Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110150 articles
Browse latest View live

CAG AKANUSHA MADAI YA KUWEPO UFISADI KATIKA MRADI MAALUM WIZARA YA UJENZI

$
0
0
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Ludovick S.L. Utouh amekutana na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam ambapo ametoa ufafanuzi kukanusha tuhuma zilizotolewa katika baadhi ya vyombo vya habari vikimnukuu Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Zuberi Kabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya PAC kwamba, kuna ufisadi katika matumizi ya fedha zilozotolewa katika bajeti ya 2011/2012 kwa ajili ya mradi maalum wa barabara unaosimamiwa na Wizara ya Ujenzi.

Bw. Utouh amebainisha kwamba kiasi cha Shs. 252,975,000 kilichohojiwa na ukaguzi ni fedha ambazo zimeonyeshwa kwenye taarifa za hesabu za Wizara kama ni miradi mipya ya mwaka 2011/2012 tofauti na uhalisia wenyewe ulivyo.

Serikali katika dhamira ya kuimarisha mtandao wa barabara nchini, iliweka kwenye bajeti yake ya mwaka wa fedha 2011/12 Kasma maalum ya ujenzi wa miradi ya barabara na kuitengea jumla ya shilingi 252,975,000,000.00 kwa ajili ya kulipia kazi za barabara zinazoendelea.

Fedha zote zilitolewa na HAZINA kwa madhumuni hayo na kwa kufuata taratibu za Serikali. Wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS ililipia kazi hizo za barabara kwa maana ya madai ya Wakandarasi na Wahandisi Washauri wa miradi mbalimbali inayoendelea.

"Hivyo katika kujadili hesabu za Wizara ya Ujenzi hakukuwepo na tuhuma zozote za ufisadi ila Kamati ilimtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuihakikishia matumizi ya fedha hizo jambo ambalo litafanyika" alielezea Bw. Utouh.

CAG katika hatua nyingine alichukua fursa hiyo kuipongeza Wizara ya Ujenzi kwamba inafanya kazi nzuri sana ya kusimamia na kujenga barabara katika kona zote za nchi yetu. “Tuwapongeze kwa kazi nzuri wanayoifanya ili wawe na moyo wa kuchapakazi zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu” alisistiza Bw. Utouh.

MWANANDINGA WA ENZI HIZO,EDIBILY LUNYAMILA ALONGA NA VIJIMAMBO

$
0
0
Edibily Lunyamila mchezaji aliyewika enzi hizo alonga na Vijimambo akiezelezea maisha ya mpira baada ya kustahafu na changamoto gani wanazokumbananazo na kitugani kifanyike ili kukuza soccer la Tanzania MSIKILIZE

Bingwa wa Zamani wa Masumbwi,Francis Botha awasili nchini leo

$
0
0
Mgeni rasmi katika mpambano wa Kimataifa wa Ubingwa wa WBF,Bondia bingwa wa Dunia wa Uzito wa Juu wa Zamani, Francis Botha 'White Buffalo' (katikati) akiwa pamoja na wenyeji wake baada ya kupokelewa alipowasili katika uwanja wa kumataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaas leo.kushoto ni Raisi wa TPBO,Yassini Abdalla na Rais wa World Boxing Federation ,Howard Goldbeg pamoja na Kocha wa Mchezo wa Masumbwi Nchini,Rajabu Mhamila 'Super D' .Mpambano wa ubingwa wa Dunia wa chama hicho utafanyika kwa mara ya kwanza kwa kuwakutanisha Mabondia,Fransic Cheka wa Tanzania na Phil Williams wa Marekani August 30 katika ukumbi wa Diamond Jubilee.

BONDIA WA DUNIA FRANCIS BOTHA (WA PILI KUSHOTO) AKIWA NA JAY MSANGI RAISI WA WBF ,HOWARD GOLDBEG,YASSINI ABDALL, NA KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

vyoo vya shule ya msingi Ukange makete ni majanga

$
0
0
Muonekano wa choo hicho kwa mbele kutokana na kukosa milango wamelazimika kutengeneza uzio wa nyasi.
Kushoto ndiyo tundu halisi la choo, na tundu la kulia limetokana na choo hicho kubomoka chenyewe.

 Nyufa zilizomo kwenye kuta za choo hicho.

=============================
Na Edwin Moshi, Makete.

Wanafunzi wa shule ya msingi Uganga kata ya Luwumbu wilaya ya Makete mkoani Njombe wapo hatarini kupoteza maisha yao kutokana na vyoo wanavyovitumia kubomoka na kuweka nyufa na matundu makubwa kutokana na uchakavu.

Mtandao huu umebisha hodi shuleni hapo hivi karibuni ka kukuta vyoo hivyo vinavyotumiwa na wanafunzi vikiwa katika hali mbaya huku wanafunzi hao wakiendelea kuvitumia bila wasiwasi.

