Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live

4CCP YASAIDIA MRADI WA MAJI GETANYAMBA

$
0
0
WANANCHI 1,000 kati ya wakazi 4,250 wa Kijiji cha Getanyamba Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, wamenufaika na mradi mpya wa maji baada ya kuangaika kwa muda mrefu na changamoto ya kuchota maji korongoni. Hata hivyo, mradi huo utawanufaisha watu 1,000 pekee kwenye kijiji hicho chenye wakazi 4,250 na wengine 3,250 bado wataendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji.

Mratibu wa pembe nne za utamaduni Haydom (4CCP) Eliminata Awet akizungumza baada ya mradi huo kuzinduliwa na mwenge wa uhuru alisema umewezeshwa na Norwegian Church Aid (NCA). Awet alisema lengo la mradi huo ni kusaidia kupunguza tatizo la maji kwa wananchi hao waliokuwa wanafuata huduma hiyo kwa kuchota maji korongoni umbali wa kilomita tatu hadi tano.

Alisema hadi kukamilika kwa mradi huo umegharimu sh. 61 milioni ambapo 4CCP ilitoa sh51.9 milioni, wananchi wamechangia nguvu zao zilizothaminishwa sh10 milioni na halmashauri ya wilaya ya Mbulu ikatoa wataalamu. "Faida ya mradi huu ni kuwezesha wananchi hao kupata huduma hiyo kwa ukaribu ili waweze kupata muda zaidi wa kufanya shughuli zao nyingine nyingine za kujiletea maendeleo," alisema Awet.

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Mzee Mkongea Ally akizungumza baada ya kuzindua mradi huo aliwapongeza wananchi wa kijiji hicho kwa kushiriki kuufanikisha ikiwemo kubeba kokoto na kuzoa mchanga. "Pamoja na hayo nawashukuru viongozi wa wilaya ya Mbulu kwa ushirikiano na jamii kufanikisha maendeleo ila wananchi wa Getanyamba hakikisheni mnautunza vyema mradi huu," alisema Ally.

Mkuu wa wilaya ya Mbulu, Chelestino Mofuga aliwashukuru wadau wa maendeleo 4CCP kwa kufanikisha mradi huo mkubwa wa maji ambao utasaidia jamii ya eneo hilo. "Mara nyingi 4CCP wamekuwa mstari wa mbele kusaidiana na serikali katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi wetu wa Mbulu, nawashukuru sana tutaendelea kuwaunga mkono," alisema Mofuga.

Mkazi wa kijiji hicho Ezekiel Bayo aliipongeza 4CCP na Norwegian Church Aid kwa kuwezesha mradi huo ambao kwa kiasi kikubwa umewakomboa wananchi wa eneo hilo. "Tulikuwa tunategemea kupata huduma ya maji kutoka kwenye korongo la Haydom ambayo hayakuwa masafi wala salama, ila baada ya kuwepo kwa mradi huu jamii ya eneo hili inafaidika," alisema Bayo.
 Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Mzee Mkongea Ally akipanda mti kwenye mradi wa maji wa Kijiji cha Getanyamba Wilayani Mbulu Mkoan Mkoani Manyara, wenye thamani ya shilingi milioni 61.9 ambapo 4CCP walitoa shilingi milioni 51.9 na wananchi wakachangia nguvu zilizothaminishwa kwa shilingi milioni 10.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Getanyamba Wilayani Mbulu Mkoani Manyara wakishuhudia ufunguzi wa mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 61.9 ambapo kituo cha pembe nne za utamaduni Haydom kilichangia shilingi milioni 51.9 na wananchi shilingi milioni 10.

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAWABANA WADAIWA SUGU, YUMO YUSUPH MANJI NA MOHAMED DEWJI

$
0
0

Na Said Mwishehe,Globu ya jamii

WIZARA ya Fedha na Mipango imewataka wadaiwa sugu wa madeni ya Commodity Imprt Suport (CIS) na Nafood Aid Counterpart Fund(FAFC) akiwemo mfanyabishara maarufu nchini Yusuph Manji na Mohamed Dewji 'MO' kuhakikisha wanalipa madeni hayo mara moja.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James tangazo la wadaiwa hao iliyotolewa leo Juni 19,2019 kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam imeeleza kuwa Wizara ya Fedha na Mipango inawataka wadaiwa sugu wa madeni hayo kuhakikisha wanalipa mara moja na kwamba licha ya kutolewa tangazo la awali bado wameshindwa kuitikia mwito.

"Madeni haya ni mkopo wenye masharti nafuu yaliyotolewa kwa Taasisi, Kampuni, Viwanda na Wafanyabiashara,  ambapo wakopaji walitakiwa kulipa deni bila kutozwa riba katika kipindi cha Miezi 18 tangu walipopewa mikopo hiyo.

"Kwa mujibu wa sheria ya CIS (The Commodity Import Support Regulation Act, CAP 261 R. E. 2002 (s.8 (1)(b), Mkopaji akichelewa kulipa katika kipindi cha miezi 18 tangu kupatiwa mkopo, atapaswa kulipa riba ya asimilia sawa na kiwango kinachotozwa na Benki Kuu ya Tanzania inapoikopesha Serikali katika kipindi husika. Zaidi ya makampuni 980 yalikopeshwa chini ya utaratibu huu,"amesema James kwenye  taarifa hiyo.

Kwa mujibu wa  Wizara hiyo, Wizara hiyo imesema kuwa Serikali inatangaza kwa mara ya mwisho kutokana na baadhi ya wadaiwa ambao wameshindwa kuitikia mwito wa matangazo ya awali ya Desemba 30 mwaka 2015 na Aprili 5 mwaka 2018. "Hatua za kisheria zitachukuliwa mara baada ya kutoka kwa tangazo hili,"amesema.

