Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109587 articles
Browse latest View live

NEWZ ALERT: MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUWA MKURUNGENZI MKUU WA NIDA NA WENZAKE SITA,WAKAMATWA TENA

0
0
Na Karama Kenyunko globu  ya Jamii. 

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA), Dickson Maimu na wenzake 6 waliokuwa wakikabiliwa na kesi  ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya Sh.Bilioni 1.16 kwa sababu Mkurugenzi wa Mashtaka' (DPP) hana nia ya kuendelea  na mashtaka dhidi ya washtakiwa 

Washtakiwa hao wameachiwa chini ya kifungu cha 91(1) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura 20 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Hata hivyo,  mara baada ya vigogo hao kuachiwa  huru na kutoka nje ya chumba cha mahakama, walikamatwa tena na kuwekwa chini ya ulinzi na polisi na baadae kupelekwa katika kituo cha polisi cha Kati.



TANZANIA YATEKELEZA MIKATABA YA KUONDOA UNYANYASAJI WA WANAWAKE

0
0
Na Wankyo Gati,Arusha 

JAJI wa Mahakama ya Rufani Tanzania,Dk.Gerald Ndika amesema kuwa, serikali inatekeleza mikataba ya kimataifa hususani ile ya kuondoa unyanyasaji wa wanawake kwa kukusanya taarifa za unyanyasaji na kuzifanyia kazi ili kutokomeza vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake.

Akizungumza katika Mkutano wa kimataifa ulioangazia masuala ya Utoaji haki kwa wanawake kupitia mifumo ya kimahakama uliondaliwa na Shirika la kimataifa linalojihusisha na masuala ya Wanawake pamoja na Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania ,Dk.Ndika alisema kuwa, tayari serikali imeridhia mkataba huo ambao unatekelezwa kwa dhana shirikishi ambapo Mahakama,Wizara ya Katiba na Sheria,Wizara ya Afya na Asasi za kiraia ambazo hutumika kukusanya taarifa ambazo nchi inaziwasilisha .

Dk.Gerald alisema kuwa ,juhudi endelevu zinahitajika katika kupiga vita vitendo vya unyanyasaji wa wanawake pamoja na kutathmini utekelezaji wa mikataba hiyo ili iweze kuzaa matunda.

Kwa upande wa Jaji Kutoka Mahakama Kuu Tanzania Joaquine De Mello amesema kuwa, changamoto za mila na desrturi imekuwa kikwazo katika kutetea haki za wanawake jambo ambalo linahitaji ushiriki mpana.

Alisema kuwa, sheria ya ndoa na sheria ya mirathi inapaswa kuangaliwa upya kwani kuna baadhi ya vipengele vina mkandamiza mwanamke na kumnyima haki zake za msingi. 

Afisa Programu wa Shirika la kimataifa linalojihusisha na mambo ya Wanawake (UN WOMEN) ,Rachel Boma alisema kuwa, Tanzania imeridhia sheria mbalimbali za kimataifa kwenye eneo la kutoa haki kwa wanawake lakini bado kuna baadhi ya sheria ambazo ni kandamizi ikiwemo sheria ya mirathi na sheria ya ndoa .

Aidha alisema kuwa, katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu hivi sasa wizara ya sheria ipo katika mikakati wa kufanya marekebisho katika sheria ya mirathi na ndoa ili kuweza kuondoa baadhi ya vipengele kandamizi.

WAJASILIAMALI WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA BIDHAA ZAO

0
0
Na Woinde Shizza Globu ya jamii ,Arusha.

Wanawake wajasiliamali nchini wametakiwa kuongeza thamani bidhaa
wanazozizalisha pamoja na kuboresha vifungashio ,ili  kuhimili
ushindani wa soko la ndani na nje ya nchi


Hayo yameelezwa na Meneja wa Sido Mkoani Arusha Linah Nchimbi katika
semina maalumu ya wanawake wajasiriamali iliyofanyika jijini Arusha na
kuandaliwa na kituo cha redio cha Arusha one FM kupitia mpango wao wa
Jipange Mwanamke 2019.

Meneja Huyo amesema kuwa bidhaa za wajasiliamali zinaweza kupata soko
kubwa iwapo zitaongezwa thamani na kufungashwa vizuri .

Meneja Miradi wa Radio Arusha One FM,Fredrick John Amesema kuwa
mpango huo unalenga kuwasaidia wajasiriamali wadogo ambao wamekua
wakijikwamua kwa kuwapa elimu ya masoko na jinsi ya kupanga bajeti.

Mratibu wa Mafunzo hayo ya Jipange Mwanamke 2019 ,Jamilah Mohammed
amesema kuwa wanatarajia kuwafikia wanawake wengi na kuwapa ujuzi wa kibiashara utakaoongeza thamani kwenye biashara zao.

Rukia Wiliam ambaye ni mjasiliamali anayejishulisha na uuzaji wa
vitafunwa aina ya vitumbua amesema kupitia biashara yake ndogo ameweza
kujenga nyumba nzuri ya kuisha na kwa sasa ana mpango wa kuanzisha
biashara nyingine hivyo maarifa hayo yatamuwezesha kukua kibiashara.

