Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live

WATU WAWILI WANUSURIKA KUUAWA MKOANI LINDI KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Lindi linawashikilia watu wawili kwa Tuhuma za Unyanganyi kwa kutumia silaha na kujeruhi Mfanyabiasha wa Duka katika kijiji Cha Kitomanga Wilayani Lindi huku wakiwa katika hospital ya Mkoa baada ya kunusurika kufa kufuatia Wananchi wenye hasira kutaka kuwaua kwa kuwachoma Moto.

Akiongea na waandishi wa habari Ofisi kwake hii leo,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,George Mwakajinga alieleza kuwa Watuhumiwa hao waliojitambulisha kwa Rajabu Juma Mbete(26) mkazi wa manispaa ya Lindi na Hamis Athuman(32) mkazi wa Mbembetini Kibiti Mkoani Pwani licha ya kupora simu 6 na fedha taslim laki 6 pia walimjeruhi kwa Mapanga Bw Hamis Hassan Muuza duka hilo.

Mwakajinga alibainisha kuwa Majambazi hayo yanayosadikiwa kuwa 4 walifanikiwa kukimbia baada ya Bunduki waliyokuwa nayo kugoma kufyetua risasi hali iliyofanya wanavijiji vya Kitomanga,Mkwajuni na Mbwemkuru kuanza msako na kufanikiwa kuwakamata na kuwajeruhi kwa kuwapiga na kuwachoma moto kabla hawajapata msaada wa Jeshi la Polisi.

Akielezea kuhusu kukutwa na risasi tatu za Shortgun,Bangi pamoja na Bunduki aina ya Shortgun ya kienyeji, Kamanda mwakajinga alifafanua Bunduki hiyo Ambayo hutumia risasi za Short gun pia walikutwa na risasi 3.

Kufuatia kukamatwa kwa majambazi hao baadhi ya Wafanyabiashara Manispaa ya Lindi akiwemo Seif Nasor na Ahmaid Nachuli wameeleza kuwa tatizo la kuongezeka kwa majambazi kunachangiwa na Uozo wa sheria hali inayosababisha jamii kujichulia sheria mkononi.

Watuhumiwa hao ambao wamelazwa huku wakiwa chini ya Ulinzi wa Jeshi la Polisi watafikishwa mhakamani mara baada ya Afya yao Kuimarika kutokana kunusurika kuchomwa Moto na Wananchi ambapo tayari wameweza kutambuliwa na baadhi ya wanakijiji
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,George Mwakajinga akionyesha silaha iliyokutwa kwa majambazi hayo.
Hawa ndio watu wanaoshikiliwa na Polisi,baada ya kujeruhiwa na wananchi wenye hasira kali.

MKUTANO UNAOZUNGUMZIA MASUALA YA UHURU NA USALAMA WA MTANDAO WAANZA RASMI LEO MJINI STOCKHOLM

$
0
0
Mkutano wa Internet Forum unaendelea mjini Stockholm kwa siku ya pili, ukijadili mambo muhimu kama upatikanaji wa mtandao kwa watu wote na kwa gharama nafuu (Free access for all) na jinsi ya kuchochea maendeleo ya ubunifu na kutengeneza programu na vifaa vya TEHAMA (Accerelating innovations in ICT for transformative growth)ambayo wananchi wengi watakuwa wana uwezo wa kuvipata na kuvimiliki.
Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa sweden Bi. Gunilla Carlsson akifafanua jinsi gani Mtandao unaweza kutumika katika kuwaletea maemaendeleo wananchi.
Panelist ikijadili “Accerelating innovations in ICT for transformative growth”.
Waziri wa Technologia ya Mawasiliano na Habari wa Sweden Bi. Anna-Karin Hatt, Professor Paula Uimonen, Director of SPIDER wakizungumza na Bw. Wilfred warioba, kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Dr. Jabiri Bakari CEO wa Tanzania e-Governance Tanzania.

Plot for sale

MSAADA TUTANI

$
0
0

Habari Anko Michuzi

Pole na kazi za ujenZi wa taifa na mihangaiko ya wanalibeneke:

MIMI NI MTANZANIA NAISHI HAPA UJERUMANI KWA MUDA SASA NIMEKUWA NIKITAFUTA WATANZANIA WENZANGU WANAOISHI HAPA UJERUMANI SIJAFANIKIWA KUWAPATA HATA MMOJA NAOMBA NIFIKISHIE UJUMBE WANGU INI TUWEZE KUFAHAMIANA NA KUUNGANA PAMOJA KUWASILIANA PIA 

NIPO MJI WA DORTMUND NAHITAJI KUJUANA NA WATANZANIA WENZANGU WALIOPO HAPA UJERUMANI MJI WOWOTE ULE DORTMUND, BERLIN, ESSEN; COLOGNE ,DUSSELDORF, BREMEN, BOCHUM, MUNICH, STUTTGART NA MINGINEYO