Hata hivyo orodha ya kwanza ya wadaiwa sugu wa madeni yatokanayo na mkopo huo ni Yusuph Manji aliyekopa kupitia kampuni zake za  Farm Equipment Tanzania Ltd,   Quality Group Ltd,  Dunhill Motors Ltd, Quality Seed Ltd na Quality Garage Ltd  na Mohamed Dewji kupitia   21st Century Textiles Ltd na Afritex Ltd

Mdaiwa mwingine ni  S. S Rashid kupitia   Pwani Tours and Safari Ltd na Pwani Investment Ltd.Pia Issack Bugali kupitia Dar es Salaam International School Trust Fund na  Upoloto Farm  Ltd.Pia yumo K.B Medicare Ltd (Prof. Bernard Kirei), Siza Cold Storage Co.Ltd (Stephen Wasira)

8. Sorority Co. Ltd (Martha Lyimo)  21st Century, Afritex Ltd,na  Kichonge Miller (Bokeye Kangoye)

Wadaiwa sugu wengine ni Rela Investment Company Ltd (Ahiya E. Lukumayi), Bahari Motor Co Ltd (Hashim Rungwe), Andrew Traders Co Ltd (Andrew Richard Kisenge), Oth Investment Co Ltd (Boniventure Boniventure)

na Kiomboi Kisiriri Pharmacy Ltd (Dkt Kingu)
 

Wizara hiyo imesema kwa maelezo zaidi imewataka wadaiwa hao kuwasaliana na Kikosi Kazi, Wizara ya Fedha na Mipango, Dar es Salaam, chumba Na. 352, Simu Na. +255 739403025/ 2122282285

MISS TANZANIA 2018 KUSHIRIKI SELOU MARATHON MOROGORO AGOSTI 24 MWAKA HUU

$
0
0
Miss Tanzania 2018 ambaye pia mi balozi wa mbio za Selou marathon,Queen Elizabeth Makune akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani  leo jijini Dar es Salaam kuhusu Watanzania kujitokeza kwa wingi katika mashindano ya Selou marathon yatakayo fanyika Agosti 24 mwaka huu mkoani Morogoro.
Meneja wa Huduma za Utalii, Bodi ya Utalii Nchini,Joseph Sendwa (ktikati) akizungumza na waandishi wa habari wapo pichani leo jijini Dar es Salaam, ambapo amewaomba watanzania kuvitunza vivutio kwa njia mbalimbali ndani na nje ya Nchi.kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi ya Selou marathon,Imani Kajula, kushoto Miss Tanzania 2018 ambaye pia ni balozi wa mbio za Selou marathon,Queen Elizabeth Makune.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

 picha ya pamoja 

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA

$
0
0
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Amina Makilagi, Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Chato na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rukia Kassim Ahmed, Bungeni jijini Dodoma, Juni 19, 2019. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Mhandisi Edwin Ngonyani kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 19, 2019.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa zamani wa Namtumbo, Vita Kawawa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni19, 2019. Katikati ni Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kulia) akijadili jambo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Faustine Ndugulile (katikati), Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

JAFO AAGIZA UJENZI WA HOSPITAL YA UHURU UANZE MARA MOJA

$
0
0
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo(Mb) ameagiza ujenzi wa Hospital ya Uhuru uanze Wiki ijayo Tar.24/06/2019 ili kutimizia ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa Dec, 2018 na kuelekeza fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
Waziri Jafo alitoa maagizo hayo wakati wa ziara yake Wilayani Chamwino kukagua ujenzi wa hospital hiyo ya kisasa na  kukuta  hakuna ujenzi ulioanza na hata eneo  hilo halijasafishwa.
Akizungumza katika ziara hiyo Jafo amesema hataki kusikia hadithi zozote zinazokwamisha kuanza kwa ujenzi wa Hospital ya Uhuru kwa sababu Agizo lilishatoka na fedha zilishatengwa.

“Sikutarajia kukuta eneo la ujenzi likiwa katika hali hii, hakuna kitu kilichofanyika mpaka leo halafu mnaniambia bado mnaendelea na vikao sijui mnajadili nini ambacho hakiishi ninachotaka kuona hapa ni ujenzi kuanza mara moja yaani ikifika Jumatatu hali ya hapa iwe tofauti mkamilishe mambo yote yanayotakiwa kwa siku hizi chache na kazi hii ianze”

Waziri Jafo aliongeza kuwa nimesikia bado mnajadili kuhusu ramani gani itumike katika ujenzi huu sasa naagiza ujenzi wa Hospital hii utumie ramani ya Hospital ya Tunduma ambayo ni Gorofa kwa sababu ramani ile  itasaidia katika matumizi bora ya Ardhi na pia itakidhi mahitaji ya kuwa na jengo la kisasa lenye hadhi ya Hospital ya Uhuru.

Wakati huo huo Waziri Jafo aliagiza  kikosi maalumu cha SUMA JKT kitumike katika ujenzi wa hospital ya Uhuru ili iweze kwenda na muda na  ubora uweze kuzingatiwa na Wakala wa Majengo (TBA) watumike kama washauri na wadhibiti Ubora wa Majengo ya Hospital hiyo.

“Natoa miezi sita ujenzi wa Hospital hii uwe umekamilika na  ndio maana nikaagiza Kikosi cha Jeshi SUMAJKT  kitumike  ili tuweze kwenda na muda kwahiyo ifikapo Dec, 2019 nataka kuja kuona majengo yote  ya Hospiatl yakiwa yamekamika na kwa ubora wa hali ya juu” Alisema Jafo.

Akitaja sababu zilizochelewesha ujenzi wa Hospital ya Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Belnith Mahenge amesem  michoro ya Hospital imechelewa kupatikana na zaidi fedha zilizoelekezwa hazijaingia kwenye Akaunti husika ili ziweze kutumika kwenye  ujenzi.

Aidha Rc Mahenge  alimshkuru Waziri Jafo kwa ziara yake na kusema maagizo yote yaliyotolewa yamepokelewa  na yatatekelezwa; Ujenzi wa Hospital ya Uhuru  utaanza mara moja.

Ujenzi wa Hospital ya Uhuru ni Agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alilolitoa mwezi Dec, 2018 ambapo aliagiza shilingi bil. 900  zilizokuwa zitumike kwenye  sherehe za maadhimisho ya Uhuru  wa Tanzania zitumike kujenga Hospital Kisasa Mkoani Dodoma na  kuongezafedha zaidi shilingi  Bil 2.5 kutoka katika Gawiwo lililotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo akitoa maelekezo katika eneo la ujenzi wa Hospital ya Uhuru inayojengwa katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.

Mwanza kucheza na Iringa fainali soka wasichana UMISSETA

$
0
0
Kwembe, Mtwara
Timu za Mwanza na Iringa zimefanikiwa kuingia hatua ya fainali baada ya kuwalaza wapinzani wao katika mechi zilizochezwa leo asubuhi katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara.

Katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza bingwa mtetezi Dar es salaam alifungwa na timu ya mkoa wa Iringa kwa magoli 2 kwa 0 na kufuatiwa na pambano la soka kati ya Mwanza dhidi ya Ruvuma ambapo Mwanza iliichakaza Ruvuma kwa magoli 4 kwa 0.