Mfanyabiashara anayeuza dagaa Advesta Christopher amesema kuwa
amehudhuria Mafunzo hayo ili kujua namna ya kuweka bajeti kuanzia
kwenye familia hadi kwenye biashara ili kukua kiuchumi .
Wajasiliamali wakiendelea na biashra ya bidhaa zao 

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA KUWAIT,ETHIOPIA NA MISRI WALIPOFIKA IKULU ZANZIBAR KUJITAMBULISHA

0
0
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Mhe.Mubarak Mohammed Alsehaijan, alipofika Ikulun Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo,28-1-2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Mhe. Mubarak Mohammed Alsehaijan, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 28-1-2019, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Mhe. Mubarak Mohammed Alsehaijan, wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yao, alipofika kujitambulisha le Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Mhe. Mubarak Mohammed Alsehaijan, baada ya kumaliza mazungomzo yao yaliofanyika leo 28-1-2019, Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Ethiopia Nchini Tanzania,Mhe.Yonas Yosef, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 28-1-2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Ethiopia Nchini Tanzania Mhe. Yonas Yosef, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo,28-1-2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na mgeni wake Balozi wa Ethiopia Nchini Tanzania Mhe. Yonas Yosef, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha.leo 28-1-2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Ethiopia Nchini Tanzania kulia Mhe.Yonas Yosef, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndh. Salum Maulid, na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Ussi Gagu na Kaimu Mkurugenzi Idara Mambo ya Nje Zanzibar. Balozi Mahammed Hamza.(
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe. Gaber Mohamed, wakati wa mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar alipofika kujitambulisha leo,28-1-2019.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na mgeni wake Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe.Gaber Mohamed, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo.28-1-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake wakitoka katika ukumbi Balozi wa Misri Nchini Tanzania. Mhe. Gaber Mohamed, baada ya kumaliza mazungumzo yao, yaliofanyika Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)   . 

WAKUU WA MIKOA WOTE WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAFANYABISHARA NDOGONDOGO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

0
0
 Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere akitafanua jambo kwa wakuu wa mikoa yote nchini wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi na kuhudhuriwa pia na Katibu Mkuu Tamisemi Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akiongoza kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa yote nchini kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu Tamisemi Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Arusha Mhe. Mrisho Gambo awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul makonda awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Geita Mhandisi Robert Gabriel  awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Iringa Mhe. Ally Hapi  awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Kagera Brigedia jenerali Marco Gaguti awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019

 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mst) Emmanuel Maganga sehemu ya  awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Kilimanjaro Mhe. Anna Mghwira sehemu ya awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Lindi Mhe. Godfrey Zambi   sehemu ya awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Manyara Mhe. Alexander Mnyeti  sehemu ya awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Mara Mhe. Adam Malima  sehemu ya awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Mbeya Mhe. Albert Chalamila  sehemu ya  awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kebwe  sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019

 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Rukwa Mhe. Joachim Wangabo sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mhe. Christina Mndeme sehemu ya awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Tellack   sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Simiyu Mhe. Anthony Mtaka  sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi  sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Songwe Brigedia Jenerali  Nicodemus Elias Mwangela sehemu ya  awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Tabora Mhe. Aggrey Manri sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe  Martine Shigella sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi  katika picha ya pamoja akiwa ameketi na Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga (kulia kwake) na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe  (Kushoto Kwake)  Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Ndikilo (kulia) baada ya kuwakabidhi wakuu wa Mikoa hao awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo   Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019.
PICHA NA IKULU

WAZIRI BITEKO AANZA KUTATUA MGOGORO KATI YA MZEE MCHATA NA KAMPUNI YA MANTRAC

0
0
Waziri wa Madini, Doto Biteko leo Januari 28, amekutana na Mzee Eric Mchata na Kampuni ya madini ya Uranium ya Mantra Tanzania kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo baina ya pande hizo mbili.

Kikao hicho, kinafuatia malalamiko yaliyowasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Januari 22 na  Mzee Mchata wakati wa mkutano wa Kisekta ulioshirikisha wachimbaji wadogo na wadau wa madini uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Wakati akisikiliza kero za wachimbaji na wadau wa madini walioshiriki kikao hicho, Rais Magufuli alipokea kero ya Mzee Mchata aliyemweleza kwamba amekuwa na mgogoro na kampuni hiyo kwa kipindi cha takribani miaka 12 na bado hajapata suluhu. Akijbu kero iliyowasilishwa na Mzee Mchata, Rais Magufuli aliitaka Wizara ya Madini kuhakikisha mgogoro huo unafikia mwisho.
 Waziri wa Madini Doto Biteko akimweleza jambo Mzee Eric Mchata wakati wa kikao cha kusuluhisha mgogoro baina yake na kampuni ya Mantra Tanzania.
Waziri wa Madini Doto Biteko akimsikiliza Mzee Eric Mchata. Kulia aliyekaa ni Meneja Maendeleo, Utawala na RasilimaliWatu wa kampuni ya Mantra Tanzania, Phillemon Tano.
 Sehemu ya Wataalam wa wa Wizara ya Madini na Tume ya Madini wakifuatilia kikao cha kusuluhisha mgogoro kati ya kampuni ya Mantra na Mzee Eric Mchata. Kutoka kulia ni Kamishna wa Tume ya Madini, Prof. Abdulkarim Mruma, Kamishna wa Madini Mhandisi David Mulabwa na Afisa Sheria wa Wizara ya Madini, Joseph Nyamsenda. 

Misri kuwanoa Ocean Road katika saratani ya matiti

0
0
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
 Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) kupata watalaam Bingwa  wa Misri katika kuwaongezea ujuzi katika kansa ya matiti. Akizungumza na waandishi habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu  wa Taasisi hiyo Dkt.Julius Mwaiselage amesema kuwa mafunzo yatafanyika kwa wiki moja kwa madaktari na wauguzi 120.

Mwaiselage amesema amesema kuwa Misri wana uwezo mkubwa katika katika saratani ya matiti hivyo watatupa uwezo katika utoaji wa huduma za saratani hiyo. Aidha katika ujio huo madaktari Bingwa hao katika taasisi ni kuanzisha huduma ya upasuaji hali ambayo itaongeza uhudumiaji wa wagonjwa wa saratani ya matiti. Aidha amesema  kuwa watalaam hao wataboresha  ukusanyaji wa takwimu za watu wenye saratani kutokana jinsi walivyoanzisha nchini humo.

