Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109602 articles
Browse latest View live

NSSF YATOA SOMO KWA WANACHAMA WAKE MKOANI MOROGORO

0
0
Meneja Kiongozi Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa Morogoro, Eunice Chiume (wa pili kulia) akiwa na Kaimu Meneja wa Masoko na Uhusiano wa Shirika hilo, Salim Kimaro (wa kwanza kulia) wakitoa ufafanuzi kwa mwanachama kuhusu uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Cha mkulazi na Mbigiri kilichopo mkoani humo, maonyesho ya Nane Nane Morogoro.
Afisa wa NSSF, Amina Kasim akizungumza na wegeni kuhusu huduma ya uchangiaji wa Hiari wa NSSF katika maonyesho ya Nanenane Mkoani Morogoro.
Meneja Kiongozi Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa Morogoro, Eunice Chiume akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mradi mpya wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi na Mbigiri wakati wa Maonyesho ya Kilimo, Nane nane yanayoendelea Katika viwanja vya Nanenane mkoani Morogoro.

Dkt. Ashatu Kijaji : UTT Microfinance ni mfano wa kuigwa na taasisi za kifedha

0
0
 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji (katikati) akizungumza jambo wakati wa ziara yake ya kujionea maendeleo ya shughuli zinazofanywa na Taasisi ya Hudua za Kifedha na Mikopo-UTT Microfinance PLC, kulia ni Mwenyekiti wa Bodi wa taasisi hiyo, Profesa Godwin Mjema na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Bw. James Washima.

Na Mwandishi wetu, Dodoma
Taasisi ya Hudua za Kifedha na Mikopo-UTT Microfinance PLC imetakiwa kuendelea kuwa mfano wa kuingwa na taasisi zingine za kifedha katika kuviwezesha vikundi vya kijasiriamali na saccos ili kuchocheo vipato vya wananchi na ukuaji wa uchumi wa nchi hasa katika azma ya kufikia uchumi wa viwanda. 

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji alisema hayo wakati wa ziara yake ya kujionea utendaji wa taasisi hiyo na shughuli za kijasiriamali zilizonufaika na mikopo toka taasisi hiyo mjini  Dodoma, kuwa inahitajika kuendelea kufanya kazi nzuri na taasisi zingine ziige mfano huo. 

“Katika ziara yangu nimeona taasisi ya UTT Microfinance inafanya kazi nzuri ya kuwezesha wananchi hadi vijijini,” moja ya jambo kubwa ni kwamba imewezesha vikundi vya wajasiriamali na Lubala Saccos kupata mikopo nafuu, aliongeza kusema,Dkt.Kijaji.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji mbele akiangalia zao la zabibu katika shamba la ekari 170 linalomilikiwa na Lubala Saccos katika kijiji cha Lamaiti Wilayani Bahi ambalo limenufaika mkopo toka Taasisi ya Hudua za Kifedha na Mikopo-UTT Microfinance PLC, wa pili kulia mwenye fulana ni Mwenyekiti wa Bodi wa taasisi hiyo, Profesa Godwin Mjema na wa kwanza kulia mwenye kofia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Bw. James Washima, watatu toka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Bi. Elizabeth Kitundu na wapili kushoto ni Diwani wa Kata ya Lamaiti,Bw. Donald Mejitii.

Lubala Saccos ilipatiwa mkopo na taasisi hiyo na Bebki ya TIB na imeweza kuwa na shamba  la ekari 170 la zao la Zabibu na inaundwa na wanachama 103 toka vijiji vya vitatu vya kata ya Lamaiti yaani Lukali, Bankolo na Lamaiti yenyewe Wilayani Bahi.

Dkt.Kijaji alisema wakati umefika kwa taasisi za kifedha kutoka mjini na kwenda kuwatafuta wananchi vijijini na kuwapatia mitaji waanzishe miradi ya ujasiriamali na hiyo itaongeza ajira na kupunguza wimbi la vijana kukimbilia mjini.

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo ya UTT Microfinance PLC,Bw. James Washima alisema taasisi hiyo inaendelea kufanya vizuri ya utoaji wa huduma za kifedha kwa wananchi na itahakikisha inazidi kujipanua katika huduma zake hadi maeneo mengi ya vijijini.

“Tunatekeleza sera ya serikali ya kuwezesah wananchi kiuchumi hususani wenye kipato cha chini na kati kwa kuwapatia mikopo” na wataendelea kufanya kazi kwa ubunifu mkubwa ili wananchi wapate fursa za kuanzisha miradi kijasiriamali,aliongeza kusema Bw. Washima. 

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji aliyesimama akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wa vikundi mbalimbali vya wajasiriamali Mkoani Dodoma walionufaika na mikopo toka Taasisi ya Hudua za Kifedha na Mikopo-UTT Microfinance PLC, kulia kwake wa kwanza ni Mwenyekiti wa Bodi wa taasisi hiyo,Profesa Godwin Mjema na wa pili ni Afisa Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo,Bw. James Washima.

Pia alisema ili kuleta ufanisi katika sekta ndogo ya kifedha, kunahitaji kuwepo kwa sheria itakayosimamia shughuli za utoaji mikopo tofauti na ilivyo hivisasa ambapo kuna sera lakini hakuna sheria ya kusimamia.

Alifafanua kwamba kutokana na mazingira hayo wakopaji wengi wamekuwa wakijikuta mali zao zikipigwa mnada sababu hakuna sheria ya kusimamia eneo hilo na kwa kufanya hivyo itakuwa ni msaada mkubwa kwa wananchi. Bw. Washima alisema benki yake  inamatawi 12 Tanzania Bara na Zanzibar na vituo 46 vya kutoa huduma karibu na watanzania.

Naye Diwani wa Kata ya Lamaiti Wilani Bahi, Bw. Donald Mejitii alisema  Lubala saccos inamiliki shamba lenye ekari 200, na tayari imelima zao la zabibu katika ekari 170 na wanataraji itaongeza kipato cha wanachama wake.

 “Lubala saccoss ilipata mkopo toka taasisi ya UTT Microfinance na taasisi zingine kujenga miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji na uandaaji wa shamba na sasa zao limeaza kuzaa,” na wanataraji hapo baadaye kujenga kiwanda cha kusindika zao hilo, alifafanua Diwani huyo. Alisema shamba linatazamiwa kuzalisha tani 4500 ya zabibu kwa mwaka zenye ubora wa kiwango kizuri. 

Mkazi wa Singida alamba kitita cha zaidi ya Tsh-Mil 200/- m-Bet

0
0
Msemaji wa M-bet, Goodluck Wambura(kushoto)Kaimu Mkurugenzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, James Mbalwe, Meneja wa bodi hiyo, Sadiki Elimsu,wakimshuhudia mshindi wa shilingi Milioni 200/- kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida,Kikuba Ramadhani akiwasomea waandishi wa habari(hawapo pichani)kiasi cha fedha kilichoandikwa kwenye hundi yake wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi yake mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja wa bodi ya michezo yakubahatisha nchini, Sadiki Elimsu(kushoto) Msemaji wa M-bet,Goodluck Wambura, Mkurugenzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, James Mbalwe,wakimpongeza kwa kumpigia makofi mshindi wa M-bet wa kitita cha shilingi Milioni 200, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani.
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 200 kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani,akiwa ameshikilia hundi yake wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi hiyo iliyofanyika jijini Dares Salaam mwishoni mwa wiki.
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 200 kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani(watatu toka kushoto)akiwa kwenye picha ya pamoja na ndugu zake na mama yake mzazi(wapili kushoto) wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi hiyo iliyofanyika jijini Dares Salaam mwishoni mwa wiki.

WAZAZI NA WALEZI WAENDELEA KUMIMINIKA KWENYE VIWANJA VYA NANENANE KUSAJILI WATOTO NA TOTO AFYA KADI YA NHIF

0
0
 Kaimu Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Bi.Anjela Mziray akikabidhi kadi kwa mmoja wa wazazi waliokuja kusajili watoto wao kwenye Huduma ya Toto Afya Kadi, katika viwanja vya Nzuguni kwenye maonesho ya Nanenane mkoani Dodoma.
Meneja wa NHIF Mkoani Dodoma Bi. Salome Manyama akielezea huduma ya Toto Afya Kadi kwa wazazi na walezi waliotembelea banda la NHIF kwenye maonesho ya Nanenane Nzunguni mkoani humo.
Baadhi ya maofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakitoa Elimu kwa wananchi waliotembelea banda hilo katika maonesho ya Nanenane Mkoani Dodoma kwenye viwanja vya Nzuguni.

Baada ya kuzinduliwa rasmi kwa huduma ya Toto Afya Kadi na Mheshimiwa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, wazazi na walezi wameendelea kumiminika katika viwanja vya maonesho ya Nanenane katika Mikoa mbalimbali. Haya yamethibitika kwenye viwanja vya Nzuguni Mkoani Dodoma ambapo watoto wameendelea kusajiliwa na kupata kadi za NHIF kwa mchango wa shilingi 50,400 tu kwa mwaka.