Kwa upande wa soka wavulana mechi  za nusu fainali zilitarajiwa kuchezwa leo jioni ambapo Lindi itacheza na Ruvuma huku Mwanza ikichuana na Songwe.

Katika mchezo wa netiboli timu za Dar es salaam na Tanga zimefanikiwa kuingia hatua ya fainali ambapo mechi za kutafuta mshindi wa tatu na fainali zitachezwa kesho asubuhi katika  viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara.

Timu ya netiboli ya mkoa wa Dar es salaam waliingia hatua hiyo baada ya kuwatoa mabingwa watetezi, timu ya mkoa wa Morogoro kwa  magoli 52-35, huku Tanga ikiifunga Mwanza kwa magoli 45-44.

Wakati huo huo timu za mpira wa kikapu za mkoa wa Mwanza wasichana na Pwani wavulana zimekuwa za kwanza kuingia hatua ya fainali baada ya kuwalaza wapinzani wao.

Katika mechi zilizochezwa leo asubuhi, Mwanza waliifunga Kilimanjaro kwa vikapu 38-28 na kwa upande wa mpira wa kikapu wavulana Pwani waliifunga unguja kwa vikapu 66-32.

Mechi nyingine za kutafuta washindi watakaoingia fainali wanatarajiwa kujulikana jioni ambapo mechi nyingine zitachezwa.
 Winga wa kulia wa timu ya soka ya Mwanza (jezi namba 7) Sharifa Hamidu akijaribu kumtoka beki wa timu ya soka ya mkoa wa Ruvuma Salma Anusa kwenye mpambano wa hatua ya nusu fainali ambapo Mwanza walifanikiwa kuingia fainali baada ya kuibugiza Ruvuma kwa goli 4-1.
 Mshambuliaji hatari wa Mwanza Aaliya Fikiri (jezi namba 8)  akijaribu kuwatoka mabeki wa Ruvuma katika mojawapo ya misuko suko iliyokuwa ikiliandama lango la timu yao 
Lango la timu ya soka wasichana la mkoa wa Ruvuma lilikuwa kwenye misukosuko kwa muda mwingi wa mchezo wa kipindi cha pili ambapo pichani ni Mshambuliaji hatari wa Mwanza Aaliya Fikiri akijiandaa kupiga shuti kuelekea goli hiyo.

WAZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAZUNGUMZIA HALI YA UPATIKANAJI MAZIWA NCHINI, YAHIMIZA KUFANYIKA TAFITI ZAIDI KUBAINI NG'OMBE BORA

$
0
0
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (wa tatu kushoto) akitoa tuzo kwa Mshindi wa kwanza wa Fahali bora kutoka Mbozi, Mkoani Iringa, Abraham Mwalutende wakati wa maonesho ya  Ng`ombe Bora wa Maziwa yaliyofanyika katika Viwanja vya Nanenane jijini Dodoma juzi.Wapili Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (ILRI), Dk. Jimmy Smith na Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (kushoto), akisalimiana na  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dk. Eligy Shirima alipokwenda kufungua rasmi Maonesho ya  Ng`ombe Bora wa Maziwa Tanzania yaliyofanyika katika viwanja vya Nanenane, Nzuguni jijini Dodoma jana. Katikati ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (IRLI), Dk. Jimmy Smith.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Elisante Ole Gabriel (wa pili kulia) akizungumza wakati wa  maonesho ya  Ng`ombe Bora wa Maziwa yaliyofanyika katika Viwanja vya Nanenane jijini Dodoma juzi. Wengine kutoka kulia ni, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (ILRI), Dk. Jimmy Smith;  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dk. Eligy Shirima na Msimamizi wa Mradi wa Utafiti wa Vinasaba vya Ng`ombe wa Maziwa kutoka Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (ILRI), Dk.Okeyo Mwai.

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (katikati) akitoa tuzo kwa Mshindi wa kwanza wa ng`ombe bora wa maziwa kutoka Meru, Mkoani Arusha, Emmanuel Nanyaro wakati wa maonesho ya  Ng`ombe Bora wa Maziwa yaliyofanyika katika Viwanja vya Nanenane jijini Dodoma juzi.Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (ILRI), Dk. Jimmy Smith.
 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega (kushoto), akihutubia wakati wa uzinduzi wa maonesho ya Ng’ombe bora wa maziwa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa  Mifugo (ILRI) pamoja na wadau kutoka maeneo mbalimbali katika Viwanja vya NaneNane Mkoani Dodoma juzi.
 Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa  ya Utafiti wa Mifugo (ILRI), Dk. Jimmy Smith (kushoto), akihutubia wakati wa uzinduzi wa maonesho ya Ng’ombe bora wa maziwa yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa  Mifugo (ILRI) pamoja na wadau kutoka maeneo mbalimbali katika Viwanja vya NaneNane Mkoani Dodoma juzi.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Dk. Eligy Shirima akizungumza katika hafla hiyo.




Na Ripota Wetu, Globu 

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amezitaka Taasisi za Utafiti wa Mifugo nchini kuhakikisha wanafanya tafiti zaidi nchini Tanzania kwa lengo la kubaini ng'ombe bora wa maziwa zilizpo ikiwa ni makakati wa kuongeza upatikanaji wa maziwa nchini. 

Ameweka wazi kwa sasa Tanzania kuna ng'ombe wa maziwa milioni 1,294,882 na uzalishaji wa maziwa ni lita bilioni 2.7 kwa mwaka wakati mahitaji ni lita bilioni 11, hivyo kuna upungufu wa maziwa lita bilioni 7.3 kwa mwaka. 

Mpina ameeleza hayo wakati wa Moanesho ya Ng'ombe Bora wa Maziwa nchini Tanzania ambayo yamefanyika kwa mara ya kwanza katika Viwanja vya Nanenane Mjini Dodoma na kuhudhuria na wadau wa sekta ya maziwa kutoka ndani na nje ya nchi ikiwemo Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo . 

Akifafanua zaidi kwenye maoesho hayo, Waziri Mpina amesema Tanzania ni ya pili kwa kuwa na idadi kubwa ya mifugo ikongozwa na Ethiopia barani Afrika lakini unapozungumzia sekta ya uzalishaji maziwa iko chini ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika Mashariki. 

"Kwa mwaka Tanzania kwa upande wa maziwa yanayosindikwa ni lita milioni 70 wakati hapa majirani zetu wa Kenya kwa mwaka wanazalisha maziwa ya kusindikwa lita milioni lita zaidi ya 800. 