Dkt.Mwaiselage amesema kuwa saratani saratani ya matiti iko katika kiwango kikubwa ikilinganishwa na ile ya mlango wa kizazi na Misri na wako katika kiwango cha juu lakini wameweza kukabiliana. Nae Mkuu wa Kitengo cha Wizara ya Afya wa Nchini Misri Dkt.Nadia Badawy amesema wamekuja Tanzania katika katika kutoa elimu ya afya katika eneo la saratani.
Amesema katika ziara hiyo watatoa elimu kwa njia mbalimbali kuhusiana na saratani ya matiti.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage akiwapa maelezo madaktari Bingwa wa Misri wakati akiwa waonesha sehemu mbalimbali za Taasisi hiyo.
 Mkuu wa Kitengo Habari wa Wizara ya Afya nchini Misri Nadia Badawy akizungumza namna walivyojipanga katika kuwanoa wataalam katika Taasisi ya Ocean Road.
 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya  Ocean Road Dkt.Julius Mwaiselage akizungumza na waandishi wa habari wakati madaktari Bingwa wa Saratani kutoka Misri waliokuja kutoa mafunzo kwa madaktari na wauguzi wa Taasisi hiyo
Mratibu wa Saratani ya Uzazi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Safina Yuma akizungumza kuhusiana na ujio na madaktari Bingwa kutoka Misri.
 Picha ya namna wanavyopima saratani

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 14 WA BUNGE JIJINI DODOMA KESHO


TAKUKURU PWANI YABAINI MTANDAO UNAOSAIDIA UTOROSHAJI WA MAZAO YA MISITU KWA NJIA YA RUSHWA

0
0
NA MWAMVUA MWINYI, RUFIJI 
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU )mkoani Pwani, imebaini kuwepo kwa mtandao mkubwa unaosaidia kufanikisha utoroshwaji wa mazao ya misitu kwa njia ya rushwa. Naibu mkuu wa taasisi hiyo mkoani hapo, Sadik Nombo alizungumzia suala hilo baada ya kituo maalumu cha Ikwiriri, kupata taarifa ya kuwepo magogo ya mbao ya mti aina ya mninga yapatayo 20 yamefichwa kwenye nyumba moja katika Kitongoji cha Mtakuja ,kijiji cha Umwe Kaskazini yenye thamani ya sh. milioni 4,370,448 .

Alisema magogo hayo ,yamevunwa kinyume na taratibu na sheria ya misitu namba 14 ya mwaka 2002. . Kufuatia taarifa hiyo ,alisema kwamba, ofisi ya TAKUKURU imefanya uchunguzi wa haraka uliofanikisha  kukamatwa kwa mfanyabiashara mmoja aliyekutwa na magogo hayo. Nombo alifafanua, kitendo hicho kunaisababishia serikali hasara hasa katika mapato yatokanayo na uvunaji na usafirishaji wa mazao ya misitu. 

"Uchunguzi wa kubaini wahusika katika mtandao huo unaendelea ili wahusika wote waweze kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria" Alitoa wito wa kushirikiana  bega kwa bega katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuendelea kutoa taarifa za vitendo vya rushwa kwani rasilimali za nchi zinalindwa.
Hata hivyo Nombo aliwaomba pia ,watumishi wa umma  kuwa wazalendo na kuwa mstari wa mbele kulinda rasilimali za nchi na si kuwa wawezeshaji wa kusaidia utaifishaji wa mali ya umma.  

KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KUTOKA SEKRETARIETI ZA MIKOA 26 YA TANZANIA BARA

RC MWANRI AZINDUA KAMPENI YA JIONGEZE TABORA

0
0
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri, pamoja na viongozi wengine wakizindua rasmi kampeni ya jiongeze Tabora tarehe 25.01.2019
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Jiongeze Tuwavushe Salama.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri, viongozi mbalimbali wa Serikali na wadau wa maendeleo kwa pamoja wakikata utepe kuashiria kukabidhiana magari ya wagonjwa pamoja na vifaa tiba kwa halmashauri za Wilaya 3 katika mkoa huo.
 Magari ya wagonjwa yaliyokabidhiwa na wadau wa maendeleo.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri, akijaribu moja ya magari ya wagonjwa yaliyotolewa na wadau wa maendeleo.


Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri amezindua kampeni ya Jiongeze, Tuwavushe Salama! Uzinduzi huo wa Kampeni hiyo ya kitaifa mkoani humo unalenga kuwahamasiha mashirika yasiyo ya kiserikali, washirika wa maendeleo, watoa huduma za afya, familia, jamii pamoja na viongozi wa serikali na dini kwa kuchangia juhudi za taifa za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga.

Katika uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Isike Mwanakiyungi mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Aggrey Mwanri ameshuhudia wakuu wa Wilaya 7 za Mkoa huo wakitia saini makubaliano yanayozitaka halmashauri zote katika mkoa huo kutoa kipaumbele kwa maswala ya uzazi na watoto.


Akizindua kampeni hiyo mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Aggrey Mwanri amesema kuwa maisha ya kila mwananchi yana thamani na hivyo “hata kifo cha mama mmoja au mtoto hakikubaliki.”


Amesema kuwa vifo vingi vya akina mama na watoto mkoani Tabora vinatokana na uzembe na kuwataka viongozi mkoani humo kujielekeza zaidi kwenye kinga kuliko tiba.  “Swala la afya ya mama na mtoto ni ya kupewa kipaumbele namba moja.” alisema


Baadhi ya maeneo yenye kupewa kipaumbele katika kampeni hiyo yanajumuisha kuboresha miundombinu kwa ajili ya kutoa huduma bora zaidi za uzazi na watoto pamoja na kuhakikisha uwepo wa wahudumu wenye utaalam ili kuwezesha asilimia 50 ya vituo vya afya kuweza kufanya operesheni kwa ajili ya akina mama wajawazito na kutoa huduma ya damu salama.