Akiongelea hili Meneja wa NHIF Mkoa wa Dodoma Bi.Salome Manyama amesema tunaendelea kusajili watoto na huduma ya Toto Afya Kadi na tunaendelea kuhimiza jamii kuhakikisha wanatumia fursa hii ili watoto wao wawe na uhakika wa matibabu.


Mtoto mwenye chini ya umri wa miaka 18 anasajiliwa na huduma hii ya Toto Afya Kadi kwa mchango wa 50,400 tu kwa mwaka, na atapata huduma zote za matibabu zinazotolewa na NHIF katika vituo vyote vilivyosajiliwa Tanzania nzima.


Mmoja wapo wa wazazi aliesajili watoto na huduma hii Bw. Kessy amesema anashauri wazazi wenzake na walezi kwa ujumla kuchangamkia fursa hii kwani ugonjwa haupigi hodi hivyo mtoto akiwa na uhakika wa Bima ya Afya hata Familia inakua na amani.


3 Attachments

MTANZANIA ALPHONCE SIMBU ASHIKA NAFASI YA TATU MBIO ZA DUNIA MCHANA HUU

0
0
MTANZANIA Alphonce Felix Simbu amefanikiwa kushika nafasi ya tatu katika mbio za dunia za IAAF zinazoendelea kufanyika nchini Uingereza katika Jiji la London.

Simbu ameshika nafasi ya tatu nyuma ya Mkenya aliyeshika nafasi ya kwanza akifuatiw ana Muethiopia aliyeshika nafasi ya pili.

Akitumia masaa 2 na dakika 10 Simbu aliweza kushiuka nafasi ya tatu baada ya kumpita Mkenya mwingine aliyejua kushika nafasi ya tano.

Hii inakuwa ni kwa mara ya kwanza kwa Simbu kushika nafasi ya tatu baaada ya mwaka jana katika mbio ndefu za  London Marathonaliweza kushika nafasi ya tano.

MDAU NELSON PALLANGYO NA BI. THERESIA BYAKWAGA WAFUNGA NDOA MJINI KARATU

0
0
 Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo La Karatu, Usharika wa Karatu Mjini akiwafungisha ndoa Bw. Nelson Charles Pallangyo na Bi. Theresia Justine Byakwaga iliyofanyika Agosti 5, 2017 na baadae sherehe ikafanyika ukumbi wa Samawe Complex. PICHA ZOTE NA KAJUNASON/MMG - KARATU.
Bwana Harusi Nelson Charles Pallangyo  akimvalisha pete mkewe Bi. Theresia Justine Byakwaga wakati wakifunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo La Karatu, Usharika wa Karatu Mjini akiwafungisha nd Agosti 5, 2017.  Bibi Harusi Theresia Justine Byakwaga akimvalisha pete mumewe Nelson Charles Pallangyo wakati wakifunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo La Karatu, Usharika wa Karatu Mjini akiwafungisha nd Agosti 5, 2017.
Bwana Harusi Nelson Charles Pallangyo na mkewe Bi. Theresia Justine Byakwaga wakila kiapo cha uaminifu wakati wakifunga ndoa yao takatifu. Pembeni ni wasimamizi wao.
Maharusi wakikaribushwa nyumbani kwa shangwe na vigelegele.

WAHAMIAJI HARAMU 72 NA WAKALA WAO WAKAMATWA PWANI

0
0

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani 

JESHI la Polisi Mkoani Pwani ,linamshikilia mfanyabiashara anaedaiwa kuwasafirisha wahamiaji haramu 72 raia kutoka nchini Ethiopia,Rajabu Hitaji (30)mkazi wa Vigwaza ,Bagamoyo . Aidha jeshi hilo linawashikilia pia wahamiaji haramu hao kwa kosa la kuingia nchini bila kibali . 

Akitolea ufafanuzi juu ya tukio hilo ,kamanda wa Polisi mkoani Pwani(ACP) Jonathan Shanna ,alisema uchunguzi unaendelea na watafikishwa ofisi za uhamiaji kwa hatua nyingine stahiki. 

Alieleza ,mtuhumiwa Hitaji ambae ni mfanyabiashara alikamatwa jana, saa 3.30 asubuhi huko maeneo ya pori la ranchi ya Taifa Narco ,Vigwaza wilaya ya kipolisi Chalinze . 

“Kufuatia msako mkali ulioendeshwa na makachero wetu baada ya kupata taarifa juu ya uwepo wa raia walioingia nchini pasipo kufuata taratibu za uhamiaji na raia hao baada ya kugundua kuna gari la polisi linawafuatilia “
“Waliingia kwenye hifadhi hiyo kwa lengo la kujificha lakini askari wetu waliweza kubaini mahali walipo kufuatia msako mkali uliokuwa ukiendeshwa katika ranchi hiyo ” alisema kamanda Shanna . 

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MABADILIKO KWA BAADHI YA WATENDAJI WAKE

0
0
KATIKA kuongeza ufanisi kwenye utendaji, Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amefanya mabadiliko ya baadhi ya watendaji kwenye wizara na idara zilizo chini ya wizara hiyo.

Mabadiliko hayo madogo yamegusa Chuo Cha Taifa cha Utalii, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) na Idara ya Utalii kwenye makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii.

Akitangaza mabadiliko hayo mwishoni mwa wiki mjini Dodoma, Waziri Maghembe alimtaja Deogratius Mdamu kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Zahoro Kimwaga TAWA kukaimu nafasi ya Mkuu wa Shughuli za Utaliiwa Picha.

Profesa Maghembe alisema pia amemteua Phillip Chitaunga, kuwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Sehemu ya Maendeleo ya Utalii kwenye makao makuu ya wizara, ili kujaza nafasi iliyoachwa na Uzeeli Kiangi aliyestaafu utumishi kwa mujibu wa sheria.

"Kwenye Chuo chetu cha Taifa Utalii, ninamteua Dk. Shogo Mlozi kuwa Kaimu Mkuu wa Chuo ambaye kabla ya uteuzi huu alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Utalii na Ukarimu kwenye Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)," alisema.


NDUGAI AMTEMBELEA NA KUFANYA NAE MAZUNGUMZO RAIS WA IRAN ALIYEAPISHWA JANA

0
0
Mheshimiwa Spika Job Ndugai leo amemtembelea Ikulu na kufanya mazungumzo na Rais wa Iran alieapishwa jana,Mhe Hassan Rouhani ambapo Mheshimiwa Spika amempongeza kuteuliwa kwake kwa mara ya pili na kumuahidi ushirikiano wa karibu baina ya Bunge la Tanzania na la Iran. Mheshimiwa Spika alikuwa ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioalikwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais Rouhani katika sherehe zilizofanyika kwenye Bunge la Iran mjini Tehran.
 

BREAKING NYUZZZZZ...: RC PAUL MAKONDA ATENGUA ZUIO LA POLISI KUWATAKA WENYE MAGARI YA TINTED KUONDOA

RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA VIWANDA JIJINI TANGA LEO,ATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAZIRI MWIJAGE

0
0




 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kufungua rasmi  kiwanda cha Saruji cha Kilimanjaro maeneo ya Maweni jijini Tanga leo Agosti 6, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mwijage wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi upanuzi wa kiwanda cha maziwa cha Tanga Fresh  maeneo ya Kange jijini Tanga leo Agosti 6, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na mwandishi wa habari wa TBC Bi. Vumilia Mwasha baada ya kuweka jiwe la msingi upanuzi wa kiwanda cha maziwa cha Tanga Fresh  maeneo ya Kange jijini Tanga leo Agosti 6, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakicheza ngoma ya Baikoko wakati wa sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa matanki ya kuhifadhia mafuta ya kampuni ya GBP yenye ujazo wa lita 300,000 eneo la Raskazone jijini Tanga leo Agosti 6, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine wakikata utepe kwenye sherehe za  uwekaji wa jiwe la msingi wa matanki ya kuhifadhia mafuta ya kampuni ya GBP yenye ujazo wa lita 300,000 eneo la Raskazone jijini Tanga leo Agosti 6, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipiga  ngoma ya Baikoko wakati wa sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi wa matanki ya kuhifadhia mafuta ya kampuni ya GBP yenye
ujazo wa lita 300,000 eneo la Raskazone jijini Tanga leo Agosti 6, 2017

Benki zashauriwa kubuni bidhaa zitakazo wavuta masikini

0
0
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Miraji (wa tatu kulia) akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa tawi la NMB Ikungi.

MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ameyashauri mabenki ikiwemo NMB kubuni bidhaa zitakazowanufaisha Watanzania maskini ili kuondoa dhana inayowabaguzi ya kuwa "‘maskini sio rafiki wa taasisi za kifedha". Mtaturu ametoa wito huo juzi wakati akifungua rasmi Tawi la Benki ya NMB Ikungi. 

