Maendeleo ya Jamii katika kuchochea maendeleo ya nchi.

“Tunatazamia kuleta chachu katika Sekta ya Maendeleo ya Jamii hasa katika kuleta mapinduzi ya kifkra kwa wananchi katika kujiletea maendeleo yao wenyewe” alisema Dkt. Rose.

Bodi ya pili ya Uendeshaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru imezinduliwa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Dkt. Rose Mwaipopo na itahudumu kwa muda wa miaka mitatu.

Vodacom Tanzania Plc Yajivunia Kutoa Fursa kwa Wanawake

$
0
0
 Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Plc, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza wakati wa kongamano la Data Tamasha linalokusanya wadau mbalimbali wa takwimu kwa maendeleo endelevu linalofanyika jijini Dar Es Salaam. Wengine ni Meneja Mkazi wa CRS Tanzania, Kelli Hynes na Mkurugenzi Uendeshaji wa FSDT, Irene Mlola.
 Mkuu wa Kitengo kinachoangalia ufanisi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Zaituni Ally akizungumza wakati wa kongamano la Data Tamasha linalokusanya wadau mbalimbali wa takwimu kwa maendeleo endelevu linalofanyika jijini Dar Es Salaam. 

WAZIRI MAVUNDE KUTOA TUZO ZA FISA 2019

$
0
0

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi yaWaziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira ; Anthony Mavunde anategemewa kutoa tuzo 20 kwa vijana walioleta matokeo chanya katika jamii kupitia miradi wanayoifanya na hiyo ni pamoja na kuwapatia msaada wa karibu ili kuongeza wigo wa huduma zenye matokeo chanya kwa jamii na hiyo ni pamoja na kuwapatia misaada ya karibu ili waweze kufikia malengo yao na kuwa mfano na mabalozi bora kwa jamii mzima.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa taasisi ya Lambokile ambayo imeandaa tuzo hizo Lawrence Ambokile amesema tuzo zitatolewa Desemba 21 na hilo litaenda sambamba na kongamano la vijana.

"Waziri Mavunde atatoa tuzo hizo tarehe tajwa katika ukumbi wa Mlimani City kabla yake yaani tarehe 20 vijana watakutana na wadau wa maendeleo na kujadili changamoto na fursa za zilizopo na zijazo katika ubunifu katika kuelekea uchumi wa viwanda" Ameeleza.

Ambokile amesema kuwa malengo ya kutoa tuzo hizo zilizoanza kutolewa mwaka 2018 yalijikita katika kuwatambua vijana wanaoleta matokeo chanya katika jamii kupitia miradi yao.

"The Future I Want Awards (FISA) ilianzishwa na vijana ikiwa na malengo ya kujikwamua kiuchumi na sio kutegemea ajira pekee, na kupitia tuzo hizi vijana wenye ndoto na malengo wanakaribishwa kushiriki ili tujenge taifa imara" Ameeleza.

Kuhusiana na mchakato wa ushiriki na vigezo Ambokile amesema;

"Fomu za maombi zinapatika kwenye tofuti ya taasisi hiyo mitandao ya kijamii na kutokana na mahitaji kuwa mengi wameongeza siku tano za kuchukua fomu hizo kuanzia leo na walengwa ni vijana kuanzia miaka 15 hadi 35 ambao wanaweza kujipendekeza au kupendekezwa kabla ya majaji kupitia na hatimaye kupata washindi katika tuzo zote zitakazotolewa" ameeleza.


Mbali na kupewa tuzo hizo ambapo kila tuzo ina thamani ya shilingi milioni moja washindi watapata fursa ya kupata ushauri wa kibiashara, kupata mitaji pamoja na kuunganishwa na wadau mbalimbali wa kimaendeleo.

Baadhi ya washiriki wameeleza mafanikio waliyoyapata baada ya kuwania na kushinda tuzo ambapo wameeleza mahitaji na changamoto za kijamii wamezichukua Kama fursa na hiyo ni pamoja na kushirikiana na taasisi mbalimbali za kimaendeleo katika kuwawezesha vijana wengine.
 Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Lambokile, Lawrence Ambokile akizungumza wakati wa kutangaza msimu mpya wa tuzo za FISA ambapo ameeleza kuwa vijana wengi waliopita katika taasisi hiyo wamekuwa mabalozi wazuri, hivyo ni vyema vijana wakatumia fursa hiyo, Leo jijini Dar es Salaam.
Washindi wa Tuzo za FISA wakiwa pamoja na menejimenti ya taasisi ya Lambokile wakati wa utangazaji wa msimu mpya wa tuzo kwa vijana katika sekta mbalimbali, leo jijini Dar es Salaam.
Mshindi tuzo za FISA msimu uliopita Hellena Sillas akizungumza juu ya fursa na mafanikio aliyoyapata kutoka kwenye kampuni hiyo ambapo amewashauri vijana kutumia fursa za namna hiyo ili waweze kujikomboa na kuikomboa jamii kwa ujumla, Leo jijini Dar es Salaam.

