Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109996 articles
Browse latest View live

PSPF YASAJILI WANACHAMA ZAIDI, BALOZI WA MFUKO HUO MRISHO MPOTO NAYE AINGIA KAZINI KUONGEZA NGUVU

$
0
0
 Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mrishom Mpoto, (kushoto), akimuhudumia mwanachama huyu aliyefika banda la Mfuko huo lililoko jengo la Wizara ya Fedha na Mipango kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016 ambako kunafanyika maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam. Mfuko huo umezidi kujizolea wanachama wapya na hivyo kuongeza idadi ya wachangiaji. (PICHA NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said)

Joseph Lyimo, (kushoto), Afisa Mkuu wa Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, akimkabidhi kadi ya uanachama mwanachama Gilbert Nsumba, kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016


Afisa Operesheni Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kitengo cha ulipaji mafao, Murwa Clara Kihore, (kulia), akiwapa maeelzo wanachama hawa wa PSPF Maafisa wa polisi, kuhusu masuala yahu uchangiaji na michango kwenye Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye banda la Mfuko huo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jingo la Wizara ya Fedha na Mipango Julai 5, 2016


Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Catherine Salema, akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko huo kupitia mpango wa uchangiaji wa hiari (PSS), Mtashobya E Mukebezi, kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016



Lupakisye Mwaipungu, (kushoto), Afisa Kumbukumbu  wa Mfuko wa Pensehni wa PSPF, aimkabidh kadi ya uanachama wa Mfuko huo kupitia mpango wa PSS, Paulo Elisa Kiombo kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016.

BOMBA LA MAFUTA GHAFI (KAABALE-TANGA) -- UPDATE KUTOKA HOIMA, UGANDA, TATHMINI YA ZAO ZA MIRADI YA REA

$
0
0
Vikao vya jana na leo (05.07. 2016) vimekuwa vya mafanikio makubwa yakiwemo; 
(1) Kampuni ya CNOOC (China) na TULLOW (UK) zimekubali kushiriki kwenye ujenzi wa Bomba hili.
 Hapo awali Makampuni haya 2 yalikuwa yakiunga mkono Bomba la Kenya. Kwa hiyo Timu ya ujenzi wa Bomba imekamilika 
(2) Jina la Bomba ni: East African Crude Oil Pipeline (EACOP). 
---------------------------
 UMEME VIJIJINI - WANANCHI WANAKUMBUSHWA KUTUMA TATHMINI ZAO ZA MIRADI YA REA: Wizara ya Nishati na Madini itafanya tathmini ya MIRADI YA REA siku ya Alhamisi, 07.07.2016. 
Watakaofanyiwa tathmini ni WAKANDARASI, WAFANYAKAZI WA REA na TANESCO. Tuma maoni yako kupitia: pa_mem@mem.go.tz au Box 2000 DSM. REA AWAMU ya III -  tunazo fedha nyingi, zaidi ya Tshs Trilioni 1. kwa hiyo maoni yako ni muhimu sana. Tusilalamike bila kutoa maoni. 


UJUMBE KUTOKA KWA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, 
PROF S. MUHONGO


Rais Dkt. Shein atembelea maonesho ya Sabasaba Dar es salaam

$
0
0

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko zanzibar Balozi Amina Salum Ali(wa tatu kushoto) pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (wa pili kulia) wakati alipotembelea leo katika maonesho ya 39 yaa Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia biashara mbali mbali za vipodozi wakati alipotembelea banda la vikundi vya Zanzibar leo katika maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam,(kushoto) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko  Balozi Amina Salum Ali na kulia mjasiria mali Fadhil Mohamed wa Kiembesamaki Zanziba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia biashara mbali mbali za vipodozi wakati alipotembelea banda la vikundi vya Zanzibar leo katika maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiangalia biashara mbali mbali za viatu vya Makubadhi na Mikoba  wakati alipotembelea banda la vikundi vya Zanzibar, leo katika maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipangalia mashine ya kutengenea sabuni pamoja kuapata melezo kutoka kwa Mkurugenzi George M.Buchafwe  wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam leo (kulia) mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Ziwanda vidogo vidogo (SIDO) Bw.Omar Jumanne Bakari
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Kiongozi wa Mkombozi Group (NGARABUTO) Bw.Amos Z.Mshina,kuhusu Usindikaji  na Usambazaji wa Unga wa Muhugo katika maeneo ya Sengerema Mkoani Mwanza,wakati  alipotembelea mabanda ya maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa leo yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akiangalia biashara mbali mbali ya mikoba  wakati alipotembelea leo  maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jijjini Dar es Salaam,(kulia) Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa wote (EOTF) Mke wa Rais Mstaafu Mama Anna Mkapa. Picha na Ikulu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