Alisema kuendelea kuamini kwamba maskini sio rafiki wa mabenki, kundi hilo la Watanzania litaendelea kudidimia ndani ya lindi la umaskini. “Kaeni muangalie kundi hili la watu maskini litanufaikaje na huduma zinazotolewa na mabenki ikiwemo ninyi NMB. 

Kundi hili la Watanzania maskini ili liweze kujikomboa kiuchumi, basi mabenki badala ya kutoa mikopo ya fedha taslimu, toeni mikopo ya mizinga ya nyuki, mabwawa ya kufungia samaki au kuku kwa ajili ya kufunga kibiashara”, alishauri Mtaturu. 
 Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu akizungumza kwenye hafla ya ufunguzi rasmi tawi la NMB Ikungi.

Akisisitiza,mkuu huyo wa wilaya, alisema ili Mtanzania akiwemo maskini aweze kupata maendekeo ya kweli ni lazima ajiongeze kwa kupata mikopo kutoka kwenye taasisi za kifedha. “NMB ninyi mnakwenda vizuri na mnakwenda na wakati. 

Mmeendelea kubuni bidhaa/huduma mbalimbali ambazo zimepelekea kuvutia Watanzania zaidi ya milioni mbili kufungua akaunti kwenye matawi yenu nchini kote”, alisema na kuongeza; “Sasa mmebuni akaunti ya FANIKIWA, ambayo inawalenga wajasiriamali wadogo wakiwemo baba/mama lishe na wauza chips. Hongereni sana”. Meneja wa NMB kanda ya Kati, Straton Chilongola (wa tano kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni tano vilivyotolewa na NMB.

Mtaturu alisema sasa umefika wakati wa kuliangalia upya kundi la Watanzania maskini,ili na lenyewe liweze kushiriki kikamilifu kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati. Aidha, Mtaturu ametumia fursa hiyo kuwaalika wakazi wa wilaya ya Ikungi wahakikishe wananufaika kikamilifu na huduma mbalimbali zinazotolewa na tawi la NMB Ikungi.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

UPDATES ON WATANZANIA USA RE-UNION, MBONI SHOW IN DA HAUZZZ!

0
0
This Labor Day Weekend Sept 1st - Sept 3rd Is Now Certified as The Destinations to be. Picking up another endorsement from The Internationally Known "THE MBONI SHOW" If You dont know just Watch TBC 1 Television Every Friday and Monday at 7PM.
We got so many people Confirmed from Out of The Country to Come To The CAPITOL ( WASHINGTON DC)
Remember If You Coming to DC hakuna Kiingilio ni BURE. Chakula na Vinywaji pia BURE. Mwambie na Mwenzio Wote mnakaribishwa... By the way "WE AIN'T DONE YET"
Stay Alert ......Stay Alert ...

#WashingtonDMV2017🇹🇿🇹🇿
#PositiveVIBESonly💯🇹🇿🇹🇿


NGOMA YA MSEWE KUTOKA KISIWANI PEMBA

USAJILI WANACHI VITAMBULISHO VYA TAIFA WAPAMBA MOTO VIWANJA VYA NGONGO VYA NANE NANE MKOANI LINDI

0
0

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Bw.Ramadhani Kaswa, ameipongeza na kuishukuru Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA kwa huduma nzuri kwa wananchi wa Lindi na mkoa jirani wa Mtwara ambao wameendelea kusajiliwa Vitambulisho vya Taifa katika siku za maonyesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika kwa mara ya nne mfululizo mkoani humo.

Mbali na kupongeza kazi kubwa inayofanywa na NIDA, Katibu Tawala huyo amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kusajiliwa kwani ni fursa muhimu ya kupata Vitambulisho vya Taifa kwa wakati.

“ Wananchi jitokezeni kwa wingi ili msajiliwe; hii ni fursa muhimu kwenu. NIDA hongereni sana na naomba muendelee na ari hiyo ya  kuwahudumia wananchi” alisisitiza

Mamia ya wananchi wamejitokeza kwa wingi kusajiliwa Vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Kitaifa yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi, sambamba na kujifunza ukulima wa kisasa.

Wananchi mbali na kusajiliwa; huduma nyingine zinazotolewa kwenye banda la NIDA; ni Ugawaji wa Vitambulisho kwa wananchi waliokamilisha taratibu za Usajili, kutoa taarifa za hatua ya uzalishaji Vitambulisho kwa wananchi ambao walishasajiliwa awali na hawajapata Vitambulisho vyao, pamoja na kupata elimu ya jumla kuhusu Vitambulisho vya Taifa, faida na matumizi.

Kupia fursa hii wananchi wanaosajiliwa wameahidiwa kupata Vitambulisho vyao ndani ya mwezi mmoja ili kutoa fursa ya uhakiki wa taarifa na uzalishaji.

 
 Afisa Usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa Bw. Deodatus Alexander akimkabidhi kitambulisho chake Bw. Abrahman Mohamed Mussa, akiwa miongoni mwa wananchi waliokamilisha taratibu za Usajili na kukabidhiwa Vitambulisho vyao wakati wa maonyesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Ngongo Lindi.
 Baadhi ya wananchi wakikamilisha taratibu za Usajili kwa kuchukuliwa alama za vidole, picha na saini ya Kielektroniki wakati wa maonyesho yanayoendelea Viwanja vya Ngongo Lindi.
 Wananchi wa Manispaa ya Lindi wakipata maelezo ya taratibu za Usajili toka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Bi.Rose Mdami wakati maonyesho ya Nanenane yakiendelea mkoani Lindi.
 Wananchi wakiendelea kusubiria kupata huduma ya Usajili kwenye banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) mkoani Lindi.

 Bi Khadija Khalid mtaalamu wa mifumo ya Komputa mkoani ofisi ya NIDA Lindi, akitoa elimu kuhusu mfumo wa Utambuzi na Usajili wa Taifa kwa wananchi waliofika kujifunza kwenye Banda la NIDA.