WENYEVITI WAPYA WA MITAA KIBAHA WATAKIWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO YA ARDHI-DC MSHAMA Inbox x

$
0
0
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA

KATIKA kukabiliana na wimbi la baadhi ya wenyeviti wa mitaa na vitongoji kuhusishwa na migogoro ya ardhi na rushwa  wenyeviti wapya waliochaguliwa katika uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa katika halmashauri ya Mji Kibaha, mkoani  Pwani ,wamekemewa kujihusisha na vitendo hivyo ili kurejesha imani kwa wananchi juu ya serikali yao.

Aidha wameaswa kuendelea kusimamia sheria ndogo iliyowekwa kuhusu muda wa kuruhusiwa kucheza pool na kunywa pombe kuwa ni saa kumi jioni na ambae atakiuka  sheria hiyo na mwenye baa wote wakamatwe.

Hayo aliyasema mkuu wa wilaya ya kibaha Assumpter Mshama wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wenyeviti na wajumbe wa serikali za mitaa hao ambayo yameandaliwa kwa lengo la kuwajengea uwezo katika utekelazaji wa majukumu yao ikiwemo kuweka mikakati ya kupambana na migogoro ya ardhi pamoja na rushwa.

Alielezea kipindi cha nyuma wenyeviti wa mitaa walisumbua kuwa chanzo cha kuuza ardhi mara mbilimbili na wengine kusababisha migogoro ya ardhi isiyo na tija .

"Baadhi ya wenyeviti wa mitaa walichangia kuongeza changamoto ya migogoro ya ardhi,sasa msiende kuwa vinara wa kufanya waliyokuwa wakifanya wengine"

Assumpter alieleza,pia kilichowatokea wapinzani wa vyama vingine na kuacha kugombea uchaguzi wa serikali za mitaa ingekuwa vyema wakasusia na uchaguzi mkuu ujao, kuanzia kwa madiwani na wabunge ili CCM imalize kazi .

"CCM imeshajiimarisha kuanzia ngazi ya chini,ni chama gani kina mipango mizuri kama hii,yaani unakuta chama kina viongozi kuanzia kata tuu,wanakula wakubwa wanashindwa kujiimarisha kuanzia chini,na CCM tutaendelea na mwendo uleule tutashinda kwa kishindo"alifafanua Assumpter.

Nae mwenyekiti wa mtaa wa Msangani mwajuma makuka alisema wamepokea mafunzo yote waliyopewa juu ya majukumu yao na atakwenda kuyasimamia ikiwemo suala la elimu hasa kutatua changamoto za kielimu.

Wakati huo huo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mji Kibaha Jennifer Omolo alieleza lengo kubwa la kutoa mafunzo hayo ni kuweza kuwaongezea ujuzi na uwezo katika utekelezaji wa majukumu yao katika kuwasimamia wanannchi.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ,Kibaha Mjini Maulid Bundala alisema wenyeviti wa mitaa wanawajibu wa kusimamia na kutatua changamoto za wananchi kabla ya kufika ngazi ya juu na wanapaswa kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama hicho bila kulegalega.

Mafunzo hayo yamewashirikisha wenyeviti wa serikali za mitaa na wajumbe 438 ambapo kati yao wenyeviti ni 73  pamoja na wajumbe wake 365 kutoka katika halmashauri ya mji Kibaha na kushirikishwa viongozi mbali mbali wa serikali .
 

GERMAN GOVERNMENT COMMITS US$128 MILLION TO HEALTH AND EDUCATION PROGRAMMES WITH THE EAC SECRETARIAT

$
0
0
The EAC Secretary General, Amb. Libérat Mfumukeko, and the Chargé d’Affaires of the Federal Republic of Germany, Jörg Herrera, jointly sign the Agreement during the press event
Amb. Libérat Mfumukeko and Chargé d’Affaires of the Federal Republic of Germany, Jörg Herrera shake hands after the signing of Financial Agreement.