NEWS ALERT: Serikali yafanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya leo

$
0
0
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiwatangaza Makatibu Tawala wa Wilaya wateule katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Raisi - Utumishi - jijini Dar es salaam leo jioni. Kulia ni Katibu mkuu wa Utumishi Dkt. Laurian Ndumbalo.

Lionel Messi ahukumiwa kufungwa miezi 21 jela kwa kukwepa kulipa kodi

$
0
0


Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Messi amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela baada ya kupatikana na makosa ya kutumia ulaghai wakati wa ulipaji ushuru, vyombo vya habari nchini Uhispania vinaripoti.
Babake, Jorge Messi, pia amehukumiwa kufungwa jela kwa kuilaghai Uhispania €4.1m (£3.2m; $4.6m) kati ya 2007 na 2009.
Wakati wa kesi, waendesha mashtaka walisema maeneo salama yenye kinga dhidi ya ushuru Belize na Uruguay yalitumiwa kuficha mapato kutokana na uuzaji wa haki za picha za mchezaji huyo.

Raia wa Nigeria adakwa na kilo 5 za heroine uwanja wa ndege dar es salaam

$
0
0
 Jeshi la Polisi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam limemnasa raia wa Nigeria, aliyetambulika kwa jina la Dede Eke (45) baada ya kudaiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya heroine kilo tano uwanjani hapo.
Akizungumza na Uwazi, ofisini kwake Ijumaa iliyopita, Kamanda wa Polisi wa Viwanja vya Ndege Tanzania, ACP Martin Otieno (pichani) alithibitisha kukamatwa kwa Mnigeria huyo siku hiyo akasema kulitokana na kuimarisha ulinzi uwanjani hapo na kufungwa mashine za kisasa za uchunguzi.
“Ni kweli tumemkamata Mnigeria Bede Eke katika Uwanja wa Ndege Dar na kilo tano za dawa za kulevya aina ya heroine wakati akitaka kuondoka kwenda Lagos, Nigeria kwa ndege. Dawa hizo zimepelekwa kwa mkemia mkuu kwa uchunguzi na kujua thamani yake.
“Dede alikuwa ameficha madawa hayo katika begi dogo jeusi ambalo alishonea madawa ndani kisha akalitumbukiza ndani ya begi kubwa, amenishangaza, alidhani hatupo makini!” alisema kamanda huyo na kuongeza kuwa polisi wanamhoji mtuhumiwa huyo kujua alikozipata na upelelezi ukikamilika tutamfikisha mahakamani.

HALMASHAURI ZA UVINZA NA BUHIGWE ZAPEWA MAFUNZO YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA PS3 MKOANI KIGOMA

$
0
0


Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe mkoani Kihoma, Kanali Marco Gaguti akizungumza leo wakati wa mafunzo ya siku moja kwa watendaji wa halamshauri mbili za Buhigwe na Uvinza ambazo zimechaguliwa kuanza utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya sekta za Umma (PS3) unaofadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia Shirika lake la Misaada la Kimataifa (USAID).
Kanali Gaguti aliwataka watumishi hao wa halmashauri hizo mbili kuchukulia fursa hiyo ya kuanza utekelezaji wa ,radi huo kwa umuhimu kubwa kwani kuanza kwao ni kutokana na changamoto zilizipo katika Halmashauri zao.
"Tutumie fursa hii kikamilifu ili kukabiliana na changamoto zilizopo katika halmashauri zetu, tumeona kuwa tuna miradi mingi katika maeneo yetu lakini hatuitumii vizuri kutusaidia hivyo tuanze mradi huu wa PS3 kwa kumbukumbu kwa kupiga hatua nzuri ili tuondoke hapa tulipo katika changamoto,"alisema Kanali Gaguti.
 Mshauri wa Masuala ya Fedha wa PS3, Victor Msoma akizungumza jambo baada ya mawasilisho ya Halmashauri.
Mwakilishi wa Halamashauri ya Buhigwe, ambaye ni Afisa Elimu ya Msingi, Mwl. Freddy Fande akiwasilisha taarifa ya Halmashauri hiyo.
 Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Benard Rusomyo akiwasilisha taarifa ya Wilaya yake.



