Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109606 articles
Browse latest View live

Kilele cha Siku ya Afya na Usalama Duniani jijini Arusha leo

0
0
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama vifaa vya uokoanji katika banda lamaonyesho ya kuadhimisha  siku ya Afya na Usalama Duniani kwenye  uwanaja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama onyesho la uokoaji kutoka mwokoaji wa mgodi  wa North Mara Gold Mine katika maonyesho ya kuadhimisha  Siku ya Afya na Usalama Duniani yaliyofanyiaka kwenye uwanaj wa Shikh Amri Abeid jijini Arusha leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea Tuzo ya Utoaji huduma bora ya   Afya na Usalama kazini kwa niaba ya  Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kutoka kw Waziri wa Kazi na Ajira, Gaundentia Kabaka katika Kilele cha Maadhimisho ya siku ya Afya na Usalama Duaniani kwenye uwanja wa Shikh Amri Abeid , Arusha leo
 .Naibu waziri wa Kazi na Ajira Mh.Dr. Makongoro Mahanga akiongoza maadamano ya wafanyakazi kuelekea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid,akiwa amefuatana na Dr.Akwilina Kayumba, Mtendaji Mkuu wa OSHA, pamoja na waandamanaji

Baadhi ya waandamaji wakielekea uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha kuadhimisha siku ya Usalama na Afya Mahali pa kazi duniani April 28,2013.Picha na Afisa Uhusiano-Wakala wa  Usalama na Afya  Mahali Pa kazi (OSHA)

SHEREHE ZA 49 ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZA FANA NEW YORK

0
0

Mh.Balozi Ramadhan Mwinyi ndiyo alikuwa mgeni mharikwa katika sherehe hizo za maadhimisho ya miaka 49 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika jijini New York. Sherehe hiyo ilihudhiliwa na watanzania wengi kutoka katika miji ya jilani na New York kama New Jersey, Delaware, Massachusetts na Connecticut. Watanzania waliungana kwa pamoja kwa kula chakula na kucheza music sambamba na vinywaji baridi.
Katibu wa jumuiya ya watanzania New York bwana Shaban Mseba akisoma risala katika sherehe hizo za muungano
Mwenyekiti wa jumuiya Hajji Khamis akiongea machache mbele ya watanzania waliojitokaza katika sherehe hizo zilizofanyika New York katika kitongoji cha New Rochelle.
Dr Chemponda alikuwa nae kama anavyoonekana katika picha akiongea machache juu ya jinsi gani anavyo ujua muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Mama Ashura Duale nae anaujua sana muungano wa Tanganyika na Zanzibar na alikuwa mmoja ya washuhuda wa uchanganyaji mchanga wa pande zote mbili za Tanganyika na Zanzibar
Hii ndiyo cake ya muungano ikiwa mezani
Ukodak wa pamoja katia ya Dr Chemponda, kushoto mama Ashura katikati, na kushoto kwa mama Ashura ni mama mwenye nyumba wa Mh. Balozi Mwinyi, Na kulia na Mh. Balozi Mwinyi
Ukodak mbele ya cake 
Mh. Balozi akikata Cake tayari kwa kuwalisha wana muungano walio jitokeza katika sherehe hizo
Mh. Balozi Ramadhani Mwinyi akimrisha kipande cha cake mama mwenye nyumba wake kabla ya watu wengine awajapata nafasi hiyo. Kwa picha zaidi ya sherehe hizo zilizofanyika katika jiji la New york bofya read more.

Article 18

MAY MOSS PARTY ON 30-04-2013 @ OSLO NORWAY WITH OMMY DIMPOZ

0
0

KARIBUNI KWENYE SHEREHE YA MKESHA WA SIKU KUU YA WAFANYAKAZI.
MAY MOSS PARTY ON 30-APRIL-2013 LIVE OMMY DIMPOZ FROM TZ.
Music ya kizazi kipya Bongo Flavaz record za leo leo si mchezo.
           Cc 150. Id 20 open:- 20:00-03:30
           Adress:- Strand gate 19 Opera Bar Oslo Norway
         Contact:- +47 96872483 Dj Pred Pro a.k.a  Mpily.