MNUSO OLD SCHOOL

Next: ARSENAL vs CHELSEA 4-1 | Full Penalty Shootout | community shield Cup |w... Posted: 06 Aug 2017 02:04 PM PDT *TAARIFA YA KAMATI YA KUSIMAMIA KESI YA KAKA MAYOR* Posted: 06 Aug 2017 10:04 AM PDT Ndugu zetu Watanzania, tunatumai mko katika hali njema. *Tulipofika Mpaka sasa:* ▪Tumefanikisha swala la Mwanasheria, Stephenie Lewis. Amechukua malipo ya kuanzia ya *$5,000*ambayo yataingia kwenye escrow account. ▪Ametoa kadirio la gharama ya kesi kuwa kati ya *$20,000 na $30,000* na hii itategemea swala zima la gharama za dhamana *(bond)* ▪Tumefungua akaunti ya benki, Bank of America sambamba na gofund me ili kurahisisha ukusanyaji wa michango. Gofund, imekusanya *$16,566*mpaka tunaingia mitamboni. Na hii kabla hatujatoa ile *$5,000* ambayo tumekopeshwa. ▪Harambee rasmi itafanyika wiki ijayo, baada ya kujua gharama za dhamana(bond). Lakini Jumaapili hii, wanakamati Watakuwepo kwenye kikao cha maandalizi ya DMV Labor day Party, Kukusanya Michango zaidi. ▪Aunty Baybe na dada Rebecca walimtembela kaka Meya, yuko salama.Anawashukuru kwa upendo mliomuonyesha, na anawasalimu. ▪Shughuli rasmi ya kufuatilia dhamana na kesi yote kwa ujumla itaanza Jumatatu. Tutawapasha habari za yatakayojiri, siku zinavyokwenda. ▪Tunawaomba musisite kuhamasisha michango kwani ndio kwanza tuko nusu ya lengo. https://www.gofundme.com/Mayorimmigrationchallenge Bank of America: Acc # *446039288677* Routing# 052-001-633 Ernest B. Kessy Jasmine R. Bennett. Kwa maelezo zaidi au maoni wasiliana na: Ali Mohamed 3015009762 Baybe Mgaza 2022005031 Raju Tambwe 4433177440 Jasmine Rubama 4103719966 Mganga Muhombolage 2023740988 Iddi Sandaly 3016135165 Kessy Metro Tires 2024135933 Jabir Jongo 2406040574 Tunawashukuru sana. Ahsanteni. Wanakamati. Wajumbe Bodi Umwagiliaji kukamatwa Posted: 06 Aug 2017 05:02 AM PDT MKUU wa Wilaya ya Kilombero, James Ihunyo ameagiza kukamatwa kwa Wajumbe wa Bodi ya Skimu ya Umwagiliaji ya Mkula kutokana na kuchelewesha kwa makusudi malipo ya mkopo walioupata kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na wanachama wa skimu hiyo, Ihunyo alisema uzembe wa bodi hiyo umesababisha kuchelewesha marejesho ya mkopo wa takribani Sh milioni 790. Aliongeza kuwa, kitendo cha bodi hiyo kinarudisha nyuma juhudi za serikali katika kupambana na umasikini nchini. Alisema kuchelewesha kurudisha mikopo hiyo kunakosesha wakulima wengine kuchelewa kupata fursa hizo za mikopo hiyo nafuu inayotolewa na TADB ambayo imelenga kuchagiza na kusaidia mapinduzi ya kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini. Akizungumza katika mkutano huo, Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Adam Kamanda alisema tangu wapatiwe mkopo huo, baadhi ya wakulima wa skimu hiyo wamekuwa wakichelewesha kwa makusudi kurejesha mkopo huo licha ya jitahada za kuwahimiza kurejesha mkopo huo. Kamanda aliongeza kuwa benki ya kilimo imejipanga kuhakikisha inatekeleza maelekezo ya serikali ya kuwawezesha wakulima nchini katika sekta ya kilimo kwa kusaidia upatikanaji na utoaji wa fedha ikiwa ni pamoja sera nzuri zitakazosaidia maendeleo ya kilimo. HABARI LEO WILAYA YA NEWALA MKOANI MTWARA INAKABILIWA NA UHABA MKUBWA WA MAOFISA UGANI NA MIFUGO Posted: 06 Aug 2017 04:58 AM PDT Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mafunzo ya siku moja ya kilimo chenye tija kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara kwenye Maonyesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. Mkulima Lukia Hassan Nalamba kutoka Kata ya Nanyamba akizungumzia changamoto wanazokabiliana nazo kwenye mafunzo hayo. Wakulima wakiwa kwenye mafunzo hayo. Mafunzo yakiendelea. Mkulima Mohamed Ismail kutoka Kijiji cha Mnyambe wilayani Newala akizungumza kwenye mafunzo hayo. Mkulima Shazili Mpangalika kutoka Kijiji cha Mikumbi wilayani Newala akizungumzia changamoto ya wakulima kuhamia maeneo mengine kufuata bei kubwa ya mazao. Wakulima kutoka Wilaya ya Nanyumbu wakiwa kwenye semina hiyo. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), akizungumza na wakulima hao Mafunzo yakitolewa. Na Dotto Mwaibale, Lindi HALMASHAURI ya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara inakabiliwa na uhaba mkubwa wa maofisa ugani na mifugo jambo linalochangia kuporomoka kwa kilimo wilayani humo. Hayo yalielezwa na mkulima wa wilaya hiyo, Mohamed Ismail katika mafunzo ya siku moja kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara yenye lengo la kuwasaidia kulima kilimo chenye manufaa yaliyotolewa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia kwa mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney katika maonyesho ya kitaifa ya wakulima Nanenane yanayoendelea Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. "Tunachangamoto kubwa ya uhaba wa maofisa ugani na mifugo hali inayochangia kwa kiasi kikubwa kutokuwepo kwa ufanisi wa kazi na kushindwa kuwafikia wakulima hivyo kuzorotesha shughuli za kilimo na mifugo kwa ujumla" alisema Ismail. Alisema katika kata moja yenye vijiji sita ni ofisa ugani mmoja tu ndiye anayehudumia wakulima katika vijiji hivyo tena bila ya kuwa na usafiri wa uhakika hivyo kumfanya ashindwe kuwafikia wakulima kuwapa mafunzo na kujua changamoto walizonazo. Alisema kutokana na uhaba wa maofisa kilimo na mifugo imesababisha ofisa ugani kujikuta akifanya kazi mbili ya ugani na mifugo na ofisa mifugo naye akifanya kazi ya ugani na ambayo hakuisomea. "Tunaiomba serikali kuliangalia jambo ili kwa karibu zaidi kwani bila ya kufanya hivyo Tanzania ya kuelekea uchumi wa viwanda katika wilaya hiyo itakuwa ni ndoto" alisema Ismail. Mkulima Shezili Mpangalika kutoka katika wilaya hiyo alisema kilimo cha kuhamahama kinachosababishwa na kuporomoka kwa bei ya zao la mbaazi kimechangia kuwepo kwa mimba za utotoni kwa wanafunzi na wavulana kuacha masomo kutokana na kutokuwepo kwa usimamizi wa wazazi na walezi wao wanaokimbia nyumba zao kwenda maeneo mengine kufanya kilimo chenye tija. Alisema katika wilaya hiyo wakulima wengi wamekuwa wakikimbia kutokana na bei ya mbaazi kushuka kutoka shilingi 500 hadi kufikia 400 na hivyo kuhamua kwenda wilayani Kilwa kulima ufuta ambao bei yake ni kati ya shilingi 2000 hadi 2500. "Wazazi wanapoondoka na kwenda Kilwa ukaa huko kwa zaidi ya miezi sita na huwaacha watoto wao bila ya kuwa na uangalizi maalumu wakilelewa na babu na bibi zao tena bila ya kuwa na chakula hivyo kujikuta wakijiingiza katika vitendo vya ngono isiyo salama na kupata mimba huku wavulana wakiacha shule na kushinda kijijini wakizurura. Wakulima hao walizitaja changamoto walizonazo ni mazao yao kushambuliwa na wadudu waharibifu, ukame, kukosekana kwa elimu ya kilimo,pembejeo, mvua kutonyesha kwa wakati na zao la mhogo kushambuliwa na ugonjwa wa batobato na michirizi kahawia na kuwa changamoto hizo zinalingana na wilaya zingine za mkoa wa Mtwara Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney aliwataka wakulima hao kuacha kilimo cha mazoea na kufanya kilimo cha Kisayansi kutokana na hali ya sasa ya tabia nchi. "Wakulima mnapaswa kubadilika na kuacha kulima kilimo cha zamani hivi sasa hali imebadilika hivyo mnatakiwa kufanya kilimo cha Sayansi na Teknolojia chenye tija na kufuata maelekezo ya wataalamu na kuachana na kilimo cha zamani" alisema Dk. Mneney. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), aliwataka wakulima hao kujiongeza zaidi na kubadili matumizi ya simu zao kwa kuzitumia kutafuta masoko na kuwasiliana na wenzao kuelezana changamoto walizonazo kwenye kilimo badala ya kutumia kwa matumizi yasiyo na tija. Wakulima walionufaika na mafunzo hayo ni kutoka Wilaya za Mtwara mjini, Vijijini, Nanyamba, Tandahimba, Newala, Masasi na Nanyumbu. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com- simu namba 0712727062) BAMBI BAMBI MY DEAR, MY DEAR, MY DEAR Posted: 06 Aug 2017 04:36 AM PDT BAMBI BAMBI MY DEAR MY DEAR MY DEAR...ALIITWA Bambi! Ni jina lenye asili ya Italia, jina hili hupewa mabinti wazuri waliotosheka urembo. Kama lilivyo jina lake, Bambi alikuwa Bambi kweli. Bahati yake hakuzaliwa enzi za utumwa, angevushwa bahari kwa senti kiduchu! Pendapenda alibahatika kumpata Bambi, wakapendana wangali bado vijana wenye nguvu. Mapenzi motomoto yaliwatawala wawili hawa, kuna waliozusha eti kuna wakati mapenzi yalikolea moto mpaka zikatoka cheche! Ulikuwa uzushi. Pendapenda alimpenda vilivyo Bambi wake. Alimpa kila alichokuwa nacho. Kipi Bambi aliomba akanyimwa? Hakuna! Bambi akaendelea kutumbua katika vinono alivyopewa. Kuna wakati mama yake Bambi aliugua, Pendapenda akatinga ukweni. Wakamweleza mkwe alihitaji figo. Pendapenda alitoa. Mwanaume mwenye upendo akabaki na figo moja. Upendo wa ajabu huu! Hakuishia hapo, akamjengea nyumba mama mkwe, na akaamua kuchukua majukumu yote, ya mjane yule. Alisikika akisema, “Mama we tulia… usifanye kazi nitakuhudumia!” Alifanya mambo mengi yasiyoweza kuelezwa yote. Kwa bahati mbaya ule wakati wa dharura ukafika. Kumbe Pendapenda alikopa benki akashindwa kurejesha kutokana na biashara zake kuyumba. Kila kitu chake kikachukuliwa katika mnada, akabaki kapuku wa kutupwa. Bambi msichana aliyezoeshwa starehe na aliyekuwa akiwindwa kutwa na vigogo wa jiji, akasahau fadhila zote alizofanyiwa na Pendapenda, huyoo akatokomea kwa mwanaume mwingine mwenye fedha! Pendapenda akaachwa! Pendapenda alipenda kweli. Uchungu wa kupoteza mali na mwanamke aliyempenda, ukamtia wazimu. Akili yake ikayumba! Akafikiri tofauti. Aliamua kujiua! Akatamani kunywa sumu ya panya, lakini hakuwa na pesa ya kununulia sumu. Akataka kujinyonga, akawaza akagundua hana pesa ya kununulia kamba imara! Akagundua njia moja rahisi, haraka akaelekea katika jengo moja refu, akakwea mpaka juu, akasimama. akipiga ukunga wa uchungu, watu wakajaa chini wakimbembeleza asijirushe. Bambi hakuwepo, alikuwa Visiwa vya Shelisheli akiponda starehe na bwana mwenye fedha nyingi. Pendapenda hakusikia ushauri wa mtu, moja.. mbili… tatu.. alijirusha. Jengo lilikuwa refu, niliuona mwili wake ukija chini kwa kasi, pia niliiona fulana kifuani pake yenye maandishi yaliyosomeka, ‘BAMBI BAMBI, MY DEAR MY DEAR MY DEAR…’ Sikutaka kumshuhudia akifika chini, niliamua kuondoka, hata kabla sijapiga hatua mbili, kikasikika kishindo kikubwa… ‘puuuuuuuh’… vikafuata vilio vya akinamama wastaarabu wa Pwani. GPL MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA
0
0