E MAIL YANGU:  mari4tz@gmail.com
                     mari4tz@gmail.com

Masiga Alex - Mapenzi Moto

Balozi Kamala asaini Hati za Makubaliano ya Kutekeleza Sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi

$
0
0
Balozi wa Tanzania BANELUX na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka sahihi Hati ya Makubaliano na taasisi ya Uholanzi ya SANEC kwa ajili ya SANEC kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania BENELUX kutekeleza Sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Kushoto ni Bwana Mark Agterdenbosch Meneja Mkuu wa SANEC. Uwekaji sahihi umefanyika leo The Hague Uholanzi.
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi ya taifa) akipeana mkono na Bwana Mark Agterdenborsh Meneje Mkuu wa SANEC baada ya uwekaji sahihi Hati ya Makubaliano ya kushirikiana kutekeleza sera ya Tanzania ya Diplomasia ya Uchumi. Shughuli ya uwekaji sahihi imefanyika leo, The Hague, Uholanzi.

TASWIRA TOKA BUNGENI DODOMA LEO

WARSHA YA WAZI KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA KINA WA MAENEO YA KIPAUMBELE YA KITAIFA

$
0
0
Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (Ikulu) inawatangazia na kuwaalika wadau na wananchi wote kuhudhuria Warsha ya Wazi (Open Day) kupata maelezo, kujadili na kutoa maoni juu ya miradi na program zitakazotekelezwa na Serikali kwa kipindi cha miaka mitatu (2013/14 hadi 2015/16) katika maeneo ya kipaumbele yaliyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16). 
Miradi hiyo inatokana na uchambuzi wa kina uliofanywa na wataalamu wa kitanzania kwa kutumia mfumo mpya wa kimaabara (labs).
Huu ni mfumo ambao Serikali imeuanzisha ili kuhakikisha ushirikishwaji mpana wa wadau na wananchi kwa ujumla katika utekelezeaji wa miradi ya kipaumbele ya Kitaifa.
Warsha hiyo ya wazi itafanyika kesho Ijumaa tarehe 24/05/2013 katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar Es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Wote mnakaribishwa!
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano
Ikulu
DAR ES SALAAM

Article 12

Article 11

NAPE AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 150 YA CHAMA CHA SPD JININI BERLIN, UJERUMANI

$
0
0
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi ya CCM, Ndugu Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD jijini Berlin, Ujerumani, alipowasili leo  kuhudhuria sherehe za miaka 150 ya kuzaliwa kwa chama hicho.

NGOMA AZIPENDAZO ANKAL

$
0
0
Alpha Blondy wa Ivory Coast alitingisha na ngoma yake ya 'Jerusalem'

Mkataa kwao Mtumwa

$
0
0
Ngoma ya kiasilia ya 'Goma' toka Tanga

miondoko ya kumeremeta kwenye mnuso

Dar braces for Obama Fever

$
0
0
Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation addresses the African Ambassadors and press (not in the photo), earlier today (May 23, 2013) in the Ministry in Dar es Salaam.  The Minister briefed reporters about the upcoming visit of the US President Barack Obama in July of this year and the AU's Golden Jubilee celebrations slated for 25 May 2013 at the Karimjee Grounds in Dar es Salaam. 
H.E. Thanduyise H. Chiliza (right), High Commissioner of South Africa in Tanzania and H.E. Judith Kapijimpanga, High Commissioner of Zambia in Tanzania were also in attendance during the press conference. 

Hon. Membe explains the upcoming visit of the US President Barack Obama and his purported agenda of "Power Africa", which aims at stimulating economic development in the Continent through the energy sector.  Also in the photo is Permanent Secretary Mr. John M. Haule (right) and Ambassador Prof. Ambrósio Lukoki of Angola in Tanzania.

H.E. Abdihakim Ali Yassin (left), Ambassador of Somali to Tanzania, H.E. Djelloul Tabet (center), Ambassador of Algeria to Tanzania and H.E. Hossam Moharam (right), Ambassador of Egypt to Tanzania. 

The African Ambassadors and members of the press listening to Hon. Minister Membe during the press conference.
H.E. Flossie Gomille-Chidyaonga, High Commissioner of Malawi in Tanzania and H.E. Mutindo Mutiso, High Commissioner of Kenya in Tanzania were also in attendance. 

 Permanent Secretary Mr. John M. Haule (right) addresses members of press while detailing the upcoming AU's Golden Jubilee celebrations scheduled for Saturday May 25, 2013 at Karimjee Grounds in Dar es Salaam.  Listening on is H.E. Prof. Ambrósio Lukoki, Ambassador of Angola in Tanzania.

By TAGIE DAISY MWAKAWAGO

Tanzania is expected to host the biggest visit ever in early July of this year, when President Barack Obama of the United States will grace the honor.  Obama is the first African-American elected President in the United States.

Briefing the African Diplomatic Corps and press yesterday, Minister Bernard K. Membe (MP) of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation said that President Obama will be accompanied by his Family and close to 700 delegates consist of CEOs of various companies.