………………

The Government of the Federal Republic of Germany announced additional funds of US$128 million (EUR 115.8 million) today which will be supporting health and education programmes in the East African Community.

The majority of the funds (US$105 million [EUR 95 million]) will be going towards the EAC’s immunization programme with Gavi, the Vaccine Alliance. The EAC Secretary General, Amb. Libérat Mfumukeko, and the Chargé d’Affaires of the Federal Republic of Germany, Jörg Herrera, jointly signed the Agreement in Arusha today.

With the additional grant, the programme will be financing the procurement of at least four different types of vaccines (Pentavalent, Rotavirus, Pneumococcal and Measles) for children in all six Partner States of the East African Community. The programme is financed through the German Development Bank, KfW, and implemented in collaboration with Gavi, the Vaccine Alliance.

The cooperation aims at reducing child mortality in the region and mainly targets newborns. To date, German Development Cooperation with the EAC has financed nearly 80 million doses of life-saving vaccines for the region since the support started in 2013 and the average immunization coverage in the region was substantially increased, making the EAC’s immunization programmes the strongest in Sub-Sahara Africa.

Other funds including US15.5 million will be going towards the “EAC Regional Centre of Excellence for Health Supply Chain Management,” located at the University of Rwanda in Kigali, US$2.2 million to the support of Ebola preparedness within the ongoing EAC-German project “Regional Network of Reference Laboratories for Communicable Diseases” and US$5.3 million to the “Academic Centre for Digital Innovation in East Africa” at the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology located in Arusha.

Speaking at the event, Amb. Mfumukeko thanked Germany for its continued support to the EAC and the integration process in general. Amb. Mfumukeko said the immunization programme in particular would go a long way in saving the lives of millions of children in the six EAC Partner States.

“The implementation of 2018 (Phase VI) which had a commitment of EUR 30 million (US$34.1) million has been fully concluded. The amount was fully disbursed to GAVI in December 2018 and spent on Pentavalent, Rotavirus and Pneumococcal vaccines in all EAC Partner States. GAVI has provided full documentation on the use of the fund including the number of doses per vaccine and country,” said the Secretary General.

“The new commitment of US$105 million for Phase VII (EUR 95 million) will be used for the procurement of four vaccines (Pentavalent, Rotavirus, Pneumococcal, Measles) with possible extension to Yellow Fever and HPV vaccines in all EAC Partner States. Vaccine procurements may take place in 2019 and 2020,” added the SG.

In his remarks, the German Chargé d’Affaires, Jörg Herrera, underscored Germany’s commitment to extend the ongoing health and education programmes with the EAC Secretariat saying the programmes would especially benefit the young generation of East African citizens.”

“Investing in the health sector is not only an investment for sustainable social development but also for a country’s and the region’s economic development. Vaccinations are a highly effective and cost efficient means to fight child mortality. The German Government highly commends the EAC’s efforts to immunize every child,” said Herrera.

EAC and Germany can look back on over 20 years of successful development cooperation which focusses on Health as well as Regional Economic and Social Integration. Germany’s development cooperation, on behalf of the German Federal Ministry for Economic Cooperation and Development (BMZ), has to date contributed to the regional integration in East Africa through a variety of programmes and projects. Including the commitments announced today, the German contributions to EAC-German Development Cooperation programmes will have added up to over USD 480 million (EUR 436.8 million).

The Signing of the Government Agreement was witnessed by the Deputy Executive Secretary of the Inter-University Council for East Africa, Prof. Mike Kuria, the Director of Infrastructure at the EAC Secretariat, Dr. Kamugisha Kazaura, Ms Norzin Grigoleit-Dagyab, the Head of Regional Cooperation from the German Embassy and Pascal Kanyinyi, KfW’s Senior Project Coordinator Health.

EALA REPORT ON PARTNER STATES’ LEVEL OF PREPAREDNESS TO COMBAT EBOLA & DENGUE VIRUSES ADOPTED

$
0
0
Hon Dr Anne Itto makes her submission on the Report of the Oversight activity on the Ebola and Dengue fevers
Hon Paul Musamali gestures as he contributes to the debate on the floor of the House. EALA adopted the report of the oversight activity on level of preparedness of Partner States in management of the epidemics






Hon Abdikadir Aden, Chairperson of the General Purpose Committee reads the report of the Committee before an attentive House (You will need to find his pic)
………………….