OLD SCHOOL REUNION USIPIME WIKI 3 TU ZIMEBAKI COLUMBUS OHIO KIMATAIFA ZAIDI

kwa maombi ya wachezaji wa soka wanaokuja kutoka ulaya kucheza Simba na Yanga wameomba mechi ipigwe siku ya Jumamosi kwa hiyo mtanange wa Simba na Yanga utachezwa baada ya mpira wa kikapu siku hiyo ya Jumamosi Sept 2, 2017


HOTELS IN COLUMBUS


Hampton Inn Columbus I-70 E/Hamilton Road
2093 S Hamilton Rd, Columbus, OH 43232


Holiday Inn Express & Suites Columbus Southeast
4041 Hamilton Square, Groveport, OH 43125


Hawthorn Suites by Wyndham Airport Columbus East
2084 S Hamilton Rd, Columbus, OH 43232


La Quinta Inn Columbus Airport Area
2447 Brice Rd, Reynoldsburg, OH 43068


Comfort Suites Columbus
5944 Scarborough Blvd, Columbus, OH 43232


Days Inn & Suites Columbus East Airport
2100 Brice Rd, Reynoldsburg, OH 43068


Courtyard by Marriott Columbus Airport
2901 Airport Dr, Columbus, OH 43219






RATIBA KAMILI NI KAMA IFUATAVYO


Ijumaa Sept 1, 2017




Kuanzia saa 3 usiku ni Africa Night chini ya DJ Burundi na kutakua na onyesho la mavazi kutoka kwa Missy T na Asya Idarous Khamsin anuani ni






4257 Eastland Square Dr,
Columbus, OH 43243




Jumamosi Sept 2, 2017
Kuanzia saa 8 mchana ni BONANZA la mpira wa kikapu kutoka kwa vijana wa Pazi, Vijana, Don Bosco na kwengineko anuani ni
6615 Dublin center Dr,
Dublin, OH 43017




Jumamosi Sept 2, 2017
kuanzia saa 12 jioni ni mechi ya Simba na Yanga itakayokua na wachezaji waliocheza ligi kuu Tanzania anuani ni
Avery Park,
7501 Avery Rd,
Dublin, OH
43017




Na baadae kuanzia saa 3 usiku ni Old School Reunion chini na Ma DJ bora North America DJ Dennis (Funky House) na The Mix Master DJ Luke Joe anuani ni 4257 Eastland Square Dr
Columbus, OH 43243




Jumapili Sept 3, 2017 
kuanzia saa 12 jioni
NYAMA CHOMA anuani


Avery Park,
7501 Avery Rd,
Dublin, OH
43017




Na baadae kuanzia saa 3 usiku ni usiku wa Reggae anuani ni 
4257 Eastland Square Dr,
Columbus, OH 43243