Akizungumza kwa niaba ya wakuu wa wilaya wengine Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini Mh. Eric Komanya Kitwala amehimiza ujenzi wa vyumba viwili katika hospitali ya Mkoa (Kitete) ili kuwasaidia akina mama wajawazito kama sehemu ya utekelezaji wa malengo  ya kampeni.


Katika uzinduzi huo pia Mkuu wa Mkoa wa Tabora amekabidhi magari 4 ya wagonjwa pamoja na vifaa tiba kwa halmashauri za Wilaya 3 katika mkoa huo. Mkuu wa mkoa wa Tabora  ameshukuru wadau hao kwa kuunga mkono juhudi za mkoa huo katika kuzuia vifo vya akina mama na watoto na kuwataka kutochoka kuchangia juhudi  hizo.


Akitoa salamu za shukrani Mkuu wa Wilaya ya Uyui Gift Msuya ameipongeza Wizara ya Afya kwa kutoa suluhisho la matatizo yaliyokuwa yakiikabili sekta ya afya kupitia kampeni hii na kutoa rai kwa watu wote kuongeza juhudi za kuhakikisha kuwa mama na mtoto wanavuka salama.  


Uzinduzi huu mkoani Tabora ni sehemu ya utekelezaji wa kampeni hiyo ya kitaifa iliyozinduliwa kitaifa Tarehe 6 Novemba 2018, Mkoani Dodoma na Mhe. Makamu wa Rais mama Samia Suluhu Hassan. Kampeni hii ni sehemu ya juhudi za serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ya kuzuia vifo vitokanavyo na uzazi.


Katika kampeni hii serikali ya Tanzania imeshirikiana na wadau wa maendeleo kama vile UNICEF, UNFPA, USAID, World Bank, Tanzania Communication and Development Center, FHI 360 pamoja na Ubalozi wa Canada.

WAZIRI KAMWELWE AIPA MIEZI SITA SHIRIKA LA POSTA KURUDISHA MALI ZOTE

0
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe ameuagiza uongozi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) kurudisha mali zote za Shirika hilo ikiwemo viwanja, majengo ndani ya miezi sita zilizopo kwenye maeneo mbali mbali nchini nzima
Kamwelwe ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha 26 cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania kilichofanyika Dar es Salaam ambacho kimejumuisha viongozi na wawakilishi wa Baraza hilo kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar ambapo Shirika hilo lina mtandao wa miundombinu yake na inatoa huduma za mawasiliano ya posta, vifurushi na vipeto kwa wananchi
“Ifikapo tarehe 30 Juni mwaka huu wa 2019 mali zote za Shirika ziwe zimerudi kuwa mali ya Shirika la Posta Tanzania, hata kama mliuziana zirudi, hizi ni mali za Serikali na ninyi hamtakuwa wa kwanza kurudisha majengo, viwanja kwa kuwa wenzenu wa Shirika la Reli Tanzania wamerudisha,” amesisitiza Kamwelwe
Pia, ameuagiza uongozi wa Shirika hilo ndani ya kipindi hicho cha miezi sita, kuhakikisha kuwa Wilaya zote 186 nchi nzima ziwe na huduma za posta. Aidha, amewataka kupitia kikao cha Baraza hilo, wajadiliane kuhusu utekelezaji wa jambo hilo na bajeti watakayoijadili iwe na mwelekeo huo. Amesisitiza kuwa TPC ina watumishi wengi wapatao 821 nchi nzima hivyo wafanyakazi kazi kwa bidii, wawe wabunifu na wachape kazi kwa kuzingatia taaluma zao ili kuongeza ufanisi, tija, ukuaji na maendeleo ya Shirika ili waweze kuwahudumia wananchi. Amewaagiza kuhakikisha kuwa wanatumia mifumo ya kielektroniki kusafirisha fedha badala ya kutumia mfumo wa zamani wa wafanyakazi kushika pesa za mauzo, makusanyo na mapato mkononi
Amesema kuwa anaushukuru uongozi wa Shirika hilo kwa kuendelea kulipa deni la wastaafu ambalo limefikia kiasi cha shilingi bilioni 6.5 na amewaahidi kushirikiana nao ili Serikali iweze kurudisha fedha zao na amekiri kuwa Shirika limeiokoa Serikali na kuficha aibu hiyo. Pia, amewaahidi kulifanyia kazi deni la shilingi bilioni 12 ambapo amesema kuwa anahitaji kuelimishwa ili alielewe aweze kwenda kuwafahamisha wabunge ili waridhie na watoe kibali cha kulipa deni hilo
Katika hatua nyingine, ameuelekeza uongozi wa Shirika hilo kutumia miundombinu ya postikodi iliyopo sehemu mbali mbali nchini ili kufanikisha na kuharakisha utoaji wa huduma za mawasiliano ya posta kwa wateja wake kwa kuwa watanzania wana imani na Shirika lao na lina mtandao mpana nchi nzima
“Huduma ziwafikie watu wa vijijini haraka ili kuwapunguzia gharama na kero za kwenda mjini kufuata huduma ili kurahisisha uendeshaji wa kila siku wa maisha ya wananchi na mafanikio ya Shirika hili yaguse watanzania wote, ikitokea umepoteza nyaraka, mteja lazima ajibiwe haraka, kama umepoteza, lipa,” amesisitiza Kamwelwe.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika hilo, Kanali mstaafu Dkt. Haruni Kondo amemweleza Kamwelwe kuwa Shirika halijapewa mtaji na Serikali ila anawapongeza wafanyakazi kwa ushirikiano wao na kwa kulifikisha Shirika hapo lilipo kwa kuwa wanadai deni la shilingi bilioni 6.5 Serikalini kwa kulipa wastaafu
“Deni tunaloidai Serikali la kulipa wastaafu linatutesa sana, tunajua nguvu zako, tunakuomba utusaidie”, amesisitiza Kondo. Pia, ameongeza kuwa anamuomba Kamwelwe alisaidie Shirika kuondolewa kwenye orodha ya mashirika ya umma yaliyowekwa chini ya uangalizi ili Shirika liweze kutekeleza majukumu yake kwa kuwa ni Shirika kubwa ambalo limelala
Akitoa taarifa ya Shirika hilo kwa Kamwelwe, Posta Masta Mkuu wa Shirika hilo, Hassan Mwang’ombe amesema kuwa tayari Shirika limejiunga na mfumo wa malipo wa Serikali kwa njia ya kielektroniki (eGPG) ili mteja anapolipia alipie kwa urahisi na kuliwezesha Shirika kuona mapato yake yote kwa njia ya mtandao kwa kuwa malipo yatakuwa yanafanyika kwa njia ya kielektroniki na huduma zitaanza ndani ya wiki moja
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe akisisitiza jambo kwa wajumbe wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania wakati akifungua rasmi kikao hicho, Dar es Salaam. Wakisikiliza kwa makini viongozi wa Shirika hilo, wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi, Kanali mstaafu Dkt. Haruni Kondo na wa kwanza kulia ni Posta Masta Mkuu, Hassan Mwang’ombe.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania Kanali mstaafu Dkt. Haruni Kondo akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe (wa kwanza kulia) wakati wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo. Anayesikiliza kwa makini ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kutoka Wizarani, Kitolina Kippa.
 Posta Masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Hassan Mwang’ombe akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe ( wa pili kushoto) baada ya ufunguzi wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika hilo, Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi, Kanali mstaafu Dkt. Haruni Kondo na wa tatu kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kutoka Wizarani, Kitolina Kippa (wa tatu kulia)
 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania wakiimba wimbo maalumu wa wafanyakazi kabla ya ufunguzi wa kikao hicho uliofanywa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe (hayupo pichani)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe (katikati mstari wa mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania baada ya kufungua kikao hicho, Dar es Salaam. Viongozi wa Shirika hilo wakiwa kwenye picha hiyo, wanne kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi, Kanali mstaafu Dkt. Haruni Kondo na wa nne kulia ni Posta Masta Mkuu, Hassan Mwang’ombe 

