Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 109977 articles
Browse latest View live

GRAND MALT YAZINDUA TUZO ZA “EXCEL WITH GRAND MALT 2013”

$
0
0
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Mikutano wa TBL Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza tuzo za wanafunzi wa elimu ya juu zijulikanazo kama “Excel with Grand Malt”, zinazota katika Chuo mbali mbali hapa nchini ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo.Uzinduzi wa Tuzo hizo utaanza rasmi leo siku ya jumamosi April 20,kwenye viwanja vya Chuo kikuu Ardhi,jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dorice Malulu.
Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dorice Malulu akielezea namna Tuzo hizo zitakavyokuwa zikitolewa pamoja na kuelezea mpango wao wa kutimiza mpango wa Serikali wa kutunza Mazingira kwa Kupanda miti katika vyuo vyote.Kulia Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam.

Article 21

Twanga Pepeta kutumbuiza Wood Land April 19 na mei 10 Mwaka huu Dodoma

$
0
0


BENDI ya Twanga Pepeta ya Jijini Dar es Salaam,inatarajia kutumbuiza katika ukumbi wa Wood Land Yombo Vituka .

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya J&kk Entertainment Jane Mkumbwa, alisema shoo hiyo itakua kamambe huku akiwataka wapenzi wa mziki huo kujitokeza kwa wingi ili kujionea shoo hiyo.

Jane alisema kuwa shoo hiyo itapigwa siku ya April 19 na siku kuu ya Muungano Aprili 26 itakua katika viwanja vya Kibaha Picha ya Ndege katika ukumbi wa Tripple J na huku akiwataka wananchi wa kibaha kujitokeza kwa wingi sambamba na kusherekea sikukuu hiyo.

Aliendelea kueleza kua siku ya Mei 10 mwaka huu atakuwa na bendi hiyo katika viwanja vya Bunge yaani katika jiji la Dodoma,ukumbi wa Loyal Village ambapo wabunge pamoja na wapenzi wengine wakiwemo wanavyuo wanatakiwa kujitokeza kwa wingi.

"Nimeamua mei 10 kuwapelekea  wabunge burudani hivyo wanatakiwa kujitokeza kwa wingi sambamba na wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kua itakua ni siku ya mapunziko ndio itakuwa sehemu sahihi ya kupumzisha vichwa vyao huo,"alisema Jane.
 
 Hata hivyo alisema kwa kushirikiana na bendi hiyo ataendelea kuwapa raha watanzania katika sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam, na hata mikoani.

mshkaki halisia

$
0
0
Hii ndio mshkaki halisia katika taswira hii iliyonaswa na Mdau huko Ubaruku.

NIMR YAANZA LEO MKUTANO WAKE WA 27 WA WANASAYANSI WATAFITI JIJINI ARUSHA

$
0
0
 
Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo imeanza mkutano wake wa 27 wa mwaka kwa watafiti Wanasayansi jijini Arusha ambapo Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein anataraji kuufungua rasmi jioni ya leo.

Pamopoja na Mkutano huo wa NIMR, pia mkutano wa pili wa Wanasansi kuhusiana na Masuala ya Afya barani Afrika unafanyika sambamba na mkutano huo ambapo watafiti mbalimbali duniani wanatoa mada juu ya tafiti mbalimbali za magonjwa ya binadamu.

Mkutano huo ambao umebeba kauli Mbiu ya Mabadiliko ya Mazingira katika Utafiti wa Afya 'Changing landscape in Health Research' utafanyika kwa siku nne katika Hotel ya Snow Crest jijini Arusha.


Pichani ni Dk. Jeff Waage kutoka Uingereza akiwasilisha mada juu ya Kilimo na Afya katika Mabadiliko ya Mazigira katika Utafiti wa Afya.