"Kwa mwaka tunaagiza maziwa yaliyosindikwa kutoka nje ya nchi lita milioni 20 ambazo thamani yake ni Sh. bilioni 30 kwa ajili ya kuagiza maziwa wakati hapa nyumbani tuna ng'ombe wengi na hii ni aibu ambayo awamu ya Tano imeweka mkakati wa kuimaliza,"amesema Mpina. 

Pia amewataka Watanzania na hasa wadau wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kuchangia fursa hiyo ya uhaba wa maziwa kwa kuzalisha kwa wingi na kwa upande wa Serikali imejipanga kuhakikisha sekta ya mifugo inaleta tija kwa Taifa. 

"Ukweli uliopo kwa idadi ya mifugo ambayo tunayo hapa nchini , hata hao ambao wanaonekana ni washindani wetu huenda sio washindani kabisa kwetu.Kwa mikakati ambayo Wizara yetu inayo na malengo ya Serikali ya Awamu ya Tano tunauhakika Tanzania tutakuwa wa kwanza kwa kuzalisha maziwa mengi na yaliyobora,"amesisitiza. 

Kuhusu jumbe ambazo zimetolewa wakati wa maonesho hayo , amekiri imezungumzia changamoto ya uhaba wa dawa za chanjo za mifugo na malisho ya mifugo,ambapo amesema Serikali imeshaweka mikakati kuondoa changamoto hizo pamoja na nyingine. 

Amesema Serikali itahakikisha dawa zinapatikana kwa gharama nafuu na sio bei ya juu ambayo wafugaji wanauziwa.Pia Wizara imejipanga kukabiliana na magonjwa ya mifugo na kufafanua kupitia maabara za mifugo zilizopo watahakikisha kabla mifugo haijaingia nchini inafanyiwa vipimo,kama sehemu ya kukabiliana na magonjwa ya mifugo. 

Wakati huo huo Waziri Mpina amesema Wizara imedhamiria kuhakikisha bei ya maziwa inaongezeka kwani bei ya sasa ni ndogo na binafsi anamia sana anapoona bei ya lita ya maziwa inakuwa chini ya Sh.1000. 

Akizungumzia ng'ombe bora wa maziwa , amesema kuna idadi kubwa ya ng'ombe hao na hivyo hakuna sababu ya kuagiza mbegu kutoka nje ya nchi na kwamba kupitia tafiti zinazoendelea katika vituo vya utafiti vilivyopo nchini na hasa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania kuna uwezekano wa kuwa na madume mengi zaidi yenye mbegu bora. 

"Nikiri yapo malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi kuhusu madume ya ng'ombe aina ya Mtamba na tayari Wizara na Serikali kwa ujumla imeweka mikakati ya kuhakikisha tunakuwa na mitamba mingi zaidi .Hivyo taasisi zetu za utafiti zihakikishe zinafanya tafiti nyingi na katika mikoa mingi zaidi,"amesema. 

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo Tanzania Dk.Jimmy Smith pamoja na mambo mengine amesema anaishukuru Serikali ya Awamu kuwa kutoa nafasi kwa taasisi yake kushiriki katika kuongeza tija katika sekya ya ufugaji wa ngo'mbe wa maziwa. 

Pia amesema kupitia teknolojia ya mawasiliano wamekuwa wakikusanya taarifa za wafugaji pamoja na kufanya tafiti mbalimbali kwa kutumia vinasaba ambavyo vinachukuliwa kupitia manyoya ya ng'ombe na utafiti ambao wameufanya kwa ng'ombe 6000 , wamefanikiwa kupata waliobora 40. 

THE TRENDY SHOW S02 EP05 BY CYNTHIA MASASI MZIRAY


MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA

$
0
0

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Amina Makilagi, Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Chato na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Rukia Kassim Ahmed, Bungeni jijini Dodoma, Juni 19, 2019. 

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Namtumbo Mhandisi Edwin Ngonyani kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 19, 2019.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa zamani wa Namtumbo, Vita Kawawa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni19, 2019. Katikati ni Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kulia) akijadili jambo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Faustine Ndugulile (katikati), Bungeni jijini Dodoma Juni 19, 2019. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

MASAUNI ATEMBELEA MRADI WA NYUMBA ZA POLISI KUNDUCHI,MIKOCHENI NA KITUO KIPYA CHA POLISI OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kushoto), akiongozana na wataalamu kutoka Kikosi cha Uzalishaji cha Jeshi la Polisi na Wasimamizi wa Mradi kutembelea   eneo la Kunduchi ambako  Mradi wa  Nyumba Mia Tatu Thelathini za Makazi ya Polisi zinazoonekana pichani  zikiwa  zishakamilika.Ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, akimuelekeza jambo  Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati wa ziara ya kutembelea eneo la Mikocheni ambako  kumejengwa  nyumba  zinazoonekana  pichani  ikiwa ni makazi kwa ajili ya  askari  polisi. Ziara  hiyo  imefanyika  jijini Dar es Salaam.
 Kamanda  wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, akitoa taarifa  ya hali ya uhalifu katika mkoa wake kwa   Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati naibu waziri alipofika kituo cha polisi Oysterbay. Ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam.
Naibu  Waziri  wa  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni  akisalimiana  na  Kamanda  wa  Polisi  Mkoa  wa  Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, baada  ya  kuwasili  kwa ziara ya kikazi katika Mradi wa Ujenzi wa Kituo  Kipya  cha  Polisi  Oysterbay. Ziara hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

IGP SIRRO ATETA NA MAOFISA NA WAKAGUZI WA POLISI

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akisalimiana na kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas, wakati alipowasili katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuzungumza na Maofisa na Wakaguzi wa Jeshi hilo. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsikiliza Mkuu wa Utawala wa Jeshi la Polisi DCP Lucas Mkondya (aliyesimama) wakati akitoa hotuba mbele ya maofisa na wakaguzi (hawapo Pichani) kwenye kikao cha kuwajengea uwezo wa kiutendaji na kuwakumbusha wajibu wao. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na makamishna wa jeshi hilo baada ya kumaliza mkutano uliowahusisha maofisa na wakaguzi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji, kutoka kulia kwake ni Kamishna wa kamisheni ya Ushirikishwaji wa Jamii CP Mussa A. Mussa na kushoto kwake ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas. (Picha na Jeshi la Polisi).