MISOSI NA VINYWAJI VYAKUMWAGA

ARSENAL vs CHELSEA 4-1 | Full Penalty Shootout | community shield Cup |w... Posted: 06 Aug 2017 02:04 PM PDT *TAARIFA YA KAMATI YA KUSIMAMIA KESI YA KAKA MAYOR* Posted: 06 Aug 2017 10:04 AM PDT Ndugu zetu Watanzania, tunatumai mko katika hali njema. *Tulipofika Mpaka sasa:* ▪Tumefanikisha swala la Mwanasheria, Stephenie Lewis. Amechukua malipo ya kuanzia ya *$5,000*ambayo yataingia kwenye escrow account. ▪Ametoa kadirio la gharama ya kesi kuwa kati ya *$20,000 na $30,000* na hii itategemea swala zima la gharama za dhamana *(bond)* ▪Tumefungua akaunti ya benki, Bank of America sambamba na gofund me ili kurahisisha ukusanyaji wa michango. Gofund, imekusanya *$16,566*mpaka tunaingia mitamboni. Na hii kabla hatujatoa ile *$5,000* ambayo tumekopeshwa. ▪Harambee rasmi itafanyika wiki ijayo, baada ya kujua gharama za dhamana(bond). Lakini Jumaapili hii, wanakamati Watakuwepo kwenye kikao cha maandalizi ya DMV Labor day Party, Kukusanya Michango zaidi. ▪Aunty Baybe na dada Rebecca walimtembela kaka Meya, yuko salama.Anawashukuru kwa upendo mliomuonyesha, na anawasalimu. ▪Shughuli rasmi ya kufuatilia dhamana na kesi yote kwa ujumla itaanza Jumatatu. Tutawapasha habari za yatakayojiri, siku zinavyokwenda. ▪Tunawaomba musisite kuhamasisha michango kwani ndio kwanza tuko nusu ya lengo. https://www.gofundme.com/Mayorimmigrationchallenge Bank of America: Acc # *446039288677* Routing# 052-001-633 Ernest B. Kessy Jasmine R. Bennett. Kwa maelezo zaidi au maoni wasiliana na: Ali Mohamed 3015009762 Baybe Mgaza 2022005031 Raju Tambwe 4433177440 Jasmine Rubama 4103719966 Mganga Muhombolage 2023740988 Iddi Sandaly 3016135165 Kessy Metro Tires 2024135933 Jabir Jongo 2406040574 Tunawashukuru sana. Ahsanteni. Wanakamati. Wajumbe Bodi Umwagiliaji kukamatwa Posted: 06 Aug 2017 05:02 AM PDT MKUU wa Wilaya ya Kilombero, James Ihunyo ameagiza kukamatwa kwa Wajumbe wa Bodi ya Skimu ya Umwagiliaji ya Mkula kutokana na kuchelewesha kwa makusudi malipo ya mkopo walioupata kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na wanachama wa skimu hiyo, Ihunyo alisema uzembe wa bodi hiyo umesababisha kuchelewesha marejesho ya mkopo wa takribani Sh milioni 790. Aliongeza kuwa, kitendo cha bodi hiyo kinarudisha nyuma juhudi za serikali katika kupambana na umasikini nchini. Alisema kuchelewesha kurudisha mikopo hiyo kunakosesha wakulima wengine kuchelewa kupata fursa hizo za mikopo hiyo nafuu inayotolewa na TADB ambayo imelenga kuchagiza na kusaidia mapinduzi ya kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini. Akizungumza katika mkutano huo, Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Adam Kamanda alisema tangu wapatiwe mkopo huo, baadhi ya wakulima wa skimu hiyo wamekuwa wakichelewesha kwa makusudi kurejesha mkopo huo licha ya jitahada za kuwahimiza kurejesha mkopo huo. Kamanda aliongeza kuwa benki ya kilimo imejipanga kuhakikisha inatekeleza maelekezo ya serikali ya kuwawezesha wakulima nchini katika sekta ya kilimo kwa kusaidia upatikanaji na utoaji wa fedha ikiwa ni pamoja sera nzuri zitakazosaidia maendeleo ya kilimo. HABARI LEO WILAYA YA NEWALA MKOANI MTWARA INAKABILIWA NA UHABA MKUBWA WA MAOFISA UGANI NA MIFUGO Posted: 06 Aug 2017 04:58 AM PDT Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mafunzo ya siku moja ya kilimo chenye tija kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara kwenye Maonyesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. Mkulima Lukia Hassan Nalamba kutoka Kata ya Nanyamba akizungumzia changamoto wanazokabiliana nazo kwenye mafunzo hayo. Wakulima wakiwa kwenye mafunzo hayo. Mafunzo yakiendelea. Mkulima Mohamed Ismail kutoka Kijiji cha Mnyambe wilayani Newala akizungumza kwenye mafunzo hayo. Mkulima Shazili Mpangalika kutoka Kijiji cha Mikumbi wilayani Newala akizungumzia changamoto ya wakulima kuhamia maeneo mengine kufuata bei kubwa ya mazao. Wakulima kutoka Wilaya ya Nanyumbu wakiwa kwenye semina hiyo. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), akizungumza na wakulima hao Mafunzo yakitolewa. Na Dotto Mwaibale, Lindi HALMASHAURI ya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara inakabiliwa na uhaba mkubwa wa maofisa ugani na mifugo jambo linalochangia kuporomoka kwa kilimo wilayani humo. Hayo yalielezwa na mkulima wa wilaya hiyo, Mohamed Ismail katika mafunzo ya siku moja kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara yenye lengo la kuwasaidia kulima kilimo chenye manufaa yaliyotolewa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia kwa mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney katika maonyesho ya kitaifa ya wakulima Nanenane yanayoendelea Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. "Tunachangamoto kubwa ya uhaba wa maofisa ugani na mifugo hali inayochangia kwa kiasi kikubwa kutokuwepo kwa ufanisi wa kazi na kushindwa kuwafikia wakulima hivyo kuzorotesha shughuli za kilimo na mifugo kwa ujumla" alisema Ismail. Alisema katika kata moja yenye vijiji sita ni ofisa ugani mmoja tu ndiye anayehudumia wakulima katika vijiji hivyo tena bila ya kuwa na usafiri wa uhakika hivyo kumfanya ashindwe kuwafikia wakulima kuwapa mafunzo na kujua changamoto walizonazo. Alisema kutokana na uhaba wa maofisa kilimo na mifugo imesababisha ofisa ugani kujikuta akifanya kazi mbili ya ugani na mifugo na ofisa mifugo naye akifanya kazi ya ugani na ambayo hakuisomea. "Tunaiomba serikali kuliangalia jambo ili kwa karibu zaidi kwani bila ya kufanya hivyo Tanzania ya kuelekea uchumi wa viwanda katika wilaya hiyo itakuwa ni ndoto" alisema Ismail. Mkulima Shezili Mpangalika kutoka katika wilaya hiyo alisema kilimo cha kuhamahama kinachosababishwa na kuporomoka kwa bei ya zao la mbaazi kimechangia kuwepo kwa mimba za utotoni kwa wanafunzi na wavulana kuacha masomo kutokana na kutokuwepo kwa usimamizi wa wazazi na walezi wao wanaokimbia nyumba zao kwenda maeneo mengine kufanya kilimo chenye tija. Alisema katika wilaya hiyo wakulima wengi wamekuwa wakikimbia kutokana na bei ya mbaazi kushuka kutoka shilingi 500 hadi kufikia 400 na hivyo kuhamua kwenda wilayani Kilwa kulima ufuta ambao bei yake ni kati ya shilingi 2000 hadi 2500. "Wazazi wanapoondoka na kwenda Kilwa ukaa huko kwa zaidi ya miezi sita na huwaacha watoto wao bila ya kuwa na uangalizi maalumu wakilelewa na babu na bibi zao tena bila ya kuwa na chakula hivyo kujikuta wakijiingiza katika vitendo vya ngono isiyo salama na kupata mimba huku wavulana wakiacha shule na kushinda kijijini wakizurura. Wakulima hao walizitaja changamoto walizonazo ni mazao yao kushambuliwa na wadudu waharibifu, ukame, kukosekana kwa elimu ya kilimo,pembejeo, mvua kutonyesha kwa wakati na zao la mhogo kushambuliwa na ugonjwa wa batobato na michirizi kahawia na kuwa changamoto hizo zinalingana na wilaya zingine za mkoa wa Mtwara Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney aliwataka wakulima hao kuacha kilimo cha mazoea na kufanya kilimo cha Kisayansi kutokana na hali ya sasa ya tabia nchi. "Wakulima mnapaswa kubadilika na kuacha kulima kilimo cha zamani hivi sasa hali imebadilika hivyo mnatakiwa kufanya kilimo cha Sayansi na Teknolojia chenye tija na kufuata maelekezo ya wataalamu na kuachana na kilimo cha zamani" alisema Dk. Mneney. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), aliwataka wakulima hao kujiongeza zaidi na kubadili matumizi ya simu zao kwa kuzitumia kutafuta masoko na kuwasiliana na wenzao kuelezana changamoto walizonazo kwenye kilimo badala ya kutumia kwa matumizi yasiyo na tija. Wakulima walionufaika na mafunzo hayo ni kutoka Wilaya za Mtwara mjini, Vijijini, Nanyamba, Tandahimba, Newala, Masasi na Nanyumbu. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com- simu namba 0712727062) BAMBI BAMBI MY DEAR, MY DEAR, MY DEAR Posted: 06 Aug 2017 04:36 AM PDT BAMBI BAMBI MY DEAR MY DEAR MY DEAR...ALIITWA Bambi! Ni jina lenye asili ya Italia, jina hili hupewa mabinti wazuri waliotosheka urembo. Kama lilivyo jina lake, Bambi alikuwa Bambi kweli. Bahati yake hakuzaliwa enzi za utumwa, angevushwa bahari kwa senti kiduchu! Pendapenda alibahatika kumpata Bambi, wakapendana wangali bado vijana wenye nguvu. Mapenzi motomoto yaliwatawala wawili hawa, kuna waliozusha eti kuna wakati mapenzi yalikolea moto mpaka zikatoka cheche! Ulikuwa uzushi. Pendapenda alimpenda vilivyo Bambi wake. Alimpa kila alichokuwa nacho. Kipi Bambi aliomba akanyimwa? Hakuna! Bambi akaendelea kutumbua katika vinono alivyopewa. Kuna wakati mama yake Bambi aliugua, Pendapenda akatinga ukweni. Wakamweleza mkwe alihitaji figo. Pendapenda alitoa. Mwanaume mwenye upendo akabaki na figo moja. Upendo wa ajabu huu! Hakuishia hapo, akamjengea nyumba mama mkwe, na akaamua kuchukua majukumu yote, ya mjane yule. Alisikika akisema, “Mama we tulia… usifanye kazi nitakuhudumia!” Alifanya mambo mengi yasiyoweza kuelezwa yote. Kwa bahati mbaya ule wakati wa dharura ukafika. Kumbe Pendapenda alikopa benki akashindwa kurejesha kutokana na biashara zake kuyumba. Kila kitu chake kikachukuliwa katika mnada, akabaki kapuku wa kutupwa. Bambi msichana aliyezoeshwa starehe na aliyekuwa akiwindwa kutwa na vigogo wa jiji, akasahau fadhila zote alizofanyiwa na Pendapenda, huyoo akatokomea kwa mwanaume mwingine mwenye fedha! Pendapenda akaachwa! Pendapenda alipenda kweli. Uchungu wa kupoteza mali na mwanamke aliyempenda, ukamtia wazimu. Akili yake ikayumba! Akafikiri tofauti. Aliamua kujiua! Akatamani kunywa sumu ya panya, lakini hakuwa na pesa ya kununulia sumu. Akataka kujinyonga, akawaza akagundua hana pesa ya kununulia kamba imara! Akagundua njia moja rahisi, haraka akaelekea katika jengo moja refu, akakwea mpaka juu, akasimama. akipiga ukunga wa uchungu, watu wakajaa chini wakimbembeleza asijirushe. Bambi hakuwepo, alikuwa Visiwa vya Shelisheli akiponda starehe na bwana mwenye fedha nyingi. Pendapenda hakusikia ushauri wa mtu, moja.. mbili… tatu.. alijirusha. Jengo lilikuwa refu, niliuona mwili wake ukija chini kwa kasi, pia niliiona fulana kifuani pake yenye maandishi yaliyosomeka, ‘BAMBI BAMBI, MY DEAR MY DEAR MY DEAR…’ Sikutaka kumshuhudia akifika chini, niliamua kuondoka, hata kabla sijapiga hatua mbili, kikasikika kishindo kikubwa… ‘puuuuuuuh’… vikafuata vilio vya akinamama wastaarabu wa Pwani. GPL MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA

0
0
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo wa Benki ya NMB, Omari Mtiga (kushoto), wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa, Omary Kuwe (kushoto) wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Bin Slum, wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kupokea vifaa kutoka Kampuni mbalimbali zilizojitokeza kudhamini Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Magufuli. Kulia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Musilimu. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa, Omary Kuwe (kushoto) akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya udhamini wa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam.

KISA MARADHI YA KISUKARI, MKE AMKIMBIA MUME WAKE NA KUHAMIA KWA JIRANI !