Mwanafunzi mmoja anayesoma darasa la tano katika shule hiyo ambaye hakupenda jina lake liandikwe mtandaoni amesema haoni shida kutumia vyoo hivyo kwa kuwa hakuna sehemu nyingine ya kujisaidia na kuongeza kuwa licha ya hatari ya kupoteza maisha waliyonayo wanafunzi wanaotumia vyoo hivyo lakini bado wataendelea kuvitumia.

Akizungumzia suala hilo mwalimu mkuu wa shule hiyo Eliuda Danie Kyando amekiri kuwepo kwa vyoo hivyo chakavu na kusema kuwa ameshapeleka kwenye ngazi husika suala hilo ambapo amejibiwa kuwa litafanyiwa kazi.

Amesema kwa hivi sasa wanamuomba Mungu isitokee hatari yoyote kwenye vyoo hivyo katika kipindi hiki wanaposubiri wakubwa kulishughulikia suala hilo kama walivyomuahidi ingawa ni muda mrefu umepita.

"Mimi katika taarifa zangu wakati mwingine huwa naandika kuwa shule haina vyoo vya wanafunzi kutokana na uchakavu hebu ona mwenyewe vyoo gani hivi, hii si hatari tupu, matundu mengine tumeziba na magogo ili wanafunzi wasiingie" alisema.

Shule hiyo ambayo inadhaniwa kuanza miaka ya 1970 inakabiliwa na changamoto lukuki ikwemo majengo kwa kuwa mengi yamechakaa.

viwanja vinauzwa Kimbiji

mambo ya gado leo

KITENGO CHA KUZIBITI UGONJWA WA MALARIA ZANZIBAR CHAFANYA MKUTANO NA WANDISHI WA HABARI JUU YA MIKAKATI YA KUMALIZA MALARIA ZANZIBAR

$
0
0
Kaimu Meneja wa Kitengo cha kuzibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi Issa Mselem akifafanu kitu juu ya mikakati ya kumaliza Malaria Zanzibar katika mkutano na Waandishi wa Habari, huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.
Mtaalamu wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kuzibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Khamis Ameir, akionyesha moja mbu waenezao Malaria katika mkutano na Waandishi wa Habari huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliokuwepo katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar, wakifuatilia kwa makini taarifa ya Kaimu Meneja wa Kitengo cha kuzibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi Issa Mselem hayupo pichani.
Mwandishi wa Habari Juma Abdallah wa Zenji Fm Radio akiuliza suali kwa Mtaalamu wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kuzibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Khamis Ameir (hayupo pichani) juu ya mikakati ya upigaji dawa huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar. (Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanziabr).

NATURAL PRODUCTS FOR WEIGHT MANAGEMENT AND GENERAL WELL BEING

$
0
0

FOREVER NUTRI-LEAN PROGRAMME Has two step process, combining a 9-day cleansing plan followed by a long –term weight loss plan. 

1. Clean 9- Detoxify-leaves you clean, healthier, happy and helps you to loose between 3kg to 8kg. @ Tsh 270,000. 

2. Forever Nutri-Lean (Life style 30)- burns fats, loose weight between 10kg to 15kg & maintain your weight, leaves you with good eating habits. @ Tsh 440,000. 

3. Body Toning Kit- Removes cellulites and fats deposits under the skin. Wrap the arms, thighs, stomach and loose up to 2 inches per Wrap. @ Tsh 145,000. 

Loose weight with FOREVER NUTRI-LEAN PROGRAMME and improve quality of your life (Sexual desire and performance, reduce possibilities of diabetes, Cancer and Sleep apnea). 

FOREVER NUTRI-LEAN PROGRAMME has No Drugs (Caffeine, Topiramate, sibutramine, xenical, phentermine, methamphetamine)

Call 0786766028/ 0769888605

KUMBUKUMBU

$
0
0
Chissano John Nindi

Leo tarehe 28 augusti  ni mwaka mmoja (1) kamili  toka ulipotutoka bila neno la kwaheri.Chissano,uchesi uliokuwa nao unadhihirishwa na hii picha yako.Ulikuwa ni mpenzi wa kila mtu kwani ulithamini utu wa mtu.
Ni vigumu kuamini kuwa ni kweli haupo nasi.

Kazi ya Mungu haina makosa. Tukijiuliza sana kwanini alikuchukua wakati tulikuwa tunakuhitaji sana tutakuwa tunakufuru. Tunajaribu kujifariji kwa kuamini kuwa alikuchukua kwavile alikupenda zaidi yetu. Tunajitahidi kujiridhisha kuwa huko ulipo unapata pumziko la amani. Japo haupo nasi kimwili tupo nawe kiroho siku zote.