East African Legislative Assembly, Arusha,

As the region puts out all its arsenal and explores modalities of containing the Ebola and Dengue viruses, the East African Legislative Assembly has stepped up to adopt the Report of the Committee on General Purpose on the oversight activity assessing levels of preparedness of Partner States in management of the epidemics.

The House in its debate has reiterated need for the Council of Ministers to develop an EAC Policy on the management of communicable diseases in the region and to strengthen collaborative engagement with key stakeholders. In effect, the Assembly wants further collaboration with stakeholders such as the World Health Organization (WHO) and the German Technical Co-operation (GiZ) to enhance oversight in the promotion of the health sector in the region.

The assessment took place in the Republics of Rwanda and Uganda, between September 12-16th, 2019, while the United Republic of Tanzania, requested for a new date for the exercise, according to a letter tabled in the House and confirmed by Deputy Minister for Foreign Affairs and EAC Co-operation, Hon Dr Damas Ndumbaro. Chair of the Committee on General Purpose Committee, Hon Abdikadir Aden, presented the report to the House yesterday, affirming three other Partner States, (Republics of Burundi, Kenya and South Sudan) are also targeted in the next oversight activity. The report was tabled on October 3rd, 2019, during the 1st Meeting of the third Session held in Arusha.

The principal objective of conducting the oversight activity, was to assess the level of preparedness of the EAC Partner States in managing/containing the Ebola and Dengue fever epidemics and to explore possible sustainable interventions to combat these epidemics. The Committee took the initiative to get briefs on the Ebola and Dengue epidemics/pandemics and the progress made in controlling/managing the same; assessing challenges and ascertaining existence of any specific bilateral or international engagements/interventions to combat the epidemics. The oversight activity further sought to establish the impact and effects of the said epidemics on the economies and welfare of the citizens of EAC.

Under Article 117 of the Treaty for the establishment of the East African Community, Partner States make a commitment to co-operate in, among others, health activities within the Community. Precisely, under Article 118(a) of the Treaty, Partner States undertake to joint action towards the prevention and control of communicable and non-communicable diseases and to control pandemics and epidemics of communicable and vector – borne diseases that might endanger the health and welfare of the residents of the Partner States and to co-operate in facilitating mass immunization and other public health Community campaigns.

During debate, Hon Pamela Maasaay lauded the initiatives of the Partner States, saying caution had been taken at the district levels by establishing laboratories including permeating such measures within the Communities by having surveillance modes in place. “It is important for Communities to embrace strategies that ensure peculiar signals are picked up”, Hon Maasaay said. Hon Kasamba Mathias lauded the efforts undertaken by the Republics of Rwanda and Uganda and said continued surveillance in the control of communicable and non-communicable diseases was vital.

“What we need now is a regional disease surveillance mechanism to enable us to be able to respond as a region”, he reiterated. Hon Oda Gasinzigwa said the exercise gave Members an opportunity to build their capacities on Ebola and called for behavior change on the part of the clinical officers. Hon Dr Anne Itto, supported the report and called for an urgent oversight activity in Republic of South Sudan, citing the conflict prone areas and the minimal presence of authorities in the border points between South Sudan and the Democratic Republic of Congo had made health infrastructure challenging. Other Members who contributed to the debate were Hon Dr Pierre Celestin Rwigema, Hon Dr Woda Jeremiah Odok, Hon Mary Mugyenyi and Hon Francoise Umuwukiza. Others were Hon Kennedy Mukulia Ayason, Hon Dr Francois Xavier Kalinda, Hon Jean Marie Muhirwa, Hon Paul Musamali and Hon Eng Mohammed Mnyaa

The report further informs of various interventions undertaken by the Republic of Uganda and the Republic of Rwanda with regards to containing the disease. The House was informed of interventions made through a multi-sectoral approach and such include, development of a contingency plan for Ebola preparedness and response and a National Disaster Management Committee made up of Ministers in charge of emergency who advise and co-ordinate relief efforts in Rwanda. In Uganda, the House heard of enhanced capacity building in surveillance and contact tracing and the effective use of community-based disease surveillance approach.

“Over 7 million have been screened at ground points of entry; with the Entebbe Airport recording screening of 225,804”, a section of the report states.

Prior to undertaking the oversight activity, the Committee according to Hon Aden, received a brief from the EAC Secretariat’s Health Department indicating that disease outbreaks were a common occurrence in the region and posed myriad of challenges.

“Each Partner State has had at least two notable disease outbreaks in every five-year period between 2000 and 2019”, Hon Aden said. Examples of outbreaks include Rift Valley Fever, Ebola, Marburg, Crimean Congo Hemorrhagic Fevers and Yellow Fever”, a section of the report said.