Listen to Ngoma Africa Band music 2013

0
0



Ladies and Gentlemen....!
You'r busy.You haven't got time to listen
to every note of every song that comes
across your desk.That why we've made it
easy for you to enjoy a few-minute of some
of our best songs at www.ngoma-africa.com .
That all takes.Few minutes.And you're done.
If you like what you hear,please contact Us
for our full-length CDs....
Or you wanna book the band for concert,Festival
national and International tour,please contact@ngoma-africa.com

website at http://www.ngoma-africa.com

Article 15

exhibition and chap chap WOMEN = MEN at Nafasi Art Space

0
0
Coming Saturday 4 May 2013 ‘WOMEN = MEN’ 16.30 exhibition and Chap Chap by Miguel Costales, Safina Kimbokota, Agneta Segerfelt and Vita Mululu Paintings, Sculptures and Mixed Media 18.30 Muziki Wahapahapa with Umoja Flying Carpet, DDI, Jhiko Man and others

mambo ya gado leo


KERI Chryst & Jumpin Jeff Jazz Duo from the US in a Cultural Exchange date with alice Foundation

0
0
The aim of this event, was to talk and share experience with children on issues concerning health and hygiene as well as promote cultural exchange programs with Us Embassy Tanzania’s support through music and dance from Keri Chryst and Jumping Jeff from United States of America.
" Our objective is to change the negative attitude and reduce illegal activities amongst children through sensitizing them to engage in useful activities in order to explore talents, assisting them have goals for their future, helping them to put in place strategies to implement what they have planned to achieve their goals.
"Our ultimate aim is preparing them for the better tomorrow; also our plan is to explore opportunities for those youths through networking, creating awareness to them on HIV/Aids and drugs", said  Mrs Alice Dosi Mwamsojo, CEO and Managing Director of the Alice Foundation soon after the exciting show at Ubungu, Dar es salaam, over the weekend
Keri Chryst and Jumping Jeff from the United States of America entertain at Ubungo in Dar es salaam over he weekend
Children having the time of their lives during the free concert
Alice  Foundation is a non- governmental, non-profit  making organization founded by  Mrs Alice Dosi Mwamsojo,who is a designer, marketer  and a social worker, in early  2011 in Dar es Salaam, Tanzania.  The Alice Foundation has been registered under section 12(2) of Act No.24 of 2002 with registration numbers  OONGO/00005168.
According to Mrs Mwamsojo, the main goal of the organization is to improve the life standard of women, children through promoting them to access to education, health service: adolescent and sexual reproductive, maternal and infant, and capacity building for economic empowerment.
Alice Foundation’s overall objective is to improve social and economic advancement of street children in Tanzania by increasing access to education, and for women maternal, newborn health and sexual reproductive health services including HIV and AIDS. With a strategic plan to make significant contributions to Tanzanian women and their families through working closely with the government and donors.
  
“Together we can do this”

President Obama at White House Correspondents Dinner

Ngoma Azipendazo Ankal

0
0

Ngoma ya TID ya 'Zeze' sio tu ilimtoa bali ilitamba sana

TOKA MAKTABA YA GLOBU YA JAMI

0
0
 Hawa ndio watu watatu kati ya wanne wanaoonekana katika picha ya hpo chini. walibeba vibuyu vyenye udongo  wa Tanganyika na Zanzibar na Chungu kilichotumika na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuchanganyia udongo huo ambapo mara baada ya zoezi hilo ndipo jina la Tanzania likaanza kutumika rasmi miaka 49 iliyopita. Kutoka kushoto ni Mama Sifaeli Chuma aliyebeba kibuyu chenye mchanga wa Tanganyika, akifuatiwa na Bw. Omar Hassan Mzee aliyebeba chungu kikubwa na Bi Khadija Rajabu Abbas aliyebeba kibuyu chenye udongo wa Zanzibar.

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 10 YA FAO LA ELIMU LA MFUKO WA PENSHENI WA PPF