Previous: ARSENAL vs CHELSEA 4-1 | Full Penalty Shootout | community shield Cup |w... Posted: 06 Aug 2017 02:04 PM PDT *TAARIFA YA KAMATI YA KUSIMAMIA KESI YA KAKA MAYOR* Posted: 06 Aug 2017 10:04 AM PDT Ndugu zetu Watanzania, tunatumai mko katika hali njema. *Tulipofika Mpaka sasa:* ▪Tumefanikisha swala la Mwanasheria, Stephenie Lewis. Amechukua malipo ya kuanzia ya *$5,000*ambayo yataingia kwenye escrow account. ▪Ametoa kadirio la gharama ya kesi kuwa kati ya *$20,000 na $30,000* na hii itategemea swala zima la gharama za dhamana *(bond)* ▪Tumefungua akaunti ya benki, Bank of America sambamba na gofund me ili kurahisisha ukusanyaji wa michango. Gofund, imekusanya *$16,566*mpaka tunaingia mitamboni. Na hii kabla hatujatoa ile *$5,000* ambayo tumekopeshwa. ▪Harambee rasmi itafanyika wiki ijayo, baada ya kujua gharama za dhamana(bond). Lakini Jumaapili hii, wanakamati Watakuwepo kwenye kikao cha maandalizi ya DMV Labor day Party, Kukusanya Michango zaidi. ▪Aunty Baybe na dada Rebecca walimtembela kaka Meya, yuko salama.Anawashukuru kwa upendo mliomuonyesha, na anawasalimu. ▪Shughuli rasmi ya kufuatilia dhamana na kesi yote kwa ujumla itaanza Jumatatu. Tutawapasha habari za yatakayojiri, siku zinavyokwenda. ▪Tunawaomba musisite kuhamasisha michango kwani ndio kwanza tuko nusu ya lengo. https://www.gofundme.com/Mayorimmigrationchallenge Bank of America: Acc # *446039288677* Routing# 052-001-633 Ernest B. Kessy Jasmine R. Bennett. Kwa maelezo zaidi au maoni wasiliana na: Ali Mohamed 3015009762 Baybe Mgaza 2022005031 Raju Tambwe 4433177440 Jasmine Rubama 4103719966 Mganga Muhombolage 2023740988 Iddi Sandaly 3016135165 Kessy Metro Tires 2024135933 Jabir Jongo 2406040574 Tunawashukuru sana. Ahsanteni. Wanakamati. Wajumbe Bodi Umwagiliaji kukamatwa Posted: 06 Aug 2017 05:02 AM PDT MKUU wa Wilaya ya Kilombero, James Ihunyo ameagiza kukamatwa kwa Wajumbe wa Bodi ya Skimu ya Umwagiliaji ya Mkula kutokana na kuchelewesha kwa makusudi malipo ya mkopo walioupata kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na wanachama wa skimu hiyo, Ihunyo alisema uzembe wa bodi hiyo umesababisha kuchelewesha marejesho ya mkopo wa takribani Sh milioni 790. Aliongeza kuwa, kitendo cha bodi hiyo kinarudisha nyuma juhudi za serikali katika kupambana na umasikini nchini. Alisema kuchelewesha kurudisha mikopo hiyo kunakosesha wakulima wengine kuchelewa kupata fursa hizo za mikopo hiyo nafuu inayotolewa na TADB ambayo imelenga kuchagiza na kusaidia mapinduzi ya kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara ili kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini. Akizungumza katika mkutano huo, Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Adam Kamanda alisema tangu wapatiwe mkopo huo, baadhi ya wakulima wa skimu hiyo wamekuwa wakichelewesha kwa makusudi kurejesha mkopo huo licha ya jitahada za kuwahimiza kurejesha mkopo huo. Kamanda aliongeza kuwa benki ya kilimo imejipanga kuhakikisha inatekeleza maelekezo ya serikali ya kuwawezesha wakulima nchini katika sekta ya kilimo kwa kusaidia upatikanaji na utoaji wa fedha ikiwa ni pamoja sera nzuri zitakazosaidia maendeleo ya kilimo. HABARI LEO WILAYA YA NEWALA MKOANI MTWARA INAKABILIWA NA UHABA MKUBWA WA MAOFISA UGANI NA MIFUGO Posted: 06 Aug 2017 04:58 AM PDT Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia Tanzania (OFAB), Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mafunzo ya siku moja ya kilimo chenye tija kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara kwenye Maonyesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. Mkulima Lukia Hassan Nalamba kutoka Kata ya Nanyamba akizungumzia changamoto wanazokabiliana nazo kwenye mafunzo hayo. Wakulima wakiwa kwenye mafunzo hayo. Mafunzo yakiendelea. Mkulima Mohamed Ismail kutoka Kijiji cha Mnyambe wilayani Newala akizungumza kwenye mafunzo hayo. Mkulima Shazili Mpangalika kutoka Kijiji cha Mikumbi wilayani Newala akizungumzia changamoto ya wakulima kuhamia maeneo mengine kufuata bei kubwa ya mazao. Wakulima kutoka Wilaya ya Nanyumbu wakiwa kwenye semina hiyo. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), akizungumza na wakulima hao Mafunzo yakitolewa. Na Dotto Mwaibale, Lindi HALMASHAURI ya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara inakabiliwa na uhaba mkubwa wa maofisa ugani na mifugo jambo linalochangia kuporomoka kwa kilimo wilayani humo. Hayo yalielezwa na mkulima wa wilaya hiyo, Mohamed Ismail katika mafunzo ya siku moja kwa wakulima wa Mkoa wa Mtwara yenye lengo la kuwasaidia kulima kilimo chenye manufaa yaliyotolewa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia kwa mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney katika maonyesho ya kitaifa ya wakulima Nanenane yanayoendelea Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. "Tunachangamoto kubwa ya uhaba wa maofisa ugani na mifugo hali inayochangia kwa kiasi kikubwa kutokuwepo kwa ufanisi wa kazi na kushindwa kuwafikia wakulima hivyo kuzorotesha shughuli za kilimo na mifugo kwa ujumla" alisema Ismail. Alisema katika kata moja yenye vijiji sita ni ofisa ugani mmoja tu ndiye anayehudumia wakulima katika vijiji hivyo tena bila ya kuwa na usafiri wa uhakika hivyo kumfanya ashindwe kuwafikia wakulima kuwapa mafunzo na kujua changamoto walizonazo. Alisema kutokana na uhaba wa maofisa kilimo na mifugo imesababisha ofisa ugani kujikuta akifanya kazi mbili ya ugani na mifugo na ofisa mifugo naye akifanya kazi ya ugani na ambayo hakuisomea. "Tunaiomba serikali kuliangalia jambo ili kwa karibu zaidi kwani bila ya kufanya hivyo Tanzania ya kuelekea uchumi wa viwanda katika wilaya hiyo itakuwa ni ndoto" alisema Ismail. Mkulima Shezili Mpangalika kutoka katika wilaya hiyo alisema kilimo cha kuhamahama kinachosababishwa na kuporomoka kwa bei ya zao la mbaazi kimechangia kuwepo kwa mimba za utotoni kwa wanafunzi na wavulana kuacha masomo kutokana na kutokuwepo kwa usimamizi wa wazazi na walezi wao wanaokimbia nyumba zao kwenda maeneo mengine kufanya kilimo chenye tija. Alisema katika wilaya hiyo wakulima wengi wamekuwa wakikimbia kutokana na bei ya mbaazi kushuka kutoka shilingi 500 hadi kufikia 400 na hivyo kuhamua kwenda wilayani Kilwa kulima ufuta ambao bei yake ni kati ya shilingi 2000 hadi 2500. "Wazazi wanapoondoka na kwenda Kilwa ukaa huko kwa zaidi ya miezi sita na huwaacha watoto wao bila ya kuwa na uangalizi maalumu wakilelewa na babu na bibi zao tena bila ya kuwa na chakula hivyo kujikuta wakijiingiza katika vitendo vya ngono isiyo salama na kupata mimba huku wavulana wakiacha shule na kushinda kijijini wakizurura. Wakulima hao walizitaja changamoto walizonazo ni mazao yao kushambuliwa na wadudu waharibifu, ukame, kukosekana kwa elimu ya kilimo,pembejeo, mvua kutonyesha kwa wakati na zao la mhogo kushambuliwa na ugonjwa wa batobato na michirizi kahawia na kuwa changamoto hizo zinalingana na wilaya zingine za mkoa wa Mtwara Mwezeshaji kutoka Jukwaa la Bioteknolojia kwa maendeleo ya Kilimo (OFAB), Dk. Hamalord Mneney aliwataka wakulima hao kuacha kilimo cha mazoea na kufanya kilimo cha Kisayansi kutokana na hali ya sasa ya tabia nchi. "Wakulima mnapaswa kubadilika na kuacha kulima kilimo cha zamani hivi sasa hali imebadilika hivyo mnatakiwa kufanya kilimo cha Sayansi na Teknolojia chenye tija na kufuata maelekezo ya wataalamu na kuachana na kilimo cha zamani" alisema Dk. Mneney. Mratibu wa Jukwaa la Bioteknolojia kwa Maendeleo ya Kilimo (OFAB), Philbert Nyinondi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Morogoro (SUA), aliwataka wakulima hao kujiongeza zaidi na kubadili matumizi ya simu zao kwa kuzitumia kutafuta masoko na kuwasiliana na wenzao kuelezana changamoto walizonazo kwenye kilimo badala ya kutumia kwa matumizi yasiyo na tija. Wakulima walionufaika na mafunzo hayo ni kutoka Wilaya za Mtwara mjini, Vijijini, Nanyamba, Tandahimba, Newala, Masasi na Nanyumbu. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com- simu namba 0712727062) BAMBI BAMBI MY DEAR, MY DEAR, MY DEAR Posted: 06 Aug 2017 04:36 AM PDT BAMBI BAMBI MY DEAR MY DEAR MY DEAR...ALIITWA Bambi! Ni jina lenye asili ya Italia, jina hili hupewa mabinti wazuri waliotosheka urembo. Kama lilivyo jina lake, Bambi alikuwa Bambi kweli. Bahati yake hakuzaliwa enzi za utumwa, angevushwa bahari kwa senti kiduchu! Pendapenda alibahatika kumpata Bambi, wakapendana wangali bado vijana wenye nguvu. Mapenzi motomoto yaliwatawala wawili hawa, kuna waliozusha eti kuna wakati mapenzi yalikolea moto mpaka zikatoka cheche! Ulikuwa uzushi. Pendapenda alimpenda vilivyo Bambi wake. Alimpa kila alichokuwa nacho. Kipi Bambi aliomba akanyimwa? Hakuna! Bambi akaendelea kutumbua katika vinono alivyopewa. Kuna wakati mama yake Bambi aliugua, Pendapenda akatinga ukweni. Wakamweleza mkwe alihitaji figo. Pendapenda alitoa. Mwanaume mwenye upendo akabaki na figo moja. Upendo wa ajabu huu! Hakuishia hapo, akamjengea nyumba mama mkwe, na akaamua kuchukua majukumu yote, ya mjane yule. Alisikika akisema, “Mama we tulia… usifanye kazi nitakuhudumia!” Alifanya mambo mengi yasiyoweza kuelezwa yote. Kwa bahati mbaya ule wakati wa dharura ukafika. Kumbe Pendapenda alikopa benki akashindwa kurejesha kutokana na biashara zake kuyumba. Kila kitu chake kikachukuliwa katika mnada, akabaki kapuku wa kutupwa. Bambi msichana aliyezoeshwa starehe na aliyekuwa akiwindwa kutwa na vigogo wa jiji, akasahau fadhila zote alizofanyiwa na Pendapenda, huyoo akatokomea kwa mwanaume mwingine mwenye fedha! Pendapenda akaachwa! Pendapenda alipenda kweli. Uchungu wa kupoteza mali na mwanamke aliyempenda, ukamtia wazimu. Akili yake ikayumba! Akafikiri tofauti. Aliamua kujiua! Akatamani kunywa sumu ya panya, lakini hakuwa na pesa ya kununulia sumu. Akataka kujinyonga, akawaza akagundua hana pesa ya kununulia kamba imara! Akagundua njia moja rahisi, haraka akaelekea katika jengo moja refu, akakwea mpaka juu, akasimama. akipiga ukunga wa uchungu, watu wakajaa chini wakimbembeleza asijirushe. Bambi hakuwepo, alikuwa Visiwa vya Shelisheli akiponda starehe na bwana mwenye fedha nyingi. Pendapenda hakusikia ushauri wa mtu, moja.. mbili… tatu.. alijirusha. Jengo lilikuwa refu, niliuona mwili wake ukija chini kwa kasi, pia niliiona fulana kifuani pake yenye maandishi yaliyosomeka, ‘BAMBI BAMBI, MY DEAR MY DEAR MY DEAR…’ Sikutaka kumshuhudia akifika chini, niliamua kuondoka, hata kabla sijapiga hatua mbili, kikasikika kishindo kikubwa… ‘puuuuuuuh’… vikafuata vilio vya akinamama wastaarabu wa Pwani. GPL MASAUNI APOKEA VIFAA VYA TAMASHA LA USALAMA BARABARANI LITAKALOFAYIKA AGOSTI 12, MWAKA HUU UWANJA WA TAIFA
0
0