Unakumbukwa na ndugu zako wote,jamaa na marafiki zako.
Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe,amen.

PUMZIKA KWA AMANI CHISSANO  NA TUTAKUKUMBUKA DAIMA.

RAIS WA ZANZIBAR ZIARANI NCHINI UHOLANZI

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akifuatana na makamo wa Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bamdari ya Rotterdam nchini Uholanzi Rene Van Der Plas,wakati alipotembelea Bandari hiyo kuona Shuhuli mbali mbali za Kazi.
Baadhi nya Viongozi walioungana katika ujumbe wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakiwa katika Ofisi ya bandari ya Rotterdam Nchinbi Uholanzi wakiaptiwa maelezo mbali mbalim ya kiutendaji.Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.

in loving memory

$
0
0
THE LATE MRS. ITIKA MWANGASA MWAKILEMA.

(Mama Nkundwe)

 Hours, Days, Months, Years, kept on moving, though with a lot of loneliness and emptiness but we survived the 24 years of sadness since you left us suddenly that 28th August 1989. We, having been raised religiously, believe that it was a call from God, a call that you had to go for because God loved you more.

Ever since you passed life hasn’t been the same, but by God’s grace we survived the agonizing fight, even your two little boys, Nkundwe and Nsaji have grown into great men and we believe that wherever you are, you are watching over us.


You are greatly missed by your husband Thaddeus, sons Nkundwe and Nsaji, Mother Laini, Sisters Jane and Matilda, brothers in law Joseph, William, James, Nico and sister in law Valentine, Friends and Relatives. To all of us there have never been a replacement in our lives and you will always hold that special place in our hearts. We are still fulfilling God's will and purpose on earth until the day when God decides that we join you in the everlasting life that our Lord has prepared for his people.


MAY THE ALMIGHTY GOD CONTINUE TO REST YOUR SOUL IN ETERNAL PEACE


AMEN.

KIPINDI CHA MIMI NA TANZANIA KIKIZUNGUMZIA MASWALA YA ELIMU

KIPINDI CHA MIMI NA TANZANIA KIKIZUNGUMZIA MASWALA YA ELIMU

Article 10

WANAFUNZI WALIKOSEA FOMU ZAO ZA MAOMBI YA MIKOPO WAJITOKEZA KUREKEBISHA KASORO HIZO

$
0
0
Idadi kubwa ya wanafunzi waliokuwa wamekosea kujaza fomu zao za maombi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, wamejitokeza katika Ofisi za Makao Makuu ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu yaliyopo Barabara ya Sam Nujoma, eneo la Mwenge Dar Es Salaam ili kusahihisha makosa hayo.

Bodi ya Mikopo ilitoa muda wa siku kumi na nne (14), ambazo zinaisha tarehe 30 Agosti. 2013, kwa ajili ya wanafunzi ambao fomu zao za maombi ya Mikopo zilionekana kuwa na kasoro kwa kutosainiwa au kukosa viambatanishi muhimu ikiwa ni pamoja na nakala za vyeti vya kuzaliwa na vya taaluma.

Majina zaidi ya 6,000 ya waombaji Mikopo yenye dosari mbalimbali yamewekwa kwenye tovuti ya Bodi ya Mikopo ambayo ni www.heslb.go.tz ili kuwawezesha waombaji kugundua walichokosea na kuja Bodi au kutuma nyaraka husika kwenda Bodi, Dosari mbalimbali kwenye fomu hizo za maombi ya Mikopo ni pamoja na kukosekana kwa sahihi za waombaji, kutobandikwa kwa picha za wadhamini, vyeti vya kuzaliwa na hata vyeti vya kuhitimu kidato cha nne kutoambatanishwa.

Umati wa wanafunzi ukiwa Umefurika kupata maelekezo ya kasoro zilizojitokeza kwenye fomu zao za maombi ya Mikopo kwa ajili ya Elimu ya Juu.
Mmoja wa waombaji mikopo ambaye hakuwa ameweka sahihi katika mkataba wake wa kuomba Mikopo akiweka sahihi mbele ya Ofisa wa Bodi ya Mikopo.
Ofisa wa Bodi ya Mikopo (kushoto) akiwaonyesha baadhi ya waombaji Mikopo kasoro zilizojitokeza katika fomu zao.
Mmoja wa waombaji wa Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu akikagua fomu yake ya maombi ya Mikopo kwa umakini katika Ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Picha zote na Sunday Charles-Idara ya Habari, Elimu na Mawasiliano, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu.