WATUMISHI 7 NIDA WANASWA NA VITAMBULISHO 15,000, BVR NA VIFAA KIBAO

$
0
0

WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, kwa tuhuma za kukutwa na vitambulisho vya taifa vipatavyo 15,000.
Mbali ya vitambulisho hivyo, watuhumiwa hao ambao majina yao hayakutajwa, pia wamekamatwa na kompyuta mpakato mbili, meza, ‘scanner’, kamera, steshenari, maturubai, BVR kits, friji ndogo na vitu mbalimbali.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, ACP Wankyo Nyigesa, amewaambia waandishi wa habari ofisini kwake kwamba tukio hilo limetokea wakati wa kuhamishwa kwa vifaa vya wakala huyo kutoka ofisi za awali eneo la TANITA, kwenda ofisi mpya zilizoko Tamko.
“Watumishi hao saba, kati yao wanaume sita, mwanamke mmoja, wamefanya tukio hilo wakati wanatoa vifaa hivyo Tanita ofisi ya zamani, kuhamia ofisi mpya ambapo wakiwa njiani waliiba vitu hivyo kisha kuviuza,” alisema Kamanda Nyigesa.
Ameongeza kwamba baada ya tukio hilo uongozi wa NIDA ukatoa taarifa Polisi Juni 14 kuhusiana na tukio hilo, na kwamba katika kufanikisha azma yao walitumia gari ndogo aina ya Toyota Spacio yenye namba za usajili T 365 DFS.
“Jeshi la Polisi lilifuatilia gari hiyo iliyokuwa imebeba jenereta ambayo walikuwa wanakwenda kuiuza, baada ya watumishi hao kupekuliwa majumbani mwao walikutwa na vifaa vya ofisi ambavyo ni kompyuta mpakato mbili, nyaya za kompyuta na boksi moja lenye vitambulisho hivyo,” alisema Kamanda Nyigesa.
Aliongeza kwamba vitu vilivyoibiwa vya NIDA vyote vina thamani ya Tsh. Milioni 15, huku akiwaomba watumishi wa umma na taasisi na mashirika watu binafsi kuwa watiifu wanapokabidhiwa mali za umma wazichunge kama mboni ya jicho.

ZOEZI LA KUSAJILI LAINI ZA SIMU KWA KUTUMIA MFUMO WA ALAMA ZA VIDOLE WAFANIKIWA ARUSHA

$
0
0
Mmoja wawafanyakazi wa TCRA Arusha
akiendelea kutoa elimu kwa mwananchi
Na Woinde Shizza Michuzi TV, Arusha 
Zoezi la kusajili laini za simu kwa kutumia mfumo mpya wa alama za vidole umekua wa mafanikio makubwa Mkoani Arusha kwa mamia ya wananchi kujitokeza kwa wingi katika viwanja hivyo kujisajili kwa kutumia vitambulisho vya Taifa vya NIDA na alama za vidole
Zoezi ilo limeendeshwa na mamlaka ya mawasiliano Tazania TCRA kwa kushirikiana na maafisa wa NIDA pamoja na maafisa wa uhamiaji kwa lengo la wananchi kusajili laini zao pamoja na wengine kupata vitambulisho vya NIDA  kwa wale wasiokua navyo na kufanya zoezi ilo kuwa rahisi zaidi kwa wananchi
Akizungumzia zoezi ilo Mhandisi Imelda Salmu ambaye ni Kaimu Mkuu wa Mawasiliano  Kanda ya Kaskazini amesema zoezi ilo limeanza siku tatu zilizo pita wakianza na Chuo cha Uhasibu jijini Arusha na usajili huo kuwa na mafanikio makubwa na baadae kuingia katika viwanja vya soko la Kilombero
Kwa upande wao waratibu wa Nida  Julieti Raimondi alisema  lengo la kufika kwenye viwanja vya standi nikuwahamasisha wananchi wote ambao hawajawahi kujiandikisha waweze kufika  ili wafanikishe usajili wa simu zao na wale ambao bado awapata nao wanaangalia niwapi tarifazao zimekwama na waweze kuwatatulia matatizo yao.

MASAUNI AONGOZA WANAJUMUIYA WA CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA (KIU) KUMUAGA MWANAFUNZI ANIFA

$
0
0

 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada ya kuaga mwili imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada ya kuaga mwili imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  akizungumza wakati wa ibada ya kumuaga  mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada hiyo imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .
Waombolezaji wakimsikiliza Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani)wakati wa ibada ya kuaga mwili wa  mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada hiyo  imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

EAC TABLES USD 111M BUDGET PROPOSALS TO EALA FOR FINANCIAL YEAR 2019/2020

$
0
0

The Deputy Minister, Foreign Affairs and International Co-operation, United Republic of Tanzania, Dr. Damas Ndumbaro (center) hold aloft the briefcase containing the EAC Budget Speech moments before delivery.  He is flanked on left by Deputy Minister for EAC, Republic of Uganda, Hon Maganda Julius Wandera, Hon Abdikadir Aden, EALA Member and Chair of the General Purpose Committee and Counsel to the Community, Hon Dr. Anthony Kafumbe. On right is EAC Secretary General, Hon Amb Liberat Mfumkeko, Senior Budget Officer, Tareto Salay, and Beatrice Rono, EAC Budget Officer
 The Deputy Minister, Foreign Affairs and International Co-operation, United Republic of Tanzania, Dr. Damas Ndumbaro (center) hold aloft the briefcase containing the EAC Budget Speech moments before delivery.  
 Tanzania's Deputy Minister, Foreign Affairs and International Co-operation, United Republic of Tanzania, Hon Dr. Damas Ndumbaro delivers the EAC Budget Speech whose theme is "Transforming Lives through Industrialization and Job Creation for Shared Prosperity" to an attentive House
The Assembly Members pay attention to the Budget Speech delivered by Tanzania's Deputy Minister, Foreign Affairs and International Co-operation, United Republic of Tanzania, Hon Dr. Damas Ndumbaro.

….Industrialization and job creation -key priorities for the bloc

East African Legislative Assembly, Arusha, Tanzania: 19 June 2019: Barely a week after the Partner States presented their respective budgets, the EAC has this afternoon presented for consideration, budget estimates for the Financial Year 2019/2020, totaling $111,450,529 to the East African Legislative Assembly.

The Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, United Republic of Tanzania, Hon Dr. Damas Ndumbaro, presented the budget speech on behalf of the Chairperson of the EAC Council of Ministers and Rwanda’s Minister for State, EAC in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation, Hon Amb Olivier Nduhungirehe.