WAZIRI KAMWELWE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LEO JIJINI DAR

0
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe (wa pili kushoto), akiimba wimbo wa mshikamano pamoja na baadhi ya viongozi wa shirika na viongozi wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika ufunguzi wa mkutano huo.
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania, wakijiandikisha kabla ya kuingia kwenye mkutano wao, jijini Dar es Salaam leo.
Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania, wakiwa katika mkutano wao, wa Baraza Kuu la Wafanyakazi jijini Dar es Salaam leo. 
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano ya Kimataifa wa Shirika la Posta, Elia Madulesi akizungumza wakati akiwakaribisha wajumbe na wageni mbalimbali waliohudhuria ufunguzi wa mkutano wa baraza hilo.
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Hassan Mwang'ombe akitoa taarifa ya utendaji wa shirika kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe (katikati), kabla waziri Kamwelwe, kuufungua mkutano wa baraza hilo, uliofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta, Kanali Mstaafu Dk. Haruni Kondo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo akizungumza kabla ya kumkaribisha Waziri Kamwelwe kuufungua mkutano wa baraza hilo. 
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wakisikiliza maagizo yaliyokuwa yakitolewa na Waziri Mhandisi Issack Kamwelwe (hayupo pichani), wakati akiufungua mkutano huo. Mbele kutoka kushoto ni Meneja wa Fedha, Rajabu Mng'ong'e, Meneja Mkuu Rasilimali za Shirika, Macrice Mbodo na Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara, Mwanaisha Said.
Waziri Mhandisi Issack Kamwelwe, akizungumza na wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania, katika ufunguzi huo. Kulia ni Katibu wa baraza hilo, Elizabeth Charles. 
Mjumbe wa baraza, Magreth Mabula, Mwakilishi wa Meneja wa Posta Mkoa wa Mbeya, akiuliza swali kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe, mara baada ya kuufungua mkutano huo. 

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe (katikati mbele), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa baraza hilo, mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo, ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini leo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe (katikati), akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania, Kanali Mstaafu Dk. Haruni Kondo wakati akiondoka baada ya ufunguzi huo.
Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Hassan Mwang'ombe akizungumza na wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania, mara baada ya kufunguliwa mkutano huo, jijini leo.