0
0
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete (Watatu kulia), Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Gaudentia Kabaka (Wanne Kulia), Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (Wakwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, Profesa Adolf Mkenda (Wapili Kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (Wapili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio (Wakwanza kulia), wakiimba wimbo wa taifa mwanzoni mwa sherehe za miaka 10 ya fao la elimu litolewalo na Mfuko huo. Sherehe hiyo ilifanyika Jumamosi kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 10 ya fao la elimu la Mfuko wa Pensheni wa PPF, kwenye sherehe iliyofanyika juzi kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio na Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Angellah Kairuki.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, akipokea zawadi toka kwa naibu waziri wa fedha, Saada Mkuya Salum kwa niaba ya PPF kwenye sherehe za miaka 10 ya Fao la Elimu litolewalo na Mfuko huo kwa watoto ambao wazazi wao walikuwa wanachama wa Mfuko huo kabla ya kufariki. Sherehe hizo zilifanyika Jumamosi iliyopita kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, akimkabidhi zawadi ya laptop, mwanafunzi Baraka Jacob, ambaye alipata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha nne mwaka 2012. Baraka ni mmoja kati ya wanafunzi 1,333 waliofaidika na fao la elimu litolewalo na Mfuko wa Pensheni wa PPF, kutokana na kufariki kwa wazazi wao ambao walikuwa wanachama wa Mfuko huo.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete (Katikati), Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira), Gaudentia Kabaka (Wakwanza kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPF, Profesa Adolf Mkenda (Kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto na walezi wao ambao wanafaidika na fao la elimu litolewalo na Mfuko huo.
Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Gaudentia Kabaka (Kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (Katikati) na Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Wiliam Erio, wakifurahia jambo wakati wa sherehe hizo.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, akiwatuza wasanii wa taarab wa kikundi cha “Isha Mashauzi” waliotumbuiza kwenye hafla hiyo.
Baadhi ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, pamoja na wakurugenzi wa Mfuko huo, wakiwa kwenye sherehe hiyo.

sherehe za miaka 13 ya LADY JAYDEE katika muziki.

0
0

Lady Jaydee
Katika mwaka huu wa 2013, inatimia miaka13 tangu nianze  kazi ya muziki.

Nashukuru MUNGU tuko pamoja na pia nashukuru umma wa Tanzania kwa kuendelea kusupport muziki wa Tanzania na kunipa nguvu mimi kama msanii.

Nashukuru vyombo vyote vya habari vinavyoshiriki kikamilifu kukuza na kulinda sanaa ya muziki Tanzania bila kujali maslahi binafsi.

Tumeandaa sherehe kubwa na nzuri ya miaka 13 ya LADY JAYDEE katika muziki.

Na mdhamini mkuu kwa upande wa media ni East Africa TV.

Sherehe ya miaka 13 ya Lady JayDee katika muziki itaambatana na uzinduzi wa album yangu ya sita inayokwenda kwa jina la 'NOTHING BUT THE TRUTH' ambayo ina jumla ya nyimbo 10.

Katika sherehe hizo pia kutakuwa na show ya nyimbo zote bora za JayDee nikishirikiana na baadhi ya wasanii wenzangu hapa nchini.

Sherehe zitafanyika Ijumaa tarehe 31 May 2013.

Nawakaribisha wote tufurahi pamoja

Na Mungu Awabariki

mpiganaji joseph msani akiwa mzigoni new york

0
0
Mpiganaji Joseph Msami,  ambaye ni mwandishi wa Habari wa Idhaa ya Kiswahili ya  Radio ya Umoja wa Mataifa, akimfanyia  mahojiao,  Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa   Tanzania Katika Umoja wa Mataifa,  Balozi Ramadhan Mwinyi, wakati Watanzania waishio jijini New York na Vitongoji vyake walipokutanika siku ya jumamosi  kusherehekea miaka 47 ya Muungano

DC ILALA AHAMASISHA UJASIRILIAMALI

0
0
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akiongea katika hafla fupi ya kufunga mkutano wa tathmini ya miradi inayoendeshwa na Shirika hilo kuhusu Ujasiriliamali katika wilaya ya Ilala.Mkutano huo ulishirikisha wadau kutoka Asasi zisizo za kiserikali, Vikundi vya vijana na Maafisa wa Serikali.
Meneja Miradi wa Shirika la Plan International Wilaya ya Ilala Daniel Kalimbya akiongea katika hafla fupi ya kufunga mkutano wa tathmini ya miradi inayoendeshwa na Shirika hilo kuhusu Ujasiriliamali katika wilaya ya Ilala.Mkutano huo ulishirikisha wadau kutoka Asasi zisizo za kiserikali, Vikundi vya vijana na Maafisa wa Serikali.
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa tathmini ya miradi inayoendeshwa na Shirika la Plan International kuhusu Ujasiriliamali wakimsikiliza mgeni rasmi katika hafla ya kufunga mafunzo hayo wilayani ya Ilala.Mkutano huo ulishirikisha wadau kutoka Asasi zisizo za kiserikali, Vikundi vya vijana na Maafisa wa Serikali.(Picha na Frank Geofray)

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw.Raymond Mushi amevitaka vikundi vya Vijana, Asasi zisizo za Kiserikali na watumishi wa umma waliopata mafunzo ya ujasiriliamali yanayotolewa na Shirika la kimataifa la Plan kuyatumia vizuri katika kuwaletea maendeleo na kuondokana na umaskini.

Bw.Mushi aliyasema hayo wakati alipokuwa akifunga mkutano wa kufanya tathmini ya miradi ya ujasiriliamali iliyokuwa ikiendeshwa na shirika hilo kwa makundi mbalimbali katika kata zote za wilaya ya Ilala Jijini Dar Es Salaam.

Alisema ujasiriliamali ni njia mojawapo ya kuondokana na umaskini na kujikwamua kiuchumi hivyo kutolewa kwa mafunzo hayo kutawasaidia wananchi kutambua fursa zilizopo na kuzitumia vyema.

Aidha aliwaasa washiriki wa mkutano kuwekeza katika elimu kwa watoto ili kujenga taifa lenye uelewa na maarifa hapo baadae kwa kuwa watoto wanapaswa kupewa haki yao ya kupata elimu bora.

“Pamoja na kwamba mtawekeza katika kufanya biashara lakini lazima mhakikishe na suala la elimu kwa watoto wenu mnalitilia mkazo ili kuweza kuwajengea maisha bora hapo badaye”Alisema Bw.Mushi.

UZUNDUZI WA TAMASHA LA EXEL WITH GRAND MALT KATIKA CHUO KIKUU CHA MT. AUGUSTINE JIJINI MWANZA LAFANA SANA

0
0

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya wa miondoko ya kufokafoka,Joh Makini akifanya vitu vyake mbele ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza waliofurika kwa wingi kwenye viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo hicho,jijini Mwanza.hii ni katika Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mtanange wa Mpira wa Miguu kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mpira wa Wavu (Volleyball) kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Meneja Matukio wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa,Erick Mwayela (katikati) akishirikiana kupanda Miti na Mkuu Msaidizi wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino jini Mwanza,Kizoto Mbonde na Makamu wa Rais wa Chuo hicho,Emiline Mrosso.Upandaji miti huo ni sehemu ya kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grandmalt.

yale yaleeeee

0
0
 Hapa ni katika makutano ya barabara za Jamhuri na Azikiwe Avenue katikati ya jiji la Dar es salaam. Baada ya wajuaji kupora mfuniko wa chemba ya maji taka limebaki bonge la shimo katikati ya barabara na wasamaria wema wameweka jiwe la msingi ili kukutahadharisha na mradi huo ambao kila baada ya muda unatema maji taka yanayonukia si mchezo. Hii ni wiki ya nne sasa shimo hilo na mengine kadhaa pembeni yanakenua tu....


Article 2

THE 2ND JOINT TECHNICAL MEETING BETWEEN TANZANIA AND SOUTH AFRICA

0
0
On 24th – 25th April 2013 the agreement between the Government of the Republic of South Africa and the Government of the United Republic of Tanzania on Scientific and Technological Cooperation 2nd Joint Technical Meeting was held at the White Sand Hotel Dar es salaam The agreement was signed on the 8th of April 2011 by the Hon. Minister Ms Naledi Pandor (MP), the then Minister for Science and Technology of the Republic of South Africa and Hon. Prof Makame Mbarawa (MP) the Minister for Communication, Science and Technology of the United Republic of Tanzania.Purpose of the Cooperation is to support and develop cooperation in science and technology within the framework of their own national laws. The cooperation is spearheaded by the Department for Science and Technology of the Republic of South Africa and the Ministry of Communication, Science and Technology in Tanzania.
DEPUTY PERMANENT SECRETARY OF THE MINISTRY OF COMMUNICATION SCIENCE AND TECHNOLOGY DR PTRICK MAKUNGU giving the opening remarks on the 2nd Joint Technical Meeting at the White Sand Hotel Dar es salaam.
Deputy Director General From the ministry of Science and Technology of the Republic of South Africa explaining the aim of their visit to Tanzania.
Different Stake holders from Tanzania and South Africa listening carefully during Presentations.
Commission for Science and Technology Director General Dr Hassan Mshinda insisting the point of maintaining the Scientific and Technological Cooperation between Tanzania and South Africa on Members in Group Discussions sharing their experiences about areas of collaborations between South Africa and Tanzania.
Dr George Shemdoe from the Commission of Science and Technology of Tanzania(COSTECH) presenting about Interlectual Property.
A group photo.
Viewing all 109606 articles
Browse latest View live




Latest Images