Hospitali ya mkoa Tabora Kitete yazidiwa na wagonjwa kutokana na ukosefu wa huduma bora za afya katika baadhi ya wilaya za mkoa huo.https://youtu.be/UgnG1W5wLCM
Rais wa Burundi Piere Nkurunzinza amemuhakikishia Rais Magufuli kuwa hali ya Burundi ni shwari huku akibainisha kupokea ugeni mkubwa wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bw. Ban Ki-moon.https://youtu.be/GfZxnTqJt-s
Shule ya msingi Majimatitu iliyoko Mbagala wilayani Temeke inayokabiliwa na msongamano mkubwa wa wananfunzi imepata wafadhili watakao jenga madarasa 5 na shule mpya ya ghorofa.https://youtu.be/7WYPLzwY7hc
Serikali yatakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia uhamaji holela wa wafugaji kutoka eneo moja kwenda jingine ili kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji isiyo ya lazima. https://youtu.be/FM-S4CH6X6E
Kufuatia kufungiwa kwa chuo cha St. Joseph tawi la Songea, sintofahamu yatanda kwa wanafunzi wa chuo hicho campas ya Arusha na kupelekea wanafunzi wa chuo hicho kufanya mgomo kushinikiza uongozi wa chuo hicho kuwathibitishia kama chuo hicho hakitafungiwa. https://youtu.be/Wf1BGlDUpPw
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amhakikishia Rais John Magufuli kuwa hali ya nchini Burundi inaendelea vizuri;https://youtu.be/azoU02jZvfA
Serikali ya Tanzania yasema itandelea kudumisha ushirikiano wake na nchi za Uturuki, Ireland na Uswisi; https://youtu.be/8EnW3lRd3vY
Inaelezwa kuwa hali ya uchafu yarejea tena katika jiji la Dar es Salaam ikiwa imepita takribani miezi ya kampeni ya usafi iliyoendeshwa na Rais John Magufuli; https://youtu.be/a_RiO7GBkzw
Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Mhe. Seleman Jaffo avitaka vituo vya afya mkoani Dodoma kukopa pesa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vituo vya afya; https://youtu.be/XLJ4rMBMfYU
Wanafunzi wa shule za misingi na sekondari mkoani Mara waanza kunufaika na mradi wa kujifunza masomo kwa njia ya teknolojia ya habari na mawasiliano TEHAMA; https://youtu.be/EcAnr04eZxc
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam lafanikiwa kuwa kamata watuhumiwa mbali mbali wa ujambazi wa kutumia silaha;https://youtu.be/cZpl7KLZO7Q
Inaelezwa kuwa kampuni ya Lithos Spices itanunua tani mia tano za viuongo toka nchini; https://youtu.be/Pcldm5wgkHQ
Bodi ya wataalamu wa ununuzi wa ugavi nchini TSPTB yatunukiwa cheti cha ubora; https://youtu.be/dbiEWeI_s5Y
Mfuko wa maendeleo nchi TASAF wagawa ruzuku ya shilingi milioni 26 kwa kaya masikini kwa wakazi wa Tandale jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/HBhqFG_fcUs
Inaelezwa kuwa maonesho ya siku nne ya viwango yanatarajiwa kuanza kesho jijini Dar es Salaam; https://youtu.be/4a3BU7hLc_w
Rais wa shirikisho la soka nchini TFF, Jamal Malinzi azungumzia sakata la upangaji wa matokeo kwa baadhi ya timu zinazoshiriki ligi daraja la kwanza; https://youtu.be/pFZ1TlT_f6o
Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF laingia mkataba na shirika lisilo la kiserikali la Karibu Tanzania Association KTA kwa ajili ya kuinua soka la wanawake nchini; https://youtu.be/41KdhMJ4SL8