DK.KIGWANGALLA AFUNGA RASMI JUBILEE YA MIAKA 50 YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO JIJINI MWANZA

$
0
0
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akivikwa skafu maalum wakati alipowasili kwenye uwanja wa CCM Kilumba katika sherehe za kufunga Jubilee ya miaka 50 ya kanisa hilo Jijini Mwanza.


Matembezi ya sherehe hiyo yakiendelea
Sehemu ya umati wa watu katika tukio hilo la Jubilee ya Miaka 50
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akikagua gwaride hilo.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akipokea vitabu kama kutoka kwa uongozi wa kanisa hilo vyenye mafunzo mbalimbali. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA




FRANCE PLEDGES SUPPORT FOR REFORMS AT EAC SECRETARIAT

$
0
0
EAC Secretary General Amb. Liberat Mfumukeko with French Ambassador, Ms. Malika Berak, at the EAC Headquarters in Arusha, Tanzania
French Ambassador to the United Republic of Tanzania and the EAC, Ms. Malika Berak, with EAC Secretary General Amb. Liberat Mfumukeko (right) at the EAC Headquarters in Arusha. On the left is Mr. Philippe Boncour, Counsellor and Head of Cooperation and Cultural Affairs at the French Embassy in Dar es Salaam.
EAC Secretary General Amb. Liberat Mfumukeko (centre) confers with French Ambassador, Ms. Malika Berak, at the EAC Headquarters. On the right is EAC EAC Deputy Secretary General in charge of Political Federation, Mr. Charles Njoroge. For full story CLICK HERE

WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR ATOA SKUKU KWA VIONGOZI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI

$
0
0
 Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na viongozi wa Jimbo la Kiembe Samaki jana julai 7 kabla ya kuwapa pesa kwaajili ya skukuu hafla hiyo imefanjika katika tawi la CCM Kiembe samaki Mjini Zanzibar.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi fedha katibu wa wadi ya Kiembe samaki Bi. Zainab Ali Suleiman. 

WAZIRI JANUARY MAKAMBA ASHIRIKI SWALA YA EID EL FITRI JIJINI TANGA

$
0
0

ikiwa ni kusherehekea kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.


Waumini wa dini ya Kiislam wakiwa katika swala ya Eid El Fitr iliyoswaliwa kwenye msikiti wa Ijumaa,mjini Tanga leo, ikiwa ni kusherehekea kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. 
Mh.January Makamba na waumini wengine wakifuatilia Mawaidha mara baada ya Swala

Mh.January Makamba Akepeana mkono wa Iddi na Baadhi ya Wauumini waliokuwepo msikiti baada ya Ibada.
Mh.January Makamba Akipiga picha ya ukumbusho baada ya swala ya Eid El Fitr iliyoswaliwa kwenye msikiti wa Ijumaa,mjini Tanga leo, ikiwa ni kusherehekea kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

BBC DIRA YA DUNIA JUMANNE 05/07/2016

NAIBU WAZIRI WA ARDHI, MHE. ANGELINA MABULA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA 2016.

$
0
0
 Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akisikiliza maelezo juu ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zilizobuniwa na Wizara kupitia kwa wataalamu wa Idara ya Nyumba.
 Mhe. Angelina Mabula akisaini kitabu cha Wageni alipotembelea banda la Wizara ya Ardhi katika maonyesho ya sabasaba 2016
 Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akihojiwa na waandishi wa habari alipotembelea banda la Wizara katika viwanja vya sabasaba 2016
 Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akiwa na baadhi ya washiriki katika banda la Wizara alipotembelea maonyesho ya sabasaba 2016
Afisa Ardhi, David Malisa akisikiliza wananchi waliofika katika katika banda la Wizara ya Ardhi ili kupata huduma mbalimbali pamoja na elimu ya masuala ya Ardhi.