The 2019/2020 Budget is themed: “Transforming lives through Industrialization and Job Creation for shared prosperity.  According to the Chair of Council of Ministers, the priority interventions for FY 2019/2020, will focus on the consolidation of the Single Customs Territory and promotion of intra and extra EAC trade and export competitiveness, development of regional infrastructure, effective implementation of the Common Market Protocol and the enhancement of regional industrial development.

Other areas include the implementation of the roadmap towards the EAC Monetary union, institutional transformation focusing on the implementation of the institutional review recommendations and improvement of performance management at the EAC Organs and institutions.

The Chair of Council proposes that 2019/2020 Budget be allocated to the Organs and Institutions of the EAC as follows; East African Community Secretariat ($53,296,404), East African Legislative Assembly ($18,973,845) and the East African Court of Justice ($4,225,241). The Inter-University Council for East Africa shall receive ($9,586,426), Lake Victoria Basin Commission ($13,193,849) while $ 4,061,145 is earmarked for the Lake Victoria Fisheries Organization.  

On their part, the East African Science and Technology Commission shall receive ($ 1,915,073), East African Kiswahili Commission ($ 1,474,775) and the East African Health Research Commission ($ 3,996,270). The East African Competition Authority is to benefit from an amount of $727,501 in the Financial Year 2019/20.


The 2019/2020 Budget is to be financed by Partner State contributions through the Ministries of EAC Affairs ($49,791,446); Ministries responsible for Education – ($4,379,968) and Ministries responsible for Fisheries ($ 2,060,845). Development Partners will support the Community to the tune of ($54,031,725) while Member Universities will inject into the kitty $ 468,300. The miscellaneous revenue is pegged at $ 296,145 while the General Reserve shall contribute USD 422,100.


Other key areas the Minister said, include the promotion of peace, security and good governance and the constitution-making process for the EAC Political Confederation, factors that will be necessary for successful implementation of socio-economic programmes to further support the growth and development of the EAC region.

The EAC is further expected to streamline and further consolidate on its operational systems to achieve the desired level of efficiency, accountability, and value for money. The Chair of Council of Ministers cited a number of assumptions on which this year’s budget is pegged on to include the continued and consolidated political support of the EAC integration and the availability of adequate financial resources and remittances. Political stability and good governance, as well as safe and stable security across the region, are other areas of consideration.

Last Financial Year, the august House approved a Budget of USD111, 933,303. The said amount was earmarked for among others; consolidation of the Single Customs Territory (SCT) to cover all imports and intra-EAC traded goods; Infrastructural development in the region and liberalization of free movement of skilled labor across the Partner States.

The Minister cited the performance of the EAC Organs and institutions in the above areas noting general improvements, enhanced partnerships and drive/enthusiasm to address existing and new challenges

On the global economic performance outlook, the Minister informed the House the global economy had expanded and that the EAC region had maintained its position as the fastest growing economic bloc. “Mr. Speaker, given the accelerated growth within Sub-Saharan Africa attributed to strong agricultural production, rapid public investment, and private consumption in the past two years, the EAC region has maintained its position as the fastest-growing sub-region in Africa, with an estimated growth of 6.3 percent in 2018, up from a revised growth of 5.6 percent in 2017”, the Chair of Council of Ministers said.

“Strong growth was widespread in the region, with Kenya, Rwanda, Tanzania, and Uganda growing at more than 6 percent. Economic growth in Burundi and South Sudan remained subdued in 2018, with some strong signs of recovery. GDP growth in Burundi was 0.1 percent in 2018 compared with a contraction of about 1.3 percent in 2017.  In South Sudan, the economy contracted by 1.2 percent in 2018 compared to a contraction of 3.5 percent in 2017”, Hon Dr. Ndumbaro added.

On the legislative front, the Minister informed the House of enactment of three key pieces of legislation namely: the East African Community Customs Management Act (Amendment) (No.2) Bill of 2018; the East African Community Statistics Bureau Bill, 2017; and the East African Community Supplementary Appropriation Bill, 2019. “The Council has accordingly lined up these pieces of legislation for assent by the Summit”, the Minister remarked.

“Similarly, we are engaged in various studies, which should eventually culminate into pieces of legislation. At an opportune time, therefore, this august House will have the opportunity to consider them or get the Council’s response on some of the proposals coming through as private Members Bills”, Hon Dr. Ndumbaro informed the House.

The Chair of Council of Ministers further lauded the Assembly for the speed with which it is carrying out with its mandate.

On Infrastructure, the Minister informed the House of the completion of both the dual construction of the Sakina - Tengeru section, 14 km long, and construction of the 42-km long Arusha by-pass.  He informed the House of the completion of detailed design studies linking the 400-km long Malindi-Lunga Lunga and Tanga-Bagamoyo road between Kenya and the United Republic of Tanzania and that discussions between the African Development Bank and the two Governments were in place and at an advanced stage.  Also completed are the feasibility studies and designs linking the Republics of Rwanda and Burundi to the Central Corridor.

On Civil aviation and airport matters, the House has informed the EAC Secretariat had during the year under review, coordinated the implementation of the EAC seamless upper airspace project including the harmonization of regulations, manuals of air navigation services operations and development of common secondary surveillance radar (SSR) codes. A memorandum of understanding for the establishment, operationalization and management of EAC upper airspace has further been developed to facilitate the acquisition of interoperable air navigation infrastructure and services. 

On agriculture and food security, the EAC Minister said the region remained committed to fully support the implementation of the June 2014, African Heads of State Malabo Declaration on Agriculture Growth and Transformation in Africa. “The Community continues to prioritize implementation of the Malabo Declaration made by Heads of States in June 2014 on Agricultural Growth and Transformation in Africa and being implemented under the Comprehensive Africa Agriculture Development Programme (CAADP) Compact framework”, the Minister remarked.

The Minister called for heightened measures to ensure food security. “Mr. Speaker, in the financial year 2019/20, the Community will focus on key agricultural sector priorities including supporting coordination and implementation of EAC CAADP Regional Agricultural Investment Plan (RAIP) and EAC Regional Food and Nutrition Security Action Plan (FNSAP), strengthening regional coordination and EAC Partner States capacities for domestication. The minister also affirmed the Community’s desire to strengthen the regional Food Balance Sheet to establish Regional Food Market Intelligence Hub under which detailed crop harvesting calendar, a move considered important for mitigating potential significant shortfalls in food production and distribution at certain times of the year.