According to the Chairperson, it took Republic of Kenya and the United Republic of Tanzania, six months respectively to contain the 2006 Rift Valley Fever (RVF) outbreaks. The region and neighboring Democratic Republic of Congo have also experienced several outbreaks of the Ebola Virus Disease (EVD). “In January 2017, a Bird Flu outbreak was reported along the shores of Lutembe bay (Lake Victoria) in Uganda. In October 2017, a Marburg Fever outbreak was reported in Eastern Uganda, Kween district, close to the Kenyan border with one confirmed fatality”, the report added.

In his response, the Chair of the Council of Ministers, Hon Amb Olivier Nduhungirehe, assured the House all recommendations made would be implemented and affirmed that Secretariat was developing a regional policy on communicable and non-communicable diseases. “The Council will in due course interest the East African Science and Research Commission to champion research to enable the Community to fully benefit”, the Minister remarked.

DK.SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA NEC TAIFA Z’BAR.

$
0
0

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza Kikao cha kawaida cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar,kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid,kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi.

***********************************

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,leo Disemba 05, mwaka 2019 ameongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui Zanzibar kuanzia Majira ya Saa 4:00 Asubuhi. Pamoja na mambo mengine Kikao kitapokea na kujadili Taarifa mbali mbali kutoka katika Idara na Vitengo vya Chama Cha Mapinduzi Zanzibar.

Kikao kilikuwa cha kawaida kwa mujibu wa Katiba ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 1977 Toleo la 2017,Ibara ya 108 (2). idha Chama Cha Mapinduzi kinaeleza kuwa Kikao hicho ni miongoni mwa Vikao Vyake vya Uongozi vya Kitaifa vinavyofanyika kwa Mujibu wa Kanuni na Miongozo ya CCM.

Viongozi mbali mbali wameudhuria Kikao hicho wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

KATIBU MKUU MWALUKO ATETA NA MKUU WA MKOA MWANZA MAANDALIZI SHEREHE ZA UHURU

$
0
0


 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akimueleza Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella,   juu ya umuhimu wa kukamilisha  kwa wakati  shughuli zitakazo fanyika siku ya sherehe za maadhimisho ya  miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri zitakayofanyika mkoani Mwanza katika viwanja vya CCM Kirumba, wakati alipofika uwanjani hapo kukagua maandalizi ya sherehe hizo leo, tarehe 5 Desemba, 2019.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko na Mkuu mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella (kushoto) pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Christopher Kadio, leo, tarehe 5 Desemba, 2019,  wakiwa katika viwanja vya CCM Kirumba, wakati alipofika uwanjani hapo kukagua maandalizi ya sherehe za maadhimisho ya  miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri zitakayofanyika mkoani humo
Kikundi cha Kwaya cha MVC kikifanya  mazoezi kwa ajili ya siku ya sherehe za maadhimisho ya  miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri zitakayofanyika mkoani Mwanza katika viwanja vya CCM Kirumba tarehe 9 Desemba 2019. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri; Uzalendo, Uwajibikaji na Ubunifu ni msingi wa Ujenzi wa Uchumi wa Taifa letu”.
Mkuu wa majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo,   leo, tarehe 5 Desemba, 2019 akishuka  katika jukwaa la Uwanja wa CCM  Kirumba, mkoani Mwanza mara baada ya kukagua shughuli za maandalizi za  Majeshi ya Ulinzi kwa ajili ya   siku ya sherehe za maadhimisho ya  miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri zitakayofanyika mkoani humo tarehe 9 Desemba 2019. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri; Uzalendo, Uwajibikaji na Ubunifu ni msingi wa Ujenzi wa Uchumi wa Taifa letu”.
Mkuu wa majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella,  leo, tarehe 5 Desemba, baada ya kukagua shughuli za maandalizi za  Majeshi ya Ulinzi kwa ajili ya   siku ya sherehe za maadhimisho ya  miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri zitakayofanyika mkoani humo tarehe 9 Desemba 2019, katika viwanja vya CCM Kirumba. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Miaka 58 ya Uhuru na Miaka 57 ya Jamhuri; Uzalendo, Uwajibikaji na Ubunifu ni msingi wa Ujenzi wa Uchumi wa Taifa letu”.