Baadhi ya washiriki mbalimbali kutoka ndani na nje ya Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano huo jijini Arusha hii leo. Baadhi ya Wabunge nao wamealikwa kushiriki katika mkutano huo.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TOKA TFF LEO

$
0
0

Kutoka maktaba: Marehemu Meja Jenerali Makame Rashid (nyuma ya Mhe Kuwayawaya S. Kuwayawaya - Mwenye suti nyekundu) akiwa na wanakamati wa Saidia Taifa Stars ishinde ya mwaka 1994 pamoja na wanahabari mbalimbali walipomtembelea aliyekuwa Rais wakati huo Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Kamati hiyo, iliyokuwa chini ya mwenyekiti wake Mwenyekiti wa makampuni ya  IPP Dkt Reginald Mengi, iliiwezesha Taifa Stars kutwaa kombe la Chalenji mwaka 1994 huko Nairobi, Kenya.

RAMBIRAMBI MSIBA WA MEJA JENERALI MAKAME RASHID
Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko za kifo cha Mkuu wa zamani wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Makame Rashid kilichotokea juzi (Aprili 14 mwaka huu) kutokana na maradhi jijini Dar es Salaam.

Rais wa TFF, Leodegar Tenga amesema msiba huo ni mkubwa kwa wadau wa mpira wa miguu kutokana na mchango aliotoa Meja Jenerali Makame Rashid ikiwemo kuwa mlezi wa timu ya Ruvu Stars wakati huo akiwa Kamanda (CO) wa Kikosi cha Ruvu JKT.

Pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Mdhamini (Trustee) wa TFF wakati huo ikiitwa Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania (FAT) na wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya katika miaka ya themanini alikuwa sehemu ya mafanikio kwa timu ya Tukuyu Stars ya Mbeya iliyotwaa ubingwa wa Tanzania Bara mwaka 1987 ikiwa ndiyo kwanza imepanda kucheza Ligi Kuu wakati huo ikiitwa Ligi Daraja la Kwanza.

TFF inatoa pole kwa familia ya marehemu Meja Jenerali Makame Rashid, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), na kuwataka kuwa na subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba huo mzito.

Maziko yanatarajiwa kufanyika leo (Aprili 16 mwaka huu) nyumbani kwao mkoani Mtwara. Mungu aiweke roho ya marehemu Sembwana mahali pema peponi. Amina

VPL KUTIMUA VUMBI VIWANJA VITATU
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea kesho (Aprili 17 mwaka huu) kwenye viwanja vitatu huku vinara wa ligi hiyo Yanga wakifukuzia ubingwa huo jijini Tanga.

Yanga inayoongoza ligi ikiwa na pointi 52 itakuwa mgeni wa Mgambo Shooting katika mechi itakayochezeshwa na mwamuzi Athuman Lazi kutoka Morogoro kwenye Uwanja wa Mkwakwani. Waamuzi wasaidizi wa mechi hiyo ni Michael Mkongwa wa Iringa na Godfrey Kihwili wa Arusha wakati Kamishna wa mechi hiyo ni Godbless Kimaro kutoka Moshi.

Kagera Sugar na Toto Africans zitaumana kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba katika mechi namba 164 itakayokuwa chini ya mwamuzi Martin Saanya wa Morogoro.

Uwanja wa Manungu ulioko Turiani mkoani Morogoro, na wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 4,000 utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Mtibwa Sugar yenye pointi 33 na Oljoro JKT yenye pointi 28.

Israel Nkongo kutoka Dar es Salaam ndiye atakayechezesha mechi hiyo akisaidiwa na Hamis Chang’walu (Dar es Salaam) na John Kanyenye (Mbeya). Kamishna wa mechi hiyo ni Ramadhan Mahano kutoka Iringa.

AS FAR KUWASILI KESHO KUIKABILI AZAM
Wapinzani wa Azam katika michuano ya Kombe la Shirikisho, AS FAR Rabat ya Morocco wanatarajiwa kutua nchini kesho (Aprili 17 mwaka huu) saa 7 mchana kwa ndege ya Emirates.

Msafara wa timu hiyo wenye watu 28 utafikia hoteli ya Sapphire iliyoko maeneo ya Kariakoo, Dar es Salaam tayari kwa mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili itakayochezwa Jumamosi (Aprili 20 mwaka huu) saa 10 kamili jioni Uwanja wa Taifa.

Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA UDHIBITI WA HUDUMA ZA KIUCHUMI BARA LA AFRIKA, JIJINI ARUSHA LEO

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano wa kimataiafa wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la Afrika, ulioanza leo Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Kitabu cha Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la Afrika, ulioanza leo Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Kitabu hicho kimetungwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Prof. Mark Mwandosya. Kulia ni Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) ni Mkurugenzi wa Ewura, Haruna Masebu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha Kitabu cha Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, baada ya kukizindua wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la Afrika, ulioanza leo Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Kitabu hicho kimetungwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Prof. Mark Mwandosya (kulia). Katikati ni Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha zawadi baada ya kufungua wa Kimataifa wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, kutoka kwa Mkurugenzi wa Ewura, Haruna Masebu. Mkutano huo ulioshirikisha mataifa mbalimbali ya Bara la Afrika, umeanza leo Aprili 16, 2013 katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwa ukumbini wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal wakati akiwahutubia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo baada ya ufunguzi.Picha na OMR

taswira kutoka bungeni dodoma leo - Spika awaasa waheshimiwa wabunge kutotumia lugha zinazochafua hali ya hewa na kujeruhi hisia za watu

$
0
0
Spika wa Bunge Anne Makinda awaasa Wabunge kutumia Lugha ya Staha ambayo ni ya Kibunge wakati wa kuchangia mijadala Bungeni. Mhe. Makinda amesema, kuendelea kutumia lugha ya matusi, kejeli na maudhi kwa baadhi ya Waheshimiwa Wabunge ni kuendelea kuliondolea hadhi Bunge. 

Pamoja na hilo, wabunge wanatakiwa kujikita katika kuchangia hoja zenye kutataua matatizo ya wananchi ili kutimiza wajibu wa kila mbunge wa kuwa wakilisha wananchi. Mhe. Makinda , amesema, fursa ya kila Mbunge kuchangia lazima ilenge kutatua matatizo ya wananchi na sio kutukanana na kusahahu jukumu lilomblele ya kila Mbunge. 

Katika Picha ni baadhi ya waheshimiwa Wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha Makadirio na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka wa Fedha 2013/14 Bungeni Mjini Dodoma leo. Picha zote na Owend David wa Bunge
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwaasa Waheshimiwa Wabunge kutumia Lugha ya Kistaarabu kuchangia mijadala Bungeni.
Mbunge wa Mwibara Mhe. Kangi Lugola, akiomba Mwongozo kwa Spika Bungeni
Mhe. Catherine Magige, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) akichangia Mjadala leo
Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtembu akichangia Mjadala
Mbunge wa Ukerewe Mhe. Salvatory Machemli akichangia Mjadala Bungeni leo
 Mbunge wa Viti Maalum (CUF) Mhe. Kuruthum Mchuchuli akichangia  kwa hisia mjadala leo Bungeni.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na teknolojia Mhe. January Makamba akijibu baadhi ya hoja zilizochangiwa Bungeni leo.

Wadau Kassian Ernest na Sabina Alexander wamermeta

$
0
0
Wadau Kassian  Ernest  na Sabina Alexander  wakifurahia baada ya kumeremeta katika Ibada ya misa takatifu ya  ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na mnuso wa nguvu  iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini . Bwana Harusi ni mwajiriwa katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo na Bi Harusi ni  mwajiriwa  katika Chuo cha Elimu ya Biashara CBE.
 Mdau Kassian  Ernest akimvisha pete mai waifu wake Sabina Alexander
 Maharusi katika mnuso
Pozi la nguvu la kumeremeta

Kali TV Online: This week, meet Supernova King

African Development Bank Group approves MULTINATIONAL ARUSHA-HOLILI/TAVETA-VOI ROAD PROJECT

$
0
0


GROUPE DE LA BANQUE AFRICAINE DE DÉVELOPPEMENT

AFRICAN DEVELOPMENT BANK GROUP


The Board of Directors of the African Development Bank Group at its meeting of 16 April 2013 has approved for Tanzania and Kenya financing amounting to USD232.5million, equivalent to TZS368.91billion for the Arusha-Holili/Taveta-Voi Road Project. Tanzania will benefit from the financing for its component of the project an amount of USD120 million or TZS190.2 billion. The total cost of the project, amounts to USD262.2 million or TZS414.00 billion excluding taxes. The project is to be jointly financed by the Bank, the Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Kenya. A small component for trade facilitation at the Namangaborder will be financed by the Africa Trade Fund.