On health matters, Hon Dr. Ndumbaro said the Secretariat continued to implement major disease prevention and control initiatives in the region with financial and technical support from the Federal Republic of Germany through the German Development Bank (KfW) and GIZ. The Secretariat, he said, was in process of acquiring nine mobile laboratory units and 18 vehicles to bolster Partner States capacity to detect and respond to the most dangerous disease-causing agents such as Ebola.  Under the same project, 12 laboratories experts’ trainers of trainees (TOTs) two from each Partner State, were trained on the use of specialized laboratory techniques and use of advanced laboratory equipment.

Hon Dr. Ndumbaro remarked the EAC on June 11-14th, 2019 undertook one of the biggest and most complex health sectors led field simulation exercises in Africa at the Namanga border point. The Field simulation exercises enhanced Partner States’ capacity in pandemic preparedness and response.

In addition, the Council of Ministers approved the EAC State of Women’s, Children’s and Adolescent Health and HIV&AIDS Report 2018, the 2018 EAC Reproductive, Maternal, Newborn, Child and Adolescent Health (RMNCAH) and HIV&AIDS Scorecard, as well as the EAC Regional Policy of Prevention Management and Control of Alcohol Drugs and other Substance use, 2019.

On the environment and natural resources, the august House was informed of the development of an action plan on the implementation of Disaster Risk Reduction (DRR), and a corresponding training manual that inter alia; maps out disasters evacuation centers in the Partner States; and strengthens/ harmonizes existing regional early warning systems. At the same time, the budget speech noted the progress made with respect to the framework for conservation and management of transboundary ecosystem(s)in the region.

The House is expected to debate on the Budget proposals from tomorrow. 


WATANZANIA TUWE MACHO NA WAMAREKANI NA WASHIRIKA WAO - BALOZI MSTAAFU

$
0
0

Juni 19, 2019.
Kwa uzoefu wangu wa ufuatiliaji wa masuala ya kidiplomasia na siasa za kimataifa, kilichofanywa na Ubalozi wa Marekani katika Tahadhari yao iliyotolewa saa 1:19 Jioni tarehe 19 Juni, 2019 kuwa kuna minong’ono ya kutokea mashambulizi katika maeneo ya Masaki hususani katika hoteli na migahawa inayotumiwa mara nyingi na watalii na pia maeneo ya Slipway Msasani ni Mikakati ya makusudi isiyoitakia heri Tanzania.


Katika taarifa hiyo iliyotolewa kupitia akaunti rasmi ya Twitter ya Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, Marekani imekiri kuwa haina ushahidi wa kuwepo kwa tishio hilo na muda ambao mashambulizi yatafanyika na inawataka wananchi kuchukua tahadhari.


Kwa tabia za Marekani hasa pale wanapokuwa hawakubaliana na baadhi ya mambo kwa Taifa fulani hii ni mbinu ambayo huitumia ili kudhohofisha Serikali kwa kuwatisha Watalii, wawekezaji, Wafanyabiashara na hata wananchi wenyewe. Yapo maeneo ambayo hufikia hata hatua ya kutekeleza mashambulizi yenyewe ili mradi ionekane nchi hiyo sio salama na Serikali inashindwa kusimamia usalama wa nchi yake.


Huu ni ukoloni wa kupigiwa mfano na haukubaliki hata kidogo.


Zipo hoja kadhaa za kujiuliza kwenye tahadhari hii ya Marekani


1. Mkataba wa Vienna unaosimamia masuala ya Ubalozi na mashirika ya kimataifa katika nchi nyingine unaelekeza pamoja na mambo mengine, ni makosa kuingilia mambo ya ndani ya nchi ambayo Ubalozi upo. Mkataba huu unaelekeza kuwa kama kuna jambo lolote basi Ubalozi ama Shirika husika liwasiliane na Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje. Kwenye jambo hili Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umekiuka kwa makusudi kwa sababu ni mpango mahususi wa kuichafua nchi.


2. Ubalozi wa Marekani unatoa taarifa nyeti kama hiyo kwenye jamii bila kuwa na uhakika na jambo lenyewe. Tena unakiri kuwa hauna ushahidi. Hili ni jambo la ajabu na hatari sana hasa linapotolewa na Ubalozi wa nchi yenye hadhi kama Marekani. Maana ya hili ni moja tu kufanikisha mpango wake wa kuichafua nchi baada ya kuona njia zote zingine haziwezekani. Kulikuwa kuna ulazima gani kwa Ubalozi wa Marekai kutangaza kupitia Twitter kwa jambo ambalo hawana uhakika nalo tena bila hata kuvijulisha vyombo vya ulinzi na usalama na Wizara ya Mambo ya nje ya nchi?


3. Kilichofanywa na Ubalozi wa Marekani ni kama kujivika usemaji wa masuala ya usalama kwa Tanzania, nchi ambayo ni Huru na ina uhuru wa kufanya mambo yake yenyewe. Ni vizuri Watanzania wakajiuliza hivi leo Balozi wa Tanzania nchi Marekani Mhe. Wilson Masilingi atoe taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kuna minong’ono imeenea kuwa maeneo fulani ya Jiji la New York ama Washington DC yatashambuliwa na anatoa tahadhari kwa wananchi huku akikiri kuwa hana uhakika na minong’ono hiyo, PATAKALIKA?


4. Kama kweli kuna hiyo hatari isingekuwa busara kwa Marekani kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kupanga namna ya kukabiliana na mashambulizi hayo badala ya kukimbili kutangaza kwenye mitandao ya kijamii. Ama kuvijulisha vyombo vya ulinzi na usalama ili vyenyewe ndivyo vichukue hatua ya kutangaza na kuweka tahadhari?


Lakini pia ni vizuri Watanzania tujiulize kwa nini mambo yafanyike leo siku ambayo Jarida la Forbes limeitangaza Tanzania kuwa nchi inayoongoza kwa Amani katika Afrika Mashariki?


Kwa nini yatangazwe leo wakati ambapo Tanzania inaendelea kung’ara kila mahali kwa msimamo wa Rais wake Dk. John Magufuli ambaye ameamua kupigania maslahi ya Watanzania dhidi ya unyonyaji uliofanywa na watu na makampuni mbalimbali yakiwemo ya Kimarekani kama vile Symbion, kampuni iliyoleta vichwa vya Treni bila kuzingatia utaratibu na mengine mengi yaliyojiandaa kutupiga katika gesi, madini na mikataba ya kinyonyaji?


Mchezo kama huu umeshafanywa na Marekani katika maeneo mengi baadhi yake ni Korea Kaskazini ambako sote tunajua mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Marekani, Canada na Uganda kwa kutaja machache.