Article 15

Article 14


Article 13

Israel, Tanzania to resume full ties as Netanyahu visits Africa

$
0
0

NOTE: The following article which was cross-posted "as is" from i24news.tv incorrectly states that, "Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe" wavuti.com would like to correct the writer and editor that Bernard Membe was the Minister for the said ministry from 2007 to 2015, currently Dr Augustine Mahiga is the Minister for Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation, United Republic of Tanzania and the current Chairperson of the EAC Council of Ministers.

Prime Minister Benjamin Netanyahu and his wife Sara at Ben-Gurion International Airport before heading to Uganda (redits/photos : AVI OHAYON / GPO)

Commando raid was 'watershed moment' when Israel learned to stand up for itself, says PM

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu arrived in Uganda on Monday for a rare tour of sub-Saharan Africa, seeking new trade partners and marking the 40th anniversary of a hostage rescue in which his brother died.

Netanyahu met with Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe, and the two countries are expected to announce the resumption of full diplomatic ties. Tanzania cut off ties with Israel after the 1973 Yom Kippur War, along with several other African nations. 
Speaking in Entebbe, close to the site of the 1976 airport raid in which over 100 hostages were released, Netanyahu said the visit was "deeply moving" and symbolized the changing relationship between Israel and Africa.
"Exactly 40 years ago Israeli soldiers carried out the historic mission in Entebbe," Netanyahu said.
"Forty years ago they landed in the dead of night in a country led by a brutal dictator who gave refuge to terrorists, today we landed in broad daylight to be welcomed by a president who fights terrorism."
He said his visit signaled "dramatic changes in the relationship between Africa and Israel: Africa is a continent on the rise. After many decades I can say Israel is coming back to Africa and Africa is coming back to Israel."
In a statement just before his departure for the four-day tour, Netanyahu called the first visit by an Israeli premier to the region in decades "historic". 

For source and more CLICK HERE
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu  greets Dr Augustine Mahiga,  the Minister for Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation of the  United Republic of Tanzania in Nairobi.

Article 11

Article 10

MKUU WA WILAYA YA IKUNGI ATANGAZA SIKU YA JUMATANO KUWA SIKU YA KAZI ZA PAMOJA

$
0
0
Na Mathias Canal, Singida

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu ametangaza rasmi siku ya Jumatano kuwa siku ya kazi za pamoja katika majengo ya Umma katika Vijiji vilivyopo Wilayani humo.

Tangazo hilo amelitoa kwenye halfa iliyofanyika katika ukumbi wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida wakati anakabidhiwa ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye kwa sasa amestaafu Gishuli Charles.

Mtaturu amesema kuwa Uongozi utachagua kama ni Shule, Zahanati au Utengenezaji wa Barabara n.k.ambapo Wananchi wote watapaswa kushiriki kazi hiyo ili warejeshe moyo wa kushiriki shughuli za maendeleo ambapo mkuu huyo amesema yeye atafanya kazi ya kupita katika maeneo tofauti kuungana na Wananchi katika kukamilisha kwa vitendo jambo hilo..
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu akiwa ofisini mara baada ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye kwa sasa amestaafu Gishuli Charles.

Amewakumbusha wananchi kuwa wakati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na wenzake waliokuwa wanaanza harakati za kudai Uhuru walienda Umoja wa Taifa wakahakikisha tunaweza kujitawala na kujisimamia wenyewe bila mkoloni.

Mwaka 1961 tulipopata Uhuru Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alieleza sasa tumepata uhuru tubadili malengo ya Taifa iwe ni Uhuru na Kazi aliamini kupitia kazi tutapata maendeleo.

Awamu ya Tano imekuja na kauli mbiu ya “HAPA KAZI TU”; kwa maana hiyo hiyo kuhimiza Wananchi kufanya kazi na kazi ndio kipimo cha utu.

Mkuu huyo amesema kuwa wananchi wote wanapaswa kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kuboresha maisha ya kila mmoja na familia zetu kwa ujumla.
baadhi ya viongozi wa wilaya hiyo pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye kwa sasa amestaafu Gishuli Charles.


Mkuu huyo amesema kuwa Kwa mujibu wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi mwaka 2015 – 2020. Ibara ya 49 imeeleza Serikali kuongeza huduma za Afya, kuongeza Wataalamu wa Afya kwenye Zahanati, Vituo vya Afya, Hospitali za Wilaya n.k.

Viewing all 109996 articles
Browse latest View live


Latest Images