KIKAO CHA WADAU WA UTEKELEZAJI MPANGO MKAKATI WA KITAIFA KUTOKOMEZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

WAZIRI UMMY AWEZESHA UJENZI WA MADARASA SITA SHULE YA MSINGI MWAKIDILA JIJINI TANGA

0
0
 WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu(CCM) Mkoani Tanga kulia akizundua jiwe la la Msingi kwenye madarasa sita ya shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga yaliyofadhiliwa na Ubalozi wa Japani nchini kutokana na jitihada zake kuhakikisha changamoto za uhaba wa vyumba vya madarasa vinakwisha kwenye Jiji hilo kwa kushirikiana na wadau na wananchi.
  WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoani Tanga kulia akipiga makofi mara baada ya kuzoindua Jiwe Msingi kwenye madarasa sita ya shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga yaliyofadhiliwa na Ubalozi wa Japani nchini kutokana na jitihada zake kuhakikisha changamoto za uhaba wa vyumba vya madarasa vinakwisha kwenye Jiji hilo kwa kushirikiana na wadau na wananchi.
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga  akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Jiwe la Msingi kwenye madarasa sita ya shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga yaliyofadhiliwa na Ubalozi wa Japani nchini kutokana na jitihada zake kuhakikisha changamoto za uhaba wa vyumba vya madarasa vinakwisha kwenye Jiji hilo kwa kushirikiana na wadau na wananchi kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga.
 Mkurugenzi wa Shirika la Tawode Fatuma Mganga akitoa hotuba yake kwenye uwekaji wa Jiwe la Msingi kwenye madarasa hayo
 Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa akizungumza katika halfa hiyo
 Katibu Tawala wa wilaya ya Tanga (DAS) Faidha Salim akizungumza
Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji akizungumza
 Naibu Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mohamed Haniu akizungumza
 Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mwakidila akisoma risala kwa mgeni rasmi
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga akisalimiana na wataalamu  mbalimbali wa halmashauri ya Jiji la Tanga wakati alipowasili shuleni hapo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga kushoto akitazama madawati yaliyopo kwenye moja ya darasa ambalo limejengwa
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga kushoto akitazama madarasa hayo katikati ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga akisalimiana na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu wakati wa halfa hiyo katikati ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Tanga Faidha Salim
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga akifurahia jambo na wanafunzi wa shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga
 Viongozi mbalimbali wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga katikati akiwa kwenye piucha ya pamoja na viongozi mbalimbali na wanafunzi wa shule ya Msingi Mwakidila kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi  Mayeji kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga katikati akiwa kwenye piucha ya pamoja na viongozi mbalimbali na wanafunzi wa shule ya Msingi Mwakidila kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi  Mayeji kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa
 Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Tanga katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali na kwenye shule ya Msingi Mwakidila kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi  Mayeji kushoto ni Naibu Meya wa Jiji la Tanga Mohamed Haniu
  Muonekano wa madarasa sita yaliyojengwa kwenye shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga
  Muonekano wa madarasa sita yaliyojengwa kwenye shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga
 Muonekano wa madarasa sita yaliyojengwa kwenye shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga
  Sehemu ya wananchi wa Mwakidila wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri Ummy Mwalimu
  Sehemu ya wananchi wa Mwakidila wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri Ummy Mwalimu
 Sehemu ya wananchi wa Mwakidila wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri Ummy Mwalimu
Wanafunzi wa shule ya Msingi Mwakidila wakicheza wimbo wakati wa halfa hiyo
WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee wa Watoto na Mbunge wa Viti  Maalumu Mkoani Tanga Ummy Mwalimu leo ameweka jiwe la Msingi kwenye  madarasa sita shule ya Msingi Mwakidila Jijini Tanga yaliyofadhiliwa na  Ubalozi wa Japani nchini.

Ujenzi wa madarasa hayo unatokana na jitihada kubwa zilizofanywa na Waziri Ummy kuhakikisha anashirikiana na wananchi wa Jiji la Tanga kuweza  kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazoikabili sekta ya elimu ikiwemo ujenzi  wa madarasa kwa shule zenye uhaba ili kuwawezesha wanafunzi kusoma bila  kuwepo kwa vikwazo.

Mradi wa ujenzi huo uliofadhiliwa na Ubalozi wa Japani nchini Tanzania  kupitia shirika la TAWODE (Tanga Women Development Initiative) una thamani  ya shilingi Milioni 179,777,898.00 pamoja na madawati 180 mpaka kumalika kwake.

Akizungumza katika halfa hiyo Waziri Ummy alisema baada ya kuwepo kwa uhaba  wa vyumba vya madarasa ambapo darasa moja kwenye shule hiyo lilikuwa  likikaa wanafunzi 166 ndipo alipoamua kuweza kuishughulikia changamoto hiyo  kwa vitendo na kufanikiwa kupata ufadhili huo ambao umewezesha ujenzi huo.

Halfa hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa,Naibu Meya wa Jiji la Tanga Mohamed Haniue,madiwani  na  viongozi mbalimbali wakiwemo wa idara ya Elimu Jiji hilo wakiwemo viongozi  wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tanga wananchi,walimu na wanafunzi.

Alisema kwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli  inastahili kupongeza kila wakati kutokana na kuanzisha sera ya elimu bure  ambayo matokeo yake yameanza kuonekana kutokana na kuwepo kwa ongezeko la  uandikishaji wa wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza Jijini Tanga mwaka  huu.

“Kwa mujibu wa takwimu za Jiji la Tanga uandikishaji wa wanafunzi wa shule  ya Msingi umeongezeka kutoka mwaka 2015 watoto 8495 hadi watoto 10345 mwaka  2018 na ongezeko hilo sio kwa sababu watu wanazaa sana kutokana na kwa  mujibu wa takwimu zao kiwango cha wanawake kuzaa watoto kimepungua sana  kuliko zamani mwanamke anaweza kuzaa watoto mpaka saba.

Alisema kwamba kwa sasa mwananke mmoja anaweza kuzaa watoto kati ya watano  na hao walikuwa majumbani na walikuwa hawaendi shule kutokana na  kukwamishwa na ada na michango mbalimbali ambayo awamu hii imeamua kuiondoa  na hivyo wananchi kuweza kuwapeleka watoto wao shuleni kutokana na sera ya  elimu bure bila malipo.

Aidha aliwataka wananchi wa mkoa wa Tanga kuendelea kumuunga mkono Rais  Magufuli ili aweze kuendelea kuijenga Tanzania mpya ya viwanda kwa vitendo  kutokana na kazi kubwa anayoifanya kuhakikisha watanzania wanapata  maendeleo

“Ndugu zangu wana Tanga Rais wetu Mh Dkt John Mgufuli amefanya kazi kubwa  sana kuhakikisha watoto wanapata elimu na kila mwezi amekuwa akitoa milioni 54 kwa shule za msingi Jiji la Tanga na Milioni 55 kwa shule za Sekondari  kwa ajili ya kuhakikisha watoto wanasoma bila malipo hivyo niwaambieni  tutamlipa kwa kazi kubwa na mazuri kutokana na mambo makubwa aliyoyafanya
tumuonyeshe kwa vitendo kwenye serikali za mitaa kwamba tupo pamoja  naye”Alisema Waziri Ummy.