Mwanaume mmoja wa makamo mkaazi wa mkoani Morogoro nchini Tanzania amekutana na adha kubwa  ya maisha baada ya kukimbiwa na mke wake wa ndoa huku sababu kuu ikitajwa kuwa maradhi ya kisukari yanayo mkabili mwanaume huyo kwa muda mrefu. 


Shuhuda wa kisa hiki
ameeleza kuwa, mwanamke huyo baada ya kumkimbia mume wake wa ndoa, amehamia kwa mwanaume mwingine ambae anaishi katika nyumba jirani na ananapoishi mume wake huku akimuacha mumewe akiwa anateseka na maradhi ya kisukari pasi na msaada wowote ! 
Kusoma zaidi habari hii na kusikia sauti...

WADAU WA MISITU WATAKIWA KUZALISHA KWA TIJA MAZAO NA BIDHAA ZA MAZOA YA MISITU NA NYUKI

0
0

Dodoma: Ikiwa zimebaki siku mbili kufika kikomo cha Maonyesho ya Kilimo na Mifugo, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga amewataka wadau wa misitu nchini kuzalisha kwa tija mazao na bidhaa za mazao ya misitu na nyuki ili kufikia uchumi wa kati.

Akizungumza na wadau hao jana mara baada ya kutembelea Banda la Maliasili na Utalii katika Uwanja vya Maonyesho ya Kilimo Nzuguni - Dodoma alisema serikali imekusudia kuhakikisha inawawezesha wajasiliamari kufungua viwanda vidogo vidogo vitakavyozalisha kwa tija mazao na bidhaa mbalimbali ili kufikia uchumi wa kati.

Odunga alisema katika Mkoa wa Dodoma kuna eneo lililotengwa kwa ajili ya viwanda na kuwataka wadau wa misitu na nyuki kujiunga kwenye vikundi ili serikali iweze kuwasaidia kufungua viwanda vitakavyowawezesha kuzalisha bidhaa zenye ubora.

" Nimetumia muda mwingi kwenye mabanda ya wadau wa sekta ya misitu na nyuki kwa kuwa katika sera zetu tunataka kuona jinsi gani wananchi wanaweza kutumia misitu kwa kuzingatia matumizi endelevu ikiwa ni kutekeleza sera ya misitu na wakati huo huo kutekeleza sera ya viwanda kwa kuzalisha viwanda vinavyotumia malighafi za misitu," alisema Odunga.

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Chemba-Dodoma, Simon Odunga (katikati) akipewa maelezo ya bidhaa zilizotengenezwa na malighafi za misitu (vinyago) na mdau wa Wakala wa Huduma za Misitu kutoka kampuni ya Kasana Artist kutoka Kijiji cha Makumbusho Dar es Salaam, Bi. Rukia Katembo (mwenye sweta) katika Banda la Maliasili na Utalii Kwenye maonyesho ya Nane Nane Kanda ya Kati yanayofanyika Katika uwanja wa Nzuguni Dodoma kuanzia tarehe 01/08 hadi 08/08/2017 na kutoa wito kwa wananchi kutembelea banda hilo ili kuweza kujionea faida mbalimbali za uhifadhi wa misitu hususan katika kumuinua mwananchi kutoka uchumi wa kawaida hadi wa kati. Wa Mwisho kushoto ni mdau mwingine Angel Msangi.

Mdau wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzaniakutoka kampuni ya Jem Herbarist kutoka Bukoba inayozalisha bidhaa zake kwa kutumi mti wa Mlonge na Mshana, Bi. Janerose Mtayoba (mama mwenye kofia) akiwaeleza wananchi (wanaosoma maelezo ya dawa) waliotembelea Maonyesho ya Kilimo/Mifugo na Sherehe za Nane Nane Kanda ya Kati Dodoma matumizi ya dawa anazozalisha, kulia ni Katibu wa Chama cha Waganga na Wakunga wa Jadi Tanzania, Tabibu Issah Mkombozi akisikiliza maelezo hayo.

WAZIRI WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI MHE. DK.CHARLES TIZEBA ASISITIZA MATUMIZI YA TAARIFA ZA HALI YA HEWA KWA MANUFAA YA KILIMO NCHINI

0
0
 Mhe. Dkt. Tizeba akisisitiza umuhimu wa taarifa za hali ya hewa kwa wakulima alipotembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), anayezungumza nae ni Mkurugenzi wa utafiti na matumizi ya taarifa za hali ya hewa Dkt. Ladislaus Chang'a
 Mkurugenzi wa utafiti na matumizi ya taarifa za hali ya hewa Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa maelezo ya umuhimu wa matumizi sahihi ya taarifa za hali ya hewa kwa waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi
  Baadhi ya wageni mbalimbali wanaoendelea kutembelea banda ili upata elimu juu ya umuhimu wa taarifa za hali ya hewa na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa
Mhe. Dkt Tizeba akiteta jambo na Mkurugenzi wa utafiti na matumizi ya taarifa za hali ya hewa Dkt. Ladislaus Chang'a na Meneja wa Kanda ya Kusini  wa TMA Bw. Amas Daudi
Viewing all 109602 articles
Browse latest View live


Latest Images