Najua wapo wanasiasa wa upinzani nchini Tanzania ambao kwa umbumbu na ubinafsi wao watashangilia na kuunga mkono kinachofanywa na Marekani lakini Watanzania ni lazima tuwe macho na jambo hili.


Wamarekani ni wazuri sana kwenye kuharibu amani na uchumi wa nchi ambazo wanalazimisha maslahi yao. Na hutumia mbinu hii hii ya kuwatumia watu wa ndani na hapa kwetu wanatumiwa wanasiasa wa vyama vya upinzani. Walifanya hivyo Libya yanayowakuta Libya leo kila mtu anayaona, wamefanya Tunisia na kwingineko.


Watanzania tuvisikilize vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, na bahati nzuri tayari vimeshazungumza kuhusu jambo hili. Tuwaambie wawekezaji, wafanyabiashara na watalii ambao wanakuja kwetu Tanzania kuwa nchi yetu ipo salama na vyombo vya ulinzi na usalama vipo na vinaendelea na majukumu yake ya kila siku ya kulinda usalama wa nchi na watu wake. Hata siku moja jukumu la ulinzi wa nchi yetu halijawahi kuwa mikononi mwa Wamarekani na nchi yetu ina historia ya kuwa kisiwa cha amani na utulivu. 


Kwao Marekani kila uchao watu wanauawa kwa kupigwa risasi, tena ni nchi ambayo silaha za moto zinauzwa kama saa ya mkononi. Silaha zimezagaa kila mahali na mauaji ya kutumia silaha yametamalaki lakini hata siku moja Balozi wa Tanzania hajawahi kutangaza hali ya hatari katika Marekani. 

Huu ni uhuni.

Wasituvuruge.
Ni mimi BALOZI MSTAAFU

Introducing New audio "TETETE" by Lomodo x Bonga

TANZANIA YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA UTALII SEOUL, KOREA

$
0
0
Ubalozi wa Tanzania Seoul, kwa kushirikiana na wadau wa Utalii kutoka sekta binafsi wameshiriki katika maonyesho makubwa ya Kimataifa ya “Seoul International Tourism Industry Fair” yaliyofanyika jijini Seoul kuanzia Juni 6-9, 2019 na kuandaliwa na Korea World Travel Fair (KOTFA) kwa kushirikiana na Seoul International Travel Mart (Seoul Metropolitan City).
Maonyesho hayo makubwa na ya aina yake yalijumuisha wadau kutoka nchi mbalimbali za Asia, Ulaya, America, Africa na Middle East wakiwemo:  Tour Operators, Travel Fairs, wamiliki wa Hoteli na Migahawa (Restaurants), Media, na wamiliki wa vyombo vya usafiri (Ndege, Cruise ships).
Tanzania iliwakilishwa na Ubalozi wa Tanzania Korea Kusini, Kampuni ya Utalii Eastenders, Zara Tours, Travel Booking Guide kwa kupitia Mwakilishi wake aliye Korea, Ms. Han Bitnarae, na SAFANTA Tours & Travel ya Zanzibar.
Kwa ujumla maonyesho hayo yalifana sana kwa Makampuni hayo kupata wenzao wa kushirikiana nao kibiashara kupitia B2B, kubadilishana uzoefu, kupata wateja wenye nia ya kwenda kutembelea Tanzania, na kwa kiwango kikubwa kuitangaza Tanzania katika jamii ya Wakorea na Mataifa mengine, ili wafahamu vivutio vilivyopo Tanzania, hali ya Usalama na Utulivu, na uwepo wa huduma nzuri za Malazi, Vyakula na Usafiri.   
 Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Mhe. Balozi Matilda Swilla Masuka (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Tanzania katika maonyesho hayo, pamoja na wageni waliotembelea banda la Tanzania.
 Picha ya pamoja kati ya washiriki wa Maonyesho hayo ya Utalii, Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Seoul, na Watanzania waishio Korea Kusini (Diaspora) ambao walikuja kuunga mkono juhudi hizo za kuitangaza Tanzania.
Timu ya Kampuni ya Eastenders Tours & Safari ikiongozwa na Mkurugenzi wake Bi. Masha H. Kimaro wakiwa katika mkutano wa B2B (Travel Mart) na Makampuni ya Kikorea kubadilishana uzoefu na kujadiliana maeneo ya ushirikiano wa kibiashara. Makampuni kadhaa yameonyesha nia, na wamefikia hatua nzuri ya makubaliano.

    

MASAUNI ATEMBELEA MRADI WA NYUMBA ZA POLISI KUNDUCHI,MIKOCHENI NA KITUO KIPYA CHA POLISI OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kushoto), akiongozana na wataalamu kutoka Kikosi cha Uzalishaji cha Jeshi la Polisi na Wasimamizi wa Mradi kutembelea   eneo la Kunduchi ambako  Mradi wa  Nyumba Mia Tatu Thelathini za Makazi ya Polisi zinazoonekana pichani  zikiwa  zishakamilika.Ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, akimuelekeza jambo  Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati wa ziara ya kutembelea eneo la Mikocheni ambako  kumejengwa  nyumba  zinazoonekana  pichani  ikiwa ni makazi kwa ajili ya  askari  polisi. Ziara  hiyo  imefanyika  jijini Dar es Salaam.
 Kamanda  wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, akitoa taarifa  ya hali ya uhalifu katika mkoa wake kwa   Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati naibu waziri alipofika kituo cha polisi Oysterbay. Ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam.
Naibu  Waziri  wa  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni  akisalimiana  na  Kamanda  wa  Polisi  Mkoa  wa  Kipolisi Kinondoni, ACP Mussa Taibu, baada  ya  kuwasili  kwa ziara ya kikazi katika Mradi wa Ujenzi wa Kituo  Kipya  cha  Polisi  Oysterbay. Ziara hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MASAUNI AONGOZA WANAJUMUIYA WA CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA (KIU) KUMUAGA MWANAFUNZI ANIFA

$
0
0
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada ya kuaga mwili imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada ya kuaga mwili imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  akizungumza wakati wa ibada ya kumuaga  mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada hiyo imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .
Waombolezaji wakimsikiliza Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(hayupo pichani)wakati wa ibada ya kuaga mwili wa  mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Anifa Simpoliunus, aliyefariki baada ya kuvamiwa na vibaka maeneo karibu na chuo hicho.Ibada hiyo  imefanyika nyumbani kwa marehemu Mbezi SalaSala,jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Iringa kwa mazishi .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live




Latest Images