MKURABITA YATAJA SABABU YA BIASHARA KUFUNGWA Inbox x

$
0
0

Afisa wa Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Tabora Godfrey Comoro akitoa mafunzo ya elimu kuhusu namba ya utambulisho wa mlipa kodi TIN wafanyabiashara pamoja na wajasiliamali walioshiriki katika mafunzo ya Urasimishaji wa Biashara Mkoa wa Tabora.

 Baadhi ya wafanyabiashara pamoja na wajasiliamali walioshiriki katika mafunzo ya siku Nne ya Urasimisaji biashara kwa lengo la kuwafanya kuwa rasmi,kuweza kutunza kumbukumbu pamoja na kutambulika katika taasisi za kifedha
 Meneja wa Urasimishaji biashara kutoka Mpango wa kurasimisha rasilimali na biashara za wanyonge Tanzania MKURABITA Harvey Kombe aazkitoa mafunzo kwa wajasiliamali na wafanyabiashara walioshiriki katika mafunzo ya Urasimishaji Mkoa wa Tabora.
Afisa Urasimishaji na uendelezaji biashara kutoka MKURABITA Zablon Makoye akitoa ufafanuzi juu ya umuhimu wa kuweka kumbukumbu katika biashara na jinsi ya kutambulika katika taasisi za kifedha kwa wafanyabiashara na wajasiliamali wa Mkoa wa Tabora.



Tabora.

Imeelezwa kuwa sababu kubwa ya kufungwa kwa biashara nyingi hapa Nchini kunatokana na wafanyabiashara kushindwa kutofautisha matumizi ya faida na mapato ya mali binafsi na mali za biashara .

Hayo yamesemwa na Meneja wa Urasimishaji biashara kutoka Mpango wa kurasimisha rasilimali na biashara za wanyonge Tanzania MKURABITA Harvey Kombe wakati akitoa mafunzo kwa wajasiliamali na wafanaya Biashara zaidi ya mia Mbili wa Mkoa Tabora yaliyolenga kutoa elimu juu umuhimu wa kurasimisha biashara na kuzifanya kuwa katika mfumo rasmi unaotambulika.

Kombe amesema kuwa biashara nyingi zinadumu kwa kipindi cha miaka michache na kufa kutokana na wafanyabiashara kuchanganya matumizi binafsi na matumizi kutoka katika mitaji ya biashara na hivyo kusababisha kushindwa kujiendesha.

“Wafanyabiashara wengi wa Tanzania hawatofautishi mali za biashara na mali binafsi hawajilipi mishahara na matokeo yake ni kwamba matumizi yao bianafsi wanachukua kwenye mtaji wa biashara na ndio inasababisha zikifikisha miaka miwili mitatu zinakufa kwa sababu mtaji wa biashara unatumika kinyume na kanuni za kuendesha biashara”amesema Kombe

Ameongeza kuwa ili mfanyabiashara aweze kujua faida halisi ya biashara anayoiendesha anapaswa kuweka kumbukumbu ambayo itaonesha kiasi gani kinachopatikana katika biashara yake..

“Biashara iliyo rasmi Yenyewe iwe inatunza kumbukumbu za mahesabu mfanya biashara aweze kujua faida halisi ya biashara anayooendesha lazima awe anatunza kumbukumbu bila kuwa na kumbukumbu za biashara sio rahisi kujua anapata faida kiasi gani na anapata hasara kiasi gani.”Kombe

Akitoa elimu kuhusu namba ya utambulisho wa mlipa kodi TIN afisa wa TRA mkoa wa Tabora Godfrey Comoro amesema kuwa kuna aina mbili za TIN ambazo mwananchi anaweza kuwa nayo lakini mfanyabiashara lazima awe na TIN inayomtambulisha kwa nafasi yake.

“Tin ya kwanza ni kwa ajili ya shughuli zisizo za kibiashara kwa mfano mtu anataka leseni ya udereva kwa ajili ya kutumia vyombo vya moto au anataka kununua gari nje ya nchi au amenunua hapa nchini anataka kusafirisha na TIN ya pili ni kwa ajili ya kupata leseni ya biashara ambapo mfanyabiashara ataweza kufanya biashara mbalimbali ambazo zinatambulika rasmi.

Zaidi ya wafanyabiashara na wajasiliamali elfu moja wa Manispaa ya Tabora wameshiriki katika mafunzo hayo ambapo taasisi mbalimbali za kifedha zimetoa elimu ya utoaji wa mikopo pamoja na njia sahihi za kurejesha kwa wakati.
Viewing all 110025 articles
Browse latest View live




Latest Images