According to the US' White House statement issued earlier this week, the visit embarks the US’ “commitment to broadening and deepening cooperation with the people of sub-Saharan Africa.”  President Obama is scheduled to visit Senegal, South Africa prior to coming to Tanzania on July 1 to 2 of this year. 

Hon. Membe noted that the Obama’s visit will overlap the Country’s hosted Smart Partnership Dialogue on June 28 through 1st of July this year, in Dar es Salaam.

The theme of this year’s Dialogue is “Leveraging Technology for Africa’s Socio-economic Transformation: The Smart Partnership War”.

The Minister further said that important dignitaries from all over the world are expected to attend the Dialogue, including "the US former President George W. Bush and his wife Laura Bush", said Minister Membe, adding that the main agenda of President’s Obama visit is“Power Africa”.

The agenda of "Power Africa" is earmarked to spearhead energy conservation among the African nations, stomping energy sector as a vital component of the economic development sphere in the Continent.  While in the Country, President Obama will host a businessmen forum that will gather groups from various development sectors in both countries.

In another development, Hon. Membe briefed the reporters about the African Union’s Golden Jubilee celebrations, slated for this Saturday 25 May 2013 at Karimjee Grounds in Dar es Salaam. 

Detailing the program, the Permanent Secretary Mr John Haule said that the theme for the AU’s 50 years’ celebration is Pan-Africanism and the African Renaissance.  Other activities to mark the celebration will include the Panel’s discussion on the role of AU in the Struggle for African Liberations and Self-Determination.

The press conference was attended by H.E. Juma Alfani Mpango, Dean of the Diplomatic Corps and the Ambassador of Democratic Republic of Congo - DRC and other Ambassadors from Mozambique, Namibia, Algeria, Nigeria, Malawi and Zambia.  Also in attendance were Ambassadors from Sudan, Somalia, Egypt, Zimbabwe and other countries in Africa.

HAKUNA JAMII ITAKAYOACHWA NYUMA KIMAENDELEO-TANZANIA

$
0
0
Balozi Ramadhan Mwinyi Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akizungumza wakati wa Mkutano wa Kudumu wa 12 wa Masuala ya Wazawa, katika mchango wake kuhusu mada ya utafiti uliofanywa kuhusu Ujasiri, Maarifa ya Jadi na Kujenga uwezo Jamii ya Wafugaji katika Afrika, Mwakilishi huyo ameeleza kwamba Jamhuri ya Muungano inajukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wake wote na kwamba katika hakuna jamii itakayoachwa nyuma. Akasisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa na wadau wengine kushirikiana na Serikali kufanikisha azma hiyo lakini pia kuunga mkono hatua na maamuzi inayoyachukua kwa manufaa ya wananchi wake na taifa kwa ujumla. Nyuma ya Balozi ni Bi. Ellen Maduhu Afisa wa Ubalozi .

PARACHICHI NI MFALME NA MALKIA WA VYAKULA - FREDDY MACHA

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAMPONGEZA JAJI ALOYSIUS MUJULIZI BAADA YA KUAPISHWA NA RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MWENYEKITI WA TUME

$
0
0

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mh. Jaji Aloysius Mujulizi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Waziri wa mambo ya Nje Benard Membe (wa kwanza kulia) akiwa na Mabalozi wateule pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi (wa pili kulia) wakati wakisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilali pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Mujulizi mara baada ya kuapishwa.
Watumishi wa Tume wakifurahi wakati wa kumpongeza Mwenyekiti wao Mh. Jaji Aloysius Mujulizi.
Bi. Halima Chawa akimzawadia shada la maua kwa niaba ya watumishi wa Tume Mwenyekiti wa Tume Mh. Jaji Aloysius Mujulizi alipowasili ofisi za Tume mara baada ya kuapishwa.

CHANNEL TEN MICHEZO KIMATAIFA

Mradi wa Mpango Miji Mkakati (TSCP) waendea sehemu mbali mbali hapa nchini

$
0
0
Timu ya wataalamu kutoka OWM-TAMISEMI-katika Mradi wa Mpango Miji Mkakati (TSCP ) Pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Dunia pamoja na Ubalozi wa Denmak wakikagua Ujenzi wa Barabara zinazoendelea kujengwa kupitia mradi wa TSCP katika Mnispaa ya Mtwara Mikindani katika kubaini utekelezaji na maendeleo ya maeneo mbalimbali ya mradi.
Wafanyakazi wa TSCP na Mwakilishi wa Benk ya Dunia wa kwanza kulia wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa maendeleo ya Mradi wa TSCP katka Mnispaa ya Mtwara Mikindani katika kubaini utekelezaji na maendeleo ya maeneo mbalimbali ya mradi.
Ujenzi wa kituo cha basi cha kigoma ujiji ukiendelea.
Viewing all 110091 articles
Browse latest View live




Latest Images