TASWIRAZZ MBALI MBALI ZA MJI WA UNGUJA ZANZIBAR KUTOKEA ANGANI

TIMU ZA LIGI KUU YA GRAND MALT ZANZIBAR ZAKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO LEO

$
0
0
 Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Meneja wa Timu ya Jamhuri,Abdallah Mohamed (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
 Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
 Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Kiongozi wa Timu ya KMKM,Said Mfaume (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.
 Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo wa Zanzibar,Mh. Said Mbarouk (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa Katibu Kamati ya Waamuzi Zanzibar,Muhsin Rajab (kushoto) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Timu mbali mbali zinazoshiriki Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar zinazotaji kuanza kutimua vumbi wiki ijayo,iliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Bwawani,Zanzibar.Kulia ni Meneja Masoko wa Grand Malt,Fimbo Butallah,akifuatiwa na Rais wa ZFA,Ravia Idarous (katikati) pamoja na Makamu wa Rais wa ZFA - Unguja,Haji Ameir.

DISTORTION BY HABARILEO NEWSPAPER ON THE SECRETARY GENERAL’S PRESS BRIEFING: KAGAME APEWA USHAURI NASAHA OF TUESDAY 27 AUGUST 2013

$
0
0
Our attention has been drawn to the lead story published in the Habarileo Newspaper issue number 02442 of Tuesday 27th August 2013 titled Kagame Apewa Ushauri Nasaha following a Press Briefing hosted by the EAC Secretary General Amb. Dr. Richard Sezibera on 27th August 2013 at the EAC Headquarters.

First, we would like to emphasize that this was a Press Briefing by the Secretary General to Local and Foreign Arusha-based Journalists on the ongoing 27th Council of Ministers’ meeting taking place from 26th to 31st August 2013 at the EAC Headquarters.

During the Press Briefing, several questions were filed by the Journalists and were ably answered by the Secretary General. Indeed the coverage emanating from the Press Briefing is excellent, apart from the article carried by Habarileo Newspaper, and we would like to thank the Media most sincerely for the job well done.

By the same token, we regret the lies and distortion of facts by Habarileo of what the Secretary General said during the Press Briefing. At the Press Briefing, Habarileo was represented by Ms. Veronica Mheta who only asked a question on how the EAC Partner States were fairing in achieving the Millennium Development Goals (MDGs). Ms. Veronica Mheta’s reporting of what the Secretary General said and most of the statements attributed to him are false, malicious, irresponsible, misleading, and contemptible!

On the question of the current tension between Rwanda and Tanzania, the Secretary General said the East African Community will do all it can, including using diplomatic channels, to ensure the tension between the two EAC Partner States are resolved amicably. In addition, the disagreement while regrettable, will not lead to the breakup of the EAC. He said the two countries have significant cultural and trade relationships. Tanzania and Rwanda continue to work together to advance the work of the Community including a recent Ministerial meeting in Rwanda which Tanzania attended and also the ongoing Council of Ministers meeting this week in Arusha in which all the Partner States including Rwanda is present!

The Secretary General informed the Journalists that there were two major categories of insecurity threats in the region. The first one is the genocidal forces which committed the genocide in Rwanda in 1994 and are still active in the region. The other negative and terrorist forces include the LRA, ADF, Alshabab that pose a threat to the region. Each of these groups needs to be handled appropriately.

On the recent expulsion of illegal immigrants from Kagera Region, the Secretary General said this was within Tanzania’s legal rights. But this was not good for the spirit of East African cooperation and integration. He looks forward to a time when East Africans will not be considered illegal immigrants or refugees in East Africa.

The Editor of Habarileo should have at least taken keen interest in verifying with the Corporate Communications Department before publishing such weighty statements.

The Secretariat therefore takes this opportunity to demand that Habarileo Newspaper retracts this badly written article and apologize to the East African people for irresponsible reporting.

We further request Habarileo to publish this clarification in its next issue for the benefit of its esteemed readers. We trust that we shall not be compelled to take further measures in the defense of the East African integration.

Owora Richard Othieno
Chief
Corporate Communications and Public Affairs Department
EAC Secretariat,
Arusha, Tanzania

Mh. Lowassa asherehekea kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake tayari kwa kukata keki ya sherehe ya kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake tarehe 26 Agosti,aliyoandaliwa na mkewe mama Regina Lowassa huko Hekima Garden mikocheni,jijini Dar.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake,Mkewe Mama Regina Lowassa pamoja na mtoto wake Freddy Lowassa (kushoto) ambaye pia naye siku hiyo ilikuwa siku yake ya kuzaliwa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimlisha kipande cha keki Mkewe,Mama Regina Lowassa.
Mama nae akimlisha keki mzee ikiwa ni sehemu ya pondezi.
mtoto akimlisha keki Baba ikiwa ni sehemu ya kujipongeza kwa pamoja kwa kuzaliwa tarehe moja,

Article 4

Viewing all 110150 articles
Browse latest View live




Latest Images