Naye kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji alipongeza  juhudi kubwa zinazofanywa na Waziri Ummy ambako kwa Jiji hilo wanajivunia  sana kuwa na kiongozi kama yeye kutokana na namna alivyojitoa kusaidia  maendeleo huku akimuhaidi kuchangia tiles kwa madarasa hayo sita.

Alisema kwa kipindi cha mwaka 2018 waliandikisha wanafunzi darasa la kwanza  asilimia 121 ya lengo ambalo walikadiria kuandikisha akwani walikaadiria  wanafunzi 8506 na waliweza kuandikisha10345 hali inayonyesha mwitiko mkubwa  wananchi kuwapeleka waoto shule.

Alisema hali hiyo miaka ya nyuma hakuwepo huku akieleza mwitikio huo  wananchi watahakikisha wanaweka miundombinu sambamba na watoto  wanaondikishwa kwenye shule hizo ili waweze kupata sehemu ya kusomea.

Hata hivyo alitoa wito kwa wazazi na wananchi kushirikiana na serikali  kujenga miundombinu ya shule ili kuweza kuhakikisha wanafunzi  wanaondikishwa kujiunga na darasa la kwanza wanapata fursa ya kusoma

“Lakini pia nimshukuru Rais kwa kuleta mpango wa elimu bila malipo kwani  kwa kipindi cha miaka miwili shule za msingi zimepokea milioni 984.8 kama ruzuku inayokwenda moja kwa moja kwa shule kutekeleza mpango elimu bila  malipo…2017/2018 milioni 656.8 ziliwekwenda moja kwa moja shule za msingi  na mwaka 2018/2019 wamepokea kuanzia desemba milioni 325 mpango huu umeweza kuwasaidia shule zao kwenye mambo mengi “Alisema.

Pia alisifu jitihada kubwa zinazofanywa na Waziri Ummy kuhakikisha  anakuwa mstariu wa mbele kutatua changamoto za wananchi licha na kuwa na majukumu makubwa lakini umekuwa akitujali watu wa Tang.

Mkurugenzi huyo alisema katika Jij la Tanga kuna shule za msingi 104 za  serikali 79 changamoto nyingi za hali ya miundombinu shule za msingi za  Jiji la Tanga mahitaji ya vyumba vya madarasa 1251 lakini vilivyopo 710  upungufu ni vyumba 541



WAKUU WA MIKOA YOTE WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAFANYABISHARA WADOGO WADOGO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

0
0
  Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere akitafanua jambo kwa wakuu wa mikoa yote nchini wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi na kuhudhuriwa pia na Katibu Mkuu Tamisemi Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019.
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akiongoza kikao kazi cha Wakuu wa Mikoa yote nchini kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu Tamisemi Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Kagera Brigedia jenerali Marco Gaguti awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019.
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Katavi Mhe. Amos Makalla awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenrali (Mst) Emmanuel Maganga sehemu ya  awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Kilimanjaro Mhe. Anna Mghwira sehemu ya awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Manyara Mhe. Alexander Mnyeti  sehemu ya awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Mara Mhe. Adam Malima  sehemu ya awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Mbeya Mhe. Albert Chalamila  sehemu ya  awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mhe. Christina Mndeme sehemu ya awamu ya pili ya   vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Songwe Brigedia Jenerali  Nicodemus Elias Mwangela sehemu ya  awamu ya pili ya    vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 
 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa  Tabora Mhe. Aggrey Mwanri sehemu ya   awamu ya pili ya  vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni  Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi  katika picha ya pamoja akiwa ameketi na Katibu Mkuu TAMISEMI  Mhandisi John Nyamhanga (kulia kwake) na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe  (Kushoto Kwake)  Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Ndikilo (kulia) baada ya kuwakabidhi wakuu wa Mikoa hao awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo.   Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019

PICHA NA IKULU

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYENYE THAMANI YA SH.MILLIONI 15/- KWA SHULE 5 ZA MSINGI, WILAYA YA TEMEKE

0
0
Na Bakari Madjeshi, Globu ya Jamii

Benki ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 15/- kwa Shule 5 za Msingi katika Manispaa ya Temeke ikiwa ni katika azma yake ya utekelezaji wa utoaji huduma zake kwa jamii.

Benki hiyo imetoa msaada wa Madawati 51, Kompyuta 5 na Mabati 200 huku ikiahidi kuendelea na utoaji wa msaada huo kwa jamii kama inavyofanya kwenye Nyanja ya Afya, na Majanga.

Akizungumza baada yakukabidhi msaada huo, Meneja wa Benki hiyo, Kanda ya Dar es Salaam na Zanziabr, Badru Idd amesema kuwa wamefanya kwa mtazamo kwa kulijenga Taifa, amesema wanachukua asilimia moja kuhakikisha wanaisaidia jamii.

Badru amesema kuwa asilimia hiyo ya faida inayotokana kila mwaka wanaigawa kuisaidia jamii katika Nyanja za Elimu, Afya na Majanga yanayoikumba jamii husika.‘’Sasa hivi tunaenda Kiteknolojia kuhakikisha tunamsaidia Mtanzania kokote pale alipo, Matawi yetu yapo 206 na ATM 7OO’’, amesema Badru.

Baada yakupokea msaada wa vifaa hivyo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Joel Mwakabibi amesema NMB imekuwa mfano kwa Taasisi nyingine za Kifedha, amesema kuwa vifaa hivyo vitasaidia Wanafunzi wengi katika Shule hizo kwa kazi nzuri inayofanywa na Taasisi hiyo.

Mwakabibi amesema kuwa jitihada za NMB katika kusaidia Watoto inaweza kugusa maisha ya wazazi hivyo kuwafungulia Akaunti watoto hao, wenye ndoto zakuwa tegemeo la Taifa la kesho.‘’Manispaa ya Temeke ina uhitaji wa Vifaa vingi kwa ajili ya wingi wa Wanafunzi, tunawashukuru NMB na tunaomba Taasisi nyingine kuiga mfano kwa Taasisi hii’’, amehoji Mwakabibi.

NMB imetoa msaada huo wa Mabati 200, Kompyuta 5 na Madawati 51, ikiwa na utekelezaji wa azma yake ya utoaji msaada kwa jamii ikiwa ni kutoa asilimia Moja ya faida inayopatikana kila mwaka.
Meneja wa Benki ya NMB, Kanda ya Dar es Salaam na Zanzibar, Badru Idd akikabidhi Bati kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Joel Mwakabibi ikiwa ni azma ya Benki hiyo utoa asilimia Moja ya faida.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Joel Mwakabibi akiwa na Meneja wa Benki ya NMB, Kanda ya Dar es Salaam na Zanzibar, Badru Idd kwa pamoja wakimuonyesha Kompyuta mmoja wa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mabatini .
Meneja wa Benki ya NMB, Kanda ya Dar es Salaam na Zanzibar, Badru Idd akiwa na Watumishi wengine wa Benki ya NMB wakipokea Cheti cha Shukrani kutoka Shule ya Msingi Mabatini.

INTRODUCING : Marsh mashavu.....Dogo toka Grip (Official video

MAANDALIZI YA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI WA EAC YAANZA JIJINI ARUSHA

0
0
Bw. Stephen Mbundi, Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa majadiliano kwa ngazi ya Watalaam wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwa maandalizi ya Mkutano Maalum wa 38 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utakaofanyika tarehe 30 Januari 2019 jijini Arusha. 

Mkutano huu utafuatiwa na ule wa Makatibu Wakuu tarehe 29 Januari 2019. Pamoja na mambo mengine mkutano wa 38 wa Baraza la Mawaziri utapitia na kujadili agenda mbalimbali ikiwa ni pamoja na taarifa ya utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa na Baraza hilo kwenye vikao vilivyopita; taarifa kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo; taarifa kuhusu masuala ya miundombinu, forodha na biashara na masuala ya utawala na fedha. 

Mkutano wa 38 wa Baraza la Mawaziri ni maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Arusha tarehe 1 Februari 2019. Kulia ni Bw. Eliabi Chodota, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Kijamii na kushoto ni Bw. Bernard Haule, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa mkutano wa maandalizi ya Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kwenye Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha tarehe 28 Januari 2019 
Wajumbe kutoka Burundi wakifuatilia mkutano huo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwuliofanyika jijini Arusha tarehe 28 Januari 2019 ngazi ya wataalam
Wajumbe kutoka Kenya nao wakifuatilia mkutano wa wataalam 
Wajumbe kutoka Uganda wakiwa kwenye mkutano 
Wajumbe kutoka Tanzania nao wakifuatilia mkutano huo 
Wajumbe wengine kutoka Tanzania nao wakifuatilia mkutano 
Wajumbe wa Tanzania kutoka Wizara, Taasisi na Sekta mbalimbali wakishiriki mkutano kwa ngazi ya wataalam 

TAARIFA MUHIMU KWA WAHITIMU KIDATO CHA NNE 2018 WENYE PASS 4

0
0

KARIBUNI SANA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA 

Wapendwa Wahitimu,

Awali ya yote tunapenda kuwapa kongole sana kwa jitihada zenu katika masomo zilizowawezesha mpaka mmefanikiwa kuhitimu na kufuzu vizuri katika masomo yenu. 

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinawakaribisha wahitimu wote waliopata pass 4 za kiwango cha D kujiunga na Certificates za chaguo lao zinazotolewa hapa Chuoni. Certificates hizo ni:

1. Certificate in Business Administration

2. Certificate in Accountancy

3. Certificate in Procurement and Supply

4. Certificate in Hair and Beauty Therapy

5. Certificate in Youth Work

6. Certificate in Information and Communication Technology

7. Certificate in Library and Information Studies

8. Certificate in Early Childhood Care and Education

9. Certificate in Poultry Production and Health

10. Certificate in Distance Education 

Programu hizi za Certificate husomwa kwa mwaka mmoja na mara baada ya kuhitimu, mhitimu hujiunga na Diploma katika fani yake.

Wapendwa wazazi na wahitimu, 

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kina matawi katika mikoa yote ya Tanzania Bara na katika Visiwa vya Unguja na Pemba. Hiki ni Chuo Kikuu cha Serikali kilichoanzishwa kwa sheria ya Bunge namba 17 ya mwaka 1992. Tunawaomba mfike kwenye matawi yetu kwa huduma za udahili ambazo hufanywa bure bila ya malipo yoyote. Pia, maombi yanaweza kutumwa moja kwa moja kupitia www.out.ac.tz

Ada ya Certificate zetu ni nafuu sana ambapo kwa mwaka mzima ni Laki Saba na Elfu Ishirini (720,000/=) tu. Ada hii inalipwa kwa awamu mbili, yaani 360,000/= kwa awamu moja.

Wapendwa wazazi, 
Tunawasihi muwalete watoto wenu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania wapate elimu bora na tena kwa gharama nafuu. Mtoto wako atasoma akiwa anatokea nyumbani na hivyo hakuna gharama za hosteli. 

Maombi yanapokelewa sasa hivi kwa ajili ya Intake ya April 2019. Hakuna haja ya kupoteza muda kwani mwezi April 2019 masomo yanaanza katika vituo vyetu vyote nchi nzima.

Kwa maswali na ushauri zaidi usisite kutupigia kupitia 0719017254

Imetolewa na:
Dkt. Mohamed Omary Maguo 
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Dar es Salaam
28/01/2019.
Viewing all 109587 articles
Browse latest View live




Latest Images