The Arusha-Holili/Taveta-Voi Road is one of the transport corridors of the EAC region meant to reduce the cost of doing business, increase competitiveness of the region on the global market and at the same time promote regional integration. The project road links the Northern Corridor to the Central Corridor across the common border of Tanzania and Kenya (Holili/Taveta) through Arusha, Minjingu andBabati toSingida and Dodoma.  The corridor at completion will link the port of Mombasa to northern and north-western Tanzania and the landlocked countries to the west, namely, Rwanda, Burundi, DRC and Uganda and provide an alternative route to the sea.


The project comprises: (a) civil works for: (i) the construction of the Arusha-Bypass (42.4km) and  dualling the Sakina-Tengeru section (14.1km) and construction of two roadside amenities at Tengeru, one on either side of the dual carriageway in Tanzania; (ii) upgrading of the Taveta-Mwatate (89km); and construction of the Taveta Bypass (12km) and two roadside amenities one each at Bura and Maktau along the Mwatate-Taveta road in Kenya; (b) consulting services for: (i) supervision of the civil works; (ii) road safety; (iii) sensitization and mitigation measures for HIV/AIDS, STI, TB and gender; (iv) baseline data collection and monitoring of ESMP implementation; and (v) technical and financial audits; (c) technical assistance for road safety in Kenya; (d) trade facilitation program; and (d) compensation and resettlement.


The project in Tanzania will de-congest the Arusha City by; (i) increasing the capacity of the Arusha-Tengeru section through dualling; and (ii) diverting long distance traffic especially heavy vehicles from the city center to the bypass. 

Dr. Tonia KANDIERO

Resident Representative

Ligi Daraja la Pili Mkoa wa Dar es Salaam yashika kasi

$
0
0
Ligi Daraja la Pili Mkoa wa Dar es Salaam, hatua ya sita bora imeanza jana Aprili 15 katika viwanja vitatu na matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: 

 Uwanja wa Makurumla- Red Coast iliichapa Abajalo FC 1-0. Bao hilo lilifungwa na Rashid Juma. Uwanja wa Airwing-Shariff Star iliifunga Boom FC 1-0. Bao hilo lililifungwa na Mandewa Mrutu ‘Niyonzima’. 
 Uwanja wa Kinesi-Friends Rangers vs Day Break hazikufungana. 

 Ligi hiyo itaendelea Alhamisi, Aprili 18, ambapo Boom FC itacheza na Day Break, kwenye uwanja wa Airwing, wakati Friends Rangers wao watachuana na Red Coast kwenye uwanja wa Kinesi, huku Abajalo wakichuana na Sharif Stars kwenye uwanja wa Msasani.

 Imetolewa na Mohamed Mharizo 
 Ofisa Habari Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA).

ajali namanga jijini Dar es salaam leo

$
0
0
Wasamaria wema wakisaidia kunyanyua pikipiki iliyogongo na Gari aina ya Rav 4 katika eneo la Namanga usoni kabisa mwa Mgahawa wa Best Bite jijini Dar es Salaam.Mwendesha pikipiki hii amenusurika 
Mashuhuda wakisiliza msala wa Mwendesha pikipiki hiyo na Mwanamama aliekuwa akiendesha Gari aina ya Noah ambaye alijaribu kuikwepa pikipiki ile na kuichuna kidogo rangi eneo na ubavuni.sasa hapo alikuwa akimtaka Mwenye pikipiki hiyo kumlipa.

Article 9

Exotic car rentals for weddings / send off or corporate events

$
0
0

Please feel free to call for any questions or concerns. Prices can be amended pending on days rented or number of vehicles rented. Thank you 
Also visit us at www.facebook.com/xoticarz

introducing new book by Tanzanian colin mtita

$
0
0

Your Inner Child Is Calling

Quick and Effective Ways To Personal Excellence
This book is about personal excellence. It shares timeless wisdom on how to awaken and nurture  the potentials lying dormant in you to become a conscious creator of your own reality. It contains the proven experience-based knowledge to facilitate your quest ProfilePersonalExcellenceFinal2towards personal excellence. It details the essential and core principles towards a lasting change in your life.
Success is very personal and so is your life. You define what you want in life; you know how your life should look like when it turns to a masterpiece. This book shares knowledge to customize your own success, depending on whatever you define success.
Why this book is right for you?*
  • It shares the fundamental knowledge towards personal excellence. This book,
    1. It is quick because the tips it offers are for quick understanding, written in simple language for anyone to understand while avoiding the unnecessary details. The facts presented here, give you enough room to digest and experiment the ideas on your own.
    2. It is effective because it clearly explains how to achieve personal excellence by developing effective habits. The results of these suggestions are long lasting and effective to your life if correctly applied.
  • This book does not tell you what to do. Instead, it introduces you to a process that works and useful to produce tangible and lasting results in your life. The book provides expertise and experience; you provide answers to your own problems. It teaches you how to think instead of telling you what to do, which is what you need to solve your own custom problems.
  • This book provides basics of the mind, the essential knowledge to unlock your potential and use your thoughts and intentions in a productive way. Literally, it teaches you how to project your thoughts and intentions towards what you want in life. In doing that, it expands your horizons and opens doors to the world that would otherwise stay hidden to you. The knowledge gives you enough room to analyze the options in your own life and determine their impacts in the future.
  • The book shares empowering ideas with enough scientific reasons why some techniques might work and some are simply a botch.
  • The knowledge shared reveals how your thoughts and intention are key to manifest what you desire in life but mostly misused in day-to-day lives.
  • The book points you to the common issues that are key to practicing excellence in your life. These issues, backed with enough scientific reasons, are key to unlocking your unlimited potential in life.
  • This book offers the knowledge important to purge unproductive patterns, like inefficient habits and limiting beliefs. In turn, it helps you build productive patterns by acquiring effective habits of thoughts and actions that align with your desires. These are fundamental issue towards excellence in any area of your life.
  • Email me for more info@colinmtita.com
  • Visit www.colinmtita.com

Purchase this book now at

Your Inner Child Is Calling by Colin MtitaYour Inner Child Is Calling by Colin Mtita

KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE ASAINI MKATABA NA MWAKILISHI WA HESHIMA WA TANZANIA MJINI HAMBURG, UJERUMANI

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule kwa pamoja na Bibi Petra Hammelmann, Mwakilishi wa Heshima Mteule wa Tanzania mjini Hamburg nchiniUjerumani wakisaini Mkataba wa kumwezesha Bibi Hammelmann kuwa Mwakilishi wa Heshima rasmi wa Tanzania katika mji huo. Mkataba huo ulisainiwa Wizarani tarehe 16 Aprili, 2013.


Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Itifaki katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Andy Mwandembwa (kushoto) pamoja  na Bw. Ali Ubwa, Afisa Mambo ya Nje kutoka Kitengo cha Sheria wakishuhudia uwekaji saini huo.

Bw. Haule na Bibi Hammelmann wakibadilishana mkataba huo mara baada ya kusaini.


Bw. Haule kwa pamoja na Bibi Hammelmann wakionesha mkataba huo.

Bw. Haule akizungumza na Bibi Hammelmann mara baada ya kusaini mkataba utakaomwezesha Bibi Hammelmann kuwa Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania mjini Hamburg. Pamoja na mambo mengine Bw. Haule alimhimiza Mwakilishi huyo kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania mjini Hamburg ili kukuza sekta ya utalii hapa nchini.

Bw. Haule akiendelea na mazungumzo na Bibi Hammelmann huku Bw. Mwandembwa na Bw. Ali wakisikiliza.

MKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA BUNENGI YA AFRIKA KUSINI KWA URATIBU WA NDC AONANA NA UONGOZI WA MKOA WA RUKWA KWA LENGO LA KUSAIDIA KATIKA UWEKEZAJI MKOANI HUMO

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Bunengi ya Afrika Kusini Bi. Savannah Maziya akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya NDC (National Development Coorporation) ambaye pia Mbunge Mstaafu wa Jimbo la KwelaNdugu Chrissant Mzindakaya walipoonana na uongozi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa katika kujadili namna Kampuni hiyo kwa kushirikiana na NDC katika uratibu watakavyosaidia katika kuwekeza kwenye miundombinu ya bandari, reli na barabara kuunganisha Mkoa wa Rukwa Mikoa pamoja na Nchi jirani kuwezesha rasilimali zilizopo Mkoani Rukwa zinapata masoko yakiwemo mazao, madini na utalii. Utalii huo ni pamoja na Kalambo Falls maporomoko ya maji makubwa barani Afika na Bismark Fort iliyokuwa ngome ya wajerumani iliyopo hapa Mkoani Rukwa.
 Muwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Ndugu Moshi Chang'a akiongoza kikao hicho kilichohudhuriwa na muwekezaji huyo, wawakilishi wa NDC, Wakuu wa Idara katika Sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa na Halmashauri za Wilaya ya Kalmbo na Sumbawanga.
 Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu Iddi Hassan Kimanta akiwa anazungumza katika kikao hicho.
 Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu Ndugu Samson Mashalla akiwa anatoa mchango wake juu ya fursa za uwekezaji zinazopatikana Mkoani Rukwa kwa muwekezaji huyo.
Afisa katika dawati la Uwekezaji Ndugu Misasi Marco akimwaga sera kutoka katika dawati lake uwekezaji. Picha na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa

CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST AWARDS 2013

$
0
0

CNN International and MultiChoice this week officially launched the CNN MultiChoice African Journalist 2013 Awards. 

Tony Maddox, Executive Vice President and Managing Director of CNN International, said: “Recent audience research shows that viewing of CNN across Africais at an all time high. Against this background, we are delighted to be a part of the CNN MultiChoice African Journalist Awards, now in their eighteenth year.  The awards represent the very best in journalism from across the African continent, and are truly a highlight in CNN’s editorial calendar. I’m proud that they continue to grow in stature and prestige, and the 2013 competition promises to deliver another year of stellar African journalism.”


Nico Meyer, CEO MultiChoice Africa, said: “We are honoured to once again be part of Africa’s largest and most coveted journalism awards. These Awards provide us an opportunity to showcase the continent’s journalistic talent and provide a platform to tell the African story. As an African company, we believe that our participation makes a significant contribution towards the development of media in Africa.”


Kenyans Tom Mboya and Evanson Nyaga were awarded the top prize at the CNN MultiChoice African Journalist 2012 Awards ceremony. Their work ‘African Tribe in India’, which aired on Citizen TV, Kenyawas chosen from among 1799 entries from 42 nations across the African continent.

Over the past 18 years, the competition has grown in size and status to become Africa’s most prestigious media event. In 2012, a ‘Highlights Programme’ of the ceremony, held in Lusaka, Zambia,was broadcast in 47 African countries, on the Africa Channel in the US, UK and the Caribbeanand RTP Africa.

This year, the competition will recognise excellence in the following categories:

·         Culture Award

·         Digital Platform Award 

·         The Coca-Cola Company Economics & Business Award

·         Environment Award

·         Free Press Africa Award

·         Mohamed Amin Photographic Award

·         MSD Health & Medical Award

·         Print General News Award

·         Radio General News Award

·         Sport Award

·         Television Features Award

·         Television News Bulletin Award

·         Francophone General News Awards 

·         Portuguese Language General News Awards 
From these category winners, an independent judging panel choose the overall winner - The CNN MultiChoice African Journalist 2013.

Finalists in the 2013 competition will participate in a finalists’ programme that will include a media forum and networking opportunities with senior journalists, editors, business leaders and media owners from across the continent, culminating in a gala awards ceremony later in the year. All finalists receive a cash prize and each category winner also receives a laptop and printer. The CNN MultiChoice African Journalist 2013 will receive an additional cash prize and will have the opportunity to participate in the CNN Journalism Fellowship at CNN Headquarters in Atlanta.

African Journalist Awards Social Media:

UBAO WA TAHADHALI

Viewing all 109977 articles
Browse latest